Mchungaji naomba kupitia kwako Mwenyezi Mungu amponye mama yangu maradhi yake yanayomsumbia kwa muda wa miezi sita Sasa yupo kitandani na hajapata tumaini katika Jina la Yesu Amina
Nabii wa mungu nashukuru nimeingia kwenye hii platform natumai unisaidie watoto wangu wanne, wa Kwanza ni mapacha miaka thelathini na Moja hawajaolewa Wala kuoga, mtoto wa kike kaingilia ndoa ya jinsia Moja, wa kiume amejishirikisha na mihadarati, wa pili pia ijapo ameolewa na mtoto Moja pia anatumia pombe mtumishi wa mungu naomba msaada wako kupitia jina la yesu kristu Amina
E Mungu kupitia nabii wako Pastor Dominic maisha yangu yakawe yenye mafanikio nipate pesa natamani niwasaidie ndugu zangu na wa mke wangu lakini pesa zangu hazikai kila ninachokifanya sioni maendeleo naomba kuanzia leo hii nikainuke tena Amina
Baba yangu ninashida Sana naomba nikomboe nimefungwa kiuchumi, nimedhulumiwa, ninamadeni mpaka nachafuliwa mitandaoni,ninaumwa kuanzia kwny kiuno mpk mguuni, Sina kazi Wala biashara . Majirani pembe zote ni wachawi .Kiwanja changu nilikuza mteja akanitapeli hela . Nisaidie baba nikomboe . Naitwa Margaret
Nabii wa mungu baba angu Naomba unisaidie maombi nipate kaka Eliudi uko aliko atoke alipata ajali akafariki kila mara anakuwa anamtokea mtu anaitaji maombi tumeangaika sana tunaomba maombi
Nabii naomba unitabilie juu ya familia yangu pamoja na maisha yangu naniweze pata kazi katika kampuni niliochukua fomu nanikalipia fomu lakini cha ajabu ghafura tu sikupata tena naomba unisaidie ili uyo bosi aweze kunitafuta naanirejeshe kazini naomba baba unisaidie.naitwa rosemary magesa
Eeeeh MUNGU Kwa miujiza unayoyatenda kupitia nabii huyu kwa watu wako nakuomba na mm uniponye presha na vidonda vya tumbo pia nakuomba unipe Cha kufanya kwenye mikono yangu nifanikiwe, Ahsante Kwa maana hutamsahau baba wa watoto wangu pamoja na watoto wetu, ktk jina KUU la YESU AMEN
Eemungu naomba kupitia kwa nabii kiboko wa wachawi aniponye magojwa yangu nipone kupitia nabii kiboko wa wachawi mungu nipe amani ya roho sina raha eemungu nione
Pastor naomba uniombee mimi na familia yangu hususani upande wa wanaume niliozaa nao hawanipi hata huduma kwa ajili ya watoto pia ni mjamzito wa miezi miwili sina huduma yeyote ile naomba maombi yako nipate pacha na huduma pia
Pastor mimi ni masai kutoka arusha ninaitwa William kisota mollel ninayo mtoto anaitwa ibrahimu kisota mollel alizaliwa mwaka 2012 hadi leo 2023 ni miaka 12 hajatembea wala aongei na aoni wala hawezi kula mwenyewe ninatezekanae niombea ili apone na naomba namba yako nikufuate huko uliko
Mchungaji naomba kupitia kwako Mwenyezi Mungu amponye mama yangu maradhi yake yanayomsumbia kwa muda wa miezi sita Sasa yupo kitandani na hajapata tumaini katika Jina la Yesu Amina
Mungu nimwema akubariki
Nabii wa mungu nashukuru nimeingia kwenye hii platform natumai unisaidie watoto wangu wanne, wa Kwanza ni mapacha miaka thelathini na Moja hawajaolewa Wala kuoga, mtoto wa kike kaingilia ndoa ya jinsia Moja, wa kiume amejishirikisha na mihadarati, wa pili pia ijapo ameolewa na mtoto Moja pia anatumia pombe mtumishi wa mungu naomba msaada wako kupitia jina la yesu kristu Amina
Yule msichana mdogo anahitaji apate shule nzuri anapojiunga kidato Cha kwanza, Niko Kenya
Ameeeen. YESU KRISTO wa KIBOKO ya WACHAWI Yuko juu saaana Kwa kweli YESU
E Mungu kupitia nabii wako Pastor Dominic maisha yangu yakawe yenye mafanikio nipate pesa natamani niwasaidie ndugu zangu na wa mke wangu lakini pesa zangu hazikai kila ninachokifanya sioni maendeleo naomba kuanzia leo hii nikainuke tena Amina
Amina amna mungu akubariki sana
Amina
kweli nabii mwenyezi mungu hakupatie umri mrefu
Amen
Naomba Mungu niopolewe na Mtu yeyote anayeniloga nimjue na afe kuanzia leo Jumatatu mimi wachawi wage
mungu akubariki sana pasta
Naomba Bwana Yesu duka na nyumba mali za ndoa yangu unitendee ukarimu wako nirejeshewe
pasta nisaidie familia yangu watoto hawaelewi chochote shuleni nanyumbani niwavivu mno nisaidie pia kaziyangu mungu akaionekanie amina
Amina barikiwa sana Nabii
Mungu Nigungulie Watoto Wangu.Najinyenyekea Mbele Yako Nabii MikoMsumbiji Maputo.
