UFUNGUZI WA LIGI (ALEXIA SUPER CUP 2024)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Jumamosi ya tarehe 22/06/2024 Mbunge wa Jimbo la Mbagala Mheshimiwa Abdallah Chaurembo alizindua rasmi ligi ya vijana iliyoandaliwa na hospitali ya Alexia kwa kushirikiana na wadhamini mbalimbali. Ligi hii inahusisha timu 16 kutoka wilaya tatu tofauti ambazo ni Temeke, Kigamboni na Mkuranga. Mashindano haya yanatarajiwa kuinua vipaji, kujenga mahusiano mazuri na kuboresha afya. "Alexia Super Cup 2024, tukutane viwanjani"

Комментарии •