Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏
Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.
Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz
Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia
Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda
Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23
Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂
@@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi
Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi
Maashaallah Maashaallah Mwenyezi Mungu awalipe kwa kuwaunganisha wazazi na watt wao❤❤❤
Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏
Nawashukulu sana kwa kazi nzuri Mungu awalinde na kuwabariki muendee kufanya iki kipindi Mungu atawalipa❤
Mungu awatunze sana clouds media, mwendelee kukutanisha familia nyingi zaidi na zaidi
Nitakufa na wanangu pembeni siachi mwanangu hata kama Sina kitu mm na wanangu iwe mvua,iwe jua 💪💪
Pamoja
Shamira mama ni mama
Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.
Uchungu wa mwana naujua mwenyewee raha ya tumbo kilionaeee❤❤❤❤❤❤❤
Nampenda gea na huu mwenzake manshallaah mungu awadumishe mapenzi kwenu na mmzidi kuwa na moyo huo huo
❤❤❤❤❤❤❤❤mama ni mama hata awe na mapungufu gani mama ni mama tuu
Kabisa
Haipingwi iyo
Yaan mimi siachi mtoto wangu yaan we. Bahati nzuri watoto wangu ninao mwenyewe hadi wameolewa
labda nilogwe ila kwa akili timamu siwez
Shangazi mungu akutunze,,ww ni mrembo 🎉🎉🎉
Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz
Mungu Asante Kwa baraka na neema hii Asante katika jina lipitayo majina yote nalo ni yesukristo mwana wa Mungu aliye hai.amen
Hongereni sana uongonzi wote hakika ni kazi kubwa ❤❤❤
Nimelia sana yaan..😭😭😭 wengine wanatafut watoto wengine wanatelekeza watoto😭😭
Hizo Kanga zinanikumbusha Mbali sana ,,Ndio kanga za marehemu mamaangu alikuwa anavaa
Clouds radio yangu pendwa,Da'Huu,Geah,Jose Mara,Mungu awahifahi wallah...
Shangazi ana hasira
Sana
Mno...Yaani shangazi ameshindwa tu kumkataza huyo mtoto wa marehemu kaka yake hasifanye hiyo tu.
Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia
Gea na watatangazaji wote wa leo tena Mungu awazidishie inshaallha nawapenda sana sina cha kusema ila Mungu anajuwa
Nataman mamaangu angekuwa amepotea afu leo aonekane nakupenda mama pumzika kwa amani
Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda
kipindi kizuri sana hongereni clouz, laki mweke ulinzi cku atapigwa mtu makofi maana matukio yanatia uchungu sana
Hongera sana radio ya watu ,,, hakika Hiki kipindi kipewe kipaumbele hongereni nyote mliopata mama zenu
Mama anauma jamani hata kama alikuacha ila utasamehe maisha yaendelee
Mungu amtunze shangazi shamila
Na mimi mamangu si angekuwa amepotea then nimpate aki i mos her😢😢😢 innalilah rajiun rest wel kipenzi changu heri kupotea kuliko kufa
Pole muombee Dua
Pole sana kipenz ❤
Kikubwa Dua 🙏
Pole sana
😢😢😢😢endelea kupumzika kwa amani mamaangu nakupenda sana😢😢😢
Naombeni namba za clouds
Yaani Raha sana kukutana na mama hakuna kama mama yaani Leo nimelia sana ila mungu ni mwema
Kabisa yaan
Mwenyezi abariki clouds kwa kukutanisha ndg waliopoteana kwa miaka mingi
Shangazi yake waziri pambe❤❤❤❤❤❤
Dj anachemshaaaaaaa
Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23
Nn nko apa tu nawasaidia kulia😢😢😢😂MACHOZI ya furaha❤🎉🎉🎉🎉
Raha sana jamani Mama hafanani na asie mama yako nalia kwa furaha❤
Hatakama ntapitia magumukiasigan ila mtoto wang ntakufanaejaman
Pole sana shamila
Natamani mamangu awe amepotea leo ndio ameonekana mama nakupenda R.I .P🙏🏻
Pole mummy
Pole sana endelea kumwuombea Ili nawewe upone kufarijika pia.
Pole sana
Mungu awalipe clouds f.m
Asante sana shangazi kwa kumlea mtoto wa kaka yako lakini watu wa tanga wana mambo mengi sana
Kweli dada gea. 🎉🎉🎉❤❤
Natamani mama yangu niwe nimempoteza leo ndo namupata lkn haiwezekan 😢😢😢
Mama ulifanya makosa. Shangaz haki yako kuwa na hasira. Mtt mdogo ondoka nae .tena mtt wa kunyonya...hapana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwawo hadi raha kabisa
Haya mambo km hayajakukuta utasema uzembe ila yalotukuta tunajua
Shangazi mrembo❤❤🎉🎉🎉🎉
Duuu mbona na mm nalia jamani!!?!😊
Jamani mimi nimelia 😭😭😭namkumbuka mama yangu 😭😭😭😭Allah akuweke mahali pema Yarabi🤲
Kloud mnaona maajabu hapo Sana make mwanamke anamwachamwanae miez afu aseme namtafut
Huyo mam kiboko ni mtihan
Mama ni mama hata kama huyo shangazi achukie,ni Bure,mtt hazaliwi na mama wawili huwa ni mmoja tu.
