Kwan izo sheria ni msahafu hazibadilishik,au ili janga la corona lilikuwepo toka izo sheria zinatungwa,pia kuna Dada aliwafuata ni mjamzito mbona hamkumpa chochote ikiwa nyinyi ni Wa kwel,huu mfuko upon kwaajil ya dhurma,ndug M.h Rahis Wa Tanzania tunaomba ulipiganie hili sababu tulio weng c rahia Wa znz na ndio maana wanajitia vkwazo kutunyima hak zetu,weng wet tunapoteza hak zet tunapoamua kurud makwetu,M.h Rahis tunakuomba!!!
Hapa naona panaandaliwa njia ya wajanja kutafuna pesa 2uuu hakn jingineee..Almarhum rais we2 wa kwanza wa ZnZ Mh. mzee ABEID A. KARUME alisema watakuja wasomi hao itakuwa balaaa.
Janga la 5. Afya...Ugonjwa covid 19
Kwan izo sheria ni msahafu hazibadilishik,au ili janga la corona lilikuwepo toka izo sheria zinatungwa,pia kuna Dada aliwafuata ni mjamzito mbona hamkumpa chochote ikiwa nyinyi ni Wa kwel,huu mfuko upon kwaajil ya dhurma,ndug M.h Rahis Wa Tanzania tunaomba ulipiganie hili sababu tulio weng c rahia Wa znz na ndio maana wanajitia vkwazo kutunyima hak zetu,weng wet tunapoteza hak zet tunapoamua kurud makwetu,M.h Rahis tunakuomba!!!
Semeni tu kuwa pesa mshakula na hamna jinsi
Je idadi ya wagonjwa wa covid 19 ni wangapi hadi saa hii?
Mungu atusaidie soteni
Hapa naona panaandaliwa njia ya wajanja kutafuna pesa 2uuu hakn jingineee..Almarhum rais we2 wa kwanza wa ZnZ Mh. mzee ABEID A. KARUME alisema watakuja wasomi hao itakuwa balaaa.