BAADA YA RKELLY,MICHAEL JACKSON PDIDDY ANAFUATA!
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- BAADA YA RKELLY,MICHAEL JACKSON PDIDDY ANAFUATA!
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ joseskills_
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricodmedia
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodmedia
#new
#trending
#diddy
REMA MAUMIVU YALIVYO MTOA KANISANI NA KUMPELEKA KUZIMU KUMUABUDU SHETANI
ruclips.net/video/_w00espg68E/видео.html
Shetani lazima ulipe hawezi kukupa. Mungu awasaidie hawa vijana wetu.
IBADA HATARI ZAIDI YA KUJIUNGA FREEMASON BLACK EYE
ruclips.net/video/Tm756HT0fBw/видео.htmlsi=8vE4JKGohYc0hrVp
Safi sana
Back to back
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Dunia simama nichukee 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hahahahahaa 😂😂😂😂
Good job..more creative
MY BROTHER TULETEYE HABARI INAHUSIKA Wendy Williams
🙆🏾🙆🏾🙆🏾🙆🏾🙆🏾🙆🏾KACHANGANIKIWAA😢😢😢😢😢😢
Wacha nisikilize
Back to back,kakosea maharti huyoo
Jamaa kazi anayo tutasikia kapotea hahaha
We are waiting for Jay Z
Mwanangu unachambua vzurii sana namuahama jastin shedy
Kazi nzuri
Shukrani sana
Ila mm bado cjarzkaa na details kuhusu kifo cha rapa takeoff 🚀🇺🇲 fanya uchunguz Zaid
Poa poa ntafanyia kazi hiyo
Hmmm sasa ni time ya kulipa
Aisee Acha tu tupambane hivi hivi muhimu tuishi kwa amani
Jammie Foxx aliwahi kusema kuhusu hawa Watu
Kweli kabisaaaa
Twende zetu bro
UAE not Oman
Kaka ngoma ni back to Back
Saiv hakuna kupoa hahaha
plani yasasa ni kupoteza nguvu ya watu weusi wenye power
...
WANGAPI TUNARUDIYA HAPA KISHA DIDDY KUKAMAPWAA🙆🏾🙆🏾🙆🏾 umeongeya kweli kaka🫶🫶🫶👌👌
👊✌️👍.
Umetisha sanaaaaaaaaaaaaaaa
@@TricodMedia✌️
Kaka fanya simulizi ya Chris brown kuhusu kesi zile za ubakaji japo alishindaa
Poa poa ntafanyia kazi na saiv katoa albam ya 11:11 kuna siri ntaifanyia kazi
Utapiga viewers wengi sana jamaa ni popular
Vip kuhusu Habari za Tomy matola ?? Tuletee Chochote kuhusu huyu jamaa
Mushahara wa dhambi ni mauti kumbe wana tulingishiya mali za shetani,sasa mbona karibiya 95% wamesha jiunga kumbe behind the camera ni huzuni 😢😢
Kweli kabisaa
Sasa mimi nataka kujua kanye is crowed or dead
Illuminati ni watu hatari sana
Na huyu jamaa enzi hizo alikuwa anaitw a puff daddy mbona kabadikisha jina kaka
Puff ilikua na maana kama ya utemi au ubabe hivi badae akajiita diddy pekeake kumaanisha mzee wa malavidavi saiv anajiita love kwamba ameamua kuwa mtu wa amani na upendo
Hatar
They killed pac after the album kiluminat......kill illuminati..hii jamii ni hatari
Kweli kabisaaaa