TAZAMA BAJAJI KAMA RANGE, INAUZWA MILIONI 13, SPEED 120, SITI NNE, TAIRI NNE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 270

  • @kuluthumuzalari
    @kuluthumuzalari 9 месяцев назад +8

    Kwa kweli hii habari nzuri sana,lla baada ya kumtaja Mama nimefika nduki.

  • @FaridiMohamed-dd4hr
    @FaridiMohamed-dd4hr 9 месяцев назад +9

    Wengi kwenye comment naona wanaandika roho mbaya tu kama rahisi c mtengeneze za kwenu ckujui hunijui ila kaz nzur brother mungu akutangulie katika kazi yako

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 8 месяцев назад +2

    Jitihada za😀😀😀😀🙌🏿🙌🏿

  • @ankoharunacomputers9709
    @ankoharunacomputers9709 9 месяцев назад +1

    Watoto wa Range hao.. But gharama ipo juu sana... Bora umenunua hata Gari linaloeleweka.

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 9 месяцев назад +5

    Mzee Umevaa Tshet Hio Umeletewa Na Mzamini Nini Uvae Unavyotangaza Bajaji Huo Upinde😹😹

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 9 месяцев назад +4

    Kwa USA 🇺🇸 si kweli hakun mamb kam hayo. Labda huko china 🇨🇳

    • @TheDonn007
      @TheDonn007 7 месяцев назад

      Bora hata na wewe umesema😂😂😂 maana hananikela kila akitaja akisema ziko marekani

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 9 месяцев назад +5

    Tanzania ndio wanaroho zamajaribio

  • @AllyFazili
    @AllyFazili 7 месяцев назад

    bajaji Iko vizuli sana tunaletewa changamoto mafundi

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 9 месяцев назад +4

    MashaAllah ❤ kazi nzuri

    • @hot2music
      @hot2music 9 месяцев назад

      ruclips.net/video/fEjoxeRyNKU/видео.htmlsi=0rz7ABFTq-HfEnJZ

    • @allyniga5889
      @allyniga5889 9 месяцев назад

      ilove u

  • @vanny387
    @vanny387 9 месяцев назад +1

    Izo Babaj uku south africa ziko nyingi sanaa lakini zinamwonekano kamo uyo ila zina langi la jaune

  • @TheDonn007
    @TheDonn007 7 месяцев назад +1

    Hakuna kitu kama hicho marekani
    Hapo umetudanganya

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 9 месяцев назад

    ❤❤❤mashallah

  • @Stan-103
    @Stan-103 9 месяцев назад +43

    Huyu jamaa ni mhuni sana😂😂 hii gari inaitwa "BAJAJ AUTO RE60 " yeye kachukua bodykit za mchina za kma range, ndo anatuokota zipo Marekani

    • @frankezakayo4447
      @frankezakayo4447 9 месяцев назад +1

      ASA wewe nae mbona unafahamu yote hayo!!!

    • @shaqdizo7678
      @shaqdizo7678 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 huku marekani hata sijawahi kuziona

    • @revmwakifwamba9812
      @revmwakifwamba9812 9 месяцев назад +4

      Sasa mtu kajitangaza Sasa wewe wivu unatoka wapi mbona husema kuwa unazijua mpaka mtu mwingine aseme hebu kaa kimya wewe mwenzako kathubutu

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 9 месяцев назад +6

      Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko nyuma Kuna watu sio shabiki wa Lissu na hamshabikii Mbowe Wala Samia na anaichukia siasa kabisaa kutokana magumashi ya Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid watu wamechoshwa siasa mbovu za Nchi hii.

    • @Stan-103
      @Stan-103 9 месяцев назад

      @@revmwakifwamba9812 Umesikiliza video nzima au unabwabwaja bure

  • @Stan-103
    @Stan-103 9 месяцев назад +6

    Marekani haiwezi kuwa na vitu kma hvo, hvyo tunatengenezewa Africa

    • @RoseMayige-gn9qb
      @RoseMayige-gn9qb 9 месяцев назад

      Hakuna USA hata nchi za Ulaya, zitakua huko China na nchi zingine za Asia na Africa.

