MTFE: Watanzania wapigwa mamilioni ya fedha kwenye utapeli ulioondoka na zaidi ya $1bn duniani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 265

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад +9

    Ndugu zangu mtajifunza lini kweli pesa ilivo ngumu😢😢😢 mim mwenzenu naogopa kumpa mtu pesa yangu isee Mungu a nisaidie

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 Год назад +14

    Jamaa anajua anachokiongea big up!!

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 Год назад +1

    Dah asante Mungu kidogo tu nijiunge

  • @joshmbasha9912
    @joshmbasha9912 Год назад +21

    wabongo ni watu wa ajabu sana, huwez kumpa mtu access ya pesa yako, password na kila kitu utegemee faida. Let them learn...!!

  • @chambuamduma573
    @chambuamduma573 Год назад +1

    Forex is real na ni kweli inaleta faida kulingana na mtaji. So ni biashara ya kuiheshimu because inahitaji mtu awe amesoma sana na kuielewa vizuri. Ni 5% tu ya waliosoma ndo wakitrade wanafanikiwa. Wengi kinachowaponza ni ukosefu wa maarifa. Hakuna pesa nyepesi duniani. It needs sacrifice.

  • @elizabethmwaipola
    @elizabethmwaipola Год назад

    Poleni sana, nawakaribisha royal Q pesa ya unamiliki mwenyewe waweza toa muda wowote ule

  • @kingmhondela
    @kingmhondela Год назад +2

    Watanzania,imewapasa kuitii sauti ya kwanza ya msisitizo ndani ya mioyo yenu,juu ya jambo lolote lililo jema ndiyo hua sauti ya Mungu kabla hamjafanya maamuzi,kwani mkiipuuza,Sauti ya pili inayofuata hua ni ya Adui Kwa hiyo lazima tu itakuleta matatizo,Mungu awabariki, #Nabii #Andrew #Mhondela🙏.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Год назад +5

    when the deal is too good think twice!

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Год назад +11

    mie nawaaaaaambiaga hakuna ela ya bure kwenye hiii dunia bora ela yako ule kuku tu au bata ijulikane uikua kuliko kumoa mtu.

  • @leadflavour_tz
    @leadflavour_tz Год назад +5

    Ukiambiwa njoo huku kuna fursa ujue wewe mwenyewe ni Fursa, kama unataka kufaidi pesa za Forex jifunze kwa undani ujue ufanye nini sokoni yaani hauna Skills za ku trade alafu unataka upate faida za haraka haraka 😅😂 wanangu wachache niliwaambia lakini leo wanaangua kilio, wajifunze na kujifunza ni gharama hakuna cha bureeee.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mi nacheka ka mazuri😂😂😂😂😂ila binadamu hatujifunzi kuachana na haya mambo😂😂😂simuweke pesa zenu benki fixed account😂😂😂au nunueni hisa,wekezeni,lakini watu hawaskii

  • @HamisKalulumbe-fv8hc
    @HamisKalulumbe-fv8hc Год назад

    Kidogo ni jiunge duuu ahsante mungu

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Год назад +1

    Kuna mapimbi walinitukana kwenye group kisa hii takataka sasa leo hii matusi yao yamewarudia wenyewe 😂😂😂😂😂

    • @zainabuabdallahlindi
      @zainabuabdallahlindi Год назад +1

      Walikuwa wanaringa hawa mapimbi waliojiunga na huu upuuzi mimi walinijibu nyodo nikasema huu ni ushetani yawezekana Mola ananiepusha maana km kweli ni cha Mola hikii vya Mungu havinaga ugumu na kusuguana hee baada ya wiki wamepigwa 😅😅😅😅😅

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад +2

    Tunapenda mtelemko Sana wa che wapigwe tu sisi watanzania hatukomi manyumbu hayaishi

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Год назад +1

    Kuna binti wa kizungu aliniganda nijiunge yan mpaka sim kila siku vdeo call alifanya kila kitu nikamwambia sina elim ya kutosha akapambana kunipa elim haikuniingia mwishowe akawa anitafuti tena

  • @RoseThomas-bs4zw
    @RoseThomas-bs4zw Год назад +2

    Jaman nimepigwa ela ndefu kweli nipo naugulia maumiv2

  • @KariukiRoysambu
    @KariukiRoysambu Год назад +1

    Hiyo MTFE nimeiona na marafiki wangu tokea Bangladesh mahali nilipo

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 Год назад +2

    Watajifunza sasa.. wanapenda urahisi sana.

