TRA WAMKAMATA MFANYABIASHARA ANAYEUZA MILIONI 10 LAKINI AMEANDIKA MILIONI 1 "TUMEINGIA MTAANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 фев 2022
  • Mamlaka ya mapato nchini TRA Mkoani Arusha imefanya operesheni katika maeneo mbalimbali katika jijiji la Arusha kufuatilia watu ambao hawatumii mashine za EFDS pamoja nakutokupokea risiti ambapo wamekutana na mmoja wa mfanyabiashara ambaye inadaiwa amekusanya zaidi ya million 10kwa mwezi lakini kwenye mashine

Комментарии • 150

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 2 года назад +12

    Eti ukinunua sukari dai risiti hivi mtu ana mtaji wa mil 2 atawezaje kununua e FD ya lak7
    Bado alipe mapato,leseni service levy, umeme,Kodi ya chumba,usafi watu wanateseka kweli ni shida Kodi zinazidi mtaji

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 2 года назад +8

    Tatizo kodi za hii nchi zipo juu sana utafikiri hatuna madini mbuga za wanyama maziwa bahari na vyanzo kibaaaaao vya mapato kumanina zao

  • @innocentritte1514
    @innocentritte1514 2 года назад +22

    Kuepukana na yote haya, serikali inatakiwa ipunguze kodi hadi walau 9%. Kodi zinazotozwa na kulingana na jinsi biashara zilivyo, wafanya biashara wanakuwa tempted kukwepa kodi ili waweze kupata faida. Watu wanaendelea kuwa kwenye biashara kwa sababu hawana kingine cha kufanya. Mazingira ya biashara ni magumu sana, kodi za pango, leseni, uzoaji taka, ulinzi nk. Yaani shida tupu. Sijafahamu kwa nini serikali inang'ang'ana na makodi yote hayo na wakati zikiwa chini na watu wakiwa wanalipa voluntarily wanaweza kupata mapato makubwa hata kuliko sasa.

    • @salumabdallah3495
      @salumabdallah3495 2 года назад +1

      Yani mzigo wako unaagizia kutoka nje na unaulipia ushuru shida inakuja tra inataka kw wanunuzi ndio wawe wanalipia kodi na sio ww unaeuza inamaana unatakiwa ww uongeze pale katika faida yako 18% ili iwe imelipwa ma mteja unalazimika kuweka bei ya juu matokeo yake watu hawanunui kutokana na bei kua juu mwisho wako mzigo unakudodea ww ulolipia ushuru bandarini na hapo hapo unatakiwa ulipie tena kwa mwaka kupitia faida yako unayoipata inamaana unalipia mzigo ukiwa bandarini na dukani kwakweli serikali ikipunguza kodi sidhani km watu hawatotoa risiti stahili

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 2 года назад +1

      Hivyo ndivyo akili yako inavyokutuma, uhalisia ni kwamba watanzania wengi hatulipi Kodi, ni kundi dogo sana ndo lina lipa kodi na ni mabingwa wa kupinga na kulalamika Kila kitu! Narudia tena hakuna mfanya Biashara anayeweza Fanya Biashara kwa hasara eti kwa sababu bei ya manunuzi ya bidhaa hiyo ni kubwa!

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 2 года назад

      serikali inatuona sisi ni mavi we upambane na wateja wezi pakia pakua foleni uweke na dawa ya kuvuta wateja wao waje wajikadilie kodi wanayotaka ,, ni usenge sana

    • @chrisstopherbasa4840
      @chrisstopherbasa4840 2 года назад +1

      Correct

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 2 года назад

      Kupunza kodi sio suluhisho hata ukipunguza wanakwepa dawa fanyeni kama nchi za wenzetu wanavyofanya kodi ianajikata moja kwa moja

  • @charlesjanuary1798
    @charlesjanuary1798 2 года назад +24

    Mtu aliyesoma akamaliza akapata kazi hawezii elewa Biashara ipoje Ukienda jinsi wanavyotaka TRA bora uwe mkulima tu, Mfano huyo jamaa mfanyakazii wa TRA usikute kusoma tu kachukua miaka 20 hajawahi kufanya biashara hata ya uji anakuja kupata kazi haelewi chochote kuhusu biiashara Biashara ni ngumu saana hasa kubaki kweny chat sio jambo dogo

