YUSUPH KAGOMA ALIVYOFANYIWA VIPIMO VYA AFYA BAADA YA KUTUA UNYAMANI/CHE MALONE/KAPOMBE/FABRICE
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Спорт
Kagoma kama mtanzania hi is my best player big up to him,, mungu akulinde na awalinde nyote wapya na wenyeji mfanikiwe kufanya vzr ...
Kwan sio mtanzania huyu mbn kama mbongo kabisa
@@levocatuspjohn8638 ni mtanzania kabisa.
@@levocatuspjohn8638mbongo
Kwa simba hii ligi ianze tu jaman😊🔥🔥❤️
Simba nguvu moja 💪💪💪💪💪
huyu kagoma Simba dam
Huyu kocha na timu yake muwape Uhuru hata matola asingekuwepo tu, ili timu ikifanya vibaya wa take full responsibility.
😢😢yani matola km luba
Nimefrai sana kuona vibaraka vyote nnje sasa hii ndio Simba yetu
Kabisa kabisa
This is 🦁💪
simba nguvu moja
Kawakataa utopolo kachagua chama la wana
Ataki kucheza na wastaafu fc 😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
❤
Oyaaaaaaa
Simba nguv moja
NGUVU MOJAAA
Na zile issue za kuwapangia kikosi muache, professionalism ichukue mkondo wake, zile ten percent km zipo mziache, sio vibaya kuiga kwa yanga, kocha yupo huru timu Ina perform, wachezaji wanapewa nafasi kuonyesha uwezo wao
Kwa huu usajili ten percent sijaona zaidi nimeona wakitibu maeneo yaliyokua na matatzo makubwa
Nguvu moja Simba 😊😅
Simba kama kama tim ya ulaya emungu isaidie ifanye vizuli tim yangu
Editor wa video za simba embu kueni na ubunifu kidogo... Video hazina u professionalism kabsa
Nimefurahi kuhusu wachezaji wa Tanzania. Naomba tu watumike ili tupate timu nzuri ya Taifa letu.
Kagoma mwamba kweli😊😅
Nguvu moja
Mbona Kagoma anafanana na Ahmed Ally? Naye anakula panya au?😅
Middle ya ball
Inabidi aboreshe Mlo 😅
Unyamaa mwingii
Oyeee
Vinini vya afya?
Boyei malamu, boyambi na Simba. Oza makasi, tika basusu bakende malamu 😅
Mambo hayo singida hakuna
🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏
Daaaah!! Safi xana cmba
Chemalon kumbe ni mbavu 😂😂😂😂
😂😂😂 ulitaka awe mnene umesikia ni mti wakupasua mbao huo unene sio afya 😂😂😂
❤
simba nguvu moja