Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
🥲' mungu amlaze mahali pema peponi mwana"
Balaa si la kitoto. Unanikumbusha 2003/2011 Morogoro.
Mungu akuleem shemeji yangu
Mungu muhifadhi mwenetu general lupozi mbele yake nyuma yetu
Ivi hizi nazipata wapi mbali na yu tube?
Wajna umenigusa Sana... asante Sana
Kwema? Somo yangu?
@@TamuzaKale kwema kabisa wajna
@@mohamediddi4425 Pamoja sana, mkuu!
Umenikumbusha mwanzaa jamani dah, tep yangu hatasijui nani aliikwapua
Noma kaka!
Kila cku lazima nimsikili ze general LUPOZI sisikilizi mziki wowote zaidi ya mnanda tu
Kaka naomba unitumie kwenye watsapp maana tupo mbali na Tz
Hamadi pande za bunju a nakumbuka mpogo alipo kuja bunju a ilkua 2010 jamaa atali
Juma mpogo
Nakumbuka Sana sana nyimbo izo
Mziki wa asili huu
Hii sasa ndio miziki yetu wakolongwa.
Culture ndo mziki wenye mjumbe mzuri hatutomsahau juma mpogo
Hisia
JUMA fundi was kibodi wa Asia ah dokaa msomdoni
Can
Daaah yaan najisikia burudan sanaa
Kipindi hicho nabana shule naenda chimbo na karedio daah
jumaaaaaaaa
Namkumbuka sana. Ilikua ukizungumzia Temeke yeye alikua hatari sana.
🥲' mungu amlaze mahali pema peponi mwana"
Balaa si la kitoto. Unanikumbusha 2003/2011 Morogoro.
Mungu akuleem shemeji yangu
Mungu muhifadhi mwenetu general lupozi mbele yake nyuma yetu
Ivi hizi nazipata wapi mbali na yu tube?
Wajna umenigusa Sana... asante Sana
Kwema? Somo yangu?
@@TamuzaKale kwema kabisa wajna
@@mohamediddi4425 Pamoja sana, mkuu!
Umenikumbusha mwanzaa jamani dah, tep yangu hatasijui nani aliikwapua
Noma kaka!
Kila cku lazima nimsikili ze general LUPOZI sisikilizi mziki wowote zaidi ya mnanda tu
Kaka naomba unitumie kwenye watsapp maana tupo mbali na Tz
Hamadi pande za bunju a nakumbuka mpogo alipo kuja bunju a ilkua 2010 jamaa atali
Juma mpogo
Nakumbuka Sana sana nyimbo izo
Mziki wa asili huu
Hii sasa ndio miziki yetu wakolongwa.
Culture ndo mziki wenye mjumbe mzuri hatutomsahau juma mpogo
Hisia
JUMA fundi was kibodi wa Asia ah dokaa msomdoni
Can
Daaah yaan najisikia burudan sanaa
Kipindi hicho nabana shule naenda chimbo na karedio daah
jumaaaaaaaa
Namkumbuka sana. Ilikua ukizungumzia Temeke yeye alikua hatari sana.