MTOTO ALIYE SHINDWA KUTEMBEA NA KUONGEA BAADA YA KUFIKA KWA NABII KIBOKO YA WACHAWI HATIMAE ATEMBEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 145

  • @RegarnHamzah
    @RegarnHamzah 6 месяцев назад +3

    Mchungaji naomba kupitia kwako Mwenyezi Mungu amponye mama yangu maradhi yake yanayomsumbia kwa muda wa miezi sita Sasa yupo kitandani na hajapata tumaini katika Jina la Yesu Amina

  • @FatinaIddi
    @FatinaIddi 7 месяцев назад +2

    Mungu nimwema akubariki

  • @lamekaguta3724
    @lamekaguta3724 10 месяцев назад +1

    Nabii wa mungu nashukuru nimeingia kwenye hii platform natumai unisaidie watoto wangu wanne, wa Kwanza ni mapacha miaka thelathini na Moja hawajaolewa Wala kuoga, mtoto wa kike kaingilia ndoa ya jinsia Moja, wa kiume amejishirikisha na mihadarati, wa pili pia ijapo ameolewa na mtoto Moja pia anatumia pombe mtumishi wa mungu naomba msaada wako kupitia jina la yesu kristu Amina

    • @lamekaguta3724
      @lamekaguta3724 10 месяцев назад

      Yule msichana mdogo anahitaji apate shule nzuri anapojiunga kidato Cha kwanza, Niko Kenya

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571 4 месяца назад

    Ameeeen. YESU KRISTO wa KIBOKO ya WACHAWI Yuko juu saaana Kwa kweli YESU

  • @mussatem2044
    @mussatem2044 5 месяцев назад

    E Mungu kupitia nabii wako Pastor Dominic maisha yangu yakawe yenye mafanikio nipate pesa natamani niwasaidie ndugu zangu na wa mke wangu lakini pesa zangu hazikai kila ninachokifanya sioni maendeleo naomba kuanzia leo hii nikainuke tena Amina

  • @SonyS-fb1fx
    @SonyS-fb1fx 5 месяцев назад

    Amina amna mungu akubariki sana

  • @JoyceChacha-i3w
    @JoyceChacha-i3w 4 месяца назад

    Amina

  • @snazzyally1255
    @snazzyally1255 11 месяцев назад +2

    kweli nabii mwenyezi mungu hakupatie umri mrefu

  • @alicenyakoa
    @alicenyakoa 11 месяцев назад +1

    Amen

  • @lucasmveyange3339
    @lucasmveyange3339 4 месяца назад

    Naomba Mungu niopolewe na Mtu yeyote anayeniloga nimjue na afe kuanzia leo Jumatatu mimi wachawi wage

  • @h.mau9989
    @h.mau9989 5 месяцев назад

    mungu akubariki sana pasta

  • @eliaikangui6543
    @eliaikangui6543 10 месяцев назад

    Naomba Bwana Yesu duka na nyumba mali za ndoa yangu unitendee ukarimu wako nirejeshewe

  • @michaelenock4000
    @michaelenock4000 4 месяца назад

    pasta nisaidie familia yangu watoto hawaelewi chochote shuleni nanyumbani niwavivu mno nisaidie pia kaziyangu mungu akaionekanie amina

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 5 месяцев назад

    Amina barikiwa sana Nabii

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 10 месяцев назад

    Mungu Nigungulie Watoto Wangu.Najinyenyekea Mbele Yako Nabii MikoMsumbiji Maputo.

  • @AlbinaDonald
    @AlbinaDonald 10 месяцев назад +3

    Emungu kipitia kwa nabi kiboko ya wachawi naomba watoto wangu wafunguliwe

  • @JANETHKimambo
    @JANETHKimambo 10 месяцев назад

    Naomba umuombee mume wangu apate kazi serekalini

  • @margaretlongway133
    @margaretlongway133 5 месяцев назад +1

    Baba yangu ninashida Sana naomba nikomboe nimefungwa kiuchumi, nimedhulumiwa, ninamadeni mpaka nachafuliwa mitandaoni,ninaumwa kuanzia kwny kiuno mpk mguuni, Sina kazi Wala biashara . Majirani pembe zote ni wachawi .Kiwanja changu nilikuza mteja akanitapeli hela . Nisaidie baba nikomboe . Naitwa Margaret

  • @NoelaUrio-en9yv
    @NoelaUrio-en9yv 4 месяца назад

    Nabii wa mungu baba angu Naomba unisaidie maombi nipate kaka Eliudi uko aliko atoke alipata ajali akafariki kila mara anakuwa anamtokea mtu anaitaji maombi tumeangaika sana tunaomba maombi

