DAKTARI ALIYEMTIBU MBOWE DODOMA AFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июн 2020

Комментарии • 61

  • @morsean2591
    @morsean2591 4 года назад +1

    Thanks 4 good work doctor

  • @jenniferkayoza9618
    @jenniferkayoza9618 4 года назад +1

    mungu amponye kwakweli,mbarikiwe ma dactari

  • @rechomwaijande3273
    @rechomwaijande3273 4 года назад +1

    Mhhh yupo mungu ambae ndo msemaji wamwisho mungu wangu akuponye leo

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 года назад +9

    Madogta nakupeni pongezi mnafanya kazikubwa ninyi hamna siyasa watuwote wanaokufikieni niwenu hongerenisanna

  • @aloycefarmerfarmingbusines7697
    @aloycefarmerfarmingbusines7697 4 года назад +1

    Pole mzee

  • @piusemanuel5986
    @piusemanuel5986 4 года назад +1

    Mungu wao ndio mungu wetu sote

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 4 года назад +8

    Hii movie staring kabugi mapema.Mwaka huu mtaigiza kila aina ya picha ila oktoba tunawafanyia mazishi rasmi.

  • @godlistenhowcance8052
    @godlistenhowcance8052 4 года назад +1

    Get well soon

  • @floramgaza6401
    @floramgaza6401 4 года назад

    Ubarikiwe daktari duniani tunapita jmn

  • @kessymnkula1181
    @kessymnkula1181 4 года назад

    Pole kwa Yale yote yaliyokkta, Kwan Mungu n mwema atakuponya

  • @paulfamily5587
    @paulfamily5587 4 года назад +5

    Yan mtu upingwe uumie mguu jamn ata watu watafute cha kusema

  • @noelsimon3320
    @noelsimon3320 4 года назад

    Amungu amtangulie

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +3

    Hyo ndio faida ya konyag

  • @salummussa3094
    @salummussa3094 4 года назад +7

    daktri anasema mbowe anaendelea vizuri viongozi wa chadema mwaimu kasema khali yake si nzurii...halafu walimpiga mguu tu wala hawakuona uso wala mbavu? watanzania hatuwezi kudanganyika kirahiai

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 4 года назад

    Wanaokomenti kejeli na kuonyesha kuumia kwake ni sawa sijui ni watanzania wa wapi kweli, Nyerere hakuacha kizazi kibaya kiasi hiki.
    Wengine wameshafanya "conclusions" kibao polisi hawajatamka chochote.
    Ukimtakia mtu mabaya hata kama ni adui yako kiasi gani, yatakurudi. Mimi sio mwanasiasa na sipendi siasa maisha yangu, lkni kwangu ni hayo tu.

  • @steventambi6353
    @steventambi6353 4 года назад

    Pombe tamu lakini,,,,,

  • @khadijachuma1653
    @khadijachuma1653 4 года назад

    Kweli hawa. Watu wameishiwa sela mwaka uuh

  • @omarimukungwa2510
    @omarimukungwa2510 4 года назад

    Sasa hayo uliyoyafanya ww pale dodoma awawezi au ni kiki tu kujifanya yupo mahututi

  • @kidekeo8388
    @kidekeo8388 4 года назад

    Upo makini dkt

  • @claudiangowi9585
    @claudiangowi9585 4 года назад

    Alitenguka huyo

  • @Alikibainblood1994
    @Alikibainblood1994 4 года назад

    madaktari kama ameletwa mgonjwa akiwa amelewa hawawezi kumgusa mpaka kilevi kiishe mwilini kwaiyo tuweke kando siasa jamaa walimvunja mguu

  • @merysinangowidonttouchhapa305
    @merysinangowidonttouchhapa305 4 года назад

    Deal limebuma kweli wangekuwa wazee wa kazi wangefanya hilo loooh aseme Pombe sio Chai 😂🤣🤣

  • @maryemanuel6122
    @maryemanuel6122 4 года назад +2

    Utu kwanza siasa baadaye"kama binadamu, pole...mengine napita tu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 4 года назад

      Na uwongo na kuzusha jee

    • @maryemanuel6122
      @maryemanuel6122 4 года назад

      Hiyo haihusiani kabisa ,hizo ni chuki binafsi inapokuja kwenye mtu kajeruhika haijalishi hayo mengine cha muhimu afya kwanza kwake mengine watajuana

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 4 года назад

      @@maryemanuel6122 alikuwa anaenda kwenye ngono tunajui halafu anataka kuisingizia serekali na Mushimiwa raisi , ubinadamu ni kuwa tuwe wakweli tusiitie inchi taswira mbaya kwa faida ya mzinifu mzee na mlevi

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 4 года назад

    Nchi hii hatari sana

  • @anzaamenmassawe4066
    @anzaamenmassawe4066 4 года назад

    Mm

  • @magejose1386
    @magejose1386 4 года назад

    MI NAJIULIZA KWANI BODY GUARDS WAKE ?

