Sikuachi Tena by Zabron Singers +25576433205 (SMS SKIZA 7383816 TO 811).

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @scolarelias9102
    @scolarelias9102 10 месяцев назад +16

    2024 well represented 🎉🎉🎉🎉naipenda snh hii nyimbo

  • @KemiCare-c9w
    @KemiCare-c9w 2 месяца назад +6

    Hizi nyimbo ni mahubiri kweli suluhisho ni kumpa mungu maisha yetu.

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 5 лет назад +148

    We ni mungu wangu sikuachi tena asante mungu ujuae siku yangu kuamka na kulala kwangu

  • @winfredbespoke8440
    @winfredbespoke8440 5 лет назад +35

    Masololist mko vzr kwa kweli, Mungu awabariki, na kwaya nzima yani mnanibariki mno

  • @samuelonyango5593
    @samuelonyango5593 4 года назад +161

    Iam here after listening to SWEETY SWEETY I swear this group can SING i love ur dress cord more like from KENYA.

  • @linetomagwa9396
    @linetomagwa9396 10 месяцев назад +1

    Huu wimbo unanifanya kuurudia kila wakati kulingana na maneno ambayo yalio uko ukweli mungu ni mwenye haki🙏🙏🙏

  • @judithsamwel5560
    @judithsamwel5560 6 лет назад +82

    Mungu awabariki waimbaji mmeimba vizuri Sana nimebarikiwa Amennn

  • @ElizabethOuma-mx9vf
    @ElizabethOuma-mx9vf 2 месяца назад +1

    I wish 🤞 Marco was still here singing with you guys 👦. He's surely missed. Gone too soon 😢🙌🙏🙏✌️ 😢😢😢😮😮❤🎉😅😊

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад +5

    Amen soo powerful courageous ND inspiring song God bless you all abundantly
    Nyimbo zenu zinanitia nguvu

  • @faustinekalusa5021
    @faustinekalusa5021 4 года назад +8

    For sure Christ Jesus knew us even before we were born and He is the only one that knows our destiny..we only need to have a steadfast faith in Him and Him Alone..asanteni kwa wimbo huu ambao unatukumbusha kuwa ni Mungu Pekee anaestahili sifa zote.baraka!!!

  • @justuswairagu140
    @justuswairagu140 5 лет назад +4

    Nina barikiwa Sana na nyimbo zenu sauti nyororo kipaji mnacho edelezeni talada ya bwana na mungu atawabariki Ni vyema kutumikia bwana na kipaji alichoweka Dani yenu bila kuweka pesa mbele Kama waimbaji wengine sitaji

  • @monicacosmas6313
    @monicacosmas6313 6 лет назад +103

    Hakika Mungu azidi kuwaongoza mfike mbali ila msipotee nawapenda sana

  • @balancedviewpoint7418
    @balancedviewpoint7418 3 года назад +11

    This brother and sister pair makes Zabron singers top notch. Keep it up guys. God loves you

  • @leonardkiptoo4445
    @leonardkiptoo4445 2 года назад +12

    It is presentable before the LORD JESUS, it is touching even to see a brother and a sister leading a worship like this with a lot of love, be blessed do much

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 4 года назад +395

    Kenya msiniangushe nani anawatch hii song 2020 agonge like tuone .

  • @prosistalaswai5196
    @prosistalaswai5196 5 месяцев назад +2

    Mungu huleta watu tofauti kwa ajili yakutupa ujumbe kuhusu yeye lkini macho ya rohoni kwetu yalishindwa kutambua maana ya nyimbo zko nyingi zilikuwa na jumbe nzuri leoo hii umelala ndo tunajua maana ya hizo nyimbo mwenyezi Mungu akupokee wake mbingunipimzika amanii

  • @barakamwagandi5137
    @barakamwagandi5137 4 года назад +6

    Mwanibariki na nyimbo zenuuu....mungu awabarikii

  • @agnesnduta5762
    @agnesnduta5762 4 года назад +46

    The way you dress.. Your natural hair bringing glory to God... May his character always dwell on you.. Your always a blessing to me

  • @cyrusmutie7271
    @cyrusmutie7271 5 лет назад +24

    Makes Adventists proud all over. Keep the gospel on Zabron singers.

