Nilipita Kwenye Dhiki Nyingi, Maisha Ya Martha Mwaipaja Huyu Waleo Sio Wa Jana.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 285

  • @marystephen1183
    @marystephen1183 5 лет назад +40

    Ujumbe wa msingi apa ulionigusa ni neno wakati, kwamba napita sababu ya wakati na nitatoka sababu ya wakati...oooh JESUS I LOVE U SO MUCH ni wakati tu.....ubarikiwe Martha

  • @justinenabangal1367
    @justinenabangal1367 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤😢 ata Mimi huwa nyimbo zako hunito huzuni wakati nimezongwa na matatizo hongora Mather ubarikikwe maishani mwako

  • @nyotampenda2967
    @nyotampenda2967 5 лет назад +10

    Tunakupenda ku Sena ukweli, kwangu mimi wewe ndo wa kwanza katika Gospel Martha, nyimbo zako zinagusa saana moyo wangu, almost all the songs. ❤️❤️🥰❤️🥰❤️🥰

  • @user-dt1ex2el6t
    @user-dt1ex2el6t 5 месяцев назад

    Martha mwaipaja nyimbo zako huwa inaguza sana Acha mungu asidi kukupenda sana....I like your songs mum.

  • @paulynekhalayi4030
    @paulynekhalayi4030 2 года назад +1

    Martha you always touch my heart with your songs ,,may God keep and lift you up to the next level dear💞

  • @mbunge0375
    @mbunge0375 4 года назад +4

    Kama kuna mme yeyote chini ya jua ambaye anayeweza kumkwaza Martha huyu, katu hawezi kuishi na mke yeyote duniani. Martha uko vizuri kupindukia. Neema ya Mungu iwe nawe daima.

  • @JosephinePeter-e7z
    @JosephinePeter-e7z 2 месяца назад

    Dad matha ninakupenda san mana nyimbo zako nzur san Zina kweli ya mung hongera dad

  • @lovedoctorernestgoodboymov5432
    @lovedoctorernestgoodboymov5432 2 года назад

    Ombilangu kwabwana. I really like this voice. Am here in BRAZIL. But wen II'I be back in the country I will have to meet you Martha . I will try"
    I really like your carange songs be blessed

  • @estermalembwamalembwa1936
    @estermalembwamalembwa1936 5 месяцев назад

    Martha mwaipaja ubarikiwe kwa nyimbo nzuri natamani kuimba nawewe asahsante

  • @annemariba2454
    @annemariba2454 5 лет назад +7

    I love your songs you are blessing to many souls

  • @philisnjoki1247
    @philisnjoki1247 2 года назад

    God bless you my sister Martha, watching from Kenya, love your songs so much.wish one day to meet you.hata Mimi napitia

  • @childofgod1131
    @childofgod1131 4 года назад +2

    Martha mwaipaja napenda kazi yko saana... May God bless you

  • @YussufSelemani-nl3jz
    @YussufSelemani-nl3jz 8 месяцев назад

    Popote nilipo nafulahikia nakusikia nyimbo zako kila muda.Mama shukulani Mungu akuwe pamoja na wewe milele na milele.Amina🙏🙏

  • @kacheali4777
    @kacheali4777 5 лет назад +3

    Martha u r blzd sz , I love ur songs it's really inspiring me ,The song was released 2013 June I was facing difficulties of getting job nd final got it ,I felt gd nd this song use to encourage me .from i+971

  • @julianacharles5720
    @julianacharles5720 5 лет назад +2

    Ubarikiwe Sana nyimbo zako zinanibariki Sana

  • @lovedoctorernestgoodboymov5432
    @lovedoctorernestgoodboymov5432 2 года назад +1

    Oohh my GOD this voice this voice blessed

  • @sahaabalsahaab1373
    @sahaabalsahaab1373 5 лет назад +4

    Kweli kabisa dada kunawakati wa mungu kabisa. Ubarikiw sana dada martha

  • @junefother7890
    @junefother7890 4 года назад

    Oooooh kweli ilanakupenda nyimbozako nazipenda sana i'm from Burundi hatanawarundi wanapendanyimbozako

  • @user-ju5ed4wc2n
    @user-ju5ed4wc2n 8 месяцев назад

    Nakupenda Matha na nyimbo Zako zote unanitia Moyo kwa wakati ninaoupitia niMungu ktk maisha yangu

  • @deogratiashaule5224
    @deogratiashaule5224 5 лет назад +3

    Martha you always bless my heart. May God keep you to the next level.

  • @johnesther5388
    @johnesther5388 5 лет назад +2

    Mimi nikiwa huku Kenya Martha unanipa motisha sana Mungu akubariki akuzidishie nguvu uzidi kumwimbia milelee daima

  • @lovedoctorernestgoodboymov5432
    @lovedoctorernestgoodboymov5432 2 года назад

    Martha mrembo . I really like that song

  • @josephkuta7244
    @josephkuta7244 4 года назад

    I love your message Martha mwaipaja npnda gospel yesu awe nawe nko Kenya yesu tukumbke snaa

  • @YussufSelemani-nl3jz
    @YussufSelemani-nl3jz 8 месяцев назад

    Oooh Mamy thank you very very much 🙏🙏👍👍

  • @ESPERANCEMAVE-qp8ps
    @ESPERANCEMAVE-qp8ps 2 месяца назад

    Merci ma sœur unanisaidia sana tena sana.

  • @bernaldfedrick7275
    @bernaldfedrick7275 4 года назад

    Huyo mtumishi wa mungu yuko vizuri saana, anapointi nzuri saana,MTU amabye sijamuelewa katika maelezo yake ni Lazaro Baraka

  • @janetrixaddy5320
    @janetrixaddy5320 2 года назад

    Martha!You are a beautiful jewel in the kingdom of GOD. GOD truly keep you dear!!!!

  • @monicambise3146
    @monicambise3146 5 лет назад +4

    Mimi sipendi kelele napenda utulivu. Ubarikiwe dada napenda nyimbo zako haziumizi masikio

    • @trophainamagogwa1163
      @trophainamagogwa1163 5 лет назад

      Monica Mbise ndiyo nyimbo zinazoinua kiroho siyo z Ndomboro ya Solo

    • @ndebilecharles9461
      @ndebilecharles9461 4 года назад

      dada naitwa happy kutoka bariadi simiyu nawapenda sana nataman na mm niwe mwimbaj kama wew na mdogo wako
      love u so much

  • @mwajumahamisi6738
    @mwajumahamisi6738 5 лет назад +6

    Kwa mara ya kwanza kununua album ya huyu dada ni alipotoa album ya ombi langu kwa Mungu. Ilinitoa mahali.

  • @edwinlemayian3804
    @edwinlemayian3804 4 года назад +2

    Martha may the good Lord bless u u really tach my heart evrytime I hear ur songs

  • @rachelalinda7007
    @rachelalinda7007 5 лет назад +4

    Yani Huduma yako dada huwa unanibariki sana Mungu azidi kukuinua nyimbo zako zote zina ujumbe unaogusa wengi.

  • @gracegracegrace1827
    @gracegracegrace1827 5 лет назад +8

    Huyu dada nampendea roho ya utulivu....una majibu ya hekima sana !! Nakupenda sana!!

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 8 месяцев назад

    Martha mungu akubarki sana nyimbo zako nizur sana

  • @obbymark8556
    @obbymark8556 5 лет назад +31

    Uncle Jimmy mm nashauri kwenye interview za waimbaji wa Gospel muwe mnahoji maswali mengi ambayo watu wengi wanahitaji kujua kuhusu huyo muimbaji mfano ,amezaliwa wapi, elimu yake ,maisha yake binafsi na vitu anavofanya nje ya mziki wa injili maana Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na historia zao na maisha yao binafsi msihoji maswali ambayo yapo wazi na tunajua

  • @joycemushi1720
    @joycemushi1720 3 года назад

    Ubarikiwe sana dada matha kwa kupitia wewe na mm napata matumaini ,Kama Mungu alikukuka naaamin na mm sikumoja atanikumbuka.

  • @neemagoodluck4401
    @neemagoodluck4401 5 лет назад +2

    Nakupenda Martha Mwaipaja, sante kwa faraja yako na Mungu azid kukutumia

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 5 лет назад

    Ameeen God is great nakupenda sana dada huwa unanifariji na message zako zitaishi nami milele Moyoni mwangu alleluyah

  • @cuthbertzillale6136
    @cuthbertzillale6136 2 года назад

    Wewe dada mie nàkupendaga sana sana na hakuna nyimbo Yako hata Moja ambayo haipo kwenye simu yangu...yaani nilianza kukuelewa kwenye nikitafakari jinsi Mungu yaani Sasa hivi tena hizi nyimbo ni Kwa neema ndo nyimbo niliyoweka kwenye muito wasimu yangu...Mungu akubariki sana

  • @julytito3891
    @julytito3891 5 лет назад +7

    Dada umeniliza eti ,naguswaga sana na nyimbo zako pia

  • @juliakayesi8589
    @juliakayesi8589 4 года назад

    Dada nyimbo zako mbili za nifundishe kunyamaza najaribu la mtu sio kwamba ametanda dhambi ulitia moyo nikiwa katika dhiki katika ndoa yangu.mimi nimuimbaji was injili na ninatarijia Mungu kuniinua from Kenya..I believe one day I will meet you and mum Christina shusho.i wish nifanye wimbo Moja nawe

