E.Mbasha Ft Bashando- Magufuli Jembe (official video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Magufuli Jembe ni moja ya nyimbo ya kukubali na kuunga mkono juhudi za raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli katika kulikomboa taifa kimaendeleo na kuwasaidia wananchi wake. Angalia video hii na washirikishe watanzania wengine wapenda maendeleo

Комментарии • 72

  • @mzeewakimbunga3769
    @mzeewakimbunga3769 5 лет назад +8

    Kazi nzuri sana mtumishi.
    ......LOVE IZ LIFE.......

  • @jamesboytz2930
    @jamesboytz2930 5 лет назад +10

    kazi bola nasiyo bola kazi kwe hapa kazi tu

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +9

    Kweli magufuli jembe hata wapinge atabaki kuwa jembe

  • @abdulkibaya8068
    @abdulkibaya8068 5 лет назад +12

    Big Up...100% kaz nzur for our Nation na wapenda maendeleo

  • @chambimagele6726
    @chambimagele6726 5 лет назад +10

    Brother upinzani hasa chadema watakuambia huwezi kuimba na ndyo hizo comments unazoziona zinakubeza lakni unahaki ya kumuimbia Rais wako au hata nchi yako Kwa ujumla kama ulivyohangaika kuwapigia kura ...big up mbasha

  • @estarjuma7983
    @estarjuma7983 4 года назад

    Wimbo mzri hongera sana 💪🙏🙏

  • @mjerumaninyandu7655
    @mjerumaninyandu7655 4 года назад

    Jembe ilo hongera kwako mbasha

  • @neemamabiki6164
    @neemamabiki6164 5 лет назад +13

    Kweli magufuli ni jembe.kazi nzuri.

  • @mussabulugu6501
    @mussabulugu6501 5 лет назад +8

    umetisha baba jembe kweli

  • @lulumasanga9686
    @lulumasanga9686 5 лет назад +9

    umetisha Brother mbasha

  • @zainabukhalifa3967
    @zainabukhalifa3967 5 лет назад +17

    Watakao kupinga wapizan kiukweli upo sahihi kwa tunaopenda maendeleo

  • @Zoempambo
    @Zoempambo 5 лет назад +8

    KAZI KUBWA..🔥🔥🔥

  • @amedeusmodestikimey9888
    @amedeusmodestikimey9888 4 года назад +1

    Amenii

  • @evaristirazalo7459
    @evaristirazalo7459 3 года назад

    Adam nimemfaham kupitia comedy ya mkali wenu da pole sana kwakilicho kukita kaka

  • @kauthariramadhani1526
    @kauthariramadhani1526 3 года назад

    Moto moto moto

  • @happyngulo2562
    @happyngulo2562 5 лет назад +3

    Mungu tusaidie wakuabudiwa ni MUNGU pekee

  • @saidnomano3667
    @saidnomano3667 4 года назад +1

    NIMEKUJA HUKU BAADA YA KUSHUHUDIA ULE MTAMA, Gonga like kama na ww upo kuona jinsi nyimbo ya jembe ilivyomdhalilisha kwa stage mbele ya halaiki😂😂😂😂

  • @ukaeafricafilms2394
    @ukaeafricafilms2394 4 года назад

    We nomaaaaa

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 5 лет назад +1

    Nyimbo ina ujumbe wa utawala wa magufuli......Salute shem

  • @happnasychalres4058
    @happnasychalres4058 4 года назад +1

    Ukovzur kamanakuona ulivokuja zenji

  • @salimsalum7796
    @salimsalum7796 5 лет назад +4

    Hapa kazi tu

  • @barackbayyo8821
    @barackbayyo8821 5 лет назад +3

    magufuli ni nini Jmnniiiweee big up bro❤💜💜💜💜💜💜💜🔇🔇🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yusuphsimon4656
    @yusuphsimon4656 5 лет назад +4

    mzalendo wa kweli

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 4 года назад

    nime kuja kumu angalia Mbasha baada ya kuzibuliwa na Mchomvu tu basi ! sina ushabiki nae !

  • @hassaniomary422
    @hassaniomary422 4 года назад +1

    Nyumbani kumenoga toloka uje

  • @emmanuelmwesongo7177
    @emmanuelmwesongo7177 5 лет назад +4

    Kuimba kaka huwezi kaa pembeni tu

  • @selemanemmanuel7257
    @selemanemmanuel7257 5 лет назад +2

    Jamaa acha kuimba unazingua sana!