  • @piusraymond8226
    @piusraymond8226 4 года назад

    Afetuuu sisihatuwez kumpenda kibalaka wawanzungu mtu anaetutafutia mabaya hua na sisi tunamtaftia mabaya unyama unyama tuuu raisi magufuli oyeee anaejisikiavbaya akafiembele kwawanzungu

    • @emmanuelmogela5871
      @emmanuelmogela5871 4 года назад +1

      Acha ushoo, mbona unaleta siasa kwenye matatizo, Magufuli hawezi kupendezwa na vitu vinavyoharibu hekima zake

    • @davidnicholaus5304
      @davidnicholaus5304 4 года назад

      Nadhani una mapungufu saaana katika kufikilia kwako na mtazamo wako

  • @hendrynyaki5629
    @hendrynyaki5629 4 года назад

    Doctor vp hivi ulivyomwangalia kwa ujuzi wako ni km mtu kapigwa au kavunjika kwa kutelezaa!!!?

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 4 года назад +3

    ORIF = Open Reduction of Internal Fixation. Tunatumaini siyo sababu m’badala wa mipango ya “yajayo”maana mtoa misaada wa huko magharibi ya mbali yuko kwenye kizungumkuti na yeye; kwa hivyo hawezi kusaidia vibaraka. Inabidi Tusubiri majirani watujuze kama walisikia mikiki au mtu mmoja kaanguka kwenye ngazi baada ya kinywaji🥴

    • @gililwise
      @gililwise 4 года назад +2

      Ninyi mnaocoment kwa kumtakia mboe mabaya kumbukeni kuwa malipo ni hapa hapa duniani kama si kwako ni kwa kizazi chako.mwenzenu anapopatwa na mabaya tumwombee ili Mungu amponye.mambo mengine tumwachie Mungu ambaye atahukumu kwa haki.mpende jirani yako kama nafsi yako haijalishi ni mwema au ni mbaya kwako.kisasi ni juu ya Mungu.amina

    • @nehemiaisakwisa8604
      @nehemiaisakwisa8604 4 года назад

      @@gililwise ingekua wao akina Mbowe wana .mawazo kama yako watu wasingekua wanaongea vibaya ni kwasababu wameshaanza kumtaja rais na serikali yetu kuichafua hivyo unaposema alichokifanya ni kumsaidia ili ajifunze siku ingine yeye inasemwa wazi alilewa na akaanguka kwenye ngazi

    • @danielmasolwa3931
      @danielmasolwa3931 4 года назад

      So smart

  • @nuhuallyzsung
    @nuhuallyzsung 4 года назад

    Patient privacy ni jambo pana! Unavyofanya doctor ni unprofessional una mkosea sana mbowe kutangaza siri yake bila ridhaa yake pili we sio msemaji wa familia au hiyo hospital!!

  • @siwemaadam2
    @siwemaadam2 4 года назад

    Wasemaji wa CCM akiwepo Msu - kuma, Lijua Likali, na Lusinde wanadai alikuwa mlevi sio kushambuliwa. Polisi wa siku hizi wanafanya kazi chini ya CCM kwa hiyo hawana haja tena ya kuchunguza maana Wabunge wa CCM wamefanya kazi badala ya MROTO.

    • @godlistenhowcance8052
      @godlistenhowcance8052 4 года назад

      Wabunge vilaza wanacheza na afya za watu

    • @jgdghcvjvvjvbcv8032
      @jgdghcvjvvjvbcv8032 4 года назад

      @@godlistenhowcance8052 hauna akili ww paka ww

    • @thelivingwordchannel9027
      @thelivingwordchannel9027 4 года назад

      Wewe unataka wachunguze nini wakati umeambiwa alikuwa amepiga kilaji kikali na alidondoka kwenye ngazi akavunjika.

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 4 года назад

      Waichunguze Faru!? Hahahahaha ! Makubwa! Alivamiwa mguu tu! ? Picha nalo halisomeki?

    • @ameyashey3174
      @ameyashey3174 4 года назад

      Walichunguze Levi?

  • @aloycefarmerfarmingbusines7697
    @aloycefarmerfarmingbusines7697 4 года назад +1

    Pole mzee

  • @kidekeo8388
    @kidekeo8388 4 года назад

    Upo makini dkt

  • @merysinangowidonttouchhapa305
    @merysinangowidonttouchhapa305 4 года назад

    Deal limebuma kweli wangekuwa wazee wa kazi wangefanya hilo loooh aseme Pombe sio Chai 😂🤣🤣