  • @CatherineMwakapenda
    @CatherineMwakapenda 7 месяцев назад

    Nabii naomba unitabilie juu ya familia yangu pamoja na maisha yangu naniweze pata kazi katika kampuni niliochukua fomu nanikalipia fomu lakini cha ajabu ghafura tu sikupata tena naomba unisaidie ili uyo bosi aweze kunitafuta naanirejeshe kazini naomba baba unisaidie.naitwa rosemary magesa

  • @bonifacemihigo1730
    @bonifacemihigo1730 11 месяцев назад

    Amina baba

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 8 месяцев назад

    Eeeeh MUNGU Kwa miujiza unayoyatenda kupitia nabii huyu kwa watu wako nakuomba na mm uniponye presha na vidonda vya tumbo pia nakuomba unipe Cha kufanya kwenye mikono yangu nifanikiwe, Ahsante Kwa maana hutamsahau baba wa watoto wangu pamoja na watoto wetu, ktk jina KUU la YESU AMEN

  • @ElizabethBahati-l2e
    @ElizabethBahati-l2e 7 месяцев назад

    Mungu akubariki sana nitabirie familia yangu

  • @alicenyakoa
    @alicenyakoa 11 месяцев назад

    Pastor naomba uniombee pia nami nipate ndoa

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti 3 месяца назад

    Kwel baba Mungu akuweke miaka yote naamini ipo siku nitafika kanisan kwako

  • @JulianMurekatete
    @JulianMurekatete 11 месяцев назад

    Naitwa Julian murekatete munguakubariki baba

  • @GraceKara-o4t
    @GraceKara-o4t 3 месяца назад

    Baba mungu hakutumie kama apendavyo

  • @sirilajohn5942
    @sirilajohn5942 8 месяцев назад

    Mungu atusaidie sana

  • @AgenesteRay
    @AgenesteRay 6 месяцев назад

    Eemungu naomba kupitia kwa nabii kiboko wa wachawi aniponye magojwa yangu nipone kupitia nabii kiboko wa wachawi mungu nipe amani ya roho sina raha eemungu nione

  • @Sesiliangowi
    @Sesiliangowi 10 месяцев назад

    Mungu naomba unisaidie aliyenitapeli Hela zangu apatikane

  • @HildaMarcus
    @HildaMarcus 7 месяцев назад

    Ewe mungu naomba kipitia nabii pasta Dominick akafungue tumbo langu nikapate watoto mapacha na mume sahihi, pia ukafungue familia yangu haina mwelekeo

  • @agnessmaro9659
    @agnessmaro9659 8 месяцев назад

    Mungu naomba msaada wako ee mungu naitwa mrs ngowo

  • @KassimAlex
    @KassimAlex 11 месяцев назад

    Nabii naiman mungu kakupa iman na uwepo wa mungu utusaidie watoto wako tunateseka san naimani mungu hana tenda kwa imani ni utukufu wake kwako baba

  • @ChristinaLyimo-ni5cd
    @ChristinaLyimo-ni5cd 7 месяцев назад

    Mungu azidi kukulinda dhidi ya maadui .....

  • @EVELINSimon-ru2le
    @EVELINSimon-ru2le 6 месяцев назад

    Pastor naomba uniombee mimi na familia yangu hususani upande wa wanaume niliozaa nao hawanipi hata huduma kwa ajili ya watoto pia ni mjamzito wa miezi miwili sina huduma yeyote ile naomba maombi yako nipate pacha na huduma pia

  • @VerahNyabende
    @VerahNyabende 10 месяцев назад

    Mimi pia pastor mtoto wangu hatembee haongee ako na miaka 5, please pray for him

  • @gloriamachange
    @gloriamachange 7 месяцев назад

    Baba naomba unitabirie maisha yangu

  • @JohnnyLukumai
    @JohnnyLukumai 5 месяцев назад

    Mchngaji naomba uniombae niko na shida mingi sana magonjwa kibao noombee mungu aniponye

  • @dariagenes1725
    @dariagenes1725 10 месяцев назад

    Amina baba , Daria Genes Nina changamoto ya kubeba ujauzoto, presha na moyo

  • @elizabethisanja4900
    @elizabethisanja4900 6 месяцев назад

    Emungu nifungue maisha yangu nabii

  • @MeliMasanja
    @MeliMasanja 10 месяцев назад

    Mm naitwa mery patrick nyumbani watoto hatuelewan

  • @olivierbisimwachirimwami
    @olivierbisimwachirimwami 7 месяцев назад

    Amen amen pasta Amen

  • @FoibeJustolukumay
    @FoibeJustolukumay 7 месяцев назад

    Ee Mungu kupitia maombi ya mtumishi wako watoto wangu wafunguliwe na mimi nifunguliwe kwenye malango ya uharibifu na kuponywa magonjwa yote

