Wengi kwenye comment naona wanaandika roho mbaya tu kama rahisi c mtengeneze za kwenu ckujui hunijui ila kaz nzur brother mungu akutangulie katika kazi yako
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko nyuma Kuna watu sio shabiki wa Lissu na hamshabikii Mbowe Wala Samia na anaichukia siasa kabisaa kutokana magumashi ya Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid watu wamechoshwa siasa mbovu za Nchi hii.
@@ikouwasi7644 Kasome vehicle import regulations au (VIR) ya US ndo utajua namaanisha nn, mfano marekani kuna sheria kwamba kila vehicle itakayotumika iwe na safety standard ya atleast 3 star according to NHTSA
@@jasonwatz7457 Ni kweli lakini huo ni mpango wa miaka ya mbele kwamba kufikia 2050 kila vehicle iwe electric, lakn mpka leo petrol cars bado wanatengeneza, hio bajaji nimekataa kwamba haiwezi kwenda marekani kwasababu ya rating ya safety standard kwenye umiriki wa gari hio sheria imetolewa na NTHSA
A motorcycle (motorbike, bike, or, if three-wheeled, a trike) is a two or three-wheeled motor vehicle steered by a handlebar from a saddle-style seat. Kwanini inapewa usahili wa ‘MC’ (Motorcycle) wakati hilo ni gari?
Mie niko Marekani na Hakuna kauchafu kama hako. Japo niko Marekani vijijini lakini hapa hazipo. Nimetembea miji mikubwa Kuna scooters sio bajaji. Polaris Slingshot ndio bajaji pekee hapa
Kuhusu gari hii kutumika marekani si kweli..this is not legal car to be used in America.. also for 200cc engine to consume 1lt per 28km that is so inefficient engine.. probably a small gas gazzler
Acha kutu chota bac mzee hiv marekan unaichuku liaje et nchikubwa kubwa ile imiliki uchafu kama huwo kuwa siryz mzee watu washindwe kupanda treni za mwendo kasi wapande hizo bajaji kweli
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid kuna watu sio shabiki wa Lissu Mbowe Wala Samia wamechoshwa na siasa mbovu za Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi.
Sifa zikizidi ni ufala....katumia hela yake kuagiza bajaji ushuru kalipia then anamshukur raisi.......afu acha kudanganya watu usa hakuna hizo takataka
umeanza vizuri ila ulipo ila ulipo fikia kuanza kumuongelea mkata umeme mnyonyaji wa wanyonge mwenye roho mbaya mwenye ubaguzi asie mwogopa mungu kiongozi anaejali furaha ya familia yake tuu anae tutesa watanzania na sikui kwanini alizaliwa hapa bora angezaliwa comoro kiufupi acha kupigia kampenzi hilo jitu kisa limekupa pesa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤯😏
Si bora ni nunue hybrid car..at 13 Mill just to get 28km per lt? you better buy Toyota prius for 14 mil which is proper car and you get same distance coverage with same amount of fuel.
Kwa kweli hii habari nzuri sana,lla baada ya kumtaja Mama nimefika nduki.
Wengi kwenye comment naona wanaandika roho mbaya tu kama rahisi c mtengeneze za kwenu ckujui hunijui ila kaz nzur brother mungu akutangulie katika kazi yako
Jitihada za😀😀😀😀🙌🏿🙌🏿
Watoto wa Range hao.. But gharama ipo juu sana... Bora umenunua hata Gari linaloeleweka.
Mzee Umevaa Tshet Hio Umeletewa Na Mzamini Nini Uvae Unavyotangaza Bajaji Huo Upinde😹😹
😂😂😂😂
Kwa USA 🇺🇸 si kweli hakun mamb kam hayo. Labda huko china 🇨🇳
Bora hata na wewe umesema😂😂😂 maana hananikela kila akitaja akisema ziko marekani
Tanzania ndio wanaroho zamajaribio
bajaji Iko vizuli sana tunaletewa changamoto mafundi
MashaAllah ❤ kazi nzuri
ruclips.net/video/fEjoxeRyNKU/видео.htmlsi=0rz7ABFTq-HfEnJZ
ilove u
Izo Babaj uku south africa ziko nyingi sanaa lakini zinamwonekano kamo uyo ila zina langi la jaune
Hakuna kitu kama hicho marekani
Hapo umetudanganya
❤❤❤mashallah
Huyu jamaa ni mhuni sana😂😂 hii gari inaitwa "BAJAJ AUTO RE60 " yeye kachukua bodykit za mchina za kma range, ndo anatuokota zipo Marekani
ASA wewe nae mbona unafahamu yote hayo!!!