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 Год назад +1

    Hizi stories zinazidi kuniweka mbali na hizi mambo za digital marketing

  • @terminal_tz
    @terminal_tz Год назад +5

    When everyone join, Quit
    When everyone quit, Join

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Год назад +4

    Kwa hiyo wabongo walishasahau klynda 😂😂😂😂😂 wakaingia tena

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    Aiseee

  • @nyovestkaslati5971
    @nyovestkaslati5971 Год назад

    Kuna bina trade mimi mwenyeww nilipigiwa dolla40000😅😅😅😅 kumamae staki hata kusikia huu upuuzi

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 Год назад +3

    Nimekumbuka deal1

  • @ahz6907
    @ahz6907 Год назад +4

    Na watu wataendelea kupigwa mpaka mwisho wa dunia😂

  • @AlexPeter-or7vx
    @AlexPeter-or7vx Год назад

    Mmmm Pole xn mimi nilito pesa yang mapema doll 250

  • @braynapstar6581
    @braynapstar6581 Год назад +2

    Idea Debeter taught me a lesson😂 ....Try to learn the hard way, INALIPA

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 Год назад +6

    Yaani ilikuwa kidogo tu nijiunge na Hii Kitu...Aliyekuwa ananishawishi nilimuambia anipe muda nijitafakari na kuifuatilia Kwanza 😅😢

  • @Maulambo
    @Maulambo Год назад +1

    Daah kuna mtu alinifata telegram alinishawishi ni jiunge ila nilicheza 🙏

  • @sabboficial
    @sabboficial Год назад

    😂😂😂😂😂😂 fantastic kukuta wamepigwa hadi walimu walioyafundisha shule ya msingi na sekondari 😅😅😅😅😅😅😅

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Год назад +1

    kina kitu inaitwa kylinda jamani tuliopigwa na kylinda ilikuwa inatangazwa had ITV inatangazwaa 😂 nikajiunga wee wat tulipigwa

  • @tupikepamoja9845
    @tupikepamoja9845 Год назад

    Mbona hamuongei kuhudu Tariq ( mr kuku) yupo kigamboni kaibia watanzania wengi sana

  • @joerfamednoag7458
    @joerfamednoag7458 Год назад

    Jama naona unajua unachosema business hiyo ni peer to peer. Afrika kusini watu wengi wanaibwa Sana every single day

  • @lonsman
    @lonsman Год назад +1

    Last year most of my friends were convincing me to join and then i refused because i knew how forex works

  • @yusuphsimla8916
    @yusuphsimla8916 Год назад +1

    Bado itakuja nyingine na watu watapigwa
    Scatec walipigwa
    Idea debtor
    Kalyanda
    Sahizi EMutifweee wamepigwa, kuna nyingine itakuja na watu watapigwa....

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Год назад +2

    IT washafanya yaooo😂😂😂

  • @stylishgenius9886
    @stylishgenius9886 Год назад

    Atary sana duh kunaitajika kaelimu kwenye network marketing

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Год назад +2

    Nacheka huku naogopa 😂😂

  • @DAMIANDAVID-sr4gk
    @DAMIANDAVID-sr4gk Год назад

    Sijiungii 😂😂 bora hiyo pesa nitumie kubet

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert2968 Год назад +1

    Walioanza zaman wamepiga hela sanaaaaaaa

  • @greeneraston6102
    @greeneraston6102 Год назад

    Mim mwenyewe mmoja wa waliopigwa kwakweli wametuliza tufanye KAZI vijana tuache shortcut

