FIKRA 4 HATARI KWA USTAWI WA MWANAMKE | Deo Sukambi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza FIKRA 4 HATARI KWA USTAWI WA MWANAMKE
    Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    / @deosukambi
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Комментарии • 17

  • @alimakatukwa4014
    @alimakatukwa4014 3 месяца назад +1

    Pasta umenichekesha sana tena sana,haya maneno nikweli kabisa.

  • @aishahakizimana1990
    @aishahakizimana1990 4 месяца назад +2

    "Mkulima hakai shambani"😂😂😂. Ukweli mchunguu sana kwa kweli. Ahsante kutufungua macho pastor. Haya mambo yanatesa wanawak wengi .

  • @JoyceLucas-zk7nv
    @JoyceLucas-zk7nv 4 месяца назад +3

    Hua nakufatilia Sana hatakama so comment. Uko vizuri Kaka kutuelimisha wanawake. Kunasehemu umekosea, umesema hata Mungu hawezi kumbadilisha mwanamume,mh sii kweli. Mungu huondoa moyo wajiwe nakuweka moyo wa nyama. Mimi Nina ushuhuda mkubwa Sana. Sikumfanya mwanaume awe nitakavyo, Bali awe ktk Hali ya utu

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  4 месяца назад +4

      Umewahi kujiuliza kwanini Mungu aliua mamilioni ya watu wake jangwani baada ya kuwatoa utumwani Misri? Kwanini asingewabadilisha tu wawe vile anataka ili asiwaue? Ushuhuda ulionao kuhusu mwanaume mmoja au kumi kubadilika unatokana na utashi wa mwanaume husika kuamua kubadilika na ndipo uwezo wa Mungu hudhihirika na kufanya hilo badiliko..pamoja na kuwa Mungu ana uwezo wa kubadilisha mtu lakini kama mtu hataki kamwe huo uwezo hauwezi kufanya kazi na ndicho nilichokisema kama umesikiliza kimuktadha

    • @hafsahamza9864
      @hafsahamza9864 2 месяца назад

      ​@@DeoSukambi bilashaka, mungu hambadilishi mtu isipokuwa mtu mwenyewe atake kubadilika.
      Vile mtu akiamua kubadilika,ndipo mungu humuongoza kubadilika zaidi.

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 3 месяца назад +2

    Asante Kwa ufafanuzi

  • @ANNASEPHANIA-lg1uj
    @ANNASEPHANIA-lg1uj 17 дней назад

    Point ya tatu imenitouch 😢
    Aloooooh!! Ni hatari tunahitaji msaada wa MUNGU ila pastor ahsante kwa masomo mazuri.Anna from KATAVI

  • @gracemlawa0015
    @gracemlawa0015 3 месяца назад +1

    Daaa ukweli mchungu🙏🙏

  • @hanifakassa4249
    @hanifakassa4249 3 месяца назад +2

    Me napenda unavotusema Pastor 😅😅😅😅😅

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 3 месяца назад +1

    Ha ha haaa uuuui usinivunje mbavu namshkuru Mungu kiasi amenisaidia

  • @mariagervas-ir7xg
    @mariagervas-ir7xg 3 месяца назад +2

    Mwanamke asitegemee furaha kwa mme je mme yeye furaha aitegemee wapi

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 4 месяца назад

    ❤❤❤❤🎉

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 месяца назад +2

    Mwamba umenyookaa......😂😂😂

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga4934 3 месяца назад

    Hiiiii hiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂 nimekumbuka mjomba magufuli

  • @hafsahamza9864
    @hafsahamza9864 2 месяца назад

    😂 wafinyanzi!!

  • @salomemwakilima421
    @salomemwakilima421 4 месяца назад

    😂😂😂😂