Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.
😅😂😂🤣😅LOOL WALLAH VERY FUNNY" THIS IS FUNNY MARRIED MOVIE! HUSBAND VERY ANEED! VERY DIFECULT PERSON TO EXCEPT IT"😅😂😂🤣😅! HE TRY TO PROUD OF HIS SELF😅😂😂🤣😅LOOOL BUT HE SCARED OF HIS AMMI UNCLE! TO SHOW HE PROUD THE AMMEE WILL SHOW HIM! AMM WILL GIVE HIM A BIG ONE ACROS OF HIS 💋 MOUTH! 😅😂😂😂🤣😅😁LOOL! GOOD AMMU UNCLE!😁 BROVOO AMMU UNCLE👌💪 STRONG UNCLE AMMO!
Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio
Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .
Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂 Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi
Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏
Nalikubali sana chimbeni na kwanini umeacha kutuletea mambo mazuri kama haya yuko wapi mifupa 😆😆ila mashaka yashaondoka sasa mashaka kashakua bosi😅😅😅.
Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.
Pendo alitkiswi kweli mana umelitkisa kweli
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
mze Chita katika ubora wake yani noma Chita mungu amrehemu
MashaAllah wazee wazamani hawapendi watoto wao waachane ila wazee wa siku hizi mtihan wapo mtari wa mbele kutoa go ahead za talaka subhanallah
😅😂😂🤣😅LOOL WALLAH VERY FUNNY" THIS IS FUNNY MARRIED MOVIE! HUSBAND VERY ANEED! VERY DIFECULT PERSON TO EXCEPT IT"😅😂😂🤣😅! HE TRY TO PROUD OF HIS SELF😅😂😂🤣😅LOOOL BUT HE SCARED OF HIS AMMI UNCLE! TO SHOW HE PROUD THE AMMEE WILL SHOW HIM! AMM WILL GIVE HIM A BIG ONE ACROS OF HIS 💋 MOUTH! 😅😂😂😂🤣😅😁LOOL! GOOD AMMU UNCLE!😁 BROVOO AMMU UNCLE👌💪 STRONG UNCLE AMMO!
Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio
😁😁😁mambo ni 🔥pendo limejua kutikisika.wasasa watasema kwani kwetu nimeua?
Michezo ya zmn ilikua Na heshima
Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .
michezo yenye kuakisi asili yetu wazanzibar
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana
chimbeni wewe unajuwa sana kupitiliza
Wallah nimependa cna mashallah zamaanii
Mzee yuko sirious kijitu uzima
Wazee wabusara wako wapi jamani
MashaALLAH
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana
Zanzibar tushaiuzar kwa tamaa ya maslahi ya wachache tu sasa sijuwi wakumlaum nani manake hata hizo burudani hatuna tena
Ahsante mashaka hahahahaha
Hahahahah da mashaka bwan eti nimeskia lkn kwa mbali
sant na baibui old is gold
Daah aisee hii zinapatina wapi hizi complete
Very interesting 😀. Mashaka bin Tabu creates burudani
😁😁😁😁ammy mkali mhh
E mashaka mtukutu nyee eti nje wapi dah hahahahaaa
Cheka kwasana
Talaka lazima ikaliwe Eda sio hapo hapo baada ya talaka unarejea.
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
Wazee wa siku iz wangalimsaidia mkwe wao kutoa vyombo nje wakashangilia
Asnate bin sef nakukubali Sana weka Mambo ayo from katar
Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂
Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi
ndo kibiriti hichooo
zaman wat na adabu
🤣🤣🤣🤣🤣
zanzibar yetu
Hhhhh hapana chezea amiiiiy
Kawa kasi sio mkasi lol
Asante bin seif tupe vitu vizur vya zaman
Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏
Hamy
Mashaka ana talenta sana tena wa siku nyingi tunamkubali sana.na pongezi sana kwa Amiii 👏
😂haski lugh
❤❤❤❤❤
Wallahi vitu vzur km hivyo vimpotea,,tulikuw tunapata mafunzo kwa kweli, kweli vya kale dhahabu
Jamanii nataman Zanzibar yetu irudi km zaman