LUSINDE NA OLE SENDEKA WAVAANA BUNGENI, RIPOTI YA CAG "HATUMTENDEI HAKI RAIS".

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 25

  • @anesansibert2968
    @anesansibert2968 Год назад +6

    Hii nchi bado inapigwa sana mmoja wapo ni Lusinde

  • @ezekielmatinya8314
    @ezekielmatinya8314 Год назад +3

    Lusinde mnafiki asee kipindi kileee ndiye alikuwa mpiga vijembe mahiri leo hii kaokoka cyo

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Год назад +2

    Chawa tu wewe

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +2

    mwizi mkubwa ww

  • @MwakaMwaka-hy9ds
    @MwakaMwaka-hy9ds Год назад +2

    Lusinde na yeye ni mwizi mbna anakataa

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад +1

    Ukimkuta mwizi shambani kwako una muacha Kwanza mpaka mwezi wa kumi na moja

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +1

    dah mtihani kweli rusinde kawa chaw mkubwa ila pengine nayy kashrik kuiba

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад +1

    Kunambunge kweli hapo

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Год назад

    Kama waziri hajatajwa nani mwenye mamlaka ya kutoa hizo pesa badala ya Raisi?

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Год назад

    Lusinde ww matako kabisa mbwa kabisa watu wameiba alafu watu wasiongee kumbe na ww matako eee

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 Год назад

    Pesa za kupa? Hii nchi itauzwa siku moja kwa akili ndogo kama huyu chawa. Raisi amekopa kwa miaka miwili kuliko maisi wote toka uhuru wa nchi hii.

  • @christophermboya7676
    @christophermboya7676 Год назад +1

    Aliekuita Kibajaji hakukosea walah

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Год назад

    Acha uongo watu wameiba wakamatwe

  • @musason1680
    @musason1680 Год назад +1

    Huyu jamaa chenga sana

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 11 месяцев назад

    Cjawahi kuelewa hata siku Moja,

  • @MollelSamuel
    @MollelSamuel 7 месяцев назад

    Mh lusinde ww 😮😮😮

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Год назад +1

    Yaani anakwenda na upepo tuu Kibajaji.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад

    WE KIBAJAJI UNAKWENDAGA NA UPEPO UNAVYOVUMA, .. YOU DESERVE BEING CALLED “ZERO BRAIN “…RIPOTI YA CAG NI HOJA YA MSINGI SANA, IJADILIWE.

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 Год назад

    Ovyo kabisa Lusinde akili zako huwa hazitutendei haki watanzania kila Mbunge ana haki ya kutoa mchango wake, wewe kazi yako huwa ni kujipendekeza tu yanapotokea matukio muhimu katika nchi, Kama huoni kuna shida kwenye ripoti ya CAG kuwa mpole.

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад

    Anahamisha maaada kinajadiliwa kingine anaongea kingine

  • @joycebanney6518
    @joycebanney6518 Год назад

    Nyie wenyewe wapigaji acheni unafki bungeni

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs Год назад

    Kitu kzito kichwni😂😂😂😂

  • @alexmbise-rs7vt
    @alexmbise-rs7vt Год назад

    Apo hakuna cha kuokoka hii ndio siasa alo😁😁😁😁