😂😂😂😂 huku marekani hata sijawahi kuziona
Sasa mtu kajitangaza Sasa wewe wivu unatoka wapi mbona husema kuwa unazijua mpaka mtu mwingine aseme hebu kaa kimya wewe mwenzako kathubutu
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko nyuma Kuna watu sio shabiki wa Lissu na hamshabikii Mbowe Wala Samia na anaichukia siasa kabisaa kutokana magumashi ya Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid watu wamechoshwa siasa mbovu za Nchi hii.
@@revmwakifwamba9812 Umesikiliza video nzima au unabwabwaja bure
Marekani haiwezi kuwa na vitu kma hvo, hvyo tunatengenezewa Africa
Hakuna USA hata nchi za Ulaya, zitakua huko China na nchi zingine za Asia na Africa.
We umetembea marekani yote
Marekani wako focused kwenye vehicles za umeme. Si kwamba wanashindwa ila focus ya uchumi wao haiko huko
@@ikouwasi7644 Kasome vehicle import regulations au (VIR) ya US ndo utajua namaanisha nn, mfano marekani kuna sheria kwamba kila vehicle itakayotumika iwe na safety standard ya atleast 3 star according to NHTSA
@@jasonwatz7457 Ni kweli lakini huo ni mpango wa miaka ya mbele kwamba kufikia 2050 kila vehicle iwe electric, lakn mpka leo petrol cars bado wanatengeneza, hio bajaji nimekataa kwamba haiwezi kwenda marekani kwasababu ya rating ya safety standard kwenye umiriki wa gari hio sheria imetolewa na NTHSA
Mungu abaraki kazi ya mikono yako
Mama Mungu akubaliki umewafrahisha wafanya biashara Tanzania wanaraha Tanzania saaafi mama samia hoye
Haya mungu atujalie maisha maref tutaona mengi Sana baada ya miaka kazaa
Marekani hakuna Takataka kama hiyo
Kabisa 😂😂😂
Yes niliwai kuiona kwamtandao nikajaribu kuagiza garama zakodi nausafiri zinazidi beiya chombo hapoa ndoonilikwama
Bajaj ipo vizuri issue ni bei swa na y gari😅
Safi sana ila nasisi huku Zanzibar tunajitaji jee, amejipangaje kuingiza Zanzibar
Sijaipenda
Ama kwl Tanzania tuko juu bajaji Kama range duuu Safi sanaa
Nzuri sana hizo very low cost, zitanunuliwa nyingi sana hapa Tanzania
Hiyo ni aibu kubwa kwa wenye range rover hahaha 🤣🤣🤣
We mchokozi hahahaa
Mama Samia hapo kaingia VP
Hizi gari zina toka china ila jamaa ana ongea kama vile yeye ndo ame i dizaini 😂 daaa nihatali
Juzi nimeziona kariakoo
A motorcycle (motorbike, bike, or, if three-wheeled, a trike) is a two or three-wheeled motor vehicle steered by a handlebar from a saddle-style seat.
Kwanini inapewa usahili wa ‘MC’ (Motorcycle) wakati hilo ni gari?
Haya ni nagari sema, wanafanya uhuni kuyaita bajaji ili kukwepa ushuru mkubwa bandarini.
Yaaani tuna nchi ya ajabu sana.
Mungo huyu jamaa, hakuna kitu kama hii marekani.
