For sure Christ Jesus knew us even before we were born and He is the only one that knows our destiny..we only need to have a steadfast faith in Him and Him Alone..asanteni kwa wimbo huu ambao unatukumbusha kuwa ni Mungu Pekee anaestahili sifa zote.baraka!!!
Nina barikiwa Sana na nyimbo zenu sauti nyororo kipaji mnacho edelezeni talada ya bwana na mungu atawabariki Ni vyema kutumikia bwana na kipaji alichoweka Dani yenu bila kuweka pesa mbele Kama waimbaji wengine sitaji
It is presentable before the LORD JESUS, it is touching even to see a brother and a sister leading a worship like this with a lot of love, be blessed do much
Mungu huleta watu tofauti kwa ajili yakutupa ujumbe kuhusu yeye lkini macho ya rohoni kwetu yalishindwa kutambua maana ya nyimbo zko nyingi zilikuwa na jumbe nzuri leoo hii umelala ndo tunajua maana ya hizo nyimbo mwenyezi Mungu akupokee wake mbingunipimzika amanii
I came here after hearing my nephew 10yrs old singing and I had to ask him what is the title of the song. Wooow, he sang it so well. BEAUTIFUL song indeed.
Wow! What are amazing choir, it's cool, utulifu wenu wakati mnapomtuka mungu touches my heart mpaka naishi Holly spirit akitembea rohoni mwangu. Love you guys. May our almighty God bless you more.
Mbarikiwe kaka na dada zangu kwa jinsi munavyotukuza Mungu mkiwa mumevaa mavazi ya kujisitiri. Waimbaji wengi wanaojiita kwamba wanamtukuza Yesu Kristo, tunashindwa kuwatofautisha na wale wanaocheza miziki ya kidunia ya Las Vegas na Los Angeles. Mubarikiwe, endeleeni kutunza ngozi Mungu aliyowapa .
You have amazing content in all your songs.... Keep trusting in God for more and the best for tomorrow. Am grateful to watch you on Citizen TV today. Bless you all!
ooooh... my..this corona has proved us ..wrong...that we all nothing without God...not even the soo called superpowers countries.... thank you for the song
Powerful, what a song.... The LORD, bless this team as we have enter this New Year.... Much blessings from GOD ALMIGHTY.... Indeed He's my GOD, His the one direct my life.
Ni kwa neema tuko hai,hatuna haki kujisifu tena ,kwa kweli tutambue ni mwenyezi Mungu ametuwezesha kuwa pale tulipo.Baraka Tele Zabron Singers,Mola awaongoze kwa kila jambo.
Whenever I watch your songs I must make vigorous movements then pap mi dancing to the end of the song 😂😂😂I don't know how keep still @your songs like you 🙆... loving it more
2024 well represented 🎉🎉🎉🎉naipenda snh hii nyimbo
Hizi nyimbo ni mahubiri kweli suluhisho ni kumpa mungu maisha yetu.
We ni mungu wangu sikuachi tena asante mungu ujuae siku yangu kuamka na kulala kwangu
Zyt
Nafunuliwa wimbo mzuri
Wimbo mzuri sana.
Aisha Silaji namibiy
Kassim juma ?
Masololist mko vzr kwa kweli, Mungu awabariki, na kwaya nzima yani mnanibariki mno
Iam here after listening to SWEETY SWEETY I swear this group can SING i love ur dress cord more like from KENYA.
This group motivates me and gives me assurance to soldier on as the rewards are many
Me to
So me
@@justinariunga9272 gughhuju8 tfvbgt
So beautifull
Huu wimbo unanifanya kuurudia kila wakati kulingana na maneno ambayo yalio uko ukweli mungu ni mwenye haki🙏🙏🙏
Mungu awabariki waimbaji mmeimba vizuri Sana nimebarikiwa Amennn
Mungu awabariki sana
Sofia
Amen, mbarikiwe.
I wish 🤞 Marco was still here singing with you guys 👦. He's surely missed. Gone too soon 😢🙌🙏🙏✌️ 😢😢😢😮😮❤🎉😅😊
Amen soo powerful courageous ND inspiring song God bless you all abundantly
Nyimbo zenu zinanitia nguvu
For sure Christ Jesus knew us even before we were born and He is the only one that knows our destiny..we only need to have a steadfast faith in Him and Him Alone..asanteni kwa wimbo huu ambao unatukumbusha kuwa ni Mungu Pekee anaestahili sifa zote.baraka!!!