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 2 года назад +3

    Weka mbali dafrita hloooo

  • @tausymtesigwa4567
    @tausymtesigwa4567 2 года назад

    Hapo wengi tu wamejaa tena wana shirikiana na TRA

  • @wizzyjtz
    @wizzyjtz 2 года назад +3

    TRA naomba muende na pale sinza ambiance kunawadada wanauza sana na hawatoi risiti

  • @elishapaulo9749
    @elishapaulo9749 2 года назад

    TRA wezi tu

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад

    Pole sana kaka hiyo mzima wakinajerya

  • @ahmadisalumu5049
    @ahmadisalumu5049 2 года назад +4

    Wakati nikiwaa shule nilikuwa nikiona habari kama hizi nilikuwa nasema hawa wafanyabiashara wahuni sana wakamatwe tu! Lakini nilivyokosa ajira nikaanza biashara ndio naelewa tatizo lilipo! Kwa kweli mfumo wetu wa kodi ni mgumu sana hasa kwa wafanyabiashara wadogo

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 2 года назад

      Kwahyo mtu anauza mpaka ml 10 naye nimfanyabiara mdogo?

    • @ahmadisalumu5049
      @ahmadisalumu5049 2 года назад

      @@ramsojimmykelly3379 mil 10 hata Mama Ntilie akisema aweke kumbukumbu vizuri anapitisha Bro!

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis7083 2 года назад

    Aaaaaahhh Maaaniiinaaa Nchii hiiii teena kwa Arusha ameandamwa kinoumaa

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 года назад +5

    Shida hii ya daftari ni maboss wanaogopa kupigwa na mfanyakazi wanakuja kupugiwa na TRA...

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 года назад +8

    Hii issue ni ngumu na tra hamtaki kuelewa Kuna bidhaa ni mauzo bei kubwa lakini faida ni ndogo na siku ya siku mfanyabiashara anawapa mtaji wake hapo ndipo kukataa kutoa receipt japo mtafunga watu

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 2 года назад +1

      Nikweli kabisa Hawa watu nimakatili saana Wana angalia mauzo Hawa tazami faida ndyo maana watu wengi Sasa ivi mfano boda tunduma wafanya biashala wengi wamekimbilia Zambia kwa sababu ya ukatili wap😥😥😥

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 2 года назад +1

      Ndio tatizo mfano Mimi nauza 100000 napata 5000

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 2 года назад +1

      Acha uongo, tatizo wanafanya biashara wanataka super profiti, hakuna bei ya bidhaa isiyokuwa na VAT.

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 2 года назад

      Tunaongea na waajiriwa waliozoea za Mwezi Kama Wana Ndoa ..mje mtaani ,,bro kaongea point Ila wewe akili ndogo sana ...nenda kamuulize TRA ilo swali Kama atakujibu amenyooka na ndio failure ya Sheria ya makadirio Tz ,,,acha kuwa limbukeni

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 2 года назад

      @@victorsanga2229 umekaririshwa super profit soma vizur ...mfano mzur wale wanaouza maduka ya kikinga mchanganyikeni ananunua katon ya daftar 40000 anauza 42000 harafu wa Kuna mtu ananunua kitu Cha 5000 anauza 10000 unaona nani atalipa Kodi kubwa

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 2 года назад

    TRA na wao wafungue biashara ...

  • @sadikiabdallavuri1760
    @sadikiabdallavuri1760 2 года назад

    t.r.a imekua mnyama zaidi ya simba inayorarua wafanyabiashara

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +12

    WaTanzania mnachekeana sana na ndio maana mko masikini, watu wanakwepa kulipa kodi kama huyo mfanyabiashara na hamna adhabu za maana , njoo Ulaya halafu kwepa kulipa kodi uone kilichomtoa kanga manyoa yaani kosa kubwa haswa au hata nchi kama Singapore au South Korea. Wakwepa kodi ni maadui wa maendeleo ya jamii na wangefungwa au kutozwa faini kubwa sana !

