COY MZUNGU,KAGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 мар 2023
  • #chekatu,#standupcomedy,#Swahili,#Coymzungu,#Diamondplatnumz,#jolmaster,#dogosele,#comedy
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 34

  • @daluckyFinancialServices
    @daluckyFinancialServices Год назад +4

    Nyie cheka tu design kama ni wapumbavu show ikishapita wekeni full show hapa sio mnatuletea vipisi vipisi acheni ushamba

  • @abihudijohn8909
    @abihudijohn8909 Год назад +6

    COY mzungu is only MC not comedian, acheka cheka tu 😂

  • @goodluckluck7862
    @goodluckluck7862 Год назад +2

    Dah hii wiki mmechelewa mambo aisee
    Sema cheka tu nawapenda sana
    Famchezo wew😂😂

  • @andrewaloyce5954
    @andrewaloyce5954 Год назад +2

    unaudhi we jamaaaa,,, hamna kityu unajua

  • @valyagraphicstz799
    @valyagraphicstz799 Год назад +3

    Wamezifuta au hazichekeshii🤣🤣

  • @mathiasshayo6348
    @mathiasshayo6348 Год назад +12

    Ifike pindi muwe mnaweka zile big shows tena full length maana MB tunazo

  • @atanasiangonyani7393
    @atanasiangonyani7393 Год назад +3

    Coy sio mchekeshaji

  • @chrissyateri8413
    @chrissyateri8413 Год назад +2

    Mbn mnachelewesha video tutakuwa hatuangalii ss

  • @marhamephrahym275
    @marhamephrahym275 Год назад +2

    Mbona mnachelewesha kuweka video jaman

  • @godfreysangawe5489
    @godfreysangawe5489 Год назад +1

    Coy materials yako bado kdg...we ungebak km muitaji wa wachekeshaj tu

  • @athumanichamzuri3844
    @athumanichamzuri3844 Год назад +2

    Video za tarehe 03 ziko wapi..... nyieee

  • @hgclforest5759
    @hgclforest5759 Год назад +1

    Post show zile kubwe mzofanya sisi wa mikoani mb tunazo sio vi clips iv kila cku

  • @nassprincetz
    @nassprincetz Год назад

    Coy ni mc sio comedian

  • @elikanaiamosi5229
    @elikanaiamosi5229 Год назад +1

    Nliwasubiri Sana

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Год назад +1

    Chaka tu alikuwa zamani saiv nikukenua tu meno nje

  • @simonbudeba4748
    @simonbudeba4748 Год назад +1

    Talented

  • @malakimdangu8800
    @malakimdangu8800 Год назад +1

    xafiii

  • @jameskishamawe7256
    @jameskishamawe7256 Год назад

    Cheka tu mbona mna mambo ya kiwaki sanaa mnazidiwa mpaka na unitalent show, ngoja tu aya makali makali ni yamezee moyoni

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +1

    Coy wacha kiingereza Soma comment kwanza Kuna mtuu kasema ufanyee namna uweke zilee big show's Mb tunazoo tuta anaglia2 unaona venye Churchill inabamba mzeee hii kidogo inapunguza Utamu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад

    Nilijua ni mim sijaziona za tarehe 3 kumbe yupo wengi Sana.

  • @rahimutembo6141
    @rahimutembo6141 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Год назад

    Coy nikushauri,
    Tumieni platform hii ya online kuingiza hela nyingine kupitia matangazo ya wadhamini hasa kwa kuweka full clips baada ya kuingia dau na wadau wa matangazo (MSIRUSHE BURE)

  • @dianerditto
    @dianerditto Год назад

    Hahahaa coy hyo story ya mama ni mamangu kabisaaa et status za whtsp ni wamemtumia wote

  • @jackloxley2865
    @jackloxley2865 Год назад +2

    Yani mnazingua video za tarehe 3 zikowap😥

  • @jameskishamawe7256
    @jameskishamawe7256 Год назад

    Mnatuwekea matangazo ya show harafu hamzirushi kwa wakati, mnakanyagwa nini nyie, mnapikichwaa nn nyie