BENSON KIGAILA AUWASHA MOTO KITETI AWATAKA WANCHI KUZIKA MSIBA WA CCM KUANZIA SERIKALI ZA MITAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 7

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 2 месяца назад

    Masalamaki Kigaila Benson Nampenda Sana Huyu Kamanda

  • @kamugishaerneust6672
    @kamugishaerneust6672 2 месяца назад

    Naomba wanaopiga picha za mikutano wawe mahiri na umakina na kazi zao tumetoa maoni ila bado halizingatiwi

  • @christopherpaulo9490
    @christopherpaulo9490 2 месяца назад

    Jana hanang tumekosea sana, kigaila angeandaliwa mkutano wa nje angeongea na wananchi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

    • @imanmodern
      @imanmodern 2 месяца назад

      Umalaya huo kucheka cheka

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 2 месяца назад

      Mbali ya hayo Botswana Wana Kinga maji ya nvua toka January mpaka January mwaka mwingine Hawana mito lakini Wana ishi kutumia maji ya nvua tuu Hawana mito jee sisi miaka 60 ya uhuru mpaka Leo tuaangaika maji ndani ya mito mingi nchini huo ndio ujinga wetu wa kiafrica akili ya panzi kusafisha macho muda wote lakini mavi toka shingoni.mpaka mkiani lakini hatosheki Kula ndio wenzetu ccm wanatangazia Dunia njooni muwekeze shida ya maji nchi nzima utawala mbovu serekali lmejaa rushwa matatizo makubwa kwa watanzania kunyanganywa arizi kwa nguvu Sasa muwekezaji gani ataona yuko salama nchi lnayoburuza wananchi wake km wafungwa wao wageni watakuwa salama