Nay Wamitego x Ibrah x Misso Misondo - Happy Day Remix (Official Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Stream/Download: vyd.co/NayWaMi...
Sound by Gach B
Mixing by themixkiller_
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
Follow Ibraah
Instagram: / ibraah_tz
Twitter: / ibraah_tz
Facebook: / ibraah255
Follow Misso Misondo On:
Twitter : / misso_misondo
Instagram : / misso_misondo
Tiktok: misso_misondo
The official RUclips channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
+For More Information Booking Nay:
Contact:Booknaywamitego@gmail.com
For Bookings & More
Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
©2025 Freenation Rec.All Rights Reserved
#naywamitego #ibraah #missomisondo #HappyDayRemix
Walokuja hapa kisa ibraah gonga like
Ibra kashakuwa 👍🏿👍🏿👍🏿😂
Family ❤️ konde mikonojuuuuu🎉
Wapi mashabiki damu wa KONDE MUSIC na wapenda mziki mzuri ❤❤
Walio fata ibraah hapa na Nay tujuane kwa like hapa ❤
Ibraah noma Mzee unajua san
Ibrah hajawahi kuharibu🔥
Tunao mkubali nay tujuane kwaku like hii comment plz
Oyaaah weeeh❤❤❤❤❤
Waliokuja kwa jina la ibraah tujuane kwa like apa 💪
MISO MISONDO HATARI IBRA NEY OYA GONGA LIKE KWA AWA WASANII
Walomfata miso nisondo gonga like
Ibraah we n tunu kubwa saan ya music hap bongo na mashabiki zak wa konde gang tunakupenda kwsbb unatufnya tutembee kifua mbele huku mitaan,big up mamen 👊 keep goin 💪✍️💥💥💥,like za ibraah natak nizione hap.🎉🎉🎉🎉
😂😂acha miemko wewe knn akomae bhn bado wa kawaida tu😢😮😅
Kama unaamini kua nay kawafunika wote gonga like hapaa
Tim konde geng mimi wa kwanza Léo kutoka Congo 🇨🇩 naomba liké zangu plz 🙏🏾
Ibraah wa moto sana , oyaaa Mr Nay tuandalie goma jingine mkiwa na ibraah 🔥 tofauti na Remix ili mwimbe kwa dakika tosha
Waliosikiza vas ya ibraah Zaidi ya mara mbili tujuwane kwa like🔥
Kama unaamini una pumuwa kwa rehma za allah like ❤❤ sema Asante mungu❤❤
2naokubali harmonize kaua like apa
Ukirudia zaidi ya mara moja utamwelewa ibraah atari sana🔥🔥
Nimekupata kamanda
Team chinga from buja 🇧🇮 tujuane
Oya Ibraah #ondoka hapo #gang umekuwa bro #£hauli yako
🤣🤣🤣duuh
😂😂😂
Ooyaaa!!!Oyaaaaa!!!Weee Ameshafunika Tayali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa fundi mamae 😂
Dadeki🔥
Tuna subir sana maana ili ngoma daah ni kubwa sana mta nipa majibu badaeh kama sivyo mm nita kuja kufuta comment yangu😂😂
Ibrah my nighah
Tulio kuja apa kwa ajili ya ibrah tujuane kwa like 😂
Hii ilitakiwa isiwe remix kabisa yaaani ney alichelewa
Rais wetu vs konde gang 💣 💣 claaaa 🌹 🌹 🌹
Let my son work be blessed from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ibrah kauwa
Aya sasa namimi nipeni like
Chinga ni balaaaa❤
Oya weeeeh kama tume toroka milembe good ney
Oya gang gang
Like za chinga hapa
Chingaaaaa Tisha sana
Wakwanza hapa toka njombe tz naomba like zangu ❤
Ibraah tz iko ndani
Wakenya tuko huku ❤❤❤😂
Kama we shabiki wa mr ney gonga laiki
Twende woteee ss ❤❤
Wow Bonge Ya Hiti Jmn💋❤
Mtoto wa MILEMBEEE🔥🔥🔥🚀🚀🚀
Hii Kali mzeee 🔥🔥🔥🇰🇪
Huyu chinga ana ballaa jàmani
Tulioisubiri kwa hamu hii ngoma tujuwane kwa 👍
Nawakubali wote 🎉
Hatarii kwa hili ngomaa
Oyaaaaaah Weeeee Kam Tumetoroka Mirembeeeee🎉❤🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Wanang wa gang gang🎉
Ila misomisondo maaaamae ni makali hatali sikia huo utundu humo
1 mungu waone wat haw🎉🎉
Ibraah tupo wangapi tujuwane
Goma tunaluka nalo mpaka ramadhani😂😂😂
Wametisha sana jamani wote walio ikubali hii Ngoma naomba ulike 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
tean nay gonga like
Mwamba Ney na vijana wako❤❤❤❤❤❤
Oyaa chizi katoloka milembe tenaa 😂😂😂
Ibraaah mbona kelele mingi...au alkua amefrahi kufanya ngoma na nay😂😂...ndogo tulia unda vibe tutaskiza bado buana
Nay🔥🔥🔥
Pamoja sana babayaga
Nay 😂 🖐️
Ngoma tamu sana
Oyaa Oyaa Ibra baada kujua hii kitu ukali umezidi😂😂😂
Kanileta miso misond ila sijaskia akiimba
Tangu lini dj akaimba yeye kaproduce beat tu
Hii ngoma ni mwisho mamaeeeeeeee
Nimeskia Likomanga ngoma kutoka Ruangwa kwa wamwera🔥🔥🔥umepigaje hapo
Hii nyimbo ni nzuri sana Bongo flavor yenyewe
Nko hapa ju ya Mr true boy na chinga Kenya tumeikunal
Nakubali sana wanangu
Kwl ibraa umeifanyia kazi hii kitu
Kazi mbaia hibra umezinguwa sana.
Ibrah noma❤❤❤
Ibrah Noma sanaa
Ngoma 🔥🔥🔥🔥
Wa 5 leo jamani
Mr nay umewasaport vijana wako
Kali saana
🔥🔥🔥
Huyu ibraah wa moto sana wanangu...wakenya tupo nyuma yake
Huyu dogo ibraah anatutaka nini sisi
Ibraa uko sawa Kwa uwadishi
Nakubali brother
Nay is always the best
Oyaaa weee
M sina ata msemo kwa uyu ibra❤❤❤❤
we misso ww unahatari 😂😂
mmetisha sana kaka ney,unajua sana
Dude la kwenda hili 🎉🎉🎉
Oya wee x true boy🔥
Muondoko mmoja mzuri sana...una ka test fulani hivi kama kao haraka kakitulizwa na bass
Ngoma kubwa kali sana🎉🎉🎉
Ila uyu ibraaah
Ibraah ❤
Daa Ila Ibrah Oya 😂😊
Hizi ndio song sasa
Oya weeee oya weeeeee chizi.again😂😂😊
mapema
Wamakonde Mpo???❤❤❤❤
Huyuuuu dogo @Ibraaah ogopa the king 👑 of new generation ila Raisi a😅❤❤❤❤
Ngoma kali kinoma mr ney umetisha kaka 💯💯
Nina furaha it's a happy day "Friday" japo kipato cha chini...
Asante Baba❤❤❤
Bonge la goma hili mazee
Ibraaah mtu mbadi anagonga sana