- Видео 23
- Просмотров 19 192
Alexia Hospital
Танзания
Добавлен 7 ноя 2019
Private Hospital
Located at Toangoma - Dar-es-salaam
24 hours services
Home Services
Social Medias: Instagram, Facebook and Twitter @alexiahospital
Email: info@alexiamedical.co.tz
Mobile: +255 655 842 339 or +255 677 016 818
Located at Toangoma - Dar-es-salaam
24 hours services
Home Services
Social Medias: Instagram, Facebook and Twitter @alexiahospital
Email: info@alexiamedical.co.tz
Mobile: +255 655 842 339 or +255 677 016 818
ELIMU YA SARATANI YA MFUKO WA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CANCER)
Daktari bobezi wa kina mama (Dr Agust Kitange) anaelezea dalili, visababishi na viashiria vya saratani ya mfuko wa mayai. Na nini wajibu kama mwanamke ili kujilinda dhidi ya saratani hii
Просмотров: 10
Видео
MZEE WA ALEXIA
Просмотров 1321 день назад
Wazee ni nguzo ya jamii, ndio maana tumewaletea huduma za afya kwa bei ya punguzo. Matibabu sasa ni nafuu kwa mzee wa Alexia, karibu tukuhudumie
MWANAFUNZI NA ALEXIA
Просмотров 421 день назад
Hospitali ya Alexia imeleta matibabu kwa bei ndogo sana kwa wanafunzi wote hadi miaka 18. Mwanafunzi yeyote anaweza kuja hospitalini kwetu na kupata matibabu kama fast track na kwa bei ya punguzo. Lengo letu ni kuhakikisha mwanafunzi anapata tiba sahihi na haraka na kuweza kurejea masomoni. Ewe mzazi, usiogope kumleta mwanao hospitali kwa kuogopa bei, tuko teyari kukuhudumia.
MECHI HATUA YA MAKUNDI
Просмотров 682 месяца назад
Alexia Super Cup inaendelea na bado tuko hatua ya makundi itakayotuwezesha kupata washindi wa kwenda robo fainali. #michezo #afya #football
UFUNGUZI WA LIGI (ALEXIA SUPER CUP 2024)
Просмотров 382 месяца назад
Jumamosi ya tarehe 22/06/2024 Mbunge wa Jimbo la Mbagala Mheshimiwa Abdallah Chaurembo alizindua rasmi ligi ya vijana iliyoandaliwa na hospitali ya Alexia kwa kushirikiana na wadhamini mbalimbali. Ligi hii inahusisha timu 16 kutoka wilaya tatu tofauti ambazo ni Temeke, Kigamboni na Mkuranga. Mashindano haya yanatarajiwa kuinua vipaji, kujenga mahusiano mazuri na kuboresha afya. "Alexia Super Cu...
ELIMU YA UGONJWA KIPINDUPINDU KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KONGOWE
Просмотров 343 месяца назад
Madaktari na wahudumu wa hospitali ya Alexia wanaendelea na utoaji elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi za wilaya ya Temeke ili kuwawezesha kujilinda wasipate maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu. Lengo ni kufikia wanafunzi wasiopungua 15,000. Afya yako ni mtaji wako #afya #hospital #wanafunzi
ALEXIA SUPER CUP (MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA VIJANA)
Просмотров 864 месяца назад
Katika kuendeleza mahusiano tuliyo nayo na jamii na vijana kwa ujumla sasa tumekuja kivingine, ALEXIA SUPER CUP - TUKUTANE VIWANJANI. Tumetoa nafasi ya timu mbalimbali kushindana kwenye mpira wa miguu, hii yote ni katika kuimarisha afya, kutengeneza mahusiano na kukuza vipaji. Hii ni kwa timu zote zilizopo wilaya ya Mkuranga, Temeke pamoja na Kigamboni, wote mnakaribishwa
VIP OUTPATIENT SERVICES (HUDUMA ZA KI-VIP KWA WAGONJWA WA NJE)
Просмотров 1474 месяца назад
Hospitali ya Alexia imeleta huduma ya VIP consultation inayomuwezesha mgonjwa kupata matibabu akiwa katika mazingira yale yale bila kusumbuka hadi atakapomaliza, huduma hizi zitatolewa kwa haraka (fast track) sambamba ya vinywaji baridi na viburudisho vingine (entertainment). Tumedhamiria kukupa kilicho bora, karibu tukuhudumie #afya #hospital #vip
ALEXIA STAFF END OF THE YEAR PARTY
Просмотров 2108 месяцев назад
It was a night of fun and enjoyment for the management and staff of Alexia Hospital as we mark the end of the year 2023. We look forward to the next year 2024. Happy new year 🎊
DONATION ''HATUA INITIATIVE'' WITH GETRUDE MWITA
Просмотров 519 месяцев назад
Hospitali ya Alexia imeendelea kuungana na jamii katika mambo mbalimbali. Awamu hii tumeunga mkono jitihada za @GetrudeMwita kusaidia vijana (wanafunzi) wa mkoa wa Mara nchini Tanzania kupitia programu yake ya @hatua_innitiative kwa kuchangia jezi pamoja na mipira ili kuwawezesha kuboresha afya na kukuza vipaji.