  • @endruchumbula5943
    @endruchumbula5943 Год назад +1

    kama namuona mtu alienishawishi tangu mwaka jana nahakuchoka mpaka leo nasikumsikiliza 🙏🙏🙏 asante mungu

  • @zuhuramwanafuno1851
    @zuhuramwanafuno1851 Год назад

    Mi nilisema jamani hao wezi 😁Asante mungu🙏🙏Kwa akili uliyo nipa duuuuh

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +2

    Pesa nyingi dah😢

  • @Bonnie__1
    @Bonnie__1 Год назад +2

    Nafundishaa forex jamni😂😂😂😂

  • @isaackchambo2642
    @isaackchambo2642 Год назад

    Sky naomba namba ya huyu jamaa nimependa sana elimu yk kuna vitu anieleweshe

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Год назад

    Halafu nilichogunduaga mimi ukiwa hujihusishi na hizi mambo huwezi kutana nazo hata mitandaoni hizi mambo mm sikutanagi nazo zaidi ya kuona hapa kwa SnS

  • @EmmanuelMwita-qu5fh
    @EmmanuelMwita-qu5fh Год назад +1

    MIMI SIACHI ACHA NIPIGWE TU SITAKI ELIMUUU NATAKA KUPIGWA😂😂😂

  • @charlessospeter6478
    @charlessospeter6478 Год назад

    Haya haya

  • @neemakrekamoo4789
    @neemakrekamoo4789 Год назад +1

    Kuna bestie yangu aliniambia, nikamtumia na link ya kwamba ni utapeli kbs na imewaliza wahindi muda sn...hakuamini...uzuri aliweka hela na akavuna za kutosha....

    • @vedastokeya3344
      @vedastokeya3344 Год назад

      Hukutamani na wewe kuvuna?

    • @neemakrekamoo4789
      @neemakrekamoo4789 Год назад

      @@vedastokeya3344 nilitamani but sikushawishika maana Kila nilipoifanyia research niliona ni utapeli....

  • @ombenistephano1913
    @ombenistephano1913 Год назад

    Kuna wale wanajiita bilionea forex. Wanauza robot inaitwa Tinga tinga robort hao ni matapeli... ushauri wangu someni forex acheni uvivu wa kutaka vitu kirahisi

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Год назад

    Berry

  • @dullagolo2950
    @dullagolo2950 Год назад

    Ujunga na tamaa zimewazidi juzi tu kalinda leo mtfe 😀😀

  • @zahirrajab7713
    @zahirrajab7713 Год назад +1

    Ss tulio weka hela mwishoni ndio tumelia vibayaaaaa😭😭😭

    • @wazambulitv5735
      @wazambulitv5735 Год назад +1

      *Izi ponzi schemes kama Kalynda, Mtfee, na bado zitakuja zingine zaidi,sio za kuziamini kabisaa, tuendelee kulima⚡*

  • @bigboys016
    @bigboys016 Год назад

    Kwani simwaka jana tu,upatu uliliza watu kwenye kalinda, bado tu mmo

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 Год назад

    Kuna mwingine anitwa frank anachezesha pitcoin ni mwiz Yuko america na anawambia watu wa east Africa watumie namba ya Kenya kudiposit plz msimwamini ni mwiz mwiz Yuko huko teregram😢

  • @Liz1boyKatunzicultural-zc5pi
    @Liz1boyKatunzicultural-zc5pi Год назад

    Mbona tulio pata pesa amtusemi tupo tunakula bata sisi wengine lisiki teka

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +1

    Akuna pesa ya buree duniani . Wazungu wao wanaijuwa pesa.