Emungu kipitia kwa nabi kiboko ya wachawi naomba watoto wangu wafunguliwe
Naomba umuombee mume wangu apate kazi serekalini
Baba yangu ninashida Sana naomba nikomboe nimefungwa kiuchumi, nimedhulumiwa, ninamadeni mpaka nachafuliwa mitandaoni,ninaumwa kuanzia kwny kiuno mpk mguuni, Sina kazi Wala biashara . Majirani pembe zote ni wachawi .Kiwanja changu nilikuza mteja akanitapeli hela . Nisaidie baba nikomboe . Naitwa Margaret
Nabii wa mungu baba angu Naomba unisaidie maombi nipate kaka Eliudi uko aliko atoke alipata ajali akafariki kila mara anakuwa anamtokea mtu anaitaji maombi tumeangaika sana tunaomba maombi
Nabii naomba unitabilie juu ya familia yangu pamoja na maisha yangu naniweze pata kazi katika kampuni niliochukua fomu nanikalipia fomu lakini cha ajabu ghafura tu sikupata tena naomba unisaidie ili uyo bosi aweze kunitafuta naanirejeshe kazini naomba baba unisaidie.naitwa rosemary magesa
Amina baba
Eeeeh MUNGU Kwa miujiza unayoyatenda kupitia nabii huyu kwa watu wako nakuomba na mm uniponye presha na vidonda vya tumbo pia nakuomba unipe Cha kufanya kwenye mikono yangu nifanikiwe, Ahsante Kwa maana hutamsahau baba wa watoto wangu pamoja na watoto wetu, ktk jina KUU la YESU AMEN
Mungu akubariki sana nitabirie familia yangu
Pastor naomba uniombee pia nami nipate ndoa
Kwel baba Mungu akuweke miaka yote naamini ipo siku nitafika kanisan kwako
Naitwa Julian murekatete munguakubariki baba
Baba mungu hakutumie kama apendavyo
Mungu atusaidie sana
Eemungu naomba kupitia kwa nabii kiboko wa wachawi aniponye magojwa yangu nipone kupitia nabii kiboko wa wachawi mungu nipe amani ya roho sina raha eemungu nione
Mungu naomba unisaidie aliyenitapeli Hela zangu apatikane
Ewe mungu naomba kipitia nabii pasta Dominick akafungue tumbo langu nikapate watoto mapacha na mume sahihi, pia ukafungue familia yangu haina mwelekeo
Mungu naomba msaada wako ee mungu naitwa mrs ngowo
Nabii naiman mungu kakupa iman na uwepo wa mungu utusaidie watoto wako tunateseka san naimani mungu hana tenda kwa imani ni utukufu wake kwako baba
Mungu azidi kukulinda dhidi ya maadui .....
