FIKRA 4 HATARI KWA USTAWI WA MWANAMKE | Deo Sukambi
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza FIKRA 4 HATARI KWA USTAWI WA MWANAMKE
Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
/ @deosukambi
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Pasta umenichekesha sana tena sana,haya maneno nikweli kabisa.
"Mkulima hakai shambani"😂😂😂. Ukweli mchunguu sana kwa kweli. Ahsante kutufungua macho pastor. Haya mambo yanatesa wanawak wengi .
Hua nakufatilia Sana hatakama so comment. Uko vizuri Kaka kutuelimisha wanawake. Kunasehemu umekosea, umesema hata Mungu hawezi kumbadilisha mwanamume,mh sii kweli. Mungu huondoa moyo wajiwe nakuweka moyo wa nyama. Mimi Nina ushuhuda mkubwa Sana. Sikumfanya mwanaume awe nitakavyo, Bali awe ktk Hali ya utu
Umewahi kujiuliza kwanini Mungu aliua mamilioni ya watu wake jangwani baada ya kuwatoa utumwani Misri? Kwanini asingewabadilisha tu wawe vile anataka ili asiwaue? Ushuhuda ulionao kuhusu mwanaume mmoja au kumi kubadilika unatokana na utashi wa mwanaume husika kuamua kubadilika na ndipo uwezo wa Mungu hudhihirika na kufanya hilo badiliko..pamoja na kuwa Mungu ana uwezo wa kubadilisha mtu lakini kama mtu hataki kamwe huo uwezo hauwezi kufanya kazi na ndicho nilichokisema kama umesikiliza kimuktadha
@@DeoSukambi bilashaka, mungu hambadilishi mtu isipokuwa mtu mwenyewe atake kubadilika.
Vile mtu akiamua kubadilika,ndipo mungu humuongoza kubadilika zaidi.
Asante Kwa ufafanuzi
Point ya tatu imenitouch 😢
Aloooooh!! Ni hatari tunahitaji msaada wa MUNGU ila pastor ahsante kwa masomo mazuri.Anna from KATAVI
Daaa ukweli mchungu🙏🙏
Me napenda unavotusema Pastor 😅😅😅😅😅
Ha ha haaa uuuui usinivunje mbavu namshkuru Mungu kiasi amenisaidia
Mwanamke asitegemee furaha kwa mme je mme yeye furaha aitegemee wapi
❤❤❤❤🎉
Mwamba umenyookaa......😂😂😂
Hiiiii hiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂 nimekumbuka mjomba magufuli
😂 wafinyanzi!!
😂😂😂😂