ZITO KABWE NA HAMAD RASHID WATOA MAONI KUHUSU UCHAGUZI WA KENYA ULIVYOFANYIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ZITO KABWE NA HAMAD RASHID WATOA MAONI KUHUSU UCHAGUZI WA KENYA ULIVYOFANYIKA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 58

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 2 года назад +1

    Thank you sir

  • @bravohbravine8742
    @bravohbravine8742 2 года назад +1

    Ruto 💛💛💛 our 5th president of Kenya 🇰🇪

  • @ventojose
    @ventojose 2 года назад +3

    Zilikuwa sahihi baba, it was just difference of decimal point and it was been rounded off

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад

    Mmmmmh kenya haijawahi kumuacha mtu salama,

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 2 года назад +3

    Tanzania...jeshi la polisi na vyombo vingine via utawala huji husisha sana.

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 2 года назад +2

    Odinga Hana washauri Uhuru na Ruto wamemchezea huyu mzee mm nilijua before Kenyatta anazuga kumuunga mkono Odinga

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 2 года назад

      Kweli wakikuyu sio watu wa kuwaamini kabisa

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 года назад

      yaani umefikiri kaama mm ata mm nilijua hilo ili ionekane anamsapoti wakatengeneza zengwe doogo

    • @simonmwandu2214
      @simonmwandu2214 2 года назад

      Umefikilia kama mie mzee angesimama yey na Cham chake bila kuungwa mkono serikal

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +1

    Ameshindwa hata afanye nini yeye kila siku kura kaibiwa acheni mtoto wa maskini na ni muuza kuku ashinde raila odinga kwaheri grip zake toka kwa uhuru kenyatta kazi ilikuwa ni ile ile kupinga matokeo asiye kubali kushindwa si mshindani

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 2 года назад +4

    Hakuna fujo tena Kenya …Wananchi tumejifunza the hard way

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад

      Uchaguzi ni mpira wa kona hautaacha kugombaniwa. Kenya na Tanzania kila nchi inalo la kujifunza kwa mwenzake. Tanzania haijawahi kutokea Afisa Uchaguzi kuuwawa Kenya imetokea.

    • @dastonamichaels1854
      @dastonamichaels1854 2 года назад +1

      Aaah bwana usilinganishe tz na Kenya kabisa kwa uhuru wa wana tume ya uchaguzi pkease do t even start,Tz is a banana republic

  • @angle3600
    @angle3600 2 года назад +3

    Wakenya wanaogopa vurugu ndio maana, hawakutoka

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 2 года назад +4

    Reila Ondinga ndio rais kenya

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 года назад

    Wanasiasa wakitanzania waongo uchaguzi imemalizika salama vipi wakati kunashida na mgombea mmoja kakataa ushindi wa mwenzake au mnadhani sisi hatufatilii kinacho endelea.

    • @enezermwafrica7443
      @enezermwafrica7443 2 года назад

      Huyu Zitto ndio hamna kitu kabisa! ameshindwa hata na Hamad Rashid🙅🙅

  • @christopherochieng2518
    @christopherochieng2518 2 года назад +1

    Wewe ujui kenya nyamaza

  • @michaelmotika4477
    @michaelmotika4477 2 года назад +2

    Usiongee fedha ongea tume huru na vyombo vya usalama visiingilie kushambulia raia

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад

      Panapoingia fedha uhuru unaouzungumza hautakuwepo.

  • @magellasaid3693
    @magellasaid3693 2 года назад +1

    Siku zte anaeshindwa hulalamika hasa kwetu afrika na hata Amerika pia Trump alilalama kuibiwa pia. Lkn kuna kitu wapinzani wetu hawajifunzi hapa, pmj na kilio cha tume huru na katiba mpya ambavyo ni muhimu sn bado watz wengi hawaijui hata hii katiba iliyopo, wakipiga kelele kuhusu katiba ni wachache sn tunaoelelwa, wapinzani mnatumia muda mwingi sn kuikosoa serikali mitandaoni mkifikiri ndio njia ya kuitoa CCM madarakani tutasubiri sn. Ruto alifanya kazi sn mpk kufika hapo alipo, karibu kila mwezi alikua akienda mlima kenya na maeneo mengine mengi kujijenga kwani alijua kazi iliyokua mbele yke, alijitolea kusaidia wakenya nje na kazi yke ya umakamu mpk Uhuru alipiga kelele kuwa sisi tunafanya kazi wenzentu wanafanya kampeni, pia rais wa Zambia nae alijitolea kusaidia huduma za jmii nae akashinda. Sasa wapinzani wetu hapa ni ubabaishaji tu huwezi kuitoa CCM kwa mijadala ya mitandao, wkt mnapata ruzuku mil 320 kwa mwezi mlikula na wake zenu hata ofisi mlishindwa kujijengea, hebu badilikeni tumieni rasilimali zenu kuwekeza kwa watz maskini kaanzieni chini huko watu wana kero ndgo ndogo nyingi ambazo mnaweza kabisa kuzitatua huku mkijijenga kuliko kupiga mboyoyo mitandaoni tu hii ili mpate huruma ya watz ambao kwa akili zenu mmetufanya ni mtaji hii inaonyesha kbs kuwa nyie ni wezi na CCM ni majambazi, mwizi akipanda daraja huwa jambazi hivyo na nyie mkiingia madarakani ni walewale tu wachumia matumbo!