  • @mercymungai812
    @mercymungai812 4 года назад +34

    I came here after hearing my nephew 10yrs old singing and I had to ask him what is the title of the song. Wooow, he sang it so well.
    BEAUTIFUL song indeed.

  • @kingblestar2283
    @kingblestar2283 4 года назад +19

    Aaaish this group is amazing from Kenya 🇰🇪 we love you, pray that the enemy do not dissociate you

  • @MbokoKaluta
    @MbokoKaluta 3 месяца назад +2

    Amujamb wandugu wa zabron nina wapenda saaaaaaaaan 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kabisa mimi ninataka nije nijiunge namweye

  • @puritywambua85
    @puritywambua85 3 года назад +30

    If this is how heaven shall be ,I don't want to miss out! Your vocals are angelic 🔥🔥🔥

  • @innocentnnko2292
    @innocentnnko2292 6 лет назад +144

    Tunaishi kwa nguvu za Mungu, we are nothing without God Almighty!

  • @lovenessjohn2651
    @lovenessjohn2651 6 лет назад +16

    Nawapenda sana zabron singers, nyimbo zenu zinanibariki sana,,MUNGU azidi kuwainua mkaifanye kazi mliyoitiwa

    • @jescahnabwilemanali419
      @jescahnabwilemanali419 5 лет назад

      I love this songs, zina mpa mtu nguvu, mbarikiwe na mungu awatende mema

    • @mutisomasua2427
      @mutisomasua2427 5 лет назад

      Zabron singer s, heko, Mungu awabariki sana, no mkuje Kenya tuwaone

  • @doshycooksKe
    @doshycooksKe 4 года назад +4

    I love Zabron singers. Very authentic. Sio sweetie sweetie, nimeuona mkono Wa bwana...Am a Kenyan nawapenda sana

  • @jeemond2641
    @jeemond2641 4 года назад +351

    For real watu wana roho mbaya yani mumewapa dislike?kama unaangalia na mimi 2020 and love them gonga like

  • @annluvonga6843
    @annluvonga6843 4 года назад +2

    Wimbo Safi Sana, nadhani huku Kenya tutawaita zablon singers badala ya zabron!

  • @judymuindi2029
    @judymuindi2029 5 лет назад +12

    Wow! What are amazing choir, it's cool, utulifu wenu wakati mnapomtuka mungu touches my heart mpaka naishi Holly spirit akitembea rohoni mwangu. Love you guys. May our almighty God bless you more.

  • @jeanfai3480
    @jeanfai3480 4 года назад +2

    Mbarikiwe kaka na dada zangu kwa jinsi munavyotukuza Mungu mkiwa mumevaa mavazi ya kujisitiri. Waimbaji wengi wanaojiita kwamba wanamtukuza Yesu Kristo, tunashindwa kuwatofautisha na wale wanaocheza miziki ya kidunia ya Las Vegas na Los Angeles. Mubarikiwe, endeleeni kutunza ngozi Mungu aliyowapa .

  • @neemanelson2697
    @neemanelson2697 3 года назад +4

    Dah huu wimbo unanipa Raha sanaàaa 🔥🔥🔥🔥

  • @estermmbaga6128
    @estermmbaga6128 5 лет назад +2

    Jamani hata la kusema sina, Mungu azidi kuwabariki daima,nyimbo hii ni nzuriiii sanaaa

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 6 лет назад +48

    Amen...nyimbo zenu zimevuviwa na Holy Spirit

  • @edinarasta5608
    @edinarasta5608 6 лет назад +12

    Mungu awabariki sana enyi ndugu wala asiwapungukie ht kidg.....nabarikiwa sana na nyimbo zenu

  • @johnchege2477
    @johnchege2477 5 лет назад +5

    Hakika simuachi mungu na pia siachi kusikiza na kuwatch muziki wenu wanazabron...keep up good work and God bless you

  • @berlymasankwa-uu2fg
    @berlymasankwa-uu2fg 9 месяцев назад +2

    Nawashukuru sana zabron singers kwa nyimbo Zn zote,,,zinapendeza saidi

  • @EdwinOmegaodhis
    @EdwinOmegaodhis 3 года назад +8

    Receive love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @janeachieng3685
    @janeachieng3685 4 года назад +28

    Thank you Lord, your heavenly music still does exist. Your remnants are here. There is hope.