    • @iamnormal8648
      @iamnormal8648 2 года назад +2

      Kwani hujawahi kumsikia mtu anayeitwa John Pombe Magufuli?

    • @nitumesokoni3164
      @nitumesokoni3164 2 года назад +2

      Unajua nin kuhusu Tanzania wew. Baki hukohuko Ulaya ila punguza dharau. Hivi unajua kodi ya TRA ni asilimia ngapi ya faida na huko Ulaya ni asilimia ngapi? Kwa taarifa yako huku Afrika ukisema uwe loyal kwa mamlaka kwenye ulipaji wa kodi huambulii kitu. Kwa faida gani zinazopatikana katika bidhaa za dukani unaweza kutoa income tax ya asilimia 30 kwa mwaka

    • @cosmasmkinga296
      @cosmasmkinga296 2 года назад

      @@nitumesokoni3164 Ulaya Kodi ya Mapato inafika mpaka 45% huko Spain

    • @poncan1133
      @poncan1133 2 года назад +1

      We unajua umaskini mbwa wewe!!!

    • @chepason7212
      @chepason7212 2 года назад

      We maku tu hujui chochote wasenge Hawa wanaonea watu

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 2 года назад +2

    Sawa lakini munataka watu wange wake nyumban mutapata ata iyo kidg

  • @igobekojoshuogyyouamagessa630
    @igobekojoshuogyyouamagessa630 2 года назад +8

    TRA hivi nyie mlishafanya hata biashara ya kuuza nyanya? Achane kuonea watu

  • @mariasalumu474
    @mariasalumu474 2 года назад +3

    Yaani mumeanza kusumbua wafanya biashara

  • @leinaamos
    @leinaamos 2 года назад +1

    Changamoto kubwa tuliyonayo sisi watanzania hata Utawala wetu wa juu siyo wafanya biashara hata hawajui biashara ndiyo maana tunajikuta tunaingia kwenye matatizo makubwa ya kibiashara fikiria nchi za wenzetu hata uongozi wa juu kabisa wanachagua mfanya biashara nirahisi kujua,nn kinaendelea kwenye biashara kwa Mfano saiv mfuko wa mbolea ni 100,000 na kuendelea lakini mfanyabiashara huyo faida yake kwenye huo mfuko ni 1,000 huyu mtu akiunza kwa siku mifuko mitano mitano unakuta kwa mwezi ni fedha kubwa Sana ,hiyo ni mtaji siyofaida lakini TRI Akija anaasoma yote anakupigia Hesabu kubwa Sana Wala hajui Kama wewe faida yako hopo huenda Wewe hapo faida yako ni 150,000/kwa mwezi sisi niwatu wachini Sana hata sauti zetu hazifiki kokote Ila sasa wangekuwa wanachukua mawazo kutoka kwa wafanyabiashara hayo hayo mm na amini Kodi ingekuwa inakusanya nyingi Sana Kwa Mfano kila MTANZANIA anatakiwa alipe Kodi lakini wekeni Kodi rafiki kabisa mjasiliamali hata akaambiwa alipe 20,000 kwa mwaka na wafanya biashara wakumbwa ikawa hata 300,000 tu na hawa wahali ya chini 10,000 nakwambia nchi yetu ingefika kiwango Cha juu Sana sasa daaa mshike mshike ya Kodi hatari Sana

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 2 года назад +2

    Shida sio tra shida ni mikopo mikubwa ya selikal sas hzi tahaluk ya kutak nchi isiuzwe

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 года назад

    Mimi sio mfanya biashara lakini ukichukua kodi kwenye mtaji unategemea nini kama sio kufunga biashara unapohesabia milioni kumi ni pamoja na mtaji kwa hiyo akate mtaji alipe kodi au? Nadhani atoe mtaji kwanza halafu faida ndio atoe fungu la kumi hapo na sio kwenye mtaji!!

