Mashallah tabarakaallah madam Leila me mzaliwa wa Kenya nakufwatilia napenda husia wako mabinti walifwata njia na mfuml wa kuishi kiislamu kama mwanamke mwenye unyenyekevu na majukumu anayo takiwa afanya bila malumbano itapendeza zaidi na hata wasio Kuwa waislamu watafwata njia hiyo nzuri na mabinti wote watakuwa wamefaulu na wanao pia dadangu Leila Allah akupe kheri na hekma na aongeze elmu tupate mengi kutoka kwako 😘 nakupenda dadangu kheri zikufwate ❤
Masha Allah Allah barik. Wallah ushauri mzuri . Na haswa huu wakuupata ndani ya dini .Allah awazidishie elimu yenye manufaa nawapenda sana kwa ajili ya Allah . sweden
Masha Allah Maneno wasia Mzito sana katoa sheikh Izudin wakuandikwa kwa wino wa kuhifadhika Karne baada ya Karne.
Mashallah tabarakaallah madam Leila me mzaliwa wa Kenya nakufwatilia napenda husia wako mabinti walifwata njia na mfuml wa kuishi kiislamu kama mwanamke mwenye unyenyekevu na majukumu anayo takiwa afanya bila malumbano itapendeza zaidi na hata wasio Kuwa waislamu watafwata njia hiyo nzuri na mabinti wote watakuwa wamefaulu na wanao pia dadangu Leila Allah akupe kheri na hekma na aongeze elmu tupate mengi kutoka kwako 😘 nakupenda dadangu kheri zikufwate ❤
Shukran sana
Ma sha Allah ukumbusho mzito ❤❤❤❤
Masha'Allah Madam laila .Nasaha, ushaur wko unatufunza na kutupa mwamko mpya wakujitathmin kuyaendea mambo kwnye maisha.
Mashallah tabaraka llah madam lela nakufatilia nakushukuru manena yanafaida sana
Mashaallah, madam lela ivi mtu akitaka kuwasiliana naww mojakwamoja anakupataje
Masha Allah Allah barik. Wallah ushauri mzuri . Na haswa huu wakuupata ndani ya dini .Allah awazidishie elimu yenye manufaa nawapenda sana kwa ajili ya Allah . sweden
Ameen 🤲🏽
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri
Jazaka Allah khayran
mada nzuri sana hongereni sana
Maashaalh tabara Allah
Twawapegiza sana Allah awabar ❤❤🙏🤲
Ameen
Shukran sana madam ❤
Mashaallah
Allah akubarik kwa unachokifanya na akujaalie ufanye kwa ajil yake
Aamiin 🤲🏽
❤❤
Kwahiyo Mtume S.A.W alikunywa maziwa akiwa kasimama?
Nataka kuja ofisini kwako madam
Karibu sana
❤❤❤❤❤
❤