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Год назад

    alafu watu kama hawa wanakuja kukwambia eti forex is scam, wanajua eti kuwekeza ela kwenye makampun eti ndo forex

  • @Jamalcomed
    @Jamalcomed Год назад +1

    Mbona forex ipo toka mda mpaka mda huuu tatzo wote muliopugwa hamuijui forex mnakurupuka tuuuuuu

  • @amoecarter5933
    @amoecarter5933 Год назад +4

    Litatipa2 kama kalinda 😂

    • @Agath45
      @Agath45 Год назад

      Kweli litapita

  • @sarahrashidabdallah3109
    @sarahrashidabdallah3109 Год назад +1

    Mie toka nione best angu kimrambe sitkagi hata mtu a niambie bis online 😂😂😂

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 Год назад +3

    Hoja ni nchi kuchukua hatua kusaidia jamii namna salama ya kulinda maslahi ya raia zake badala ya kujiweka mbali au kuzuia biashara hizi.
    Ni wakati ambao unaenda mbele ndio maana kuna nchi ambazo benki kuu zinachukua jukumu la dhamana kwa wateja.
    Suala la elimu ya biashara si hoja sana kwani watanzania wangapi wanafanya je wote wanaelimu ya biashara?

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Год назад

      Serikali ilishakataza mambo ya mtandaoni kwahiyo hawana chakusema wala kufanya maana walishakataza

    • @hassanbilali1697
      @hassanbilali1697 Год назад

      Hatuwezi kujitenga na biashara hizo coz dunia ipo huko kwa sasa la msingi ni kuweka rules and regulations under control of B o T

  • @Agath45
    @Agath45 Год назад +3

    😭😭😭😭😭walichotufanyia. Acha tyuu jaman

  • @HellenRanny
    @HellenRanny Год назад

    Another one!!! Kaka Tuacheee tupigwe..
    😂Tunapentaaaa🤣

  • @CodeWithCrescent
    @CodeWithCrescent Год назад +1

    Nimefurahi. I wish one day niwapige wajinga wengne soon😂😂

  • @lonsman
    @lonsman Год назад

    Thanks sns for the knowledge and information

  • @joerfamednoag7458
    @joerfamednoag7458 Год назад

    MTFE ni Stokvel business. Walikuwa wanalipana wenyewe achaniseme kama vile vikoba sujui mnanielewa

  • @lacheekah1849
    @lacheekah1849 Год назад +1

    Duuh watu wajanja KkMk 🤦‍♀️

  • @bongaitan7475
    @bongaitan7475 Год назад

    Pesa Zangu jamn...... Leo.. Sina... Kitu

  • @ezekieltalented2351
    @ezekieltalented2351 Год назад

    Ila watanzania mmesahau kaylinda kwer,,duuuuh mijitu mijinga kwer kwer

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 Год назад +1

    Tatzo tunavamiaga kila kitu 😂😂😂mimi niliiwacheki

  • @mozstorrytv7982
    @mozstorrytv7982 Год назад

    Mozambique pia wamepigwa walikuwa wanajiita KAMPALI

  • @jafarifarhani646
    @jafarifarhani646 Год назад

    Lazim tuzingatie maokoto😁

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Год назад +2

    Tayari tena 😂😂😂😂😂

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Год назад

    Daah jamaa wiki 2 alinishawishi nijiunge😂😂😂😂

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Год назад

    watu wamechika kuiba kwa lisasi

  • @kelviscaptain3934
    @kelviscaptain3934 Год назад

    Walionisikilzaga siiku 60 kabla awakupotezaga

  • @faridamohammad004
    @faridamohammad004 Год назад

    How pple are embracing AI it's funny..How do you trust something that you create and works under your command!!!..this AI thing is fancy but a huge no for humans

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 Год назад

    WATANZANIA WENGI WAZEMBE SANAA.., WANATAKA MTELEMKO WA PESA CHAP CHAP.....BRAZA WATU WAUMIZE VICHWA KUBUNI MIRADI 😅😅😅

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 Год назад

    Na bado mamae😂 bongo kuna watu mijinga sana yani hata kujifunza haitaki😂

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 Год назад

    Niliacha kuweka pesa MTFE baada ya kufuatilia nikaiona ipo Asia na Africa, Ulaya na Amerca ikawa haipo wakati makao makuu yao walikuwa wanasema yapo Canada na wanasema wapo miaka mingi bara la Ulaya ila ukifuatilia hauoni watu wowote waulaya walioweka fedha kwenye hiyo kampuni hata watu wa Canada huwaoni kila siku utaona tuu watu wa Bangradesh, india na nchi zingine kadhaa za Asia na Africa kwa ujumla.... Kiufupi wamepiga mkwanja kwenye nchi ambazo bado zinajitafuta kimaendeleo nchi zilizoendelea hawajaweza kuingia hawa Wehu.... Nilipoona hivyo tuuu nilitoa pesa yangu miez sita iliyopita.