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 года назад

    Kwan mtaji mlichanga nae au hamjui mfanyabiashara ndo boss wenu.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад

    Sitaki biashara zakufaidisha Serikali. Acha tuu, niendeler kuosha vyombo vya wazungu. Mwisho wa siku tutajua tuu

  • @phalesjoseph6604
    @phalesjoseph6604 2 года назад

    T R A niwasenge tu lione hili lenye miwana

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 года назад

    Upuuuzi

  • @igobekomagessa5463
    @igobekomagessa5463 11 месяцев назад

    Hivi hamjui mtu unaweza kuuza bidhaa ya 10,000,000 kwa faida ya 30,000?
    Halafu wanaojiita wasomi wanapigia Kodi kwa ulichoouza bila kujali faida yake ni shilingi ngapi! Halafu ukiwahoji wanakuambia ndiyo Sheria inavyosema....sema sjafundishwa kutukana ila inakera Sana mtu unalipa Kodi mpka inakula na mtaji wako ,ifike sehemu serikali isaidie watu wake na sio kuwanyanyasa.

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 года назад +1

    TRA hawajui ugumu wa biashara tunafanya biashara coz hatuna kazi mbadala tuweke Kodi rahisi kwa wafanyabiashara ili tuwe tunaenda kulipa Kodi wenyew

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 года назад

    kodi ipunguzwe wafanyabiashara wanaumia sana

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 2 года назад +1

    Kwani TRA hawawezi kulima au kujiajiri wenyewe?

  • @coisenboy328
    @coisenboy328 2 года назад

    Tatizo Kodi beijuuuu

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 2 года назад +1

    Huo ni wizi wafanyabiashara wanakosea kwa makusudi mno yaan wanafanya mambo kwa uhovyo mno kwakweli

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 года назад

    Duh huy kaisha 😂😂apo akiingia kweny kil kigar kimeandikwa STK utajuta

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 2 года назад +1

    Hapa bongo hakuna kutoboa, ukipigiwa hesabu na Hawa watu, unatamani ukaishi urusau ukrean

  • @jonathankibaha8160
    @jonathankibaha8160 2 года назад +3

    Unaekaje daftari ya mauzo meza hayupo makin na kazi yake hyo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 года назад +1

    mfano mtu anaeuza maji ya jumla kila 8300 anapata faida ya 100 sasa mpigie kwa asilimia 18 au 10 uone kama ajabakiza mavuzi tu

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 2 года назад

    Toeni elimu ya kodi kuanzia mashuleni

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 2 года назад +2

    Wafanyabiashara wa Tanzania si waaminifu, TRA mna kazi kubwa ya kuthibiti wizi huu. Mkiwachekea mtavuna mabua!

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 2 года назад +1

    Sabaya alifanya haya mkampa kesi
    Unfair games rule

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад

    Cheki hilo lenye miwani linajikuta gang star

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 2 года назад

    Hivi umaskin utaondoka kwa Hali hii?

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 2 года назад

    Ninyi tialaei mnao fatilia mauzo niwa baya sana mbona ninyi hatujuwi mana lipwa ngap

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 года назад

    Ni wizi mnaiba bila ktumia akuli mtaji mnajua aliupataje ninyi tra au mnaroloka tu

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад

    Hizo rist ukiziandika wallah TRA utaenda kuoa m1 kwa hiyo m10

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge5192 2 года назад +1

    Mungu wasaidie wafanya biashala wapo kwenye wakati mgumu selikali yetu Kuna sehemu imekosea lakini lawama zoote wanatupiwa wafanya biashala kwa sababu yauloho wakukopa pesa ovyo nakutumia ovyo matokeo ndyo haya wafanya biashala Wana kabwa shingo 🙏🙏🙏😥

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 2 года назад

      Wakatinmhumunkuiibia serikari?. Hivinunajuwa hiyo risitinanaelipia ninmnunuaji? Hao wanataka faida mara mbili zaidi ya mauzo wanayotakiwa kuuza.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 года назад

    Serikali acheni manyanyaso wekeni Kodi zote bandarini na huku mitaani acheni ubabaishaji ni kuwasumbua hata wageni na mjue bidhaa hazina faida kama mnavyodhania ninyi

  • @cathibetmakweta9159
    @cathibetmakweta9159 2 года назад

    Kinachonishangaza mimi watu wa tar hawajawahi kumiliki biashara wao wanajua kukusanya cod tu.

