Ijuwe Historia ya Majina ya Mitaa KWAHANI,KWA ALI NATU,MAKADARA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 12

  • @mohamedlodhi4173
    @mohamedlodhi4173 5 месяцев назад

    Bwana bin Seif , Sheikh Mohamed amekosea kutueleza taarikh ya mitaa.
    Ali Nathoo alikuwa Khoja Ithnashiri na Mawji Nathoo alikuwa Baniyani, vipi watakuwa ndugu ??
    Tajiri mkubwa DAR zamani alikuwa Poonja Nathoo Khoja Ismailia.
    9:26

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 7 лет назад +2

    kipind kizur sana Bin seif jitahid kutuekee na zengine zijazo inshaallah.. p1 na kile kipind cha tiff doctor kutok tiff 📺 shukran

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 9 месяцев назад

    BAJA ,(KWAHANI) TO BOMANI (KWAHANI) ,TO KWA ALI NATU TO HADI MIEMBENI
    MUEMBE NNJUGU
    NGAMBO STESHEN
    KIJANGWANI
    KARIYAKO
    KWA ALIMSHA
    DUU ZAMANI SANA TUKIPUYANGA

  • @eid2643
    @eid2643 2 года назад

    Kama Gulio maana yake ni hiyo. Basi Market na Soko kiswahili chake ni Gulio

  • @aminisuleiman1837
    @aminisuleiman1837 6 лет назад

    hiyo makadara ndio nilisoma mpk nikamaliza LA saba. Unakumbusha mbali sana Mzee, let's vitu ss tunavisubiri

  • @aminisuleiman1837
    @aminisuleiman1837 6 лет назад

    daaaah kwahani ndio home kabisa babu, well done kwa kunifahamisha

  • @khadijaal4910
    @khadijaal4910 3 года назад

    Kijangwani ndio home kabisa

  • @husnahhhahahausys7810
    @husnahhhahahausys7810 5 лет назад

    Kijangwan no home kabisa

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад

    mashallah

  • @jumaahamaa7647
    @jumaahamaa7647 5 лет назад

    kwa hani baja

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад

    shukran..nimeelewa

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Год назад

    Huyu mzee hajui maana ya jangwani 😅😅😅😅