Ujumbe wa msingi apa ulionigusa ni neno wakati, kwamba napita sababu ya wakati na nitatoka sababu ya wakati...oooh JESUS I LOVE U SO MUCH ni wakati tu.....ubarikiwe Martha
Tunakupenda ku Sena ukweli, kwangu mimi wewe ndo wa kwanza katika Gospel Martha, nyimbo zako zinagusa saana moyo wangu, almost all the songs. ❤️❤️🥰❤️🥰❤️🥰
Kama kuna mme yeyote chini ya jua ambaye anayeweza kumkwaza Martha huyu, katu hawezi kuishi na mke yeyote duniani. Martha uko vizuri kupindukia. Neema ya Mungu iwe nawe daima.
Ombilangu kwabwana. I really like this voice. Am here in BRAZIL. But wen II'I be back in the country I will have to meet you Martha . I will try" I really like your carange songs be blessed
Martha u r blzd sz , I love ur songs it's really inspiring me ,The song was released 2013 June I was facing difficulties of getting job nd final got it ,I felt gd nd this song use to encourage me .from i+971
Uncle Jimmy mm nashauri kwenye interview za waimbaji wa Gospel muwe mnahoji maswali mengi ambayo watu wengi wanahitaji kujua kuhusu huyo muimbaji mfano ,amezaliwa wapi, elimu yake ,maisha yake binafsi na vitu anavofanya nje ya mziki wa injili maana Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na historia zao na maisha yao binafsi msihoji maswali ambayo yapo wazi na tunajua
Wewe dada mie nàkupendaga sana sana na hakuna nyimbo Yako hata Moja ambayo haipo kwenye simu yangu...yaani nilianza kukuelewa kwenye nikitafakari jinsi Mungu yaani Sasa hivi tena hizi nyimbo ni Kwa neema ndo nyimbo niliyoweka kwenye muito wasimu yangu...Mungu akubariki sana
Dada nyimbo zako mbili za nifundishe kunyamaza najaribu la mtu sio kwamba ametanda dhambi ulitia moyo nikiwa katika dhiki katika ndoa yangu.mimi nimuimbaji was injili na ninatarijia Mungu kuniinua from Kenya..I believe one day I will meet you and mum Christina shusho.i wish nifanye wimbo Moja nawe
uncle jimmy bwana yesu asifiwe naomba nikukumbushe kuwa next time utupe fursa ya kumjua mwimbaji kiundani yaan maisha yake ya awali na ya sasa namaanisha historia yake kwa kina ni hamasa kwa watu wanao pitia changamoto ambazo zina shabihiana na zake. ahsante na ubarikiwe
Huyu dada Mungu amuweke Kwa kweli Mwanamke wa TOFAUT sana yule Mume amepoteza dhahabu aliyoishika akairusha kuulia ndege na asijuwe kuwa lile jiwe Lina THAMANI zaidi kuliko ndege yule
Ubarikiwe na kupokelewa na wakuu popote uendapo duniani, kwa wimbo , jaribu kwa mtu sio kwamba in mtenda dhambi ni kikombe tu lazima mtu apitie. Leo nayaona maisha kwa sura nyingine.Amina.
Ule wimbo wa Martha, inaitwa 'ombi langu kwa Mungu' kwa kweli uliniguza sana. Mpaka natamani nikutane naye ana kwa Ana nimpe zawadi yake. Kwa kweli mkimuona naomba mnikutanishe na yeye, Mimi niko kenya.
Matha Mungu azidi kkutumia kama apendavyo, tunabrkiwa sana.ushauli nalusihii usijichubue ngozi naona kama unabadrika ngozi kaa kama Mungu alivyokuumba. wwe nimzuri sana usialibu ngozi
Ujumbe wa msingi apa ulionigusa ni neno wakati, kwamba napita sababu ya wakati na nitatoka sababu ya wakati...oooh JESUS I LOVE U SO MUCH ni wakati tu.....ubarikiwe Martha
Nakupenda Sana dada mungu azidi kuku bariki
Dada mungu akubaliki sana unanibalik sana
kupitia uwimbajiwako Dada najifunza mengi kutokakwako mungu akubaliki sana
@@sikiviabraitoni6741 yq TGQWV@-MTRWV bku. The
MARY STEPHEN hh
❤❤❤❤❤❤😢 ata Mimi huwa nyimbo zako hunito huzuni wakati nimezongwa na matatizo hongora Mather ubarikikwe maishani mwako
Tunakupenda ku Sena ukweli, kwangu mimi wewe ndo wa kwanza katika Gospel Martha, nyimbo zako zinagusa saana moyo wangu, almost all the songs. ❤️❤️🥰❤️🥰❤️🥰
Martha mwaipaja nyimbo zako huwa inaguza sana Acha mungu asidi kukupenda sana....I like your songs mum.
Martha you always touch my heart with your songs ,,may God keep and lift you up to the next level dear💞
Kama kuna mme yeyote chini ya jua ambaye anayeweza kumkwaza Martha huyu, katu hawezi kuishi na mke yeyote duniani. Martha uko vizuri kupindukia. Neema ya Mungu iwe nawe daima.