  • @catherineshayocwbp.2093
    @catherineshayocwbp.2093 2 года назад

    Mfweeeh! Hawaa wanajiita tra wanajikuta Mungu watu...Sasa hawaoni duka lilivyokubwa mauzo yalivyomadogo apo Kuna daily expenses faid zake n 500 kwa jero aje akupe tra laki 5 mpka 7 ya Kodi si kuumizana... Hebu hili swala lisifanye kimazoea naomba lifanye kwa uhalisia hao tra msiangalie kauza shngp kokotoenj faid muone kama kwa siku ana retrun ata ya elfu 20000 mnaboaaaa...

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 года назад +1

    Hizo pesa mnazokusanya ni nyingi mbona sasahivi hatuoni miradi ikienda mbio mbio kama wakati wa JPM?

  • @lukiasalum5556
    @lukiasalum5556 2 года назад

    Kodi kubwa sana Hali ni ngumu sana

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 2 года назад +1

    Ndo maana sabaya walimzingizia case

  • @icesue6613
    @icesue6613 2 года назад

    Mashine za Efd msiwauzie watu. Hata Jpm aliwahi kuwaambia. Bora hata huyo katoa Risiti za 1M .

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 2 года назад

    Sabaya aliwabana Leo anasulubishwa mahakamani

  • @michaelamosi1304
    @michaelamosi1304 2 года назад

    mnafuatilia wafanyabiashara wadogo mauzo ya laki 2 na kik kibao kwa nn msiende viwAndani

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax168 2 года назад

    Minor Sana kuthibiti kitu Kama hii,,bidhaa iko juu afu natoaje rist asee siwez ata kidogo ,,mbona king Magu alikusanya vtem tu na watu walilipa at least ninyi mtasubiri xnaa tu

  • @omarjinialy3356
    @omarjinialy3356 2 года назад

    Dubai wnye uchumi wa kibiashara bx vat yake iko chin 2-5% sisi maskin vat 18% wafanya biashara watabak kua na maden t

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 2 года назад

    Yani zile hela za kubangaiza huko nje zilienda wapi tena

  • @khamisishabani3155
    @khamisishabani3155 2 года назад

    LAITI HAWA TRA WANGEJUA CHANGAMOTO TUNAZOPITA WAFANYABIASHARA WASINGEHANGAIKA NA SISI BALI WANGEKAGUA LESENI NA KUONDOKA

  • @nathaliashayo3289
    @nathaliashayo3289 2 года назад +1

    Huu sasa ni unyanyasaji,mbona wanavyofuatilia wananchi wachini ,wasianze nawakubwa kwanza?

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 2 года назад

    Wakome tu maana na wao wanapandisha vitu bei hovyo

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Jamani kumbukeni pia anawafanyi kazi hawa watu ni moto wakimaliza watu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 года назад

    ivi kwani hakuna namna nyingine mpaka rist

  • @happinnesspius9854
    @happinnesspius9854 2 года назад

    Hapo wanataka tu kuchukua ela za mtu alizozipambania mda mrefu haki mtakufa vibaya

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад

    Unfair, wabunge nao walipe kodi jamani

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 года назад +1

    Selekali yaudwanzi tu ilitaka mtu asiuze yani hii nchi dawa kua jambazi tu dadeki

  • @japhetmichael2797
    @japhetmichael2797 2 года назад

    TRA mda wenu nanyi utapita mnavyotendea watu ndivyo mtakavyotendewa.

  • @jeremiahkavakule610
    @jeremiahkavakule610 2 года назад

    Sabaya !!!

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 2 года назад

    Tanzania Nchi yaajabu saana alikamata Sabaya mkamchukia nakumpa kesi

  • @chibelube
    @chibelube 2 года назад

    Wingi wa makato ya Fedha ndio unafanya watu wakwepe Ulipaji Kodi:
    Yaani Ulipe Frame
    Ulipie Hela ya Usafi
    Ulipie Farmigation (Kibali cha Afya)
    Ulipie Service levy
    Ulipie Hela ya Ulinzi
    Ulipie Kibali cha OSHA
    Ulipie Kibali cha TBS
    Nilipie Leseni ya Biashara
    Halafu mnataka mtu Alipe kodi iliyo sahihi mna vichaa nyie.