Ukweli maana shangaz kaonesha chuki
Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂
Inaonyesha akimsimangia mama yake
Kadi nzuri😢😢😢❤
Mama yangu nae SI angepotea tu at nmtafute nimpate Kama hivi but now siwez kukuona kukuona kabisa😢😢😢😢
Pole sana
Ila shangazi ana shari uyo. Kama vile kammindi uyo mama.. swali why mke mkubwa n mdogo wote waondoke kwa pamoja?
Kafanana na mama
Mama mkavu uyu ata isia ana
Nimelia 😢san leo
Haha mie
shangazi yuko na ujasiri hadi nimemoenda bure nahis atakuwa msambaa mkilindi huyu maana hatunaga mbambamba
ANAONA AIBU MAMA. MAANA HAKUKATAZWA KUONDOKA NA MWANAYE. UNAPOONGEA NA MTU MWANGALIE USONI. MBONA HAJACHANGAMKA HUYO MTOTO MWENYEWE.
Shangazi Allah akulipe
Jamani nikiangaliaga kipindi waga nalia sana nikifikilia kulelewa bila mama mh nikazi
Halafu kapewa kanga jamani na roho yake mbaya bado wanampa kanga 😂😂😂 22:21
shangazi ameamua kuongea alimuacha amfwate alipomuacha ataki mchezo
Hizi mila nazo ni shirki
Munasababisha tunao angalia pia tunalia kwakweli😭😭😭😭😭
Yaani mtu unatelekeza wtt wa nne yupo sawa shamila pole mm naishia na wtt wangu napata shida nipo na wanaagu wapende wtt wako ujui utaishia wapi
Mmejua kuniliza clouds
Shangazi anaonekana ana pendashari
Saaaaaana
Mauwa 🎉🎉🎉
Hata nipitie shida gani siwezi muacha mwanangu
Watoto wanafanana mama zao
Shangazi unahasira lkn hujui kaka yk alimfanya nini huyu mama mpaka akamwacha mwanae
Toweni mizki
Shangazi mchawi
Maana mi nalia tuu, sujui hata kwanini nalia kuwashinda wenyewe
ni haki shangazi kuchukia
Kweli milazakisambaa lazima walambiane chumvi nimbui wasambaa wenzangu
washanba tiihaha 🎉🎉🎉❤
@@msakadoobongeladada-uh3sk penda sana sambaani ekadu maa
Sambaaa oyeee usembe
Huyu mama kakaa umbo lakiume mjinga san utaachaje mtt wako wa miez 9 ujinga san muon kwanza
Acha coment zko mby izo
Unapata dhambo Mungu ndo alivyomuumba
SubhnAllah mola akusamehe
@@yasminoluoch169 ww unawez am ni subukhan lllah kuitamka tuy
Usiseme ivyo uwezi jua nin kilisababisha anamwacha mtoto wake
weee uyu shangazi ajafirahishwa na uyu mtoto kumpata mamaake hàki kwa hali hiii shamira pole sana mamaske shamira uliacha mtoto akapata shida maskini
Shamilabona amekuwa mpweke tena? Mama Shanghai kawavuruga nini?
Shangazi angefunga mdomo au anataka malipo?
Nimempenda shamila. Kalia mwanzo mwisho maskini
@@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi
Huyu mama kama mgogo siambembeleze mwanae😢
Nina wazo. mikiwaalika afisa ustawi wa jamii kuhudhuria siku hii kila mwaka nadhani itakuwa vizuri jamani.
Nimelia sana hivi vipindi vyenu Gea
Dah
Duu hikali mumenikumbusha mbali sana watangazaji maua yenu hongeai maa
jmn daaaah
Kutafuta baba mnaaza lini
❤❤❤❤❤❤
Numelia jaman 😢😢
❤❤❤❤
Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi
Shangazi ni kama hajafurahia mtot kukutana na mama yake
Hadi kichwa kinaniuma
Hivi wamama wengine cjui wakoje,,unamuacha mtt,na ujua ulipo muacha,,hata kurd hkn
Unajiuliza kama mimi 😢
Shamila pole mwenetu duu
Ng'wenetu😅😅
Mam unaacha mtt wamiez6 kisa utaenda kufukuzwa wazazi waaina gan hao lbda din nyingine
labda waislam
Roho mbaya haina dini acha kusema sema ovyo
@@shamzone388 mie nimesem kituy ninacho juw ww ulion wap wachaga wanaacha watt am ww binafs unaweza acha mtt wako nauko na akili timam kweli am ww ndo unaropokwa ovyo muon kwanza
❤❤❤❤😂
Kwanjeka kwetu kwa Dongo
Nimachoz tu yana dondoka
Shosti kumbe na ww uliterekezwa pole jirani
Hivi kuna mtu anayetazama kipindi hichi na hasitoe machozi
Hakuna mii nimelia