E.Mbasha Ft Bashando- Magufuli Jembe (official video)
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Magufuli Jembe ni moja ya nyimbo ya kukubali na kuunga mkono juhudi za raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli katika kulikomboa taifa kimaendeleo na kuwasaidia wananchi wake. Angalia video hii na washirikishe watanzania wengine wapenda maendeleo
Kazi nzuri sana mtumishi.
......LOVE IZ LIFE.......
kazi bola nasiyo bola kazi kwe hapa kazi tu
Kweli magufuli jembe hata wapinge atabaki kuwa jembe
Big Up...100% kaz nzur for our Nation na wapenda maendeleo
Brother upinzani hasa chadema watakuambia huwezi kuimba na ndyo hizo comments unazoziona zinakubeza lakni unahaki ya kumuimbia Rais wako au hata nchi yako Kwa ujumla kama ulivyohangaika kuwapigia kura ...big up mbasha
Wimbo mzri hongera sana 💪🙏🙏
Jembe ilo hongera kwako mbasha
Kweli magufuli ni jembe.kazi nzuri.
umetisha baba jembe kweli
umetisha Brother mbasha
Watakao kupinga wapizan kiukweli upo sahihi kwa tunaopenda maendeleo
KAZI KUBWA..🔥🔥🔥
Amenii
Adam nimemfaham kupitia comedy ya mkali wenu da pole sana kwakilicho kukita kaka
Moto moto moto
Mungu tusaidie wakuabudiwa ni MUNGU pekee
NIMEKUJA HUKU BAADA YA KUSHUHUDIA ULE MTAMA, Gonga like kama na ww upo kuona jinsi nyimbo ya jembe ilivyomdhalilisha kwa stage mbele ya halaiki😂😂😂😂
We nomaaaaa
Nyimbo ina ujumbe wa utawala wa magufuli......Salute shem
Ukovzur kamanakuona ulivokuja zenji
Hapa kazi tu
magufuli ni nini Jmnniiiweee big up bro❤💜💜💜💜💜💜💜🔇🔇🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mzalendo wa kweli
nime kuja kumu angalia Mbasha baada ya kuzibuliwa na Mchomvu tu basi ! sina ushabiki nae !
Nyumbani kumenoga toloka uje
Kuimba kaka huwezi kaa pembeni tu
Lakini ujumbe umefika! Hahahaha
Jamaa acha kuimba unazingua sana!
Ndoulichobakiza hicho mbasha. ...badala umsifu Mungu. ..unatumikia tumbo lako
Wimbo mzuri
Dah kila tm me nasikiliza aleselemaaaa alejaaaaa
Kama mtumishi hutakiwi kuwa na upande sababu siasa ni kitu kingine.Viongozi wa MUNGU wanawekwa na Nabii na hawapigiwi kura hilo ni wazo la watanzania na inawezekana kukawa na ukakasi wa matokeo sahihi sababu vyote ni maarifa ya watanzania na sio MUNGU.
Kama unaaaamini Afande Bright wa kwanza kucoment like hapa
OYOOOOO JEMBEEEEEEEEEE HATARI WEWEEEEEE DUH
Jembe
Nimekuja huku baada ya ule mtama 🤣🤣🤣🤣 pole broo MUNGU atakulipa
Waoooooh
Ukwel utajisimamia ata wakiudhohofisha umeonyesha uzarendo wa nchi yako kaka hakika together we can
Yeee yebabaaa
Ila mtamaaaa ulijitahidi hukudondoka kiurahisi
MAGUFULI SELEMAAAAAA........
Ovyoooooo nyoooooooo
Magufuli jembe kweli Mungu amtunze baba yetu
Naona umeishiwa
Matusi ya nn nawewe imba kama unaweza
Tumekuelewa
Kama unakubali kuwa E. Mbasha hajui kama wakulima wa korosho walirudishiwa korosho zao na wengine hawajalipwa mpk leo gonga like.
Yupo kitumbo zaidi
Hawa vijana sijui wanafanya nini hiki
Huyu mbasha anaimbaga gospel au simuelewi hata
Utamuelewa tu ukitanguliza tanzania kwanza
Uliza wewe.nkiuliza Mimi ntaonekana mnafiki
Baba mlezi😃
Wa kususiasusia awakosi kuongea basi hao ni kupinga tu ndio maendeleo yao
Mbasha umeanza lini USHOGA ndugu..
Maudhui ya wimbo ni mzuri lakini haujui kuimba
Wenye Tuko Dubai tugonge likes kwa huu wimbo
😂😂😂😂anaimbaau anasema kwa midundo😂
Mwenzetu veepe..umehamia EATEL kwani??Gospo umeiweka wapi?
Ni fursa pia
kaka mbona ulikua unaimba nyimbo za kumsifu MUNGU imekuaje tena au ndio kukengeuka .
Au ndo anahama hama mdogo mdogo
Jpm black prophet
Una4c mziki brother tafuta kazi nyingine ya kufanya, fursa zipo nyingi sio lazima uimbe.
Kwakweli kaka tafuta kazi zakufanya! Huu mziki unawenyewe! Siyo kuimba, siyo kurap! Hata sielewi! Rudi ktk kazi zako za zamani.
point ipo lkn kuimba hujui
Daaah kaka divorce yako na Flora bado inakuchanganya, haujatulia bado umepanic...ahahahaha..!!!
Gospo hailipi ,, njaa haina baunsa,, ,
Hujielewi ,, ndiyo maana yule dada alikupa taraka,,
umetisha baba jembe kweli