Nawakubali sana nyie waimbaji mungu awabariki kwa kazi yenu gonga like hapa tujuane 🔥🔥🔥🔥kama na wew unawapata freshi na nyimbo imekukumbusha kumrudia mugu🏥🏥
Sikuwahi Kupenda Kwaya kabisa...Maana wengi zaidi ya kucheza nyimbo hazina ujumbe,hazina Ubunifu wala Manukato...ZABLON mmenifanya Nipende kwaya sana Ushauri Msijisahau...Ongezeni Ubunifu..Roho Mtakatifu anavitu vipya kila siku...msiende kwa mazoea
Zabron singers, you guys i cry every day and night thanking you for giving me my life back, cause if it was not the zabron singers i would not be praising God today. Thanks again and hope to meet you guys in dinning table in heaven, the smiles😊😄😁🙂😅🎊🎊 in this song are so expensive i wish i could afford, very expensive smiles
Kuimba nyimbo za kumtukuza Mungu kwa heshima, kunawaanda kuimba wimbo wa Musa na Mwana Kondoo kwenye kwaya Takatitifu ya Mbinguni. Heko Zabron Singers. Mbarikiwe sana.
Katika kuishi kwetu hapa dunian tunachaguzi moja tu kat ya mbili uzima wa milele au kupotea milele Niwashukuru sana ZABRON SINGERS kwa kaz nzuri mlioichagua kuifanya ya kuwahubiri mataifa kwa njia ya uimbaji ,songeni mbele BWANA MUNGU you pamoja nanyi Nabarikiwa sana.
Zablon Singers You Sing So Nice With Inspirational Songs Richly Composed About The Word of God. You're a Very Nice Singing Group. May God Bless You Richly for The Wonderful Service You're Doing.
Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo,,ni kweli kwa Yesu kuna faida kubwa sana mmbrikiwe sana kazi yenu njema sana kwa viwango vinginr Mungu awainue nawapenda sana😘😘😘😘
Nawapenda na ninapenda sana nyimbo zenu mnanibariki kwa namna ya pekee kabisa huwa sijawahi kuchoka kusikiliza nyimbo zenu.Mungu aendelee kuwainua kwa viwango vya juu kabisa
Wow zabron singers nabarikiwa sana n nyimbo zenu hata nimetamani siku moja nijipata ndani y hii choir yenu..haki Mungu awabariki na kuwatenda mema siku zote
Mna uimbaji wa kipekee fulani unanikosha saaan unavutiaa nikisikiliza hizi nyimbo zenu yaaan nabarikiwa kabisaa mungu awape ujasiri na nguvu kujituma kwenu kukazae matunda na mkalete wengi kwa bwana mbarikiwe nawatakien nyoote happy sabbatho day amina
This songs of zabron singers Hua xinanikumbuz mbali xana waati nilikua pathfinder Mungu ni mkuu sauti nxuri za kumtukuza Mugu asante xana Mungu awape nguvu Na roho zizizo pondeka
Can't stop watching your videos and listening to your audio songs ,,,may God give you more strength as you continue serving him through songs ,,be blessed
Amen watu watu wa
Mungu
ukweli wanaimba vzrii mung awa tie nguvu❤
mbarikiwe wote mnaoendelea kutupa suport kwa kuangalia na kukoment.pia tunashukuru kwa maoni na kututia moyo.Mungu awabariki
Amen
Mpo vizuri Waadventista wenzangu Mungu awabariki sana
ongereni sana kwa kutuinjilixha
Mungu akuinue CD zenu Huku tanga hazifik wapendwa
zabron singers amen
Mbarikiwe na hudum yenu watumishi
Nyimbo nzuri nawakubali sana kama kuna mtu anawakubali kama mimi like twende sawa
Amen
ahsante kwa kututia moyo
Tupo pamoja mbarikiwe mpaka mshangae nyimbo zenu zinanijenga sana .
Happiness John wako vizuri sana zabron
Hakika Mungu awabariki mno🙌
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 twawapenda wana-Zabron singers
Nawakubali sana nyie waimbaji mungu awabariki kwa kazi yenu gonga like hapa tujuane 🔥🔥🔥🔥kama na wew unawapata freshi na nyimbo imekukumbusha kumrudia mugu🏥🏥
amina
Mungu awabariki na aendelee kuwatumia
Mbarikiwe watu wa MUNGU songeni mbele kwa kazi ya baba
ilove it
Waoh! I am blessed with this song
Huu wimbo nimeutafuta sikuwa najua jina lake
Mna aina ya uimbaji wa kipekee na wenye mguso sana katika mioyo ya wasikilizaji nikiwemo. Mungu awabariki mfikie mamilioni zaidi.