  • @WilliamkisotaMollel-g8i
    @WilliamkisotaMollel-g8i 11 месяцев назад +1

    Pastor mimi ni masai kutoka arusha ninaitwa William kisota mollel ninayo mtoto anaitwa ibrahimu kisota mollel alizaliwa mwaka 2012 hadi leo 2023 ni miaka 12 hajatembea wala aongei na aoni wala hawezi kula mwenyewe ninatezekanae niombea ili apone na naomba namba yako nikufuate huko uliko

    • @HappinesWilliam
      @HappinesWilliam 10 месяцев назад

      Bwana asifiwe mtumishi naitwa happy niko na mwangu anaitwa dorreni luttainurwa anasumbuliwa na mapepo sana baba naomba uniombee mimi na familia yangu

  • @clarischaro2467
    @clarischaro2467 9 месяцев назад

    Mungu nikumbuke na mm nahitaji nione miujiza yako

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena9433 9 месяцев назад

    Barikiwa mtu mishi wa mungu

  • @هواه
    @هواه 11 месяцев назад

    Aminaaa ❤

  • @MaurineJohn-h5y
    @MaurineJohn-h5y 10 месяцев назад

    Aminaa

  • @jonasmajoge482
    @jonasmajoge482 8 месяцев назад

    Eeee,mungu naomba na mimi nikikayanga hapo nionekane

  • @trinitycharles8024
    @trinitycharles8024 8 месяцев назад

    Ameen

  • @TabuHassa
    @TabuHassa 10 месяцев назад

    mungu nisaidie prinve nilomjazia laiki anipe pesa zangu umtitimue anitafute

  • @janethmadole4815
    @janethmadole4815 10 месяцев назад

    Ee mungu wa kiboko ya wachawi amponye mwanangu ismail ugonjwa wa sukar

  • @furahamwamkonga9783
    @furahamwamkonga9783 9 месяцев назад

    Ameni

  • @sirilajohn5942
    @sirilajohn5942 8 месяцев назад

    Dah kweli baba

  • @SakinaMfyagisa
    @SakinaMfyagisa 6 месяцев назад

    Nabii naomba nitabilie namm maisha yangu nashida zisizo isha mbaka sielewi jamani

  • @RmimyzZhjr
    @RmimyzZhjr 4 месяца назад

    Nisaidie baba kiboko wa uchawi uchumi umeshuka mme wangu

  • @NeemaMkami
    @NeemaMkami 8 месяцев назад

    Ni redio gani unatumia mtumishi mungu

  • @TabuHassa
    @TabuHassa 10 месяцев назад

    mungu na mm nifunguliwe

  • @EstevãoFernandoFernandoFernand
    @EstevãoFernandoFernandoFernand 6 месяцев назад

    Mtume kiboko ya wajawi bwana asifiwe.nakufuatilia kutoka msumbiji samaani nisaidie uniombee.natamani kutuma sadaka tupe namba yako ya msumbiji tutume hela ya sadaka ameni ameni ameni ❤

  • @EVELINSimon-ru2le
    @EVELINSimon-ru2le 6 месяцев назад

    Naomba nipate ndoa baba na nipate amani ya moyo wangu

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani2571 4 месяца назад

    Ni kweli mtumishi sema baba

  • @JoyceChacha-i3w
    @JoyceChacha-i3w 4 месяца назад

    Mnaosema anawapanga Mungu anawaona jamani

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani2571 4 месяца назад

    Niombee Mungu anizawadie mtoto

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 11 месяцев назад

    Ana itwa Arjun Bharya Mimi Babu yake Sarbjit bharya

  • @DanielKiberiti
    @DanielKiberiti 4 месяца назад

    Ponya watoto wangu afya zao na kazi wapate

  • @irenemachange8854
    @irenemachange8854 5 месяцев назад

    Mtumish naomba uniombee Mimi na familia yangu tumepitia mengi tunaomba uponyaji wako