  • @marikamgabo6238
    @marikamgabo6238 Год назад +1

    😂😂😂😂😂 no free lunch guy work u ass up and fight for urself not kitonga trading haijawah kuwa nyepesi hvyo ........ Fx can change ur life totally😂😂😂😂😂 wether in -or+ way😂😂😂😂😂 RIP MURIFEEE😂😂😂

  • @Damarry-FX
    @Damarry-FX Год назад +1

    Kwa sasa siwezi kufanya investment yoyote inayohusu forex. Ni upumbavu mtupu. Ponzi scheme ni utapeli mkubwa.

    • @Tom_city_home
      @Tom_city_home Год назад

      Forex sii utapeli tafuta elimu ya kutosha .

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui Год назад

      Forex sio utapeli bro but watu wanatapeli watu kupitia forex

  • @yohanamasanja7477
    @yohanamasanja7477 Год назад

    Ukiwahiwa ni sawa ila ukiwahi unafaidi

  • @NyandaHamza
    @NyandaHamza Год назад

    Je Pinterest ikoje

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад

    Hiyo imeenda

  • @taglo_tz
    @taglo_tz Год назад

    Sky naomba namba ya Mentor huyo

  • @msafirinchimbi1334
    @msafirinchimbi1334 Год назад +4

    Sisi watanzania shughuri zetu ni kilimo na ufugaji. Haya mengine wacha tupigwe tu

  • @barakakings
    @barakakings Год назад

    Hawakomi,kwani kaylinda si ime waliza juzi tu?

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online Год назад

    Watu leo hii wamejiingiza tena baada ya kalynda😅

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 Год назад

    Hapo kwenye huwezi ku bet pesa ya mkopo 😂 hilo bana nikweli

  • @Aysha_ally
    @Aysha_ally Год назад

    😂😂😂😂wajinga ndo waliwao 😊😊😊mi bhana Mungu sijui kanipa mawazo gani hata kule TikTok naona vitu haviko sawa cjui kwanini😅😅😅😅

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Год назад

      😂😂😂😂Hata mimi khaaaaaaaa nliingia sku moja nkafta dakika io io ani ni utumbo, masihara, mahaba tu na ngonongono na ushaur wa kingono

  • @AkbarSton-so4wb
    @AkbarSton-so4wb Год назад

    apo kwenye berry inanikumbusha mbali nilipigwa pesa ya ada ya shule

  • @emzodereal3106
    @emzodereal3106 Год назад

    😄😄 Namuhurumia rafikiangu sana maana aliamua hadi kuacha chuo na alinishawishi sana nijiunge tangu 2021 but niliamua kubase kujifunza Forex, i knew huu ulikuwa upuuzi wa muda

  • @iwambimpya1924
    @iwambimpya1924 Год назад

    badoo hamjasemaa ,na mtaseeemaaa😅

  • @wilhuncho2228
    @wilhuncho2228 Год назад

    How about binance

  • @Rwambo-wn7sh
    @Rwambo-wn7sh Год назад

    Kalynda part two

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Год назад +2

    Mimi bado najifunza fx

    • @nyokonyoko7990
      @nyokonyoko7990 Год назад

      It will take time 3+years if you put right effort n umept right knowledge

  • @goodmorningalltheworld.7562
    @goodmorningalltheworld.7562 Год назад

    Naomba namba za huyo mwalimu aliyekuwa anatoa ufafanuzi