  • @davleenobwora2056
    @davleenobwora2056 5 месяцев назад +35

    I love this song.My daily recipe.❤❤❤Wapi likes za August 2024🙏🙏🙏

    • @LilianMaoga
      @LilianMaoga 4 месяца назад +1

      Haki hii wimbo naipenda❤️❤️❤️ sana juu inanipa mawaidha na matumaini 🙏🙏🙏

  • @nyagwangacornelius9493
    @nyagwangacornelius9493 3 года назад +17

    Am here listening to this beautiful song after what the Lord has done for me. How I wish to serve God for the rest of my life

  • @jolicare2059
    @jolicare2059 3 года назад +4

    Wow after watching sweetie, sweetie, again this very fantastic music recieve my love from kampala uganda😍😍😍😍

  • @edithminayo2955
    @edithminayo2955 Год назад +2

    Kabisa..ni kwa nguvu za Mungu...asubuhi tumeenda church......jioni mchungaji ameaga......😓 Thanks Zabron for the reminder

    • @albertwanjala3711
      @albertwanjala3711 11 месяцев назад

      indeed inspiring song keep it up zabrones🙏🙏🙏

  • @sambopetro9306
    @sambopetro9306 5 лет назад +38

    Hakika nyimbo ni ujumbe ,sio step na kurukaruka ,napendezwa sana na huduma yenu MUNGU awabariki ,gonga liki kama unakubariana na mimi

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Kuruka ni sehemu ya furaha,ujumbe hutolewa kwa namna mbalimbali.Kumbuka wengine hawaimbi kabisa wanasimama nbele ya hadhira na kuwasilisha ujumbe.

    • @robartphilipo2787
      @robartphilipo2787 4 года назад

      Nikweli

    • @adizeva1081
      @adizeva1081 4 года назад

      I really love your songs

  • @AnisiaJohn-u3x
    @AnisiaJohn-u3x 3 месяца назад +2

    Jmn zabron nawapend bure huwa nafarijika san nikisikia nyimbo zenu mung azid kiwabarik

  • @millicentsonia4955
    @millicentsonia4955 4 года назад +9

    Hey guys you're so amazing may God really help and protect you in this ministry

  • @damarigongo3067
    @damarigongo3067 6 лет назад +1

    zablon singers, Mungu awabariki sana, nyimbo zenu zinanibariki sana, Hongera kinara Victoria mpendwa wangu.

  • @agnesmgohele5148
    @agnesmgohele5148 5 лет назад +6

    Mungu ndye anatulinda kila hatua
    Asanteeee zabron singers

  • @ElisachiongaChionga
    @ElisachiongaChionga 14 дней назад

    Paz do senhor irmãos . Amei os louvores, que Deus continue vós usado tremendamente para sua glória. Benção

  • @bhokematiko1249
    @bhokematiko1249 5 лет назад +4

    Kila hatua Mungu ndio mlinzi wetu,,,be blessed zabron singers

  • @jemamtewele218
    @jemamtewele218 6 лет назад +1

    Mungu awabariki , wimbo mzur sana umenibariki sanaa mungu awape baraka zenu kwa kadili mnavyomtukuzaa

  • @lucynyamai6854
    @lucynyamai6854 3 года назад +5

    You have amazing content in all your songs.... Keep trusting in God for more and the best for tomorrow. Am grateful to watch you on Citizen TV today. Bless you all!

  • @mamamagita560
    @mamamagita560 6 лет назад +1

    Nafarijika sana na nyimbo zenu, Mungu azidi kuwainua nawaombea huduma yenu izidi kusonga mbele.

  • @marykamau7318
    @marykamau7318 6 лет назад +28

    Am in love with the song ...good work guys na mkuje Kenya tena

  • @crowncastmedia
    @crowncastmedia 4 года назад +1

    Tunaishi kwa nguvu zake Mwenyezi Mungu yeye ndie katuweka hapa. Proud of my producer, Msanii Records.🙌🙌🙌🙌

  • @michaelaricha2419
    @michaelaricha2419 4 года назад +6

    You guys are amazing... You fill me with so much love from heaven... May God bless you abundantly in your lives!!