MZUNGUKO WA HEDHI
Просмотров 22211 месяцев назад
Kutana na daktari bingwa wa akina mama (Dr Kitange) akielezea kwa kina kuhusu hedhi. Kuanzia kuvunja ungo, kupevuka mayai, mwanamke kupata siku zake nk
HOSPITALI YA ALEXIA, BENKI YA EQUITY NA WANANCHI WA TOANGOMA KATIKA ZOEZI LA USAFI
Просмотров 54Год назад
Katika kuhimiza usafi wa mazingira kwa afya bora, hospitali ya Alexia ilishirikiana na wananchi wa Toangoma siku ya Jumamosi ya tarehe 24/06/2023 kwenye zoezi la usafi wa kata yao. Pia lilitolewa agizo la kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi na aliyekua mkuu wa wilaya ya Temeke Mh Mwanahamisi Athumani Mumkunda. Tunashukuru wote walioungana nasi kulifanikisha zoezi hili, tunaamini lita...
CSR: Neema Ministries in collaboration with Alexia hospital
Просмотров 12 тыс.Год назад
Jumamosi ya 03/06/2023 Hospitali ya Alexia iliungana na NEEMA MINISTRIES na NASIMAMA NA BINTI kutoa misaada ya taulo za kike, neti, jezi ya mipira na mipira kwa kaya zenye hali duni na klabu za michezo kwa vijana. Tunatoa shukrani za pekee kwa NEEMA MINISTRIES kwa kutushika mkono na kufanikisha zoezi hili
KUNAWA MIKONO KIUSAHIHI
Просмотров 28Год назад
Kunawa mikono kiusahihi kunaweza kukuepusha na maradhi mbalili mfano kipindupindu na maradhi mengine
Huduma ya Kutibu Homa ya Nyongo ya Manjano kwa Kutumia Phototherapy
Просмотров 172Год назад
Huduma ya Kutibu Homa ya Nyongo ya Manjano kwa Kutumia Phototherapy
Happy 8th anniversary Alexia Medical. Happy birthday Alexia hospital
Просмотров 382 года назад
Happy 8th anniversary Alexia Medical. Happy birthday Alexia hospital
Alexia Emergency Response Unit (AERU) Huduma ya Usafiri wa dharura ya kimatibabu
Просмотров 442 года назад
Alexia Emergency Response Unit (AERU) Huduma ya Usafiri wa dharura ya kimatibabu
Mnapatikana maeneo gani naitaji Juno doctor
@@PraxidesNelima tupo toangoma dar es salaam
Bei gan
@@SaudaJumanne-z5z habari, inategemea unaweka jino gani
Mnapatikana wap na namba zenu
@@LucyMathew-u9n tupo toangoma dar es salaam, mawasiliano ni 0677016818
Naomba namba zenu ninauhitaji
0677016818
Mnapatikana wapi?
tuko toangoma, wilaya ya temeke mkoa wa DSM
Maswali mengi hakuna majibu hawako makini na kaziyao
ulikua na swali lipi?
dactari nina uhitaji wa meno mnapatikana wapi tafadhalo
Habari, tupo Toangoma wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam
Hayo ya kuvaa mojakwamoja umetaja.material tofauti vp material yote yatakuwa bei moja
karibu uonane na daktari ili ashauri nini kitafaa na gharama yake
Na magego yanapatikana mana kalibu nitakua kibogoyo
habari, unataka kuweka jino zima la bandia au kujaza?
