Forex is real na ni kweli inaleta faida kulingana na mtaji. So ni biashara ya kuiheshimu because inahitaji mtu awe amesoma sana na kuielewa vizuri. Ni 5% tu ya waliosoma ndo wakitrade wanafanikiwa. Wengi kinachowaponza ni ukosefu wa maarifa. Hakuna pesa nyepesi duniani. It needs sacrifice.
Watanzania,imewapasa kuitii sauti ya kwanza ya msisitizo ndani ya mioyo yenu,juu ya jambo lolote lililo jema ndiyo hua sauti ya Mungu kabla hamjafanya maamuzi,kwani mkiipuuza,Sauti ya pili inayofuata hua ni ya Adui Kwa hiyo lazima tu itakuleta matatizo,Mungu awabariki, #Nabii #Andrew #Mhondela🙏.
Ukiambiwa njoo huku kuna fursa ujue wewe mwenyewe ni Fursa, kama unataka kufaidi pesa za Forex jifunze kwa undani ujue ufanye nini sokoni yaani hauna Skills za ku trade alafu unataka upate faida za haraka haraka 😅😂 wanangu wachache niliwaambia lakini leo wanaangua kilio, wajifunze na kujifunza ni gharama hakuna cha bureeee.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mi nacheka ka mazuri😂😂😂😂😂ila binadamu hatujifunzi kuachana na haya mambo😂😂😂simuweke pesa zenu benki fixed account😂😂😂au nunueni hisa,wekezeni,lakini watu hawaskii
Walikuwa wanaringa hawa mapimbi waliojiunga na huu upuuzi mimi walinijibu nyodo nikasema huu ni ushetani yawezekana Mola ananiepusha maana km kweli ni cha Mola hikii vya Mungu havinaga ugumu na kusuguana hee baada ya wiki wamepigwa 😅😅😅😅😅
Kuna binti wa kizungu aliniganda nijiunge yan mpaka sim kila siku vdeo call alifanya kila kitu nikamwambia sina elim ya kutosha akapambana kunipa elim haikuniingia mwishowe akawa anitafuti tena
Halafu nilichogunduaga mimi ukiwa hujihusishi na hizi mambo huwezi kutana nazo hata mitandaoni hizi mambo mm sikutanagi nazo zaidi ya kuona hapa kwa SnS
Kuna bestie yangu aliniambia, nikamtumia na link ya kwamba ni utapeli kbs na imewaliza wahindi muda sn...hakuamini...uzuri aliweka hela na akavuna za kutosha....
Kuna mwingine anitwa frank anachezesha pitcoin ni mwiz Yuko america na anawambia watu wa east Africa watumie namba ya Kenya kudiposit plz msimwamini ni mwiz mwiz Yuko huko teregram😢
Hoja ni nchi kuchukua hatua kusaidia jamii namna salama ya kulinda maslahi ya raia zake badala ya kujiweka mbali au kuzuia biashara hizi. Ni wakati ambao unaenda mbele ndio maana kuna nchi ambazo benki kuu zinachukua jukumu la dhamana kwa wateja. Suala la elimu ya biashara si hoja sana kwani watanzania wangapi wanafanya je wote wanaelimu ya biashara?
How pple are embracing AI it's funny..How do you trust something that you create and works under your command!!!..this AI thing is fancy but a huge no for humans
Niliacha kuweka pesa MTFE baada ya kufuatilia nikaiona ipo Asia na Africa, Ulaya na Amerca ikawa haipo wakati makao makuu yao walikuwa wanasema yapo Canada na wanasema wapo miaka mingi bara la Ulaya ila ukifuatilia hauoni watu wowote waulaya walioweka fedha kwenye hiyo kampuni hata watu wa Canada huwaoni kila siku utaona tuu watu wa Bangradesh, india na nchi zingine kadhaa za Asia na Africa kwa ujumla.... Kiufupi wamepiga mkwanja kwenye nchi ambazo bado zinajitafuta kimaendeleo nchi zilizoendelea hawajaweza kuingia hawa Wehu.... Nilipoona hivyo tuuu nilitoa pesa yangu miez sita iliyopita.
😂😂😂😂😂 no free lunch guy work u ass up and fight for urself not kitonga trading haijawah kuwa nyepesi hvyo ........ Fx can change ur life totally😂😂😂😂😂 wether in -or+ way😂😂😂😂😂 RIP MURIFEEE😂😂😂
😄😄 Namuhurumia rafikiangu sana maana aliamua hadi kuacha chuo na alinishawishi sana nijiunge tangu 2021 but niliamua kubase kujifunza Forex, i knew huu ulikuwa upuuzi wa muda
Ndugu zangu mtajifunza lini kweli pesa ilivo ngumu😢😢😢 mim mwenzenu naogopa kumpa mtu pesa yangu isee Mungu a nisaidie
Jamaa anajua anachokiongea big up!!
Natamani kila kitu atangaze yeye
kabisa
Dah asante Mungu kidogo tu nijiunge
wabongo ni watu wa ajabu sana, huwez kumpa mtu access ya pesa yako, password na kila kitu utegemee faida. Let them learn...!!
Kwa kwerii dahaaa
DP world jajaj
Lakini sio wabongo tu walio invest....😊
Forex is real na ni kweli inaleta faida kulingana na mtaji. So ni biashara ya kuiheshimu because inahitaji mtu awe amesoma sana na kuielewa vizuri. Ni 5% tu ya waliosoma ndo wakitrade wanafanikiwa. Wengi kinachowaponza ni ukosefu wa maarifa. Hakuna pesa nyepesi duniani. It needs sacrifice.
Poleni sana, nawakaribisha royal Q pesa ya unamiliki mwenyewe waweza toa muda wowote ule
Watanzania,imewapasa kuitii sauti ya kwanza ya msisitizo ndani ya mioyo yenu,juu ya jambo lolote lililo jema ndiyo hua sauti ya Mungu kabla hamjafanya maamuzi,kwani mkiipuuza,Sauti ya pili inayofuata hua ni ya Adui Kwa hiyo lazima tu itakuleta matatizo,Mungu awabariki, #Nabii #Andrew #Mhondela🙏.
when the deal is too good think twice!
Definitely
mie nawaaaaaambiaga hakuna ela ya bure kwenye hiii dunia bora ela yako ule kuku tu au bata ijulikane uikua kuliko kumoa mtu.
Ukiambiwa njoo huku kuna fursa ujue wewe mwenyewe ni Fursa, kama unataka kufaidi pesa za Forex jifunze kwa undani ujue ufanye nini sokoni yaani hauna Skills za ku trade alafu unataka upate faida za haraka haraka 😅😂 wanangu wachache niliwaambia lakini leo wanaangua kilio, wajifunze na kujifunza ni gharama hakuna cha bureeee.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mi nacheka ka mazuri😂😂😂😂😂ila binadamu hatujifunzi kuachana na haya mambo😂😂😂simuweke pesa zenu benki fixed account😂😂😂au nunueni hisa,wekezeni,lakini watu hawaskii
Kidogo ni jiunge duuu ahsante mungu
Kuna mapimbi walinitukana kwenye group kisa hii takataka sasa leo hii matusi yao yamewarudia wenyewe 😂😂😂😂😂
Walikuwa wanaringa hawa mapimbi waliojiunga na huu upuuzi mimi walinijibu nyodo nikasema huu ni ushetani yawezekana Mola ananiepusha maana km kweli ni cha Mola hikii vya Mungu havinaga ugumu na kusuguana hee baada ya wiki wamepigwa 😅😅😅😅😅
Tunapenda mtelemko Sana wa che wapigwe tu sisi watanzania hatukomi manyumbu hayaishi
Kuna binti wa kizungu aliniganda nijiunge yan mpaka sim kila siku vdeo call alifanya kila kitu nikamwambia sina elim ya kutosha akapambana kunipa elim haikuniingia mwishowe akawa anitafuti tena
Jaman nimepigwa ela ndefu kweli nipo naugulia maumiv2
poleeee😢😢
Hiyo MTFE nimeiona na marafiki wangu tokea Bangladesh mahali nilipo
Watajifunza sasa.. wanapenda urahisi sana.
Hizi stories zinazidi kuniweka mbali na hizi mambo za digital marketing
When everyone join, Quit
When everyone quit, Join
Kwa hiyo wabongo walishasahau klynda 😂😂😂😂😂 wakaingia tena
Aiseee
Kuna bina trade mimi mwenyeww nilipigiwa dolla40000😅😅😅😅 kumamae staki hata kusikia huu upuuzi
Nimekumbuka deal1
Na watu wataendelea kupigwa mpaka mwisho wa dunia😂
😂😅
Mmmm Pole xn mimi nilito pesa yang mapema doll 250
Idea Debeter taught me a lesson😂 ....Try to learn the hard way, INALIPA
Nilipigwa na Idea debeter kofi la koo 😂😂😂😂
show kali mkuu😂😂...siez sahau
show kali mkuu😂😂...siez sahau
Yaani ilikuwa kidogo tu nijiunge na Hii Kitu...Aliyekuwa ananishawishi nilimuambia anipe muda nijitafakari na kuifuatilia Kwanza 😅😢
Dhaaaaaa na mm pia
Daah kuna mtu alinifata telegram alinishawishi ni jiunge ila nilicheza 🙏
😂😂😂😂😂😂 fantastic kukuta wamepigwa hadi walimu walioyafundisha shule ya msingi na sekondari 😅😅😅😅😅😅😅
kina kitu inaitwa kylinda jamani tuliopigwa na kylinda ilikuwa inatangazwa had ITV inatangazwaa 😂 nikajiunga wee wat tulipigwa
Mbona hamuongei kuhudu Tariq ( mr kuku) yupo kigamboni kaibia watanzania wengi sana
Jama naona unajua unachosema business hiyo ni peer to peer. Afrika kusini watu wengi wanaibwa Sana every single day
Last year most of my friends were convincing me to join and then i refused because i knew how forex works
Hiyo co forex
Bado itakuja nyingine na watu watapigwa
Scatec walipigwa
Idea debtor
Kalyanda
Sahizi EMutifweee wamepigwa, kuna nyingine itakuja na watu watapigwa....