Usiusemew moyo
Dad matha ninakupenda san mana nyimbo zako nzur san Zina kweli ya mung hongera dad
Ombilangu kwabwana. I really like this voice. Am here in BRAZIL. But wen II'I be back in the country I will have to meet you Martha . I will try"
I really like your carange songs be blessed
Martha mwaipaja ubarikiwe kwa nyimbo nzuri natamani kuimba nawewe asahsante
I love your songs you are blessing to many souls
God bless you my sister Martha, watching from Kenya, love your songs so much.wish one day to meet you.hata Mimi napitia
Martha mwaipaja napenda kazi yko saana... May God bless you
Popote nilipo nafulahikia nakusikia nyimbo zako kila muda.Mama shukulani Mungu akuwe pamoja na wewe milele na milele.Amina🙏🙏
Martha u r blzd sz , I love ur songs it's really inspiring me ,The song was released 2013 June I was facing difficulties of getting job nd final got it ,I felt gd nd this song use to encourage me .from i+971
Ubarikiwe Sana nyimbo zako zinanibariki Sana
Oohh my GOD this voice this voice blessed
Kweli kabisa dada kunawakati wa mungu kabisa. Ubarikiw sana dada martha
Oooooh kweli ilanakupenda nyimbozako nazipenda sana i'm from Burundi hatanawarundi wanapendanyimbozako
Nakupenda Matha na nyimbo Zako zote unanitia Moyo kwa wakati ninaoupitia niMungu ktk maisha yangu
Martha you always bless my heart. May God keep you to the next level.
Mimi nikiwa huku Kenya Martha unanipa motisha sana Mungu akubariki akuzidishie nguvu uzidi kumwimbia milelee daima
Martha mrembo . I really like that song
I love your message Martha mwaipaja npnda gospel yesu awe nawe nko Kenya yesu tukumbke snaa
Oooh Mamy thank you very very much 🙏🙏👍👍
Merci ma sœur unanisaidia sana tena sana.
Huyo mtumishi wa mungu yuko vizuri saana, anapointi nzuri saana,MTU amabye sijamuelewa katika maelezo yake ni Lazaro Baraka
Martha!You are a beautiful jewel in the kingdom of GOD. GOD truly keep you dear!!!!
Mimi sipendi kelele napenda utulivu. Ubarikiwe dada napenda nyimbo zako haziumizi masikio
Monica Mbise ndiyo nyimbo zinazoinua kiroho siyo z Ndomboro ya Solo
dada naitwa happy kutoka bariadi simiyu nawapenda sana nataman na mm niwe mwimbaj kama wew na mdogo wako
love u so much
Kwa mara ya kwanza kununua album ya huyu dada ni alipotoa album ya ombi langu kwa Mungu. Ilinitoa mahali.
Martha may the good Lord bless u u really tach my heart evrytime I hear ur songs
Mungu akujalie katika kuhubili ujumbe wa mungu
Yani Huduma yako dada huwa unanibariki sana Mungu azidi kukuinua nyimbo zako zote zina ujumbe unaogusa wengi.
Huyu dada nampendea roho ya utulivu....una majibu ya hekima sana !! Nakupenda sana!!
Martha mungu akubarki sana nyimbo zako nizur sana
Uncle Jimmy mm nashauri kwenye interview za waimbaji wa Gospel muwe mnahoji maswali mengi ambayo watu wengi wanahitaji kujua kuhusu huyo muimbaji mfano ,amezaliwa wapi, elimu yake ,maisha yake binafsi na vitu anavofanya nje ya mziki wa injili maana Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na historia zao na maisha yao binafsi msihoji maswali ambayo yapo wazi na tunajua
Enda kwa google andika jina zao
obby mark nice
Ndugu yangu mimi ni mjowao kwa wanao kupenda sana dada
ni kweli
Ubarikiwe sana dada matha kwa kupitia wewe na mm napata matumaini ,Kama Mungu alikukuka naaamin na mm sikumoja atanikumbuka.
Nakupenda Martha Mwaipaja, sante kwa faraja yako na Mungu azid kukutumia
Ameeen God is great nakupenda sana dada huwa unanifariji na message zako zitaishi nami milele Moyoni mwangu alleluyah
Wewe dada mie nàkupendaga sana sana na hakuna nyimbo Yako hata Moja ambayo haipo kwenye simu yangu...yaani nilianza kukuelewa kwenye nikitafakari jinsi Mungu yaani Sasa hivi tena hizi nyimbo ni Kwa neema ndo nyimbo niliyoweka kwenye muito wasimu yangu...Mungu akubariki sana
Dada umeniliza eti ,naguswaga sana na nyimbo zako pia
Dada nyimbo zako mbili za nifundishe kunyamaza najaribu la mtu sio kwamba ametanda dhambi ulitia moyo nikiwa katika dhiki katika ndoa yangu.mimi nimuimbaji was injili na ninatarijia Mungu kuniinua from Kenya..I believe one day I will meet you and mum Christina shusho.i wish nifanye wimbo Moja nawe
uncle jimmy bwana yesu asifiwe naomba nikukumbushe kuwa next time utupe fursa ya kumjua mwimbaji kiundani yaan maisha yake ya awali na ya sasa namaanisha historia yake kwa kina ni hamasa kwa watu wanao pitia changamoto ambazo zina shabihiana na zake.