  • @JaneroseNafuna-bn4nk
    @JaneroseNafuna-bn4nk 4 месяца назад

    Naomba uniombee juu ya mdoa yangu pampja na familia yeti tunateseka

  • @elizabethisanja4900
    @elizabethisanja4900 6 месяцев назад

    Nabii tabiri maisha yangu nimagumu mno

  • @NyabukeneMirari
    @NyabukeneMirari 6 месяцев назад

    Na mm naomba niponye mchungaji nasumbuliwa na maladhi

  • @obedisiarangiriki8142
    @obedisiarangiriki8142 11 месяцев назад

    Nionekanie na mimi Yesu

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 10 месяцев назад

    Mungu mwema

  • @sikitugeorgette
    @sikitugeorgette 8 месяцев назад

    😭😭🙏

  • @DominicaKimario-di7ux
    @DominicaKimario-di7ux 3 месяца назад

    baba naomba uniombee jisho langu linasheza sana

  • @mpokikea9693
    @mpokikea9693 9 месяцев назад

    Nabii musa karibu kwetu songwe kiboko ya wachawi

  • @DausenMateru-oe6ib
    @DausenMateru-oe6ib 11 месяцев назад

    Mungu awe nawe

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 5 месяцев назад

    Mm siamini km ni kweli aniombe mm nipone mguu unaniuma sana tena atabiri mm naitwa nani

  • @FatinaIddi
    @FatinaIddi 7 месяцев назад

    Na bii namba nifunguliwe na mimi

  • @MeliMasanja
    @MeliMasanja 10 месяцев назад

    Naitwa mery patrick naomba uniombee familia atuelewani naomba unisaidie tuwese kuelewana watoto

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 6 месяцев назад

    Nabii mie napiga simu aipatikani😊

  • @rightnesschissano
    @rightnesschissano 4 месяца назад

    Naomba nambie nigukuliwe kwenye familia yetu

  • @RmimyzZhjr
    @RmimyzZhjr 4 месяца назад

    Baba nisaidie libea kutoka moshi mguu wangu wa kulia upone

  • @MagretMasanja
    @MagretMasanja 3 месяца назад

    Kweli mchungaji kutoka kanisan tunaumia lkn Kwa mganga tunatoka Kwa furaha Wala hatuumii

  • @fatumamichael5664
    @fatumamichael5664 7 месяцев назад

    Naomba no yenu nataka kuja huko na mtt wangu ili nipewe maelekezo

  • @frankjuma5654
    @frankjuma5654 7 месяцев назад

    D wewe ninoma sana❤

  • @johnmgalatia1939
    @johnmgalatia1939 11 месяцев назад

    Nniguse na mimi bwana,imani yangu kubwa kwako

  • @Christin-nf1vs
    @Christin-nf1vs 9 месяцев назад

    Emungu kupitia maomb ya kiboko ya wachawi naomb watesi wa Familia yang waangamie maomb hayo yafike kwa mama yang

  • @HildaMarcus
    @HildaMarcus 7 месяцев назад

    Ewe mungu naomba na mimi nikikanyaga janikagufungilow no no

  • @johnmgalatia1939
    @johnmgalatia1939 11 месяцев назад

    NISAIDIE BABA,JOHN PHILIP LUGOMA

  • @marionntomola1686
    @marionntomola1686 4 месяца назад

    Kanuni safe, naisubiria sana

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 10 месяцев назад

    Point nabii😢😢

  • @marrymwikola9436
    @marrymwikola9436 8 месяцев назад

    Ni redio gani unatumia baba

  • @AsumaniKalundja
    @AsumaniKalundja Месяц назад

    mbonaaujibiyi
    mahombiyetu nahombaunitabiriye
    maishayangu

  • @JafaradoKitule
    @JafaradoKitule 11 месяцев назад

    Mimi naitwa jafalango kitule nabii naomba uniombee nataka kuanza huduma

  • @ElizabethBahati-l2e
    @ElizabethBahati-l2e 7 месяцев назад

    Emungu naomba kupotia kwa nabii kiboko wa wachawi anitabilie kwa watoto wangu kuna Mtoto anateseka

  • @DanielKiberiti
    @DanielKiberiti 4 месяца назад

    Nipenye nabiii leo

  • @JessicaKapona
    @JessicaKapona 7 месяцев назад

    Radio gan

  • @JulliojuliusMsyox-gt9mn
    @JulliojuliusMsyox-gt9mn 10 месяцев назад

    Nabii niombee nko na shida mingi sana

  • @DominicaKimario-di7ux
    @DominicaKimario-di7ux 3 месяца назад

    naomba adui yangu asihishi

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 11 месяцев назад

    Mpk mtu aletwe apo kule mahospitali hawaon walemavu au ashakudanya watu 😢😢😢😢😢 fudisha neno la mungu sio miujiza

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 10 месяцев назад

      We nae negative perception zitakuponza, kama huamimi si ni wewe😏

  • @ConfusedGlasses-tm1ej
    @ConfusedGlasses-tm1ej 8 месяцев назад

    Nabii Nina watoto mapacha wawil hawjatembea Wana miaka minne naomba niombee