Barikiwa kwa neno la kututia moyo
du ahsante sana mtu wa Mungu,ubarikiwe na endelea kutuombea
zabron singers Amina ninawaombea watumishi. Songeni, songeni mbele!
safii sana
mungu abariki kazi yenu
Kusali kwangu najua sio bure,I love the song,may God bless you my ppie
Yani muko vizuri kiwuimbaji kimavazi sautinzuri Naomba mupokee zawadi🙏☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️
God bless you my people 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Glory to God
🙏🙏🙏
Mungu awabariki Sana, nabarikiwa sana na nyimbo zenu, Mungu awainue zaidi
Sikuwahi Kupenda Kwaya kabisa...Maana wengi zaidi ya kucheza nyimbo hazina ujumbe,hazina Ubunifu wala Manukato...ZABLON mmenifanya Nipende kwaya sana
Ushauri Msijisahau...Ongezeni Ubunifu..Roho Mtakatifu anavitu vipya kila siku...msiende kwa mazoea
Hii ni taamu tena
Utukufu kwake Mungu! kila mkieneza injili yake kupitia wimbo wengi waokoke, mbarikiwe zabron singers
Dearly the voice blesses me. It the almighty GOD who gave you that voice be praised 4ever more.🙏
Great songs that are touching Zablon singers!..... May God continue blessing you with many other songs!.....
No makeup no earrings or chains true natural.God bless you guys
1ST PETER 3:3
SHALOM
They are biblical
Zabron singers, you guys i cry every day and night thanking you for giving me my life back, cause if it was not the zabron singers i would not be praising God today. Thanks again and hope to meet you guys in dinning table in heaven, the smiles😊😄😁🙂😅🎊🎊 in this song are so expensive i wish i could afford, very expensive smiles
😊😊😊
Mubarikiwe sana watumishi wa Mungu
Hakika kuwa na Mungu kuna faida mingi sana .. sibanduke dada ndugu jikazeni 🙌🔥🙏😒🏃♂️🏃♂️💞💞
Kuimba nyimbo za kumtukuza Mungu kwa heshima, kunawaanda kuimba wimbo wa Musa na Mwana Kondoo kwenye kwaya Takatitifu ya Mbinguni. Heko Zabron Singers. Mbarikiwe sana.
umengusa huu wimbo coz wimbo wenye ushawishi sana kumpenda MUNGU
ubarikiwe sana
+zabron singers tupo p1 waimbaji wote, pia kaz zenu zinazid kuwabariki watu weng tu
Even if I lost my phone and buy new one i and my children will search first for zabron singers and subscribe first!This is a blessing to our souls!
Wimbo mzuri sana, mbarikiwe na Mungu alie hai siku zote za maisha yenu na Mungu azidi kuinua huduma yenu ya uimbaji
Mbarikiwe sana ZABRON singers ma wore mliofanikisha kukamilisha kazi yao njema
Mungu aendelee kuwatia nguvu nawakubali mno kama nawe unawakubali gonga like tumsifu Mungu
Katika kuishi kwetu hapa dunian tunachaguzi moja tu kat ya mbili uzima wa milele au kupotea milele
Niwashukuru sana ZABRON SINGERS kwa kaz nzuri mlioichagua kuifanya ya kuwahubiri mataifa kwa njia ya uimbaji
,songeni mbele BWANA MUNGU you pamoja nanyi
Nabarikiwa sana.
mnavaa kiheshima endeleeni hivyo na muonekano mzuri natural
:0
Mnàvya vizuri mnaimba vizuri Mungu awabariki sana mmenibarki saaaana Toka Nairobi
Mnasifu Mungu kwa njia ya kipekee.Nawapenda sana
Very beautiful song, very sweet voices, very beautiful scenery and video, smart choir everything is cute for the Glory of the King of Kings 👑
Mungu azidi kuwapa hekima na maarifa kumtumikia,,,,am in love with the little girl since beginning.😍😍😍😍😍
Kupitia uimbaj mungu anatenda mirracle
Nice one may God bless you my faverate
Love song
I love you Zablon singers
Who is with me still watching this one after 5 years.....it's not in vain friends
watu wa Mungu mbarikiwe hakika kaz yenu si bure.Nimebarikiwa na nyimbo zenu Mungu awabariki...
