HATUTAKI USHOGA TANZANIA, KAMA NI MISAADA WAKOME SITISHENI - WAITARA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mbunge Wa Jimbo La Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara leo Mei 17, 2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato na2 matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo Katika Mchango wake amegusia suala la ushoga ambapo amehoji kwa nini Waziri Dkt. Doroth Gwajima katika Hotuba yake wakati anawasilisha bajeti hajazungumzia suala hilo.

Комментарии •