ZSSF Kuwalipa Wanachama wake Janga la Covid-19?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 6

  • @alexanderlugiko3472
    @alexanderlugiko3472 4 года назад +2

    Janga la 5. Afya...Ugonjwa covid 19

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 4 года назад

    Kwan izo sheria ni msahafu hazibadilishik,au ili janga la corona lilikuwepo toka izo sheria zinatungwa,pia kuna Dada aliwafuata ni mjamzito mbona hamkumpa chochote ikiwa nyinyi ni Wa kwel,huu mfuko upon kwaajil ya dhurma,ndug M.h Rahis Wa Tanzania tunaomba ulipiganie hili sababu tulio weng c rahia Wa znz na ndio maana wanajitia vkwazo kutunyima hak zetu,weng wet tunapoteza hak zet tunapoamua kurud makwetu,M.h Rahis tunakuomba!!!

  • @patrickbihemo3938
    @patrickbihemo3938 4 года назад

    Semeni tu kuwa pesa mshakula na hamna jinsi

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman3243 4 года назад

    Je idadi ya wagonjwa wa covid 19 ni wangapi hadi saa hii?

  • @salmabintuthman3243
    @salmabintuthman3243 4 года назад

    Mungu atusaidie soteni

  • @allykutenga2862
    @allykutenga2862 4 года назад

    Hapa naona panaandaliwa njia ya wajanja kutafuna pesa 2uuu hakn jingineee..Almarhum rais we2 wa kwanza wa ZnZ Mh. mzee ABEID A. KARUME alisema watakuja wasomi hao itakuwa balaaa.