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 9 месяцев назад

      We umetembea marekani yote

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 9 месяцев назад

      Marekani wako focused kwenye vehicles za umeme. Si kwamba wanashindwa ila focus ya uchumi wao haiko huko

    • @Stan-103
      @Stan-103 9 месяцев назад

      @@ikouwasi7644 Kasome vehicle import regulations au (VIR) ya US ndo utajua namaanisha nn, mfano marekani kuna sheria kwamba kila vehicle itakayotumika iwe na safety standard ya atleast 3 star according to NHTSA

    • @Stan-103
      @Stan-103 9 месяцев назад

      @@jasonwatz7457 Ni kweli lakini huo ni mpango wa miaka ya mbele kwamba kufikia 2050 kila vehicle iwe electric, lakn mpka leo petrol cars bado wanatengeneza, hio bajaji nimekataa kwamba haiwezi kwenda marekani kwasababu ya rating ya safety standard kwenye umiriki wa gari hio sheria imetolewa na NTHSA

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 9 месяцев назад +1

    Mungu abaraki kazi ya mikono yako

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 9 месяцев назад +2

    Mama Mungu akubaliki umewafrahisha wafanya biashara Tanzania wanaraha Tanzania saaafi mama samia hoye

  • @Yusufumoses-w5y
    @Yusufumoses-w5y 9 месяцев назад +4

    Haya mungu atujalie maisha maref tutaona mengi Sana baada ya miaka kazaa

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665 9 месяцев назад +2

    Marekani hakuna Takataka kama hiyo

    • @TheDonn007
      @TheDonn007 7 месяцев назад

      Kabisa 😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 9 месяцев назад

    Yes niliwai kuiona kwamtandao nikajaribu kuagiza garama zakodi nausafiri zinazidi beiya chombo hapoa ndoonilikwama

  • @IgnasOlgwanae-jz9fg
    @IgnasOlgwanae-jz9fg 6 месяцев назад

    Bajaj ipo vizuri issue ni bei swa na y gari😅

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 9 месяцев назад +1

    Safi sana ila nasisi huku Zanzibar tunajitaji jee, amejipangaje kuingiza Zanzibar

  • @EliezaRichard
    @EliezaRichard 8 месяцев назад

    Sijaipenda

  • @UpendoSimon-q2o
    @UpendoSimon-q2o 9 месяцев назад

    Ama kwl Tanzania tuko juu bajaji Kama range duuu Safi sanaa

  • @denisnchimbi
    @denisnchimbi 9 месяцев назад +3

    Nzuri sana hizo very low cost, zitanunuliwa nyingi sana hapa Tanzania

  • @Silyvesta
    @Silyvesta 9 месяцев назад +18

    Hiyo ni aibu kubwa kwa wenye range rover hahaha 🤣🤣🤣

  • @rehaniabeta
    @rehaniabeta 6 месяцев назад

    Mama Samia hapo kaingia VP

  • @mg_panther
    @mg_panther 9 месяцев назад +2

    Hizi gari zina toka china ila jamaa ana ongea kama vile yeye ndo ame i dizaini 😂 daaa nihatali

  • @ezekiamgimbaofficial5694
    @ezekiamgimbaofficial5694 9 месяцев назад

    Juzi nimeziona kariakoo

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 9 месяцев назад +3

    A motorcycle (motorbike, bike, or, if three-wheeled, a trike) is a two or three-wheeled motor vehicle steered by a handlebar from a saddle-style seat.
    Kwanini inapewa usahili wa ‘MC’ (Motorcycle) wakati hilo ni gari?

    • @cleophacephelician6739
      @cleophacephelician6739 9 месяцев назад +2

      Haya ni nagari sema, wanafanya uhuni kuyaita bajaji ili kukwepa ushuru mkubwa bandarini.

    • @sumatanjunior231
      @sumatanjunior231 9 месяцев назад

      Yaaani tuna nchi ya ajabu sana.

  • @kamole3
    @kamole3 9 месяцев назад +14

    Mungo huyu jamaa, hakuna kitu kama hii marekani.