Likes nyingi kama umemuona pacha wa Paul Mwai wa Kenya akiimba...
Hakika zabron singers mnanitia moyo hakika katika maisha yanguu.
Nabalikiwa na nyimbo zenyu nikiwa Mombasa Kenya
Nyie huyu mama 😥😥 hio sauti 😍 huwa napenda nikitak kulala naweka mziki nasikiliza usingizi unakuja but huyu mama kanifanya niwe naweka zabron songs ili nipate usingizi sauti yake inavutia jamni erriplaceable voice 😍😍😍
Zablon Singers You Sing So Nice With Inspirational Songs Richly Composed About The Word of God. You're a Very Nice Singing Group. May God Bless You Richly for The Wonderful Service You're Doing.
Nabarikiwa na huu wimbo nikiwa Tarime Mara Tanzania! 2024
Nyimbo nzuri za kubariki kweli ,zabrone women ebu niambieni siri ya kulea nywele natural n ipendeze jinsi zenu zilivyo bila kutumia braids ama weaves
Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo,,ni kweli kwa Yesu kuna faida kubwa sana mmbrikiwe sana kazi yenu njema sana kwa viwango vinginr Mungu awainue nawapenda sana😘😘😘😘
MUNGU AWABARIKI SANA JMN!
Hakika MUNGU amewajalia vipawa vya pekee hongereni Sana MUNGU awaongezee vipawa zaidi.
Mimi Niko America napenda nyimbo zeno sana mungu awaits nguvu ameeeeeeeennnnn
Tunafurahi kuskia ivo Enock
Mungu akubariki ktk kazi zako pia
Amerika uliko ukolayiki galuka iwachu halabaye heza
Yan staili ya majibizano inanifanya nabarikiwa sana zabloni mungu awatie nguvu maana sio bure amen na mm naomba mniunganishe niimbe na ninyi
Mwende mbali mpaka mbinguni{AMEN}
amina mtumishi.ubarikiwe sana kwa kutuombea mema
Mungu awainue mahali pa huu zaidi
Yaan nawakubali Sana mungu aendelee. Kuwatia nguvu
Hongera Sana wajina nimesikiliza nyimbo zako nyingi upo vizuri mungu akubariki
❤❤toka goma drcongo🎉🎉🎉
Ukweli nabarikiwa sana hawa naona wanahubiri mungu ainue zaidi hivi vipawa
Nawapenda sana,, nyimbo zenu zinanigusa pia zinanitia moyo sana,,,barikiwen san bhana bha ng'wa mulungu,, tole hamo!
Hakika Mungu atukuzwe daima,wimbo mzuri huu jamani,mmenibariki,kwa Yesu si bureeeee waooooh,kumtumikia Mungu ni faida si bure
Pamoja san Hilida
ahsante sana kwa kututia moyo
Nawapenda na ninapenda sana nyimbo zenu mnanibariki kwa namna ya pekee kabisa huwa sijawahi kuchoka kusikiliza nyimbo zenu.Mungu aendelee kuwainua kwa viwango vya juu kabisa
Sifa kwa Mungu wetu wa Mbinguni
Be blessed
Kiukwe nawapenda sana mungu awape uzima wa milele
From kenya with love
You are doing a good job,my best choir of all time
I really love your songs. They build me spiritually. Keep up the good work.
Kenya is well represented.
Sweet 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💐💐💐💐💞 song love it has a good encouragement may Almighty father give you dominion over praise
nafarijika sana nikisikia nyimbo zenu nawapenda sana mungu awatie nguvu
Wow zabron singers nabarikiwa sana n nyimbo zenu hata nimetamani siku moja nijipata ndani y hii choir yenu..haki Mungu awabariki na kuwatenda mema siku zote
Sio bure kwa YESU ni faida like yako gonga pamoja nami
Kazi nzuri kweli eneza injili
Wau God bless
I can't get tiered by watching and ejoing your gospel,you preach through your song's, indeed,God pls don't forget Zebrons singers 🙏🙏🙏🇺🇬
nawakubari sana mnapandisha kiwango kila kukicha. Mungu azidi kuwainua nyimbo zenu na zikawe chachu ya wokovu wetu
Mungu awabariki xana mzidi kufanya uduma ii ya winjilisti
Hongereni Zabron singers nyimbo zenu zinanikosha!
