😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️Steve bn kazi unayooo.....eti huchezii mpiraa havikusaidii jamani umekuja kuchukuwa utajiri sasa tena wanakuitisha pesa 😄😄😄😄😄😄😄umeendaa kuibaa sim ya mama mdogo nasim kisha utajiri Haha etii gazi vipii😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄 umeoshwaaaa bila sabuni
😂😂 so real, very common in Kanairo, once conned in a high end Nairobi surbub by a "househelp" playing so dumb, nilinyoroshwa na fake sterling pounds...
Steve naipenda kazi yako kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 comedy yako ni nambari moja east Africa🔥🔥🔥🔥🔥
Hatar
Kazi safi sana jamani 254
Padii
😜🤣
Kiosks snewk😮sasnne a nwkamnaaa kwa sms
Seme
MammmemoJ
Nawakemea kwa jina la yesu wamao nunua vidole na wanaouza jua utajiri anao mungu tu hizo ela hazifai utakuwa kilema bure
Dah kila nmekukubar hahahaha et ntakupga mibanz
Hahahaaa😃🤣🤣Hongera sana steve Kama mtu haipendi kazi yako mchawi big up bro..💪
Utfrd
@@uwezokashindi7638 q.
Wtf...so @Peter jongera you just gonna call people wachawi juu hawapendi content ya Steve?!surely watu si mjiekee some comments
Nakupenda ww kaka unanifurahisha sana
❤
Hii video ya vidole imeenda shuleee!...Big up Steve umepata shabiki mpya!💙✊💙
I cant imagine Steve can think beyond this..kufikiria kwa namna hii kwahitaji kukomaa..hongera kaka.."ati nibaki tu navidole3 maana sichezi mpira"
😂😂😂
Matajiri wenzaangu nawasemeshaa😂🤣😂🤣😂
Hilo jacket Steve ni lakitambo!!kkkk
Nzuri saana , inaleta ucheshi na funzo ya tamaa mbelee maiti mbelee
Steve the legendary master don king !!!!
🤣🤣Steve hongera sana kimaro nae namuona kwa foleni hapo anataka utajiri alaaa😂😂😂😂
acha tu😂
Htr mmhu
@@ibrahimmatto1050 nzurifogo
Muwe mnawaambia watu kuwa million mia ya zambia ni sawa na elfu 20 ya Tanzania
Vidole vinakatwa Zimbabwe 🇿🇼 na sio Zambia 🇿🇲
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️Steve bn kazi unayooo.....eti huchezii mpiraa havikusaidii jamani umekuja kuchukuwa utajiri sasa tena wanakuitisha pesa 😄😄😄😄😄😄😄umeendaa kuibaa sim ya mama mdogo nasim kisha utajiri Haha etii gazi vipii😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄 umeoshwaaaa bila sabuni
Bora kutoa mafuzo mapema maan matapeli yataingia muda c mrefu
Steve wewe nimkali sana nakuku bali sana Niko Congo sud Kivu uvira
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Big up Steve
Shukrani steve kazi nzuri hongera saner 🙏♥️
Nawatakuja kweli bongo mna tabiya yenu hataki yakuyasikiya mwataka yakuyaona
Walah.... nimecheka Kwa saut had nimejamba 😆😁
Hii inaitwa no stress 🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaaa mbavu zangu kumbe ni kiki hizo
Pamoja sana republic of buza
Kkk utatuuwa brother!!!