    • @mkutanopaul4773
      @mkutanopaul4773 9 месяцев назад

      Mie niko Marekani na Hakuna kauchafu kama hako. Japo niko Marekani vijijini lakini hapa hazipo. Nimetembea miji mikubwa Kuna scooters sio bajaji. Polaris Slingshot ndio bajaji pekee hapa

    • @omarjuma2937
      @omarjuma2937 9 месяцев назад

      ​@@mkutanopaul4773hbr kaka naomba namba yako kuna jambo tuongeee

    • @wilfredmlaki822
      @wilfredmlaki822 9 месяцев назад

      Mpumbavu sana huyu! Hakuna uchafu kama huo america

    • @ZANZICTSOLUTIONS2
      @ZANZICTSOLUTIONS2 9 месяцев назад +1

      Mbona mnalalamika sana kuna mtaa Tanzania unautwa Marekani jamani 😂😂😂

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 9 месяцев назад +1

    Nilipenda kusikiliza lakini niliposikia tu anashukuru mama kwa jitihada zake ikabidi nitoke nduki

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 9 месяцев назад +2

    Acheni upumbavu Yani uache crown ununue bajaji mnapigwa😊

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 6 месяцев назад

      Tatizo ni wese ,wese kila siku unakwanguka ila hii lita 2 unaenda town unageuka

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 9 месяцев назад

    Saafi sana mzee

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 9 месяцев назад +4

    sikasikia ujamuuliza Ina ac na hili joto la dar salam😊😂😂😂

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 6 месяцев назад

    Zipungue bei kidogo

  • @josephservicechannel2734
    @josephservicechannel2734 9 месяцев назад +1

    Wambie tunazigitahitaji sana

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 9 месяцев назад

    @snash tz fanya preview

  • @Bakari_motors7
    @Bakari_motors7 9 месяцев назад

    Big Boss Itambo

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 9 месяцев назад +1

    Hiyo ni gar kwann utuambie bajaje tupe kigezo

  • @bongoreview1738
    @bongoreview1738 9 месяцев назад +13

    Mawazo yangu ya kununua Range nimeairisha bora ninunue TESLA
    Yani Range na Bajaji zifanane 😂

  • @htx1873
    @htx1873 9 месяцев назад

    MAREKANI HAKUBA BAJAJ 😬😬 Hii PIA ISINGERUHUSIWA KUUZWA MAREKANI. Hizi hazitoruhusiswa USA ports .

  • @real_ziz
    @real_ziz 8 месяцев назад

    Kenya ilikuja walioiita v8 lakini ilikua matairi matatu hakuvuma sana sizioni sasa nafikili watu hawakununua coz ziliuzwa ghali

  • @hamisishabani8864
    @hamisishabani8864 9 месяцев назад +3

    Nimekuja kusoma comments wale wanaokataa marekani hakuna ivi vidudu tuko pamoja

  • @michaelsylvestre8475
    @michaelsylvestre8475 9 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kavaa rain bow🌈 simuelewi 🤭

    • @Abuu2645
      @Abuu2645 9 месяцев назад

      Huon mawingu ya mvuaa😅

  • @BoiSlee
    @BoiSlee 8 месяцев назад

    "Usalama ni mkubwa sana kwasababu inatairi nne." 😂😂 Kwa mantiki ya huyu jamaa, kwahiyo Eicher ni salama sana kuliko Tesla Truck. (4:05)

  • @BEVARYMUTALE
    @BEVARYMUTALE 9 месяцев назад +1

    Millard ayo naomba Mimi Niko Zambia naitaji moja

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 9 месяцев назад

    Mbona kavaa flana Ina rangi za kuumiza macho

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 9 месяцев назад

    Sema serikali usimsait pres directly

  • @maalimmadi6030
    @maalimmadi6030 9 месяцев назад

    Maashallaah😊

  • @randomtube3002
    @randomtube3002 6 месяцев назад

    Ndoto yangu ya kumiliki Range Rover imetimia mgenistua mapema kabla Ex wangu hajajua nikamlipue nayo 😂😂😂😂😂

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 9 месяцев назад

    Wawekeze waje kutuletea ushoga maanawabongo mkitajiwa marecan km mmtajiwa pepo

  • @JuliusChambo-t4c
    @JuliusChambo-t4c 9 месяцев назад

    Mbn husemi kuwa unaweza safir umbali gan tusije nunua kwa ajili ya safar za vijijin kwetu

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 9 месяцев назад +10

    Kuhusu gari hii kutumika marekani si kweli..this is not legal car to be used in America.. also for 200cc engine to consume 1lt per 28km that is so inefficient engine.. probably a small gas gazzler

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 9 месяцев назад

    Ziko poa, bali wanatakiwa kushusha bei zake nasi tuta nunua

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 9 месяцев назад

    MAREKANI HUKU AMNAGA BAJAJI MZEE .