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 2 года назад

      Magella Said big Up Point nzito shida mija hawajitambui Sana wapinzani kazi yao makelele mengi utendaji 0

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @maureenstuvel6205
    @maureenstuvel6205 2 года назад +1

    Nyie wenyewe mwataka kenya yetu iyende bibaya sikis nyie wstazania mwafikiria uhuru mbona hamupa hogera kwahivyo mbweha namwezako komeni

    • @enezermwafrica7443
      @enezermwafrica7443 2 года назад

      Hili Kabila fulani likae Ikulu tuuu hata hajashinda... na kumnyima Haki alieshinda kisa ni Kabila fulani.. kwa kweli ifike Mwisho! Kenya Tuamke tumelala sana!😑😑😑

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 года назад

    We Zitto mbona unaleta Double Standard tena!🤷 Mwangalizi wewe hukuona Kura nyingi vile hazikuhesabiwa mpaka Tume ikagawanyika?!🤷 Umefeli Kaka🙅🙅

  • @dzunyasuleiman7057
    @dzunyasuleiman7057 2 года назад +1

    Hiii kenya ni yetu watanzania fateni maisha yenu unampongeza muuwaji wewe mzee hamadi Acha ujinga

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 года назад +1

      Ni kweli kabisa. Uchaguzi wa Tanzania huwa hata vyombo vya habari havipewi nafasi ya kuchungulia. Sasa kiherehere kwa nchi isiyo yako kinatoka wapi !! Huyo Hamad Rashid ni mbabaishaji tu.

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад

      @@richardnganya2311 sio sahihi unapotosha mbona vyombo viliripoti vingi tu Kama Mimi hata matokeo ninilyapata live kwa mtandao

  • @kakakakabeka624
    @kakakakabeka624 2 года назад

    Wewe achakuingilia ruto ni mwizi sugu wewe ndo mgeni kwako Fata ya kwako.

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +1

    ruclips.net/video/VDd5e2iuZhU/видео.html
    DAWA YA KUMFUNGA MUMEO WAKO ASIOE MWANAMKE MWINGINE.*#...*# ruclips.net/video/VDd5e2iuZhU/видео.html

  • @merekwangujati158
    @merekwangujati158 2 года назад

    Acheni Ukabila bhana , jamaa kapitwa ila je , kasha wahi acha bila kupinga???

  • @moriskaiyongi9579
    @moriskaiyongi9579 2 года назад

    Ruto,tosa,sisi,wakenya,tumesokesoa,na,awa,jamaa,

  • @thekennedy2002
    @thekennedy2002 2 года назад +4

    Tunaenda kurudia election that's it

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +1

    ruclips.net/video/VDd5e2iuZhU/видео.html
    DAWA YA KUMFUNGA MUMEO WAKO ASIOE MWANAMKE MWINGINE.*#...*# ruclips.net/video/VDd5e2iuZhU/видео.html

    • @michaelmotika4477
      @michaelmotika4477 2 года назад

      Huna lolote danganya wajinga wenzio eti dawa wewe unajua dawa?

  • @angle3600
    @angle3600 2 года назад

    Ufisadi Ufisadi Ufisadi kenya

    • @reaganleina7510
      @reaganleina7510 2 года назад +1

      that is what tanzanians has ever put in their minds over years!!!! mtashangaa!!

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 2 года назад

    ww n mpizani w chama cha com sio ?254

  • @michaelmotika4477
    @michaelmotika4477 2 года назад

    Wewe Hamad mbona hata Tanzania hawajiotokezi na wewe hujawahi zungumzia Hilo?

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 года назад

      Hamad anatafuta umaarufu tu. Kujipendekeza tu. Huku Zanzibar dhuluma kibao na hasemi.

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 2 года назад

    Kweli kabisa bila hela Kenya hupati kiti chochote

    • @millymilly7244
      @millymilly7244 2 года назад

      Wooriskia wapi

    • @michaelmotika4477
      @michaelmotika4477 2 года назад

      Wewe wa wapi Kuna viti vya bure

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад

      @@michaelmotika4477 Tanzania hata ukiwa fukara Kuna nafasi nyingi za kugombea mi nimeshuhudia madiwani wengi tu hata nauli ya kusafiri kwenda kwa kampeni hana anapand baiskel na anashinda tofauti na Kenya Kenya ipi kibepari Sana masikini huna chako

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 года назад

    😎😎😎

  • @MrWindrop
    @MrWindrop 2 года назад

    Hamad Rashid is not seem to be as a honest politician

    • @hassanmvungi8481
      @hassanmvungi8481 2 года назад

      Judge Paulsen doesn’t know the different between opinions and honest