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 2 года назад +1

    Daaa nyie tra nyie jaribuni kuwa wafanyabiashara sio kuchekelea chekelea Tu

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 2 года назад

    Africa waona ni thulma ulaya unalipa mwenyewe. Kula mwaka sehebu wapeleka zikidi warelejeshewa

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 2 года назад

    Mbuzi hawa wakamatwe. Mimi nilinunua mbao za milioni 2.40 ila listi akanipa imeandikwa milioni 1 .kimbembe anenda site askali wakatubamba uwii sitasahau. Harafu alinishanza akaongeza kesho niilejeshe hiyo listi. Waraaah nilimuachia msala na police wapambane maaana ilibidi apigiwe simu

    • @jaybzo6095
      @jaybzo6095 2 года назад

      Kajifunze kuandika kwanza wewe bwege hamna chochote unachokijua kuhusu biashara unashabikia2 ujinga

  • @faharikhamis1042
    @faharikhamis1042 2 года назад

    Hamjielewi tra kila mahali kodi simmalize kodi yenu uko bandalini uku mtaani mnaandaa mazingira ya rushwa tu jamani

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 года назад

    Zile ofisi zenu mnazomiliki vp zimenyooka

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey 2 года назад

    Huwezi kuwa mwaminifu Tanzania wakati unaona wakubwa ndo wanakula pesa choo kinajengwa kwa milioni 50 huwezi kuwa mwaminifu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    TRA wanatakiwa wakae na wafanyabiashara ili wajue changamoto za wafanyabiashara

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 2 года назад

    Daftari sio mali ya mamlaka ya mato. Chagua risiti basi. Wewe mshaharawako ni shilingi ngapi?

  • @mazengopeter8691
    @mazengopeter8691 2 года назад

    Maendeleo ayata kuja hapo lazima afilisiwe

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 2 года назад

    Enyi wafanyakazi wote hasa wa T R A Kwamoyowangu waupendo wadhati kabisaa kwenu Napenda kuwashauri yakwamba inatakiwa mtambue kua baada yakaz zenu hua kunamaisha yanaendelea hvo jitahdin saaana kuepuka rawama, migogoro nawafanya biashara na nk. Badala yake taften njia ambayo nirafki ambayo hata mfanya biashara atarizka na kukuona wewe ni binadam mwema. Ili kuepuka Vita visivyo vya razimaa
    Maaana huyo mlie mfanyia hvo leo unadhani atajenga kitugani katika mfumowake wa akirii??? Tafakarin saana Kisha mchukue hatua

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 года назад

    viongoz wenyew ndio weZi wakubwa

  • @geoffreyssempijja7780
    @geoffreyssempijja7780 Год назад

    Hivi hizo laki tatu nifaida kwa cku au nimauzo yote kwaujumula

  • @sebastianshija940
    @sebastianshija940 2 года назад

    Hawa ni kuwakata mapanga tu wanaleta usenge

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 2 года назад

    Duuuu

  • @sabrinamakunjalilah1438
    @sabrinamakunjalilah1438 2 года назад +1

    Unaboa unatumalizia bando zetu na hiyo minamba yako inayoanza kujihesabu

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 года назад

    Punguzeni kiwango chamakato kuepuka haya

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey 2 года назад

    Yaani mnatamani kugawana mapato wakati akifilisika mnakaa pembeni ovyo kabisa

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 2 года назад

    Sasa mtamkamataje mtu kwa daftari tu Wala haliko profesion mahesabu yake,halina muhur daftar la mtu Wala sain ,Ni kumbukumbu tu za rough,je aki claim mahakaman sio la kwake mtamthibitishia vp?