  • @rebeccajohns5171
    @rebeccajohns5171 5 лет назад +1

    Amen ,Amen..mbarikiwe wapendwa sauti zilizo na upaka...mzidi kuinuliwa zaidi na zaidi

  • @krishnamwangi1899
    @krishnamwangi1899 6 лет назад +11

    Wow! The voices!! So amazing!
    Love love love from central Kenya!

  • @AminaKiula
    @AminaKiula День назад

    Wasabo nyie mpo tofauti kbsaa nyimbo zenu zinabalikiiijj❤❤❤❤

  • @marthabosibori5141
    @marthabosibori5141 4 года назад +7

    Always I be blessed with the songs of Zablon singers

  • @mtumishisuzanshitemi1935
    @mtumishisuzanshitemi1935 5 лет назад +2

    Zablon nawapenda sana na tena nawapenda kwa mavazi yenu hapo muko sawa

  • @gladysotieno9340
    @gladysotieno9340 3 года назад +12

    You are humbled , Glory to be the Lord .

  • @edithnandwa980
    @edithnandwa980 4 года назад +1

    ooooh... my..this corona has proved us ..wrong...that we all nothing without God...not even the soo called superpowers countries.... thank you for the song

  • @EvelyneWandera
    @EvelyneWandera 6 лет назад +3

    Powerful, what a song.... The LORD, bless this team as we have enter this New Year.... Much blessings from GOD ALMIGHTY.... Indeed He's my GOD, His the one direct my life.

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 5 лет назад +2

    Be blessed Zablon singers mnatupa moyo waliorudi nyuma kiroho.

  • @maraexpeditions6174
    @maraexpeditions6174 5 лет назад +8

    Woow...at a glance i have seen part o Mt Kenya Chogoria. Inspiring.

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 6 лет назад +1

    Hakika huwa mnanikosha na kunibariki sana, Mungu azidi awabariki na kuwatumia sana Zabron singers.

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 4 года назад +4

    What a blessed family. Keep it up the zabrons, you're a blessing to the society

  • @peninahlyona6110
    @peninahlyona6110 Год назад +2

    YOU GUYS YOU REALLY REALLY BLESS ME WITH YOUR SONGS MAY GOD LIFT YOU HIGH.

  • @jarantinekyania2201
    @jarantinekyania2201 4 года назад +3

    After mkono wa Bwana I became a fan. You people are a blessing

  • @meryveronica9708
    @meryveronica9708 5 лет назад

    Ayiiiiiiii nyimbo nzuri sanaaaa yani imenigusa kikweri sichoki kuisikiriza maana maneno ya huu wimbo yote ni matamu 🙌mbarikiwe.

  • @salomedanford3212
    @salomedanford3212 6 лет назад +5

    mungu awatangulie mnaimba vizur ujumbe mzuri saaana nawapenda mpka basi

  • @alexnyabuto1083
    @alexnyabuto1083 2 года назад +1

    Thank you God for the free gift of life, indeed I have nothing I can give in return 🙏

  • @kuikamaa414
    @kuikamaa414 6 лет назад +13

    kwa kweli nabarikiwa na nyimbo zenu kutokea nchini Kenya

  • @furahinikisapi4718
    @furahinikisapi4718 5 лет назад +1

    Yaan,nawapenda nyie watu hatari,mungu azidi kuwabariki mpaka shetani ashangae

  • @akuaboamah4510
    @akuaboamah4510 4 года назад +4

    Wow wonderful voice 🙏 me and my family we love it ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @veronicaakili1280
    @veronicaakili1280 4 года назад +2

    We ni mungu wangu sikuachi Tena kwani bla ww me nsingekuwa iv

  • @annednyanchoka2486
    @annednyanchoka2486 5 лет назад +11

    love your songs zabron singers you really bless my heart,God bless you with his abundant grace

  • @JasonMureke-u6o
    @JasonMureke-u6o 5 дней назад

    Oooh Hallelujah,mmmmm Hosanna hosanna, Amen 🙏 Oooh Hosanna 🙏. very nice song 👏👏

  • @VashonceeMinistries
    @VashonceeMinistries 6 лет назад +3

    amina.mbarikiwe kwa ujumbe mzuri.Mungu atusaidie kila siku tutembee katika mapenzi yake maana tunaishi na kufanya yote tu kwa neema yake nyingi.