  • @andrewkitaly6003
    @andrewkitaly6003 5 лет назад +3

    uncle jimmy bwana yesu asifiwe naomba nikukumbushe kuwa next time utupe fursa ya kumjua mwimbaji kiundani yaan maisha yake ya awali na ya sasa namaanisha historia yake kwa kina ni hamasa kwa watu wanao pitia changamoto ambazo zina shabihiana na zake.
    ahsante na ubarikiwe

  • @DorineWakhisi
    @DorineWakhisi 4 месяца назад

    Kamamu nyimbo zako sana zinaguza mioyo za wengi kabisa

  • @mengiuswege3654
    @mengiuswege3654 2 года назад

    Huyu dada Mungu amuweke Kwa kweli Mwanamke wa TOFAUT sana yule Mume amepoteza dhahabu aliyoishika akairusha kuulia ndege na asijuwe kuwa lile jiwe Lina THAMANI zaidi kuliko ndege yule

  • @IrakazaAdonai
    @IrakazaAdonai 2 месяца назад

    tusikate tama🙏🙏🙏 pia mimi hio nyimbo inanigusa mpaka sasa hivi

  • @nowelaraymond5986
    @nowelaraymond5986 2 года назад

    Big up mtumishi🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @chesangimmaculate2869
    @chesangimmaculate2869 5 лет назад +2

    Martha indeed God is great an might is a good doing only good things to those that love him, love u Martha

  • @rosemwambopo5533
    @rosemwambopo5533 3 года назад

    Barikiwa Sana my sister nyimbo zako zinanibariki sana

  • @rechormalimbi9689
    @rechormalimbi9689 5 лет назад +2

    Nakupenda sana Martha nyimbo zako ni biblia hakika

  • @erastokomba8295
    @erastokomba8295 4 года назад

    Ubarikiwe na kupokelewa na wakuu popote uendapo duniani, kwa wimbo , jaribu kwa mtu sio kwamba in mtenda dhambi ni kikombe tu lazima mtu apitie. Leo nayaona maisha kwa sura nyingine.Amina.

  • @issaguyashi8321
    @issaguyashi8321 4 года назад

    Hongera sana Martha nipo na wewe kila wakati na unafanya vizuri sioni mwingine was kunihubiri you my number one

  • @philininomhenzi396
    @philininomhenzi396 5 лет назад +1

    Mungu awe nawe daima Dada Martha nyimbo zako czichoki kila mara

  • @robertchris8819
    @robertchris8819 3 года назад +2

    Ule wimbo wa Martha, inaitwa 'ombi langu kwa Mungu' kwa kweli uliniguza sana. Mpaka natamani nikutane naye ana kwa Ana nimpe zawadi yake. Kwa kweli mkimuona naomba mnikutanishe na yeye, Mimi niko kenya.

  • @marypeter9001
    @marypeter9001 5 лет назад

    Kweli Mungu anakutumia Martha Yani Mimi mbali na kuimba hata ukiongea mi unanibariki Sana Mungu akuinue mtumishi

  • @kofisafokofi1723
    @kofisafokofi1723 3 года назад

    From t day i call you évangéliste Martha mweipaja

  • @lidiammbone6126
    @lidiammbone6126 3 года назад

    Kweli watu hutoka mbali Sana jipe Raha mwenyewe ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @anithasayoni6462
    @anithasayoni6462 2 года назад

    Ubarikiwe mpendwa

  • @jesicahphibi6904
    @jesicahphibi6904 4 месяца назад

    Ukweli kabisaa wakati wa Mungu ukifika hakuna atakae pinga

  • @abigailm2484
    @abigailm2484 3 года назад

    Beautiful African woman. Looks like Winnie Mandela

  • @gladysmakamu573
    @gladysmakamu573 4 года назад

    Mammy you always encourage me,your songs motivates me too

  • @maryjustapeter5430
    @maryjustapeter5430 5 лет назад +8

    Matha Mungu azidi kkutumia kama apendavyo, tunabrkiwa sana.ushauli nalusihii usijichubue ngozi naona kama unabadrika ngozi kaa kama Mungu alivyokuumba. wwe nimzuri sana usialibu ngozi

  • @tendaimavhe2869
    @tendaimavhe2869 2 года назад

    I luv you Martha....

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 года назад

    Amen dada Mungu akubariki

  • @neemashabani8431
    @neemashabani8431 3 года назад

    Nakupenda Martha unanifariji Sana kupitia nyimbo zako

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 лет назад +1

    She is the best,

  • @magretngowi83
    @magretngowi83 2 года назад

    Nampenda sna

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад +1

    Tafuta Roho mwenyewe akupe wimbo sbb Mungu ndio anajua anataka kusema nini na watu wake..