Mie niko Marekani na Hakuna kauchafu kama hako. Japo niko Marekani vijijini lakini hapa hazipo. Nimetembea miji mikubwa Kuna scooters sio bajaji. Polaris Slingshot ndio bajaji pekee hapa
@@mkutanopaul4773hbr kaka naomba namba yako kuna jambo tuongeee
Mpumbavu sana huyu! Hakuna uchafu kama huo america
Mbona mnalalamika sana kuna mtaa Tanzania unautwa Marekani jamani 😂😂😂
Nilipenda kusikiliza lakini niliposikia tu anashukuru mama kwa jitihada zake ikabidi nitoke nduki
Acheni upumbavu Yani uache crown ununue bajaji mnapigwa😊
Tatizo ni wese ,wese kila siku unakwanguka ila hii lita 2 unaenda town unageuka
Saafi sana mzee
sikasikia ujamuuliza Ina ac na hili joto la dar salam😊😂😂😂
Zipungue bei kidogo
Wambie tunazigitahitaji sana
@snash tz fanya preview
Big Boss Itambo
Hiyo ni gar kwann utuambie bajaje tupe kigezo
Mawazo yangu ya kununua Range nimeairisha bora ninunue TESLA
Yani Range na Bajaji zifanane 😂
😂😂😂
Ukienda kununua nistue twende😊
😂😂😂😂😂😂😂😂
MAREKANI HAKUBA BAJAJ 😬😬 Hii PIA ISINGERUHUSIWA KUUZWA MAREKANI. Hizi hazitoruhusiswa USA ports .
Kenya ilikuja walioiita v8 lakini ilikua matairi matatu hakuvuma sana sizioni sasa nafikili watu hawakununua coz ziliuzwa ghali
Nimekuja kusoma comments wale wanaokataa marekani hakuna ivi vidudu tuko pamoja
🤣🤣🤣
Huyu jamaa kavaa rain bow🌈 simuelewi 🤭
Huon mawingu ya mvuaa😅
"Usalama ni mkubwa sana kwasababu inatairi nne." 😂😂 Kwa mantiki ya huyu jamaa, kwahiyo Eicher ni salama sana kuliko Tesla Truck. (4:05)
Millard ayo naomba Mimi Niko Zambia naitaji moja
Pesa ngapi ya kenya.nahitaji kununua hiyo gari
Mbona kavaa flana Ina rangi za kuumiza macho
Sema serikali usimsait pres directly
Maashallaah😊
Ndoto yangu ya kumiliki Range Rover imetimia mgenistua mapema kabla Ex wangu hajajua nikamlipue nayo 😂😂😂😂😂
Wawekeze waje kutuletea ushoga maanawabongo mkitajiwa marecan km mmtajiwa pepo
Mbn husemi kuwa unaweza safir umbali gan tusije nunua kwa ajili ya safar za vijijin kwetu
Kuhusu gari hii kutumika marekani si kweli..this is not legal car to be used in America.. also for 200cc engine to consume 1lt per 28km that is so inefficient engine.. probably a small gas gazzler
Ziko poa, bali wanatakiwa kushusha bei zake nasi tuta nunua
MAREKANI HUKU AMNAGA BAJAJI MZEE .
Ni kinaifanya isajiliwe kama ‘Motorcycle’?
Furahieni wawekezaji Toka nje lini wtz mil60 watengeneza magari ni aibu wtz hatujui kutengeneza hata yebo tunatengenezewa na wawekezaji
Kaziiendelee Amiiin.
We tukome wamarekani!!! Hatuna upuuzi Kama huo huku🤣
Aache upumbavu huyo America hawatumii hzo v2, hajielew huyo ndo mana kavaa t-shirt ya upinde 😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Acha kutu chota bac mzee hiv marekan unaichuku liaje et nchikubwa kubwa ile imiliki uchafu kama huwo kuwa siryz mzee watu washindwe kupanda treni za mwendo kasi wapande hizo bajaji kweli
Tanzania sihami
Huyu jamaa si mkweli kwanza Bei IPO juu tofauti sana mara mbili ya bei halisi ok ndo Bongo😅
Huyu jamaa alishawahi kunizingua, uaminifu kwenye biashara ni issue aisee! Labda amebadilika kwa sasa
Jamani madam President naomba ninunulie kama hii nateseka sana siwezi kutembea miguu jmn nisaidie birth mate wako
Sawa nitakununulia
Sheria iwe Kali kwenye ufundishaji na upatikanaji wa leseni kabla hawajaanza kutuua barabarani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ni gari siyo bajaji, msitudanganye. Na matrafiki wata deal nazo kama magari mengine.