Hapo kwenye idea debtor😂😂😂
IT washafanya yaooo😂😂😂
Atary sana duh kunaitajika kaelimu kwenye network marketing
Nacheka huku naogopa 😂😂
Sijiungii 😂😂 bora hiyo pesa nitumie kubet
Walioanza zaman wamepiga hela sanaaaaaaa
Mim mwenyewe mmoja wa waliopigwa kwakweli wametuliza tufanye KAZI vijana tuache shortcut
kama namuona mtu alienishawishi tangu mwaka jana nahakuchoka mpaka leo nasikumsikiliza 🙏🙏🙏 asante mungu
😂😂 Atakuja kapoa balaa
atakuwa amepata pesa za kutosha shida ni ambao hawakufika 6 weeks ndio wamelizwa
Mi nilisema jamani hao wezi 😁Asante mungu🙏🙏Kwa akili uliyo nipa duuuuh
Pesa nyingi dah😢
Nafundishaa forex jamni😂😂😂😂
Sky naomba namba ya huyu jamaa nimependa sana elimu yk kuna vitu anieleweshe
Halafu nilichogunduaga mimi ukiwa hujihusishi na hizi mambo huwezi kutana nazo hata mitandaoni hizi mambo mm sikutanagi nazo zaidi ya kuona hapa kwa SnS
MIMI SIACHI ACHA NIPIGWE TU SITAKI ELIMUUU NATAKA KUPIGWA😂😂😂
😂😂😂
Haya haya
Kuna bestie yangu aliniambia, nikamtumia na link ya kwamba ni utapeli kbs na imewaliza wahindi muda sn...hakuamini...uzuri aliweka hela na akavuna za kutosha....
Hukutamani na wewe kuvuna?
@@vedastokeya3344 nilitamani but sikushawishika maana Kila nilipoifanyia research niliona ni utapeli....
Kuna wale wanajiita bilionea forex. Wanauza robot inaitwa Tinga tinga robort hao ni matapeli... ushauri wangu someni forex acheni uvivu wa kutaka vitu kirahisi
Berry
Ujunga na tamaa zimewazidi juzi tu kalinda leo mtfe 😀😀
Ss tulio weka hela mwishoni ndio tumelia vibayaaaaa😭😭😭
*Izi ponzi schemes kama Kalynda, Mtfee, na bado zitakuja zingine zaidi,sio za kuziamini kabisaa, tuendelee kulima⚡*
Kwani simwaka jana tu,upatu uliliza watu kwenye kalinda, bado tu mmo
Kuna mwingine anitwa frank anachezesha pitcoin ni mwiz Yuko america na anawambia watu wa east Africa watumie namba ya Kenya kudiposit plz msimwamini ni mwiz mwiz Yuko huko teregram😢
Mbona tulio pata pesa amtusemi tupo tunakula bata sisi wengine lisiki teka
Akuna pesa ya buree duniani . Wazungu wao wanaijuwa pesa.
alafu watu kama hawa wanakuja kukwambia eti forex is scam, wanajua eti kuwekeza ela kwenye makampun eti ndo forex
Mbona forex ipo toka mda mpaka mda huuu tatzo wote muliopugwa hamuijui forex mnakurupuka tuuuuuu
Litatipa2 kama kalinda 😂
Kweli litapita
Mie toka nione best angu kimrambe sitkagi hata mtu a niambie bis online 😂😂😂
Hoja ni nchi kuchukua hatua kusaidia jamii namna salama ya kulinda maslahi ya raia zake badala ya kujiweka mbali au kuzuia biashara hizi.
Ni wakati ambao unaenda mbele ndio maana kuna nchi ambazo benki kuu zinachukua jukumu la dhamana kwa wateja.
Suala la elimu ya biashara si hoja sana kwani watanzania wangapi wanafanya je wote wanaelimu ya biashara?