Dogo Nakushauri Ukipata Hela Urudi Shuleeeee 😀😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂 Heti sichezi mpira, hazinisaidii 😂🤣🤣
Hahahaha Kazi Nzur Sanaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀🙌
Yani.stevu.apo mmepatia.kucheza.ii.comed.hongeren.sana
Very nice Steve brack
Kija kalia kama Ambulance😁🤣
Kazi mzuri sana kaka steve
Wakwanza warundi tujuwane🇧🇮🇧🇮😂😂😂
Vip
Ndio tushajuana mwengu
🇧🇮💪
bwomuli Kigali Rwanda tumenyane
Uko vizuri nitakupataje
😂😂
Mung aninusurusu bora nife masikn kuliko kukwatwa kidole changu
Aya niwe mkweli watatu leo nimewa lice nilio wakuta mm je like zenu ata mbili naombeni 👍
Hongera sana Steve 🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😅😅😅😅😆 pole sana steve
Nitumie namba yako
Kazi mnayo 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Nashukuru Stive nimecheka sana nimeongeza siku za kuish walah
☺☺😂😂😂 aaaah mii sitaki buan 🙌🙌
Jameni mje Kenya wauzaji wengi wapatiana matatizo kila mahali😂😂😂😂
Video nzuri kabisa
Vinakaz gan kwn
Steve iyo Kali
Nimecheka adi nimeliya🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera steve ua de best one in tz
🤣🤣🤣🤣big up bro umetisha kinomaaa🤓🤓🤓
Hapo kwenye jicho baya steve🤣🤣i lov u🥰
Unaweza kabisa
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣waa pesa soda inapoesha
Kkkkkkk nawapenda sana kutoka Zambia!!
Hahahahaha Eeee God Mungu akubariki Stive eti dole gumba wanalipa shingap hiyo yote uoga tu hahah
Huo ni umasikini kununua vidole hee 🤣🤣🤣
Oya mko top Sana 🤣
Stive utalia😃😁😃😁
Haha fungu lakumi, kuwajengea wazee, usiwaambie w2 tukawa matajiri wengi?
Hahahahahahahaha dah hatar iyo jamaa katisha san
Sawa steve nakubali
😢kweli mmetufuza mengi hongereni sana
Atar sanaa
Duuuh,hii ya mwaka mpya kweli steve mweusi alafu doctor kaboma waaah.
Bonjour monsieur Steve
Talented🇯🇲🇯🇲
Ndugu zangu Dunia imefika mwisho
Ni kweli mwenye akili ajiandae
mtoeni vyote huyo stv hana kazi navyo
Mkal wangu wa siku zoteeeeee #STEVE
Nimependa jaman mpo vizuri
Wacha nilime lakini nibaki na.vidole vyangu niende navo ahera mwenyewe visitanguliye
Uko na hakili kbx na kipaji.
😂😂😂 huo upara sio rangi yake
Tokoss 🇨🇩🇨🇩
🇨🇩✌️
Ii kazi.apatakuwepo.na wiz.wa.binadamu.kweli
Haàaaa Steve unajua sana ww
Nzur 😆😆😆😆😂
Stive nakupenda bure 😃😁😃😁
Noma😅😅
Oy Steve Nakubar san kaz zako Utafika mbar san
🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zang
Steve umeupiga mwingi adi umemwagikaaaa
😂😂 so real, very common in Kanairo, once conned in a high end Nairobi surbub by a "househelp" playing so dumb, nilinyoroshwa na fake sterling pounds...
Milioni 100 yote😃😁😃😁
Aki nyinyi mnachekeza 😂😂😂🥰
Tangazo Tangazo nauza akili kwa bei nafuu
Hakikisha kwanza akili zako zina akili?
Allah atuepushie iri swala risifke kwetu tz rishie uko uko
Macho mabayaa 😂😂😂😂
😄😄😄😄😄nimeshindwa kujizuia eti vibaka wezi mbwa nyie! 😄😄Oya jamaa unaweza
Steve wewe ni hatali sana
Tamaa mbelee mauti nyuma
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Umegonga ndipo Steve 254
Fungu la kumi nileteeni Mimi,😅😅😅🇹🇿👍🙌
Nachelewa wapi mimi nikate tu vyote😛😝😛😝😛😝
Uigizaji huu ni vunja mbavuu
🤣🤣🤣😂😂 Vibaka wezi mbwa nyie 😂😂😂🙌
Tobaaa
Kaboma nakuona
Sitokiii apaa
Hapo mwisho Ndo Umenielewa 😂😂😂😂😂🤣🤣
Hii Kali
Hv Steve nikabila gani😂😂😂😂
Mgogo
Unachekesha sana stev
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka et ww hununua vidole