  • @susanwambua3452
    @susanwambua3452 4 года назад

    Ni kwa neema tuko hai,hatuna haki kujisifu tena ,kwa kweli tutambue ni mwenyezi Mungu ametuwezesha kuwa pale tulipo.Baraka Tele Zabron Singers,Mola awaongoze kwa kila jambo.

  • @hillaryodiwuor3803
    @hillaryodiwuor3803 5 лет назад +3

    Brethren you sing! May God just do you great and expand your ministry
    - Rev. Hillary

  • @CynthiaJepchirchir-k6e
    @CynthiaJepchirchir-k6e Год назад +1

    Huu wimbo wanitia nguvu Sana...Thank you Lord for being there for me

  • @sambopetro9306
    @sambopetro9306 5 лет назад +6

    Your wearing is blessing may Almighty God bless you, I appreciate your singing at all.

  • @JudyWangariM
    @JudyWangariM 6 лет назад +2

    so much blessed..nyimbo zenu kwa hakika zinabariki kweli.

  • @emmanuelkinyua3686
    @emmanuelkinyua3686 4 года назад +3

    Best group in Africa. Much love from +254

  • @noahkivuyo1195
    @noahkivuyo1195 6 лет назад +1

    Kwa kweli wimbo wenu ni mzuri sana unabariki sana.Mungu awatie nguvu zaidi

  • @evarlynemwende2496
    @evarlynemwende2496 3 года назад +4

    God bless this group,ur really a blessing to me...I pray soon I will sing Sweet Sweet on my day.Amen

  • @xtinendungeh4490
    @xtinendungeh4490 9 месяцев назад

    Kwa kweli wee mungu dio unajua Siri ya Kila Mmoja ,naomba unipee nehema nisiwai kukuacha .,wimbo mzuri sana barikiweni sana

  • @davidmagori5666
    @davidmagori5666 6 лет назад +12

    i love Zabron singer , MUNGU awajalie uzma

  • @MvejuruAdrienne
    @MvejuruAdrienne 3 месяца назад

    Kweli kweli wimbo huu,ni safi sana,mutuleteye zingine kabisa tumewawunga mkono❤❤

  • @cs-chep2830
    @cs-chep2830 4 года назад +5

    U reflect God's glory, u r blessed. Your song full of God's message

  • @joshuaalex2619
    @joshuaalex2619 5 лет назад +1

    Aiseeeeeee brikiweni sana nyie mnajua hambahatishi yaani Mungu anawatumia vyema

  • @ericshiwa7979
    @ericshiwa7979 6 лет назад +6

    And my year starts with a blessing....loves from kenya....

  • @saisaisangamwalimwanenolam9693
    @saisaisangamwalimwanenolam9693 6 лет назад +1

    sikuachi iko vizuri MUNGU akubaiki zabroni pamoja na wote walio shiriki katika wimbo huu

  • @flojoseph8321
    @flojoseph8321 4 года назад +4

    Whenever I watch your songs I must make vigorous movements then pap mi dancing to the end of the song 😂😂😂I don't know how keep still @your songs like you 🙆... loving it more

  • @philisterkahindi5122
    @philisterkahindi5122 4 года назад +2

    Tunaishi kwa nguvu za Mungu maana yeye ndie ametueka hapo na hii ni kweli

  • @nicnzuve9964
    @nicnzuve9964 3 года назад +8

    Such melodious voices, can't help pressing repeat

  • @violetmoraa1592
    @violetmoraa1592 2 года назад +1

    May God bless 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️this group watching from Kenya 🥰🥰🥰🥰be blessed always happy Sabbath

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 лет назад +4

    Nawapenda sana kwanu mnafariji sana nyimbo zetu, bwana asifiwe.

  • @knowledgemashonganyika7216
    @knowledgemashonganyika7216 6 лет назад +1

    Good music.Jina lake litukuzwe. Thank you Zabron. Amina.