Serikali ilishakataza mambo ya mtandaoni kwahiyo hawana chakusema wala kufanya maana walishakataza
Hatuwezi kujitenga na biashara hizo coz dunia ipo huko kwa sasa la msingi ni kuweka rules and regulations under control of B o T
😭😭😭😭😭walichotufanyia. Acha tyuu jaman
mkome maana ni vichwa maji
@@iwambimpya1924 wamekula pesa zakoo. Mbwa we
poeee😢😢😢😢
Another one!!! Kaka Tuacheee tupigwe..
😂Tunapentaaaa🤣
Nimefurahi. I wish one day niwapige wajinga wengne soon😂😂
Thanks sns for the knowledge and information
MTFE ni Stokvel business. Walikuwa wanalipana wenyewe achaniseme kama vile vikoba sujui mnanielewa
Duuh watu wajanja KkMk 🤦♀️
Pesa Zangu jamn...... Leo.. Sina... Kitu
Ila watanzania mmesahau kaylinda kwer,,duuuuh mijitu mijinga kwer kwer
Tatzo tunavamiaga kila kitu 😂😂😂mimi niliiwacheki
Mozambique pia wamepigwa walikuwa wanajiita KAMPALI
Lazim tuzingatie maokoto😁
Tayari tena 😂😂😂😂😂
Daah jamaa wiki 2 alinishawishi nijiunge😂😂😂😂
watu wamechika kuiba kwa lisasi
Walionisikilzaga siiku 60 kabla awakupotezaga
How pple are embracing AI it's funny..How do you trust something that you create and works under your command!!!..this AI thing is fancy but a huge no for humans
WATANZANIA WENGI WAZEMBE SANAA.., WANATAKA MTELEMKO WA PESA CHAP CHAP.....BRAZA WATU WAUMIZE VICHWA KUBUNI MIRADI 😅😅😅
Na bado mamae😂 bongo kuna watu mijinga sana yani hata kujifunza haitaki😂
Niliacha kuweka pesa MTFE baada ya kufuatilia nikaiona ipo Asia na Africa, Ulaya na Amerca ikawa haipo wakati makao makuu yao walikuwa wanasema yapo Canada na wanasema wapo miaka mingi bara la Ulaya ila ukifuatilia hauoni watu wowote waulaya walioweka fedha kwenye hiyo kampuni hata watu wa Canada huwaoni kila siku utaona tuu watu wa Bangradesh, india na nchi zingine kadhaa za Asia na Africa kwa ujumla.... Kiufupi wamepiga mkwanja kwenye nchi ambazo bado zinajitafuta kimaendeleo nchi zilizoendelea hawajaweza kuingia hawa Wehu.... Nilipoona hivyo tuuu nilitoa pesa yangu miez sita iliyopita.
Hata dubai wamepigwa na ni more developed
😂😂😂😂😂 no free lunch guy work u ass up and fight for urself not kitonga trading haijawah kuwa nyepesi hvyo ........ Fx can change ur life totally😂😂😂😂😂 wether in -or+ way😂😂😂😂😂 RIP MURIFEEE😂😂😂
Kwa sasa siwezi kufanya investment yoyote inayohusu forex. Ni upumbavu mtupu. Ponzi scheme ni utapeli mkubwa.
Forex sii utapeli tafuta elimu ya kutosha .
Forex sio utapeli bro but watu wanatapeli watu kupitia forex
Ukiwahiwa ni sawa ila ukiwahi unafaidi
Je Pinterest ikoje
Hiyo imeenda
Sky naomba namba ya Mentor huyo
Sisi watanzania shughuri zetu ni kilimo na ufugaji. Haya mengine wacha tupigwe tu
Kha😂😂
uwuii 😂
😂😂😂😂
Hawakomi,kwani kaylinda si ime waliza juzi tu?
Watu leo hii wamejiingiza tena baada ya kalynda😅
Hapo kwenye huwezi ku bet pesa ya mkopo 😂 hilo bana nikweli
😂😂😂😂wajinga ndo waliwao 😊😊😊mi bhana Mungu sijui kanipa mawazo gani hata kule TikTok naona vitu haviko sawa cjui kwanini😅😅😅😅
😂😂😂😂Hata mimi khaaaaaaaa nliingia sku moja nkafta dakika io io ani ni utumbo, masihara, mahaba tu na ngonongono na ushaur wa kingono
apo kwenye berry inanikumbusha mbali nilipigwa pesa ya ada ya shule
😄😄 Namuhurumia rafikiangu sana maana aliamua hadi kuacha chuo na alinishawishi sana nijiunge tangu 2021 but niliamua kubase kujifunza Forex, i knew huu ulikuwa upuuzi wa muda
Oi xx 2021 mpk now ajawa Tajiri tu aiseh
badoo hamjasemaa ,na mtaseeemaaa😅
How about binance
Kalynda part two
Mimi bado najifunza fx
It will take time 3+years if you put right effort n umept right knowledge
Naomba namba za huyo mwalimu aliyekuwa anatoa ufafanuzi