Amen dada watu wamekua wahukumu,mwengine aliniambia kwanini haukufi wengine wanakufa ukibaki kwanini😂😂 nikaanza kujiuliza kwani yeye ni mungu,sababu mungu ndio peke yake hakufi
Ubarikiwe sana dada nakupenda sana na nakuombea mema na ninafuatilia Nyimbo zako zote. Mungu akuifadhi katika huduma..na kwa maono mazuri..na neno la kutia Moyo..God anoint You more ♥ Have a blessed 🙌 day.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu ulipopungza Mungu apajalze zaidi na zaidi mimi na barikiwaaa tu🔥🔥🔥
Mungu akubariki mutumishi wa Mungu kwa neno nzuri, kweli mimi inajenga moyo wangu vraiment Mungu akuongoze mafuta na upako🙏
Mungu akubariki dadaangu Martha kwa onyo kubwa unayo tupa kwa nyimbo kila siku ubarikiwe Daima,Adam Bin Smith kutoka mjini drc congo beni tawn.
Yah.be blessed man of God umenibariki sana dada angu 🙏🙏
Mungu nisamehe kwa kuhukumu wenzangu.!?🙏 Thank you God bless you 🙏
Message to someone~~Just breathe and know it's going to be well 👍 usihukumu wala kumdharau mwingine msubiri mwenyezi Mungu Amen 🙏 God bless you Martha
Wimbo na mafunzo yako hunibariki sana,kwa wema wa Mungu azidi kukubariki sana,amen
Mungu akubariki palipo toka hayo paongezeke zaidi na zaidi 🙏🙏🕊💕💕🔥
Amen mummy nashukuru Mungu sana kwa ajili ya mafundisho mema ubarikiwe🙏🙏 love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Amen dada watu wamekua wahukumu,mwengine aliniambia kwanini haukufi wengine wanakufa ukibaki kwanini😂😂 nikaanza kujiuliza kwani yeye ni mungu,sababu mungu ndio peke yake hakufi
Asante basi mungu ahongeze tena , power message
Amen Kenya twakupenda sana nyimbo zako huni bariki na kunipa tumaini sana
Mungu,nimwema
My mummy mungu akukubuke na wwe Asante kwa neno my sweet mum
Amen nice message love songs 🙏🙏🙏 God bless more and more
"Kila maisha ya mwanadamu yako mikononi mwa MUNGU"".Dada hujakosea Barikiwa sana
🙏🙏🙏
Amen
Asante kwa kunikumbusha; Mungu akutunze matha
Amina dada nakuelew sana dada yang Mungu azid kukuongz
Ubarikiwe sana dada nakupenda sana na nakuombea mema na ninafuatilia Nyimbo zako zote. Mungu akuifadhi katika huduma..na kwa maono mazuri..na neno la kutia Moyo..God anoint You more ♥ Have a blessed 🙌 day.
Amen ....iyo tabia nimekuwa nayo lkn kuwanzia leo naiwacha naanza ukurasa mupyaa.
Amen ,,,,amen mtumish barikiwa sanaa
Amen,,,,thanks again for reminding me that ishould not judge anybody
Kabisa,Dada umesema ukweli kwa sababu haujui ya kesho.
Lesson learned ,God bless you
Ameen mum mungu akubariki sana
Amen my mum umenigusa kwa huu ujumbe
Amen! true indeed Mungu wetu ainuliwe juu sana, Asante mama Kwa ushauri mzuri ubalikiwe sana dada
Ndagha dada Mungu akubariki
She's my favourite artists. God bless
Dada mungu ametumia kutupa ujembe.
Mungu anakutumia kutupa ujumbe
Amen thanks for this so informative
Amena Dada angu kipenzi ❤️
Kweli dada umesema ukweli barikiwa sana kwa huduma ya mungu
I love your music 🎶 GOD bless you my celeb
wapendao hukumu dawa hapa, ubarikiwe dada
Asante sana Mama Martha 💃🇨🇩
Amen and amen hiyonikweli kbsa
Amen thanks for the greatest message 🙏
Amen Martha, nazipenda Ujumbe wako
Thank you for information may the word of God be glorified always
Amen momah ,, binafsi nmejifunzaa
Ameeen.!?🙏🙏 Ahsante Mungu akubariki.!!🙏🙏🙏
Amen God bless you with this message
Amina mutumishi ubarikiwe
Barikiwa Mtumushi
Amen mum, umenibariki sana 🇨🇩🇨🇩
Amen sana mtumishi
Balikiwa dada angu martha
Hallelujah! Powerful message
Hallelujah hallelujah nimefunguliwa
Amen dada
Hallelujah
Be bless sana for good song
Amen
👂, wise words
Ni kweli usemavyo ila wanadamu tunafanya vitu ambavyo atujui mwisho wetu utakuwaje akuna asietenda dhambi kwaiy tusiukumu
Nikweli kabisa, asante sana
Waelezee tena.
Amen
Amina
Ni kweli Martha .... Mungu akuzidishie.
Ni kweli kabisa mwanangu
Ukweli mtupu.
Ameeen
❤
🙏🥰🥰🥰💝
Mambo
Mungu akubariki mutumishi wa Mungu kwa neno nzuri, kweli mimi inajenga moyo wangu vraiment Mungu akuongoze mafuta na upako🙏
Amen
Amen dada
Hallelujah
Mungu akubariki mutumishi wa Mungu kwa neno nzuri la faraja, kweli inajenga moyo wangu vraiment Mungu akuongeze mafuta 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen