#LEOTENA

Поделиться
HTML-код

Комментарии •

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 4 месяца назад +3

    Maashaallah Maashaallah Mwenyezi Mungu awalipe kwa kuwaunganisha wazazi na watt wao❤❤❤

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 3 месяца назад

    Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏

  • @OMWAMEMagotti
    @OMWAMEMagotti 3 месяца назад

    Nawashukulu sana kwa kazi nzuri Mungu awalinde na kuwabariki muendee kufanya iki kipindi Mungu atawalipa❤

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 4 месяца назад +4

    Mungu awatunze sana clouds media, mwendelee kukutanisha familia nyingi zaidi na zaidi

  • @MwajumaFundi-ex5tj
    @MwajumaFundi-ex5tj 4 месяца назад +9

    Nitakufa na wanangu pembeni siachi mwanangu hata kama Sina kitu mm na wanangu iwe mvua,iwe jua 💪💪

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba 3 месяца назад

    Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.

  • @zulfajumapil7664
    @zulfajumapil7664 2 месяца назад

    Uchungu wa mwana naujua mwenyewee raha ya tumbo kilionaeee❤❤❤❤❤❤❤

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 месяца назад +2

    Nampenda gea na huu mwenzake manshallaah mungu awadumishe mapenzi kwenu na mmzidi kuwa na moyo huo huo

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 месяца назад +15

    ❤❤❤❤❤❤❤❤mama ni mama hata awe na mapungufu gani mama ni mama tuu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +5

    Yaan mimi siachi mtoto wangu yaan we. Bahati nzuri watoto wangu ninao mwenyewe hadi wameolewa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 месяца назад +1

      labda nilogwe ila kwa akili timamu siwez

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад +1

    Shangazi mungu akutunze,,ww ni mrembo 🎉🎉🎉

  • @neemanjakale2744
    @neemanjakale2744 3 месяца назад

    Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 4 месяца назад +1

    Mungu Asante Kwa baraka na neema hii Asante katika jina lipitayo majina yote nalo ni yesukristo mwana wa Mungu aliye hai.amen

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 4 месяца назад

    Hongereni sana uongonzi wote hakika ni kazi kubwa ❤❤❤

  • @annamndeme6312
    @annamndeme6312 4 месяца назад +4

    Nimelia sana yaan..😭😭😭 wengine wanatafut watoto wengine wanatelekeza watoto😭😭

  • @Mjuni3
    @Mjuni3 3 месяца назад

    Hizo Kanga zinanikumbusha Mbali sana ,,Ndio kanga za marehemu mamaangu alikuwa anavaa

  • @hamispazia9
    @hamispazia9 4 месяца назад +6

    Clouds radio yangu pendwa,Da'Huu,Geah,Jose Mara,Mungu awahifahi wallah...

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 4 месяца назад +14

    Shangazi ana hasira

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 4 месяца назад +1

      Sana

    • @yhasintakalenyula970
      @yhasintakalenyula970 4 месяца назад

      Mno...Yaani shangazi ameshindwa tu kumkataza huyo mtoto wa marehemu kaka yake hasifanye hiyo tu.

  • @EdnaLugano
    @EdnaLugano 4 месяца назад +4

    Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia

  • @LonaNtigu
    @LonaNtigu 4 месяца назад

    Gea na watatangazaji wote wa leo tena Mungu awazidishie inshaallha nawapenda sana sina cha kusema ila Mungu anajuwa

  • @ladymabamba1166
    @ladymabamba1166 3 месяца назад

    Nataman mamaangu angekuwa amepotea afu leo aonekane nakupenda mama pumzika kwa amani

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 3 месяца назад

    Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda

  • @909dentalcentre9
    @909dentalcentre9 4 месяца назад +3

    kipindi kizuri sana hongereni clouz, laki mweke ulinzi cku atapigwa mtu makofi maana matukio yanatia uchungu sana

  • @elizamrema5529
    @elizamrema5529 4 месяца назад

    Hongera sana radio ya watu ,,, hakika Hiki kipindi kipewe kipaumbele hongereni nyote mliopata mama zenu

  • @salma-fc2mq
    @salma-fc2mq 4 месяца назад +4

    Mama anauma jamani hata kama alikuacha ila utasamehe maisha yaendelee

  • @lucypeter-ev3xe
    @lucypeter-ev3xe 4 месяца назад +2

    Mungu amtunze shangazi shamila

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 4 месяца назад +4

    Na mimi mamangu si angekuwa amepotea then nimpate aki i mos her😢😢😢 innalilah rajiun rest wel kipenzi changu heri kupotea kuliko kufa

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад +1

      Pole muombee Dua

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 4 месяца назад +1

      Pole sana kipenz ❤
      Kikubwa Dua 🙏

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 4 месяца назад +1

      Pole sana

    • @FatumaIbrahim-c6d
      @FatumaIbrahim-c6d 3 месяца назад

      😢😢😢😢endelea kupumzika kwa amani mamaangu nakupenda sana😢😢😢

  • @HappyCap-mf6iv
    @HappyCap-mf6iv 4 месяца назад

    Naombeni namba za clouds

  • @FlowerJoseph-vn7mb
    @FlowerJoseph-vn7mb 4 месяца назад +4

    Yaani Raha sana kukutana na mama hakuna kama mama yaani Leo nimelia sana ila mungu ni mwema

  • @fredymagesa4463
    @fredymagesa4463 4 месяца назад +1

    Mwenyezi abariki clouds kwa kukutanisha ndg waliopoteana kwa miaka mingi

  • @salama1113
    @salama1113 4 месяца назад

    Shangazi yake waziri pambe❤❤❤❤❤❤

  • @MwanamwinyiMwakani
    @MwanamwinyiMwakani 4 месяца назад +2

    Dj anachemshaaaaaaa

  • @loveness09-k
    @loveness09-k 4 месяца назад +1

    Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi 4 месяца назад

    Nn nko apa tu nawasaidia kulia😢😢😢😂MACHOZI ya furaha❤🎉🎉🎉🎉

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 4 месяца назад +2

    Raha sana jamani Mama hafanani na asie mama yako nalia kwa furaha❤

  • @رضيهتنزانيا
    @رضيهتنزانيا 4 месяца назад +5

    Hatakama ntapitia magumukiasigan ila mtoto wang ntakufanaejaman

  • @AsinaMohamed-pb5xt
    @AsinaMohamed-pb5xt 4 месяца назад

    Pole sana shamila

  • @Mitchellekyle
    @Mitchellekyle 4 месяца назад +5

    Natamani mamangu awe amepotea leo ndio ameonekana mama nakupenda R.I .P🙏🏻

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 4 месяца назад

    Mungu awalipe clouds f.m

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 4 месяца назад

    Asante sana shangazi kwa kumlea mtoto wa kaka yako lakini watu wa tanga wana mambo mengi sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад

    Kweli dada gea. 🎉🎉🎉❤❤

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 4 месяца назад

    Natamani mama yangu niwe nimempoteza leo ndo namupata lkn haiwezekan 😢😢😢

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 4 месяца назад +2

    Mama ulifanya makosa. Shangaz haki yako kuwa na hasira. Mtt mdogo ondoka nae .tena mtt wa kunyonya...hapana

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwawo hadi raha kabisa

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 4 месяца назад

    Haya mambo km hayajakukuta utasema uzembe ila yalotukuta tunajua

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +2

    Shangazi mrembo❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 4 месяца назад

    Duuu mbona na mm nalia jamani!!?!😊

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 4 месяца назад

    Jamani mimi nimelia 😭😭😭namkumbuka mama yangu 😭😭😭😭Allah akuweke mahali pema Yarabi🤲

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed 4 месяца назад

    Kloud mnaona maajabu hapo Sana make mwanamke anamwachamwanae miez afu aseme namtafut

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +2

    Huyo mam kiboko ni mtihan

  • @MariamAbsalome
    @MariamAbsalome 4 месяца назад +5

    Mama ni mama hata kama huyo shangazi achukie,ni Bure,mtt hazaliwi na mama wawili huwa ni mmoja tu.

    • @emes602
      @emes602 4 месяца назад +2

      Ukweli maana shangaz kaonesha chuki

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 4 месяца назад +1

      Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

      Inaonyesha akimsimangia mama yake

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 4 месяца назад

    Kadi nzuri😢😢😢❤

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 4 месяца назад +1

    Mama yangu nae SI angepotea tu at nmtafute nimpate Kama hivi but now siwez kukuona kukuona kabisa😢😢😢😢

  • @emes602
    @emes602 4 месяца назад +1

    Ila shangazi ana shari uyo. Kama vile kammindi uyo mama.. swali why mke mkubwa n mdogo wote waondoke kwa pamoja?

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

    Kafanana na mama

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 3 месяца назад

    Mama mkavu uyu ata isia ana

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 4 месяца назад +1

    Nimelia 😢san leo

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk 4 месяца назад +3

    shangazi yuko na ujasiri hadi nimemoenda bure nahis atakuwa msambaa mkilindi huyu maana hatunaga mbambamba

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    ANAONA AIBU MAMA. MAANA HAKUKATAZWA KUONDOKA NA MWANAYE. UNAPOONGEA NA MTU MWANGALIE USONI. MBONA HAJACHANGAMKA HUYO MTOTO MWENYEWE.

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 4 месяца назад +1

    Shangazi Allah akulipe

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 4 месяца назад

    Jamani nikiangaliaga kipindi waga nalia sana nikifikilia kulelewa bila mama mh nikazi

  • @loveness09-k
    @loveness09-k 4 месяца назад

    Halafu kapewa kanga jamani na roho yake mbaya bado wanampa kanga 😂😂😂 22:21

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад +2

    shangazi ameamua kuongea alimuacha amfwate alipomuacha ataki mchezo

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 4 месяца назад +1

    Hizi mila nazo ni shirki

  • @AminaBakar-q1x
    @AminaBakar-q1x 4 месяца назад

    Munasababisha tunao angalia pia tunalia kwakweli😭😭😭😭😭

  • @SalhaIssa-eh6bj
    @SalhaIssa-eh6bj 4 месяца назад

    Yaani mtu unatelekeza wtt wa nne yupo sawa shamila pole mm naishia na wtt wangu napata shida nipo na wanaagu wapende wtt wako ujui utaishia wapi

  • @asiansky9767
    @asiansky9767 4 месяца назад

    Mmejua kuniliza clouds

  • @HappyCap-mf6iv
    @HappyCap-mf6iv 4 месяца назад

    Shangazi anaonekana ana pendashari

  • @tato8979
    @tato8979 4 месяца назад

    Mauwa 🎉🎉🎉

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 4 месяца назад +1

    Hata nipitie shida gani siwezi muacha mwanangu

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

    Watoto wanafanana mama zao

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 месяца назад

    Shangazi unahasira lkn hujui kaka yk alimfanya nini huyu mama mpaka akamwacha mwanae

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 4 месяца назад

    Toweni mizki

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 месяца назад

    Shangazi mchawi

  • @Cyerahabayeho
    @Cyerahabayeho 4 месяца назад

    Maana mi nalia tuu, sujui hata kwanini nalia kuwashinda wenyewe

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 4 месяца назад +1

    ni haki shangazi kuchukia

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 4 месяца назад +2

    Kweli milazakisambaa lazima walambiane chumvi nimbui wasambaa wenzangu

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 4 месяца назад +1

    Sambaaa oyeee usembe

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +4

    Huyu mama kakaa umbo lakiume mjinga san utaachaje mtt wako wa miez 9 ujinga san muon kwanza

    • @Sampovoice8088
      @Sampovoice8088 4 месяца назад

      Acha coment zko mby izo

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 4 месяца назад

      Unapata dhambo Mungu ndo alivyomuumba

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 4 месяца назад

      SubhnAllah mola akusamehe

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 месяца назад

      @@yasminoluoch169 ww unawez am ni subukhan lllah kuitamka tuy

    • @MeckitilidaTushabe-or9hu
      @MeckitilidaTushabe-or9hu 4 месяца назад

      Usiseme ivyo uwezi jua nin kilisababisha anamwacha mtoto wake

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад

    weee uyu shangazi ajafirahishwa na uyu mtoto kumpata mamaake hàki kwa hali hiii shamira pole sana mamaske shamira uliacha mtoto akapata shida maskini

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

      Shamilabona amekuwa mpweke tena? Mama Shanghai kawavuruga nini?

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

      Shangazi angefunga mdomo au anataka malipo?

    • @SharifaMohammed-el3ug
      @SharifaMohammed-el3ug 4 месяца назад

      Nimempenda shamila. Kalia mwanzo mwisho maskini

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад

      @@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi

  • @MariamMasoud-r5y
    @MariamMasoud-r5y 4 месяца назад

    Huyu mama kama mgogo siambembeleze mwanae😢

  • @ReginaOpportuna-kf5km
    @ReginaOpportuna-kf5km 4 месяца назад +1

    Nina wazo. mikiwaalika afisa ustawi wa jamii kuhudhuria siku hii kila mwaka nadhani itakuwa vizuri jamani.

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 4 месяца назад +2

    Nimelia sana hivi vipindi vyenu Gea

  • @SafiaOmary-ii5zm
    @SafiaOmary-ii5zm 4 месяца назад

    Dah

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 4 месяца назад +2

    Duu hikali mumenikumbusha mbali sana watangazaji maua yenu hongeai maa

  • @LawrenceMakata
    @LawrenceMakata 4 месяца назад

    Kutafuta baba mnaaza lini

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 4 месяца назад

    Numelia jaman 😢😢

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 3 месяца назад

    Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi

  • @OmanAlkamil-nl2zw
    @OmanAlkamil-nl2zw 4 месяца назад

    Shangazi ni kama hajafurahia mtot kukutana na mama yake

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 4 месяца назад

    Hadi kichwa kinaniuma

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад

    Hivi wamama wengine cjui wakoje,,unamuacha mtt,na ujua ulipo muacha,,hata kurd hkn

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 4 месяца назад +2

    Shamila pole mwenetu duu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +1

    Mam unaacha mtt wamiez6 kisa utaenda kufukuzwa wazazi waaina gan hao lbda din nyingine

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 4 месяца назад

      labda waislam

    • @shamzone388
      @shamzone388 4 месяца назад

      Roho mbaya haina dini acha kusema sema ovyo

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 месяца назад

      @@shamzone388 mie nimesem kituy ninacho juw ww ulion wap wachaga wanaacha watt am ww binafs unaweza acha mtt wako nauko na akili timam kweli am ww ndo unaropokwa ovyo muon kwanza

  • @MukamanaZuwena
    @MukamanaZuwena 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤😂

  • @echosound255
    @echosound255 4 месяца назад

    Kwanjeka kwetu kwa Dongo

  • @hawakomba692
    @hawakomba692 3 месяца назад

    Nimachoz tu yana dondoka

  • @JacklinedamianMtweve
    @JacklinedamianMtweve 4 месяца назад

    Shosti kumbe na ww uliterekezwa pole jirani

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 4 месяца назад

    Hivi kuna mtu anayetazama kipindi hichi na hasitoe machozi