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 9 месяцев назад

    Ni kinaifanya isajiliwe kama ‘Motorcycle’?

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 9 месяцев назад

    Furahieni wawekezaji Toka nje lini wtz mil60 watengeneza magari ni aibu wtz hatujui kutengeneza hata yebo tunatengenezewa na wawekezaji

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 9 месяцев назад

    Kaziiendelee Amiiin.

  • @Zenny89
    @Zenny89 9 месяцев назад +1

    We tukome wamarekani!!! Hatuna upuuzi Kama huo huku🤣

  • @kisrahcogar8538
    @kisrahcogar8538 9 месяцев назад +8

    Aache upumbavu huyo America hawatumii hzo v2, hajielew huyo ndo mana kavaa t-shirt ya upinde 😂

  • @EmmanuelMasaka-d9g
    @EmmanuelMasaka-d9g 9 месяцев назад

    Acha kutu chota bac mzee hiv marekan unaichuku liaje et nchikubwa kubwa ile imiliki uchafu kama huwo kuwa siryz mzee watu washindwe kupanda treni za mwendo kasi wapande hizo bajaji kweli

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 9 месяцев назад

    Tanzania sihami

  • @hassanluhwago3978
    @hassanluhwago3978 9 месяцев назад

    Huyu jamaa si mkweli kwanza Bei IPO juu tofauti sana mara mbili ya bei halisi ok ndo Bongo😅

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 8 месяцев назад

    Huyu jamaa alishawahi kunizingua, uaminifu kwenye biashara ni issue aisee! Labda amebadilika kwa sasa

  • @gladysmsele4291
    @gladysmsele4291 9 месяцев назад

    Jamani madam President naomba ninunulie kama hii nateseka sana siwezi kutembea miguu jmn nisaidie birth mate wako

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 9 месяцев назад

    Sheria iwe Kali kwenye ufundishaji na upatikanaji wa leseni kabla hawajaanza kutuua barabarani

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 9 месяцев назад +4

    Hiyo ni gari siyo bajaji, msitudanganye. Na matrafiki wata deal nazo kama magari mengine.

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 9 месяцев назад

    Hii bongo hata siiyelewi,masoud katengeneza gari aijulikani ilipo,hii takataka inapigwa promo

  • @fidellujo8362
    @fidellujo8362 9 месяцев назад +3

    Wazalishe zaidi na wizara husika zinazoingiliana na usafirishaji ikiwa na taasis zinaweza kuzinunua na kuzitawqnya nchini ku promote uzalishaji

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 9 месяцев назад +1

    Hizi co Bajaji ni gari, Bajaj ni Tajiri 3

  • @CharlesLeoMgaya
    @CharlesLeoMgaya 9 месяцев назад

    Anamtaja Mama kila mda utadhani ndo amemsaidia kuimport😂😂😂😂 si normal busness hii jamani. Sasa na anaenunua ndege atamtaja Mama mara ngapi???

  • @fasanitztiri5371
    @fasanitztiri5371 9 месяцев назад

    Safi ila mngeongeza ibebe angarau watu 6 milioni 13 nyingi

  • @BabaFai-b4l
    @BabaFai-b4l 9 месяцев назад +1

    Huyo anaeojiwa mbona kavaa flana inabendera ya mashoga😮😮😮

    • @desolz3809
      @desolz3809 9 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 8 месяцев назад

    Mama katoka wap sasa....uchawa wakikuda huo

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 9 месяцев назад

    Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid kuna watu sio shabiki wa Lissu Mbowe Wala Samia wamechoshwa na siasa mbovu za Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi.

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 9 месяцев назад

    Eti Marekani hahaha watu waongo. Marekani hakuna Bajaj bana cause DOT hawajaruhusu hio kitu.