Pastor naomba uniombee mimi na familia yangu hususani upande wa wanaume niliozaa nao hawanipi hata huduma kwa ajili ya watoto pia ni mjamzito wa miezi miwili sina huduma yeyote ile naomba maombi yako nipate pacha na huduma pia
Mimi pia pastor mtoto wangu hatembee haongee ako na miaka 5, please pray for him
Baba naomba unitabirie maisha yangu
Mchngaji naomba uniombae niko na shida mingi sana magonjwa kibao noombee mungu aniponye
Amina baba , Daria Genes Nina changamoto ya kubeba ujauzoto, presha na moyo
Emungu nifungue maisha yangu nabii
Mm naitwa mery patrick nyumbani watoto hatuelewan
Amen amen pasta Amen
Ee Mungu kupitia maombi ya mtumishi wako watoto wangu wafunguliwe na mimi nifunguliwe kwenye malango ya uharibifu na kuponywa magonjwa yote
Pastor mimi ni masai kutoka arusha ninaitwa William kisota mollel ninayo mtoto anaitwa ibrahimu kisota mollel alizaliwa mwaka 2012 hadi leo 2023 ni miaka 12 hajatembea wala aongei na aoni wala hawezi kula mwenyewe ninatezekanae niombea ili apone na naomba namba yako nikufuate huko uliko
Bwana asifiwe mtumishi naitwa happy niko na mwangu anaitwa dorreni luttainurwa anasumbuliwa na mapepo sana baba naomba uniombee mimi na familia yangu
Mungu nikumbuke na mm nahitaji nione miujiza yako
Barikiwa mtu mishi wa mungu
Aminaaa ❤
Aminaa
Eeee,mungu naomba na mimi nikikayanga hapo nionekane
Ameen
mungu nisaidie prinve nilomjazia laiki anipe pesa zangu umtitimue anitafute
Ee mungu wa kiboko ya wachawi amponye mwanangu ismail ugonjwa wa sukar
Ameni
Dah kweli baba
Nabii naomba nitabilie namm maisha yangu nashida zisizo isha mbaka sielewi jamani
Nisaidie baba kiboko wa uchawi uchumi umeshuka mme wangu
Ni redio gani unatumia mtumishi mungu
mungu na mm nifunguliwe
Mtume kiboko ya wajawi bwana asifiwe.nakufuatilia kutoka msumbiji samaani nisaidie uniombee.natamani kutuma sadaka tupe namba yako ya msumbiji tutume hela ya sadaka ameni ameni ameni ❤
Naomba nipate ndoa baba na nipate amani ya moyo wangu
Ni kweli mtumishi sema baba
Mnaosema anawapanga Mungu anawaona jamani
Niombee Mungu anizawadie mtoto
Ana itwa Arjun Bharya Mimi Babu yake Sarbjit bharya
Ponya watoto wangu afya zao na kazi wapate
Mtumish naomba uniombee Mimi na familia yangu tumepitia mengi tunaomba uponyaji wako
Naomba uniombee juu ya mdoa yangu pampja na familia yeti tunateseka
Nabii tabiri maisha yangu nimagumu mno
Na mm naomba niponye mchungaji nasumbuliwa na maladhi
Nionekanie na mimi Yesu
Mungu mwema
😭😭🙏
baba naomba uniombee jisho langu linasheza sana
Nabii musa karibu kwetu songwe kiboko ya wachawi
Mungu awe nawe
Mm siamini km ni kweli aniombe mm nipone mguu unaniuma sana tena atabiri mm naitwa nani
Na bii namba nifunguliwe na mimi
Naitwa mery patrick naomba uniombee familia atuelewani naomba unisaidie tuwese kuelewana watoto
Nabii mie napiga simu aipatikani😊
Naomba nambie nigukuliwe kwenye familia yetu
Baba nisaidie libea kutoka moshi mguu wangu wa kulia upone
Kweli mchungaji kutoka kanisan tunaumia lkn Kwa mganga tunatoka Kwa furaha Wala hatuumii
Naomba no yenu nataka kuja huko na mtt wangu ili nipewe maelekezo
D wewe ninoma sana❤
Nniguse na mimi bwana,imani yangu kubwa kwako
Emungu kupitia maomb ya kiboko ya wachawi naomb watesi wa Familia yang waangamie maomb hayo yafike kwa mama yang
Ewe mungu naomba na mimi nikikanyaga janikagufungilow no no
NISAIDIE BABA,JOHN PHILIP LUGOMA
Kanuni safe, naisubiria sana
Point nabii😢😢
Ni redio gani unatumia baba
mbonaaujibiyi
mahombiyetu nahombaunitabiriye
maishayangu
Mimi naitwa jafalango kitule nabii naomba uniombee nataka kuanza huduma
Emungu naomba kupotia kwa nabii kiboko wa wachawi anitabilie kwa watoto wangu kuna Mtoto anateseka
Nipenye nabiii leo
Radio gan
Nabii niombee nko na shida mingi sana
naomba adui yangu asihishi
Mpk mtu aletwe apo kule mahospitali hawaon walemavu au ashakudanya watu 😢😢😢😢😢 fudisha neno la mungu sio miujiza
We nae negative perception zitakuponza, kama huamimi si ni wewe😏
Nabii Nina watoto mapacha wawil hawjatembea Wana miaka minne naomba niombee