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 2 года назад

    Bado uonevu tu

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад

    Halafu mkaguzi mpaka ashuke mtaani kweli mnamaanisha au blah blah tu as usual maana hao wakaguzi wanatumia shiling ngapi kuzurura huo
    Ndio yale yale ya kukata miti kujenga bwawa la umeme kutegemea mvua inayoletwa na nini sijui na misitu mnakata
    Technologia yote hii

  • @mzunguxidde9071
    @mzunguxidde9071 2 года назад

    Hao dawa ni kuwaroga tu

  • @aliybecka5169
    @aliybecka5169 2 года назад +9

    Hawa watu ni wajinga kweli, sasa hata akaandika shilling moja si niya kwake mwenyewe hajaiba, Mimi naona hawa TRA wabadili mfumo ili kuepuka kudhulumu watu, mapato yao wakusanye kwa kuanzisha biashara zao wenyewe, sio kuwatia watu shida mtu hujui wala hutaki kujua anachopata ni mda ukifika kuchukua kodi ile ile auze asiuze ndio nini sasa, hii ni aibu unakaa kukagua mauzo ya mtu kama yako vile au mulisaidiana kutafuta, aibu huu mfumo ubadilike ni aibu aibu aibuuuuuuuuuuuu aaaaaah unamtangazia siri ya mauzo yke hadharani mhhhhhh aibuuuu hats auze ngapi ni zakee heeeeee

    • @nuranzubail8134
      @nuranzubail8134 2 года назад +1

      Utakuwa hujui umuhimu wa kodi , hiyo bidhaa unayouza imefikaje dukani kutoka kwa mzalishaji

    • @issahashimu2593
      @issahashimu2593 2 года назад

      Allah ndo hakimu

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад

      @@nuranzubail8134 ungejua kuna watu wanashindwa kuendelea na biashara kw sbb ya kod kubwa usingesema, faida yote wanachukua

    • @makukamakaveli6581
      @makukamakaveli6581 2 года назад

      Tafuta elimu acha kuropoka kwa vitu husivyovijua mauzo yana effect kubwa sana ktk kodi.

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад

      @@makukamakaveli6581 Punguza uwehu

  • @humayduwe1762
    @humayduwe1762 2 года назад

    Hii nchi aliweza hayati magufuli tu

  • @oscargmosha3108
    @oscargmosha3108 2 года назад +1

    Kosa mnalo fanya nyie TRA Nikufanya makadirio ya hovyo mnawanyanyasa wafanya biashara kila mmoja anania ya kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa. Unapo ona mfanyabiashara ameuza laki tano na wewe TRA unaipigia % 18 je 50000 ndio patolake?je hata mtaji unalipiwa kodi?je 'garama za kujiendesha zinatakiwa pia kulipiwa kodi? Unaweza kuuza milioni ya kwako 20000 tuu

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 2 года назад

      Huu mifumo wa kodi Tanzania bado sijakuelewa kabisa. VAT yaani value added tax ngetakiwa ichajiwe kiwango cha bei iliyoongezeka zaidi ya ile gharama uliyonunulia bidhaa unayouza. Kwa mfano mafuta ya lita 20 ya kupikia ya bei ya shilingi elfu 98 unazauza laki moja. Ongezeko la bei hapa ni shilingi elfu mbili. Sasa inakuwaje VAT 18% ichajiwe shillings laki moja badala ya shilingi elfu mbili?

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 2 года назад

    Local & primitive systems,shame...

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад

    Hebu sie tunaonunua tuacheni mtu tuna mapirika yetu mengi tu msitulazimishe kua tukinunua tuchukue risiti nyie tra mtajuana na wafanya biashars tu sio sisi wanunuzi

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 2 года назад

    😏

  • @nelsonmrema7869
    @nelsonmrema7869 2 года назад

    Broken fucking system!

  • @dicksonmlowezi4222
    @dicksonmlowezi4222 2 года назад

    Makodi yenu makubwa sana na nyie

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 2 года назад

    Mnazingua nyie wafanya biashara wa mamilioni mnamuonea vp hao wamabilioni vp matraffic barabarani acheni hzo bhana ikiwezkna futeni Kodi kwa watanzania wenye mitaji midogo Kama hyo.

  • @leviskahonga3985
    @leviskahonga3985 2 года назад

    Mjinga uyo alionyesha Cha Nini