Ubarikiwe doctor Mgutu
Congratulations
Teacher MGUTU
Tukutane viwanjani
🔥
Sawaaa na ambulance ziwepo uwanjani
❤
🔥
👍🙏
Mim meno yangu yametoboka mawili mnasilibia sh, ngapi
habari, tunashauri uonane na daktari kwanza maana ukubwa wa tatizo unasaidia kujua aina gani ya matibabu yatakua sahihi
Tupe mawasiliano
0677016818, karibu tukuhudumie
Alexia hospital iko wap?
tupo Toangoma Dar es Salaam, karibu
naomba namba zenu
0677016818, karibu tukuhudumie
naomba namba zenu
namba ni 0677016818
@@alexiahospital1739kaka unapatikana wp
Je hayo meno yanaluhusu ktafnia?
habari
salama, karibu tukuhudumie
Mnapatikana mkoa gan no za sim
habari, tuko mkoa wa Dar es Salaam, namba ni 0677016818
Dokta
karibu tukuhudumie
Dactari sasa mbona watsap haupatikani?
habari, tunapatikana kwa 0677016818
Docter eu não tenho dentes d frente está quanto por cada?
Jino moja linabeigan
jino la kuvaa na kuvua ni 50,000 na jino la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie
Nahitaji namba
@@AgredaMoyo 0677016818
IPO mkoa gan
Habari, tuko mkoa wa Dar es Salaam, Temeke-Toangoma
@@alexiahospital1739 umesema hayo ya kuweka mojakwamoja yapo material aina mbili vp bei yake itakuwa moja pia .na vp je?ukishaweka kunakuwa na cliniki ya kubadilisha baada ya mda flan:au ukishaweka ndo bas hayatakusumbua wala.kumuona docter tena msaada tafadahli
🙏
Mawili shingapi
100,000/= Kila jino moja ni 50,000/=
Likiwa limekatika
kama unauliza huduma ya meno bandia kwa jino lililokatika, inategemea. Nakushauri ufike hospitali kuonana na daktari kwa ushauri na maelekezo zaidi
Meno bandia matano ya kuvaa na kuvua nj bei gan
Gharama ni 250,000 jumla. Karibu tukuhudumie
Mpo wapi dr
tupo toangoma, dar es salaam. Karibu
Me naitaji jino moja la juu mbele ya kinywa bei gani
inategemea, la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie
kuna la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000
Docta mmi naomba unijibu Mimi jino langu la mbele la juu limevunjika je? Naweza kupata jino la kuvalisha kwa juu Bila kuling'oaa? Maana halijaozaa
habari, ndio inawezekana kupata jino la kuvalisha. Karibu tukuhudumie
ndio inawezekana kupata jino la kuvalisha bila kung'oa
Mpo wapi na hospitali inaitwaje? Pia naomba no za cm mi nashida nawapataje,?
❤❤❤
jino bandia lakudumu kiasi gn au inategemea na matirial
kuna la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000
Mnapatikana wapi mimi yambele yote itakua shingapi
Tuko Toangoma Dar es Salaam, karibu uonane na daktari kwanza ili ashauri matibabu sahihi
Nataka jino la bandia la mbele jmn ni sh ngp@@alexiahospital1739
wema kitu roho ina penda sema mm nipo tiar kivio viote tu kwako nakupenda my love
Iko wap hii hospitor
Habari, tuko Toangoma mkoa wa Dar es Salaam
@@alexiahospital1739 duuh sipajui aiseh Mimi nipo kimara ninamtoto wangu anaweek mbili tangu azaliwe Ila naona macho yake yana unjano kwambali je naweza kuja kupata huduma yakuwekwa kwenye mwanga au niendlee kumpa maziwa kwa mda
@@MariaMaria-rg9fi Huduma ya kuwekwa kwenye mwanga ipo, karibu uonane na daktari kwa namna nzuri ya kumsaidia mwanao
Naomba namba yako tuwasiliane tafadhali
@@MariaMaria-rg9fi 0739842339
Bei ya kila jino
100,000 kwa jino moja la moja kwa moja
Wema
Hongera ALEXIA HOSPITAL kwa kuhamasisha usafi na kushiriki kusafisha maeneo yetu ya TOANGOMA
Bei siyo rafiki
Ninashida na meno ya bandia yambele ma nne ni bei gani?
100,000 kwa jino moja la moja kwa moja
Ilove wema
Pure love❤
Thanks Doctor