  • @fanuelsappa3598
    @fanuelsappa3598 6 месяцев назад

    Ofisi sehenu ngani

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 9 месяцев назад

    Nimeipenda Sana kaziyenu toeni namba ya smhiliatakaeitaji ajue mnapatikana mkoa gani na mtaa gani

    • @mahadhimohamedi
      @mahadhimohamedi 8 месяцев назад

      Zıpo k.koo msimbaz pale

    • @mahadhimohamedi
      @mahadhimohamedi 8 месяцев назад

      Ona hata wanaitest ktk barabara ya mwendokasi hapo

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln 9 месяцев назад

    Ss tuna weka na mizigo juu

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 8 месяцев назад

    hv nyie range mnaijua au mnaisikia?

  • @jumaakalama4719
    @jumaakalama4719 9 месяцев назад +1

    Mbona wananivuruga kwan hiz bajaji au gari?

  • @LucasThomas-j9z
    @LucasThomas-j9z 9 месяцев назад

    Hapa sas nimegair kununua Range😂bora ninunue landrover haiwezekan ifananae na Range weng watanitambia

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 8 месяцев назад

    Sifa zikizidi ni ufala....katumia hela yake kuagiza bajaji ushuru kalipia then anamshukur raisi.......afu acha kudanganya watu usa hakuna hizo takataka

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 9 месяцев назад

    Wachina balaaa😂

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 9 месяцев назад

    Apo kweny Bei mill 8 utauza Sana sio 13 Bora uchukue gar

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 9 месяцев назад

    Naona nikimiliki range

  • @RajanMunisi
    @RajanMunisi 9 месяцев назад

    Bora uziite Viporojo vitakuza jina langu la Kiporojo so mimi nimependekeza ziitwe viporojo au Kiporojo

  • @ابوذر-د8ك
    @ابوذر-د8ك 9 месяцев назад +1

    Hio nguo vipi hizo rangi za, reimbow nineshituka au ndio kakuletea muwekezaji 😂😂😂

  • @tzinvestigate5002
    @tzinvestigate5002 9 месяцев назад

    umeanza vizuri ila ulipo ila ulipo fikia kuanza kumuongelea mkata umeme mnyonyaji wa wanyonge mwenye roho mbaya
    mwenye ubaguzi
    asie mwogopa mungu
    kiongozi anaejali furaha ya familia yake tuu
    anae tutesa watanzania
    na sikui kwanini alizaliwa hapa bora angezaliwa comoro
    kiufupi acha kupigia kampenzi hilo jitu kisa limekupa pesa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤯😏

  • @Shayojjj
    @Shayojjj 9 месяцев назад

    Inatakiwa ibebe abiria Wa 4 na dere WA 5

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 9 месяцев назад

    Ili ni guta bhana 😂😂😂😂😂

  • @IsackDuma
    @IsackDuma 9 месяцев назад

    Hiyo t, shirt ya huyu jamaa

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 9 месяцев назад +3

    Si bora ni nunue hybrid car..at 13 Mill just to get 28km per lt? you better buy Toyota prius for 14 mil which is proper car and you get same distance coverage with same amount of fuel.

    • @stanjr1125
      @stanjr1125 9 месяцев назад

      Toyota prius naweza kuipata wapi mkuu

  • @cosmasdaud
    @cosmasdaud 9 месяцев назад

    Huyu mwamba ni mbunifu, asihusishe china sasa

  • @ZuenaRamadhani
    @ZuenaRamadhani 9 месяцев назад +2

    Ishakua gali tayar msituchoshe

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 9 месяцев назад +1

    Uliposema Kuwa Zinatumika Marekani Hapo Umeleta Miyeyusho Mzee,Marekani Hakuna Vitu Kama Hivyo,😹😹

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 9 месяцев назад +2

    Hiyo Tisheti inauzwa wapi na ni kiasi gani, maana duh!?

  • @Mammuya8473
    @Mammuya8473 9 месяцев назад +1

    What part of America uses this thing city and state please?? we don’t use unsafe equipments over here Acha kudanganya watu

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 9 месяцев назад

    We mjinga marekani hamna huwo ujinga wa mchina

  • @Tajiri222
    @Tajiri222 9 месяцев назад

    Acheni Uhongo, Marekani ya wapi utazipata hizo wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