Utakapoamua kuolewa wapata faida moja hasara 100

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Mahojiano na Sheikh Izudin Alwy(Mwenyezi Mungu amhifadhi) kutoka nchini Kenya.
    Sehemu ya Pili

Комментарии • 24

  • @lamuchidon7643
    @lamuchidon7643 День назад +1

    Masha Allah Maneno wasia Mzito sana katoa sheikh Izudin wakuandikwa kwa wino wa kuhifadhika Karne baada ya Karne.

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 4 дня назад +3

    Mashallah tabarakaallah madam Leila me mzaliwa wa Kenya nakufwatilia napenda husia wako mabinti walifwata njia na mfuml wa kuishi kiislamu kama mwanamke mwenye unyenyekevu na majukumu anayo takiwa afanya bila malumbano itapendeza zaidi na hata wasio Kuwa waislamu watafwata njia hiyo nzuri na mabinti wote watakuwa wamefaulu na wanao pia dadangu Leila Allah akupe kheri na hekma na aongeze elmu tupate mengi kutoka kwako 😘 nakupenda dadangu kheri zikufwate ❤

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 4 дня назад +3

    Ma sha Allah ukumbusho mzito ❤❤❤❤

  • @ramagwama
    @ramagwama 4 дня назад +2

    Masha'Allah Madam laila .Nasaha, ushaur wko unatufunza na kutupa mwamko mpya wakujitathmin kuyaendea mambo kwnye maisha.

  • @KhadijahAlhajry
    @KhadijahAlhajry 3 дня назад

    Mashallah tabaraka llah madam lela nakufatilia nakushukuru manena yanafaida sana

  • @BimAlisali
    @BimAlisali 3 дня назад

    Mashaallah, madam lela ivi mtu akitaka kuwasiliana naww mojakwamoja anakupataje

  • @MariamAlly-h8w
    @MariamAlly-h8w 4 дня назад +1

    Masha Allah Allah barik. Wallah ushauri mzuri . Na haswa huu wakuupata ndani ya dini .Allah awazidishie elimu yenye manufaa nawapenda sana kwa ajili ya Allah . sweden

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 4 дня назад

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri

  • @a.856
    @a.856 3 дня назад

    Jazaka Allah khayran

  • @khalifaabdallah2628
    @khalifaabdallah2628 4 дня назад

    mada nzuri sana hongereni sana

  • @FaithiRinje
    @FaithiRinje 2 дня назад

    Maashaalh tabara Allah
    Twawapegiza sana Allah awabar ❤❤🙏🤲

  • @AshuraOmari-k1c
    @AshuraOmari-k1c 4 дня назад

    Shukran sana madam ❤

  • @KhadijahAlhajry
    @KhadijahAlhajry 3 дня назад

    Mashaallah

  • @Ramadhwan7
    @Ramadhwan7 4 дня назад +1

    Allah akubarik kwa unachokifanya na akujaalie ufanye kwa ajil yake

  • @HabibaHhh-t7c
    @HabibaHhh-t7c 4 дня назад +1

    ❤❤

  • @ZiPa-x9x
    @ZiPa-x9x 3 дня назад

    Kwahiyo Mtume S.A.W alikunywa maziwa akiwa kasimama?

  • @abdihussein6803
    @abdihussein6803 3 дня назад

    Nataka kuja ofisini kwako madam

  • @NiyingabiyeAlinaisha
    @NiyingabiyeAlinaisha 4 дня назад +1

    ❤❤❤❤❤