  • @arounluhamba447
    @arounluhamba447 4 года назад

    Shalom shalom Mungu akujaze neema zaidi Matha.

  • @MichaelThomas-hl9pu
    @MichaelThomas-hl9pu 2 года назад

    Mama uko vizuri kwakweli

  • @mchuumchu9801
    @mchuumchu9801 5 лет назад +4

    Ila kwa maringo!!

  • @patiencenganaki7831
    @patiencenganaki7831 Год назад

    Vraiment que Dieu

  • @josephatondieki1071
    @josephatondieki1071 4 года назад

    Hata wkt wa majaribu Mungu hupo na Mungu huyu anataka kkuonyesha kitu Fulani kwa maisha yako, mtegemehe Mungu mwenye hapadiriki .

  • @user-pe4jv3gu9u
    @user-pe4jv3gu9u 11 месяцев назад

    Martha.ubarikiwe.na.mungu

  • @user-sd3gk4ou9l
    @user-sd3gk4ou9l 10 месяцев назад

    Mungu hutowa wamtumainio mbali

  • @nyemowami1381
    @nyemowami1381 3 года назад

    I love u moree mamy May God give you a long life

  • @oliviarygs4458
    @oliviarygs4458 4 года назад +1

    I love this lady 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @scoviaouma1277
    @scoviaouma1277 2 года назад

    Martha be Blessed so much,.

  • @piushappyness226
    @piushappyness226 3 года назад +1

    Nakupenda mno 😍 nashindwa niseme nini

  • @fadhilikibanti3402
    @fadhilikibanti3402 5 лет назад +4

    Hii ndiyo mifano halisi ya kuimba Yesu ni mzuri

    • @neemaelius4878
      @neemaelius4878 5 лет назад

      Pole sana Martha Mwaipaja maana history yako sawa na yangu ya kufiliwa na baba yangu nikiwa na miaka mitano. Songa mbele kwa kazi ya Mungu

  • @flattshao5004
    @flattshao5004 2 года назад

    May GOD bless you

  • @patiencenganaki7831
    @patiencenganaki7831 Год назад

    Te bénisse richement

  • @marietajohn2913
    @marietajohn2913 5 лет назад +2

    nakupenda sana martha mungu azidi kukubariki dada

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Год назад

    Safi Sana

  • @lizquinter5922
    @lizquinter5922 4 года назад +2

    Martha I really love you may God bless you in any situation

  • @user-sd7eg6ix6w
    @user-sd7eg6ix6w 11 месяцев назад

    Nakupend cn nabalikiw cn nanyimbo zak

  • @nkinihelensalewa8506
    @nkinihelensalewa8506 3 года назад

    Upo vizur dada hongera sana

  • @elizabethlithabeth6061
    @elizabethlithabeth6061 3 года назад +1

    Wakati mwingine tunatamani kukataa tamaa lakini nyimbo hizi namuona mungu

  • @modestatemu3991
    @modestatemu3991 Год назад

    Kweli anakuwa anatisha jmn kweli MUNGU no kwemaa san

  • @fatumamohamed1361
    @fatumamohamed1361 4 года назад

    Nakupenda Sana Dada Mungu akubaliki san

  • @sarahodenyi6940
    @sarahodenyi6940 5 лет назад

    Mimi sanasana napenda nyimbo zako Dada.....

  • @deborathomas1996
    @deborathomas1996 5 лет назад +1

    Dadaangu nabarikiwasana nyimbo zako natamani kufata nyayo zakoo

  • @nkuluolda8757
    @nkuluolda8757 5 лет назад +1

    Mungu akubariki na azidi kukutumia dada

  • @nkwabimasanja3474
    @nkwabimasanja3474 5 лет назад +2

    Mungu akubarki dada angu Martha

  • @user-qn3xp8eb9z
    @user-qn3xp8eb9z Год назад

    Mungu atakusaidia

  • @moniedwese5778
    @moniedwese5778 5 лет назад +3

    Love dada Martha 😍

  • @rachelmwaki7454
    @rachelmwaki7454 5 лет назад

    Time zone, barikiwa Dada Mungu aendelee kukutia Nguvu

  • @jenifacosmas1725
    @jenifacosmas1725 4 года назад

    Nakupenda matha wangu wimbonilikua mdogosana kwendakwajilani nikausikia

  • @jacquelinembanda
    @jacquelinembanda 5 лет назад +2

    Mungu ni mwema kwa kila jambo🙏🏽🙏🏽

  • @sophianolle4007
    @sophianolle4007 5 лет назад +2

    ubarikiwe Dada angu nakupenda bure mie

  • @asiimweanthony9057
    @asiimweanthony9057 5 лет назад

    Amen dada nami Bado namhitaji Mungu

  • @somiaal8019
    @somiaal8019 5 лет назад +9

    More love kutoka 254