Im very much blessed with your songs....watching from kenya
hivi kale katoto ndo kamekuwa kadada kakubwa hivyooo, duuuu .....Mungu aendelee kuwabariki watumishi wa bwana
God bless all zabron singers! Sure u re singing so good& behavior God be with U
Hakika kazi yenu ni njema tazama ni Kiu kuu moyoni hasa huku mashariki mwa Tanzania
Nazipenda nyimbo zenu nzuri za kumsifu Mungu jamani. Mko na vipaji vya kipekee
Mungu awabariki sana sana kwa kazi nzuri eneza injili ya kiadventista
Hakika sio bure MUNGU awabariki sana msonge mbele
I LOVE YOU PEOPLE OF GOD,BE BLESSED.MIMI HURUDIA HIZI WIMBO SANAAAA
injili bora,kazi nzuri rembesha kipaji
Be blessed ,wadada mpo kiasili bila mapambo mmependeza sana
Haki wanaimba poa xana jina la mungu itukuzwe na venye wako natural
Sauti zimechongwa,ujumbe wenye kubariki,am blessed
Mnanibariki sana wapendwa...Mungu azidi kuwatumia kama apendavyo Yeye....
Kweli tumtafute mungu leave bidii
Guys I really really love the way you sing,may God bless you,and remember that there are people in Namibia 🇳🇦 that listen to your songs
The likes and views says it all,,A blessing choir indeed which presents the messege in the present truths,,
kwa Yesu ni faida ya milele, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Tumtafute Mungu wakati anapopatikana,ujumbe muhimu sana kwa maisha yetu kiroho
Nyimbo nzuri sana Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki
Mungu awe pamoja nanyi,nabarikiwa sana kusikiliza wimbo huu ,Mungu awainue zaidi mpaka juu
Mna uimbaji wa kipekee fulani unanikosha saaan unavutiaa nikisikiliza hizi nyimbo zenu yaaan nabarikiwa kabisaa mungu awape ujasiri na nguvu kujituma kwenu kukazae matunda na mkalete wengi kwa bwana mbarikiwe nawatakien nyoote happy sabbatho day amina
Kazi yenu si bure hakika,taji limewekwa tayari kwaajili yenu
God bless
Nimekubal nyimbo zenu nabalikiwa sana hongelen
Alafu mnafanana iv niwaukoo mmoj?nomba mnijib nawapenda huwa nawafatilia sana
KWA YESU NI FAIDA SI BURE.
Who is listening in 2020?????
My favorite choir,,,may the lord bless you as you continue serving him,,nawapenda Sanaa,,zabron singers,, Victoria zabron salimika sana
Kila siku lazima ni sikie huu wimbo umenibariki sana mungu awabariki zabron nawaombea mwendele hivyo na uimbaji
Kwa Yesu kuna faida ukimtukia anakuheshimisha barikiwa sana
Your songs teachers alot,, God add more blessing upon them
I'm greatly blessed and touched by your songs! May the Lord expand your territory.
Napendezwa na nyimbo zenu sana wacha neema ya mungu iwe ju ya maisha yenu
SI BURE KWA YESU NI FAIDA,NASHUKURU SANA KWA WIMBO MTAMU SANA
Its not a joke we are moving ahead,,, Glory to God
twashukuru kwa nyimbo zenu. tunabarikiwa sana, barikiwa pia
This songs of zabron singers Hua xinanikumbuz mbali xana waati nilikua pathfinder Mungu ni mkuu sauti nxuri za kumtukuza Mugu asante xana Mungu awape nguvu Na roho zizizo pondeka
Mungu wa mbinguni awazidishie hekima na maarfa mengi mzidi kumpendeza mungu🙏🙏🙏
Makeup free modestly dressed natural hair this ladies are so beautiful praise God
Can't stop watching your videos and listening to your audio songs ,,,may God give you more strength as you continue serving him through songs ,,be blessed
Wimbo mzuri sana mbarikiwe nimeurudia zaid ya Mara mbili nimeuelewa sana
Straight outer 254 ..me like dem since mkono wa bwana... Inspirational
Hakika wema nazo fadhiri zake Mungu