😀😀 kweli kabisa
😂😂😂😂😂
Umeona plate number?
Hii bongo hata siiyelewi,masoud katengeneza gari aijulikani ilipo,hii takataka inapigwa promo
Wazalishe zaidi na wizara husika zinazoingiliana na usafirishaji ikiwa na taasis zinaweza kuzinunua na kuzitawqnya nchini ku promote uzalishaji
Hizi co Bajaji ni gari, Bajaj ni Tajiri 3
Anamtaja Mama kila mda utadhani ndo amemsaidia kuimport😂😂😂😂 si normal busness hii jamani. Sasa na anaenunua ndege atamtaja Mama mara ngapi???
Safi ila mngeongeza ibebe angarau watu 6 milioni 13 nyingi
Huyo anaeojiwa mbona kavaa flana inabendera ya mashoga😮😮😮
😂😂😂😂
Mama katoka wap sasa....uchawa wakikuda huo
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid kuna watu sio shabiki wa Lissu Mbowe Wala Samia wamechoshwa na siasa mbovu za Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi.
Eti Marekani hahaha watu waongo. Marekani hakuna Bajaj bana cause DOT hawajaruhusu hio kitu.
Ofisi sehenu ngani
Nimeipenda Sana kaziyenu toeni namba ya smhiliatakaeitaji ajue mnapatikana mkoa gani na mtaa gani
Zıpo k.koo msimbaz pale
Ona hata wanaitest ktk barabara ya mwendokasi hapo
Ss tuna weka na mizigo juu
hv nyie range mnaijua au mnaisikia?
Mbona wananivuruga kwan hiz bajaji au gari?
bajagari
Hapa sas nimegair kununua Range😂bora ninunue landrover haiwezekan ifananae na Range weng watanitambia
Sifa zikizidi ni ufala....katumia hela yake kuagiza bajaji ushuru kalipia then anamshukur raisi.......afu acha kudanganya watu usa hakuna hizo takataka
Wachina balaaa😂
Apo kweny Bei mill 8 utauza Sana sio 13 Bora uchukue gar
Naona nikimiliki range
Bora uziite Viporojo vitakuza jina langu la Kiporojo so mimi nimependekeza ziitwe viporojo au Kiporojo
Hio nguo vipi hizo rangi za, reimbow nineshituka au ndio kakuletea muwekezaji 😂😂😂
umeanza vizuri ila ulipo ila ulipo fikia kuanza kumuongelea mkata umeme mnyonyaji wa wanyonge mwenye roho mbaya
mwenye ubaguzi
asie mwogopa mungu
kiongozi anaejali furaha ya familia yake tuu
anae tutesa watanzania
na sikui kwanini alizaliwa hapa bora angezaliwa comoro
kiufupi acha kupigia kampenzi hilo jitu kisa limekupa pesa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤯😏
Inatakiwa ibebe abiria Wa 4 na dere WA 5
Ili ni guta bhana 😂😂😂😂😂
Hiyo t, shirt ya huyu jamaa
Si bora ni nunue hybrid car..at 13 Mill just to get 28km per lt? you better buy Toyota prius for 14 mil which is proper car and you get same distance coverage with same amount of fuel.
Toyota prius naweza kuipata wapi mkuu
Huyu mwamba ni mbunifu, asihusishe china sasa
Ishakua gali tayar msituchoshe
Uliposema Kuwa Zinatumika Marekani Hapo Umeleta Miyeyusho Mzee,Marekani Hakuna Vitu Kama Hivyo,😹😹
Hiyo Tisheti inauzwa wapi na ni kiasi gani, maana duh!?
Acha ushoga 😅😅😅
Rangi za mashoga
@@andrewIzdory-sk4cu unataka kusema aliyevaa ni shoga
What part of America uses this thing city and state please?? we don’t use unsafe equipments over here Acha kudanganya watu
🤣🤣🤣
We mjinga marekani hamna huwo ujinga wa mchina
Acheni Uhongo, Marekani ya wapi utazipata hizo wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