  • @marcodavid4183
    @marcodavid4183 5 лет назад +3

    Ndoulichobakiza hicho mbasha. ...badala umsifu Mungu. ..unatumikia tumbo lako

  • @florencewangui2349
    @florencewangui2349 5 лет назад +1

    Wimbo mzuri

  • @anejunior1102
    @anejunior1102 5 лет назад +1

    Dah kila tm me nasikiliza aleselemaaaa alejaaaaa

  • @Limbakale260
    @Limbakale260 5 лет назад +1

    Kama mtumishi hutakiwi kuwa na upande sababu siasa ni kitu kingine.Viongozi wa MUNGU wanawekwa na Nabii na hawapigiwi kura hilo ni wazo la watanzania na inawezekana kukawa na ukakasi wa matokeo sahihi sababu vyote ni maarifa ya watanzania na sio MUNGU.

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 лет назад +2

    Kama unaaaamini Afande Bright wa kwanza kucoment like hapa

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 лет назад +5

    OYOOOOO JEMBEEEEEEEEEE HATARI WEWEEEEEE DUH

  • @mgishajafali9904
    @mgishajafali9904 5 лет назад +2

    Jembe

  • @georgeelnico4784
    @georgeelnico4784 4 года назад

    Nimekuja huku baada ya ule mtama 🤣🤣🤣🤣 pole broo MUNGU atakulipa

  • @leahjames4415
    @leahjames4415 5 лет назад +1

    Waoooooh

  • @emmanuelhwago7879
    @emmanuelhwago7879 5 лет назад +8

    Ukwel utajisimamia ata wakiudhohofisha umeonyesha uzarendo wa nchi yako kaka hakika together we can

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 лет назад +1

    Yeee yebabaaa

  • @ukaeafricafilms2394
    @ukaeafricafilms2394 4 года назад

    Ila mtamaaaa ulijitahidi hukudondoka kiurahisi

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 5 лет назад +1

    MAGUFULI SELEMAAAAAA........

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 5 лет назад +3

    Ovyoooooo nyoooooooo

  • @amirfaizi9453
    @amirfaizi9453 4 года назад +1

    Tumekuelewa

  • @petertengaa9685
    @petertengaa9685 5 лет назад +8

    Kama unakubali kuwa E. Mbasha hajui kama wakulima wa korosho walirudishiwa korosho zao na wengine hawajalipwa mpk leo gonga like.

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 5 лет назад +1

    Hawa vijana sijui wanafanya nini hiki

  • @lightnessjoseph5608
    @lightnessjoseph5608 5 лет назад +7

    Huyu mbasha anaimbaga gospel au simuelewi hata

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 5 лет назад +2

      Utamuelewa tu ukitanguliza tanzania kwanza

    • @leylasaid2616
      @leylasaid2616 5 лет назад

      Uliza wewe.nkiuliza Mimi ntaonekana mnafiki

  • @barakajulius4775
    @barakajulius4775 5 лет назад +1

    Baba mlezi😃

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 5 лет назад +4

    Wa kususiasusia awakosi kuongea basi hao ni kupinga tu ndio maendeleo yao

  • @kabaruajaneth5176
    @kabaruajaneth5176 5 лет назад +1

    Mbasha umeanza lini USHOGA ndugu..

  • @salimsalum7796
    @salimsalum7796 5 лет назад +2

    Maudhui ya wimbo ni mzuri lakini haujui kuimba

  • @florencewangui2349
    @florencewangui2349 5 лет назад +1

    Wenye Tuko Dubai tugonge likes kwa huu wimbo

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 5 лет назад +3

    😂😂😂😂anaimbaau anasema kwa midundo😂

  • @leylasaid2616
    @leylasaid2616 5 лет назад +2

    Mwenzetu veepe..umehamia EATEL kwani??Gospo umeiweka wapi?

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 5 лет назад +1

    Ni fursa pia

  • @albertremmy2177
    @albertremmy2177 5 лет назад +2

    kaka mbona ulikua unaimba nyimbo za kumsifu MUNGU imekuaje tena au ndio kukengeuka .

  • @robertdaud9894
    @robertdaud9894 5 лет назад

    Jpm black prophet

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 5 лет назад +2

    Una4c mziki brother tafuta kazi nyingine ya kufanya, fursa zipo nyingi sio lazima uimbe.

  • @johnsonmiasi5677
    @johnsonmiasi5677 5 лет назад +2

    Kwakweli kaka tafuta kazi zakufanya! Huu mziki unawenyewe! Siyo kuimba, siyo kurap! Hata sielewi! Rudi ktk kazi zako za zamani.

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 5 лет назад +1

    point ipo lkn kuimba hujui

  • @victorianbenardnachenga6839
    @victorianbenardnachenga6839 5 лет назад +1

    Daaah kaka divorce yako na Flora bado inakuchanganya, haujatulia bado umepanic...ahahahaha..!!!

  • @mussabulugu6501
    @mussabulugu6501 5 лет назад +6

    umetisha baba jembe kweli