Waziri unaonekana ni mzuri kwa nadharia (theory) lakini kumbuka wananchi tunataka vitendo(practical) ili tuone huo uzalishaji. Hivyo basi hayo yote uliyoongea tunataka at least baada ya miezi sita kuanzia leo tuone matokeo.
Kwa hili pendekezo la kufunga uvuvi kwa miezi mitatu wizara ndiyo ingesimamishwa kwa ufinyu wa mawazo. Tanzania tuna maji mengi ambayo yanafaa kwa ufugaji wa samaki kiasi ambacho hii ingekuwa ajira kubwa. Waziri awe na upana wa mawazo wa kutosha vinginevyo watupishe.
Huyu jamaaaa Kwahio Amezikana Sheria za wizara Kwa maana ya kwamba utaendeshaje wizara Kwa kutumia Busara Nini Maana ya kuwekeana sheria .. pili huyu Atenguliwe inamaana aliapa Nini na Ameeenda kinyume na alivyoapa Tanzania tunaviongozi WA Ajabu sana Tatu huyu mbona kama kalewa .. Waziri umelewa pombe duuu
Waziri uko vizuri sana, big up sana
Hakuna Waziri hapa
kwahiyo ulikuwa mnafiki kwaviongozi wako
Cabinet collective responsibility must be obseverved here, vinginevyo.....
Waziri unaonekana ni mzuri kwa nadharia (theory) lakini kumbuka wananchi tunataka vitendo(practical) ili tuone huo uzalishaji.
Hivyo basi hayo yote uliyoongea tunataka at least baada ya miezi sita kuanzia leo tuone matokeo.
JAMANI Kuna waziri au mfurahisha genge?
Kwa hili pendekezo la kufunga uvuvi kwa miezi mitatu wizara ndiyo ingesimamishwa kwa ufinyu wa mawazo. Tanzania tuna maji mengi ambayo yanafaa kwa ufugaji wa samaki kiasi ambacho hii ingekuwa ajira kubwa. Waziri awe na upana wa mawazo wa kutosha vinginevyo watupishe.
Huyu jamaaaa Kwahio Amezikana Sheria za wizara Kwa maana ya kwamba utaendeshaje wizara Kwa kutumia Busara Nini Maana ya kuwekeana sheria .. pili huyu Atenguliwe inamaana aliapa Nini na Ameeenda kinyume na alivyoapa Tanzania tunaviongozi WA Ajabu sana
Tatu huyu mbona kama kalewa .. Waziri umelewa pombe duuu
Kwani huko nyuma Nani alizuia