NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (4)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 47

  • @mohammedomar1569
    @mohammedomar1569 5 лет назад +2

    Nalikubali sana chimbeni na kwanini umeacha kutuletea mambo mazuri kama haya yuko wapi mifupa 😆😆ila mashaka yashaondoka sasa mashaka kashakua bosi😅😅😅.

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 3 года назад +3

    Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 4 года назад +3

    Pendo alitkiswi kweli mana umelitkisa kweli

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 2 года назад +2

    Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰

  • @chalulumanyenga1151
    @chalulumanyenga1151 3 года назад +2

    mze Chita katika ubora wake yani noma Chita mungu amrehemu

  • @zuwenasaleh9613
    @zuwenasaleh9613 Год назад +1

    MashaAllah wazee wazamani hawapendi watoto wao waachane ila wazee wa siku hizi mtihan wapo mtari wa mbele kutoa go ahead za talaka subhanallah

  • @bas2823
    @bas2823 26 дней назад

    😅😂😂🤣😅LOOL WALLAH VERY FUNNY" THIS IS FUNNY MARRIED MOVIE! HUSBAND VERY ANEED! VERY DIFECULT PERSON TO EXCEPT IT"😅😂😂🤣😅! HE TRY TO PROUD OF HIS SELF😅😂😂🤣😅LOOOL BUT HE SCARED OF HIS AMMI UNCLE! TO SHOW HE PROUD THE AMMEE WILL SHOW HIM! AMM WILL GIVE HIM A BIG ONE ACROS OF HIS 💋 MOUTH! 😅😂😂😂🤣😅😁LOOL! GOOD AMMU UNCLE!😁 BROVOO AMMU UNCLE👌💪 STRONG UNCLE AMMO!

  • @marcomontolivo5922
    @marcomontolivo5922 3 года назад +2

    Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 лет назад +2

    😁😁😁mambo ni 🔥pendo limejua kutikisika.wasasa watasema kwani kwetu nimeua?

  • @safiyaally4825
    @safiyaally4825 5 лет назад +3

    Michezo ya zmn ilikua Na heshima

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад

    Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .

  • @salumame4845
    @salumame4845 5 лет назад +2

    michezo yenye kuakisi asili yetu wazanzibar

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu4203 4 года назад +2

    Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana

  • @husseinramadhan3369
    @husseinramadhan3369 8 месяцев назад

    chimbeni wewe unajuwa sana kupitiliza

  • @MuhaliHamadi
    @MuhaliHamadi 14 дней назад

    Wallah nimependa cna mashallah zamaanii

  • @allyboy4153
    @allyboy4153 2 месяца назад

    Mzee yuko sirious kijitu uzima

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket 2 месяца назад

    Wazee wabusara wako wapi jamani

  • @ramadhanmohamed-p8x
    @ramadhanmohamed-p8x 7 месяцев назад

    MashaALLAH

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu4203 4 года назад +1

    Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 лет назад +1

    Zanzibar tushaiuzar kwa tamaa ya maslahi ya wachache tu sasa sijuwi wakumlaum nani manake hata hizo burudani hatuna tena

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed5033 3 года назад +1

    Ahsante mashaka hahahahaha

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 4 года назад +1

    Hahahahah da mashaka bwan eti nimeskia lkn kwa mbali

  • @amneamne7862
    @amneamne7862 3 года назад +1

    sant na baibui old is gold

  • @mrwordsthemost7690
    @mrwordsthemost7690 6 лет назад +1

    Daah aisee hii zinapatina wapi hizi complete

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 лет назад +1

    Very interesting 😀. Mashaka bin Tabu creates burudani

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 6 лет назад +1

    😁😁😁😁ammy mkali mhh

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 4 года назад

    E mashaka mtukutu nyee eti nje wapi dah hahahahaaa

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 5 лет назад +1

    Cheka kwasana

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 2 года назад

    Talaka lazima ikaliwe Eda sio hapo hapo baada ya talaka unarejea.

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 2 года назад +1

    Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 5 лет назад

    Wazee wa siku iz wangalimsaidia mkwe wao kutoa vyombo nje wakashangilia

  • @AliHassan-xr3yb
    @AliHassan-xr3yb 6 лет назад +1

    Asnate bin sef nakukubali Sana weka Mambo ayo from katar

    • @rozypatel5672
      @rozypatel5672 Год назад

      Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂
      Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed5033 3 года назад

    ndo kibiriti hichooo

  • @amneamne7862
    @amneamne7862 3 года назад

    zaman wat na adabu

  • @aishamohamed8778
    @aishamohamed8778 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hanifaabuobakar3636
    @hanifaabuobakar3636 6 лет назад

    zanzibar yetu

  • @mohammedbusaidi8505
    @mohammedbusaidi8505 6 лет назад

    Hhhhh hapana chezea amiiiiy

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 6 лет назад

    Kawa kasi sio mkasi lol

  • @husnahhhahahausys7810
    @husnahhhahahausys7810 5 лет назад

    Asante bin seif tupe vitu vizur vya zaman

    • @rozypatel5672
      @rozypatel5672 Год назад

      Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 5 лет назад

    Hamy

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 лет назад +1

    Mashaka ana talenta sana tena wa siku nyingi tunamkubali sana.na pongezi sana kwa Amiii 👏

    • @raghum1149
      @raghum1149 5 лет назад

      😂haski lugh

    • @zuhrazuhra4051
      @zuhrazuhra4051 4 года назад

      ❤❤❤❤❤

    • @ashasaid3136
      @ashasaid3136 4 года назад

      Wallahi vitu vzur km hivyo vimpotea,,tulikuw tunapata mafunzo kwa kweli, kweli vya kale dhahabu

    • @ashasaid3136
      @ashasaid3136 4 года назад +1

      Jamanii nataman Zanzibar yetu irudi km zaman