ahsante na ubarikiwe
Kamamu nyimbo zako sana zinaguza mioyo za wengi kabisa
Huyu dada Mungu amuweke Kwa kweli Mwanamke wa TOFAUT sana yule Mume amepoteza dhahabu aliyoishika akairusha kuulia ndege na asijuwe kuwa lile jiwe Lina THAMANI zaidi kuliko ndege yule
tusikate tama🙏🙏🙏 pia mimi hio nyimbo inanigusa mpaka sasa hivi
Big up mtumishi🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Martha indeed God is great an might is a good doing only good things to those that love him, love u Martha
Barikiwa Sana my sister nyimbo zako zinanibariki sana
Nakupenda sana Martha nyimbo zako ni biblia hakika
Ubarikiwe na kupokelewa na wakuu popote uendapo duniani, kwa wimbo , jaribu kwa mtu sio kwamba in mtenda dhambi ni kikombe tu lazima mtu apitie. Leo nayaona maisha kwa sura nyingine.Amina.
Hongera sana Martha nipo na wewe kila wakati na unafanya vizuri sioni mwingine was kunihubiri you my number one
Mungu awe nawe daima Dada Martha nyimbo zako czichoki kila mara
Ule wimbo wa Martha, inaitwa 'ombi langu kwa Mungu' kwa kweli uliniguza sana. Mpaka natamani nikutane naye ana kwa Ana nimpe zawadi yake. Kwa kweli mkimuona naomba mnikutanishe na yeye, Mimi niko kenya.
Ubarikiwe sana Marthe
Kweli Mungu anakutumia Martha Yani Mimi mbali na kuimba hata ukiongea mi unanibariki Sana Mungu akuinue mtumishi
From t day i call you évangéliste Martha mweipaja
Kweli watu hutoka mbali Sana jipe Raha mwenyewe ubarikiwe mtumishi wa mungu
Ubarikiwe mpendwa
Ukweli kabisaa wakati wa Mungu ukifika hakuna atakae pinga
Beautiful African woman. Looks like Winnie Mandela
Mammy you always encourage me,your songs motivates me too
Matha Mungu azidi kkutumia kama apendavyo, tunabrkiwa sana.ushauli nalusihii usijichubue ngozi naona kama unabadrika ngozi kaa kama Mungu alivyokuumba. wwe nimzuri sana usialibu ngozi
I luv you Martha....
Amen dada Mungu akubariki
Nakupenda Martha unanifariji Sana kupitia nyimbo zako
She is the best,
Nampenda sna
Tafuta Roho mwenyewe akupe wimbo sbb Mungu ndio anajua anataka kusema nini na watu wake..
Shalom shalom Mungu akujaze neema zaidi Matha.
Mama uko vizuri kwakweli
Ila kwa maringo!!
Vraiment que Dieu
Hata wkt wa majaribu Mungu hupo na Mungu huyu anataka kkuonyesha kitu Fulani kwa maisha yako, mtegemehe Mungu mwenye hapadiriki .
Martha.ubarikiwe.na.mungu
Mungu hutowa wamtumainio mbali
I love u moree mamy May God give you a long life
I love this lady 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Dada Martha naomba kuinama na wewe
Martha be Blessed so much,.
Nakupenda mno 😍 nashindwa niseme nini
Hii ndiyo mifano halisi ya kuimba Yesu ni mzuri
Pole sana Martha Mwaipaja maana history yako sawa na yangu ya kufiliwa na baba yangu nikiwa na miaka mitano. Songa mbele kwa kazi ya Mungu
May GOD bless you
Te bénisse richement
nakupenda sana martha mungu azidi kukubariki dada
Safi Sana
Martha I really love you may God bless you in any situation
Nakupend cn nabalikiw cn nanyimbo zak
Upo vizur dada hongera sana
Wakati mwingine tunatamani kukataa tamaa lakini nyimbo hizi namuona mungu
Kweli anakuwa anatisha jmn kweli MUNGU no kwemaa san
Nakupenda Sana Dada Mungu akubaliki san
Mimi sanasana napenda nyimbo zako Dada.....
Dadaangu nabarikiwasana nyimbo zako natamani kufata nyayo zakoo
I love u dada
Mungu akubariki na azidi kukutumia dada
Mungu akubarki dada angu Martha
Mungu atakusaidia
Love dada Martha 😍
Nakupenda xana dada napenda Sana ukifanyacho Naaamin nami
Daaa kweli tunapitia Mengi
Umenigusa sana Dada
Love Dada
Time zone, barikiwa Dada Mungu aendelee kukutia Nguvu
Nakupenda matha wangu wimbonilikua mdogosana kwendakwajilani nikausikia
Mungu ni mwema kwa kila jambo🙏🏽🙏🏽
ubarikiwe Dada angu nakupenda bure mie
Amen dada nami Bado namhitaji Mungu
More love kutoka 254