Nina barikiwa Sana na nyimbo zenu sauti nyororo kipaji mnacho edelezeni talada ya bwana na mungu atawabariki Ni vyema kutumikia bwana na kipaji alichoweka Dani yenu bila kuweka pesa mbele Kama waimbaji wengine sitaji
Hakika Mungu azidi kuwaongoza mfike mbali ila msipotee nawapenda sana
b
Mungu awabariki sana
Mungu awasaidie wasirudi nyuma musonge mbele nawapenda
Amen
This brother and sister pair makes Zabron singers top notch. Keep it up guys. God loves you
It is presentable before the LORD JESUS, it is touching even to see a brother and a sister leading a worship like this with a lot of love, be blessed do much
Kenya msiniangushe nani anawatch hii song 2020 agonge like tuone .
🙋🙋🙋🙋
hapa
👨👨👧👦👨👨👦👦👨👨👧👧👨👩👦👦👩👩👧✌️👍
🙌🙌🙌🙌🙌
🙋
Mungu huleta watu tofauti kwa ajili yakutupa ujumbe kuhusu yeye lkini macho ya rohoni kwetu yalishindwa kutambua maana ya nyimbo zko nyingi zilikuwa na jumbe nzuri leoo hii umelala ndo tunajua maana ya hizo nyimbo mwenyezi Mungu akupokee wake mbingunipimzika amanii
Mwanibariki na nyimbo zenuuu....mungu awabarikii
The way you dress.. Your natural hair bringing glory to God... May his character always dwell on you.. Your always a blessing to me
God bless you zebron singers you touch lives in Jesus name
Spiritual song
More than a blessing..🙏
Yes sure that's true
@@henrysigira921 u78u
Makes Adventists proud all over. Keep the gospel on Zabron singers.
I came here after hearing my nephew 10yrs old singing and I had to ask him what is the title of the song. Wooow, he sang it so well.
BEAUTIFUL song indeed.
M balikiwe
Aaaish this group is amazing from Kenya 🇰🇪 we love you, pray that the enemy do not dissociate you
O
Amujamb wandugu wa zabron nina wapenda saaaaaaaaan 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kabisa mimi ninataka nije nijiunge namweye
If this is how heaven shall be ,I don't want to miss out! Your vocals are angelic 🔥🔥🔥
.
Tunaishi kwa nguvu za Mungu, we are nothing without God Almighty!
Kweli maisha yetu mungu atubaliki
.h
Àmina
Nawapenda sana zabron singers, nyimbo zenu zinanibariki sana,,MUNGU azidi kuwainua mkaifanye kazi mliyoitiwa
I love this songs, zina mpa mtu nguvu, mbarikiwe na mungu awatende mema
Zabron singer s, heko, Mungu awabariki sana, no mkuje Kenya tuwaone
I love Zabron singers. Very authentic. Sio sweetie sweetie, nimeuona mkono Wa bwana...Am a Kenyan nawapenda sana
For real watu wana roho mbaya yani mumewapa dislike?kama unaangalia na mimi 2020 and love them gonga like
Wana rohoo mbayaa xn
Wanakuwa hawajui wengne wanajua wamelyk kumbe wap au wengine unakuta wanabonyeza tu bila kujua
Jamani nabarikiwa Sana mungu awabariki sana
Maybe wrong typing
@@miltonmachage2462wow
Wimbo Safi Sana, nadhani huku Kenya tutawaita zablon singers badala ya zabron!
Wow! What are amazing choir, it's cool, utulifu wenu wakati mnapomtuka mungu touches my heart mpaka naishi Holly spirit akitembea rohoni mwangu. Love you guys. May our almighty God bless you more.
Mbarikiwe kaka na dada zangu kwa jinsi munavyotukuza Mungu mkiwa mumevaa mavazi ya kujisitiri. Waimbaji wengi wanaojiita kwamba wanamtukuza Yesu Kristo, tunashindwa kuwatofautisha na wale wanaocheza miziki ya kidunia ya Las Vegas na Los Angeles. Mubarikiwe, endeleeni kutunza ngozi Mungu aliyowapa .
Dah huu wimbo unanipa Raha sanaàaa 🔥🔥🔥🔥
Jamani hata la kusema sina, Mungu azidi kuwabariki daima,nyimbo hii ni nzuriiii sanaaa
Amen...nyimbo zenu zimevuviwa na Holy Spirit
We ni MUNGU wangu sikuachi tena
JONIA JOHN 8
Mungu awabariki sana enyi ndugu wala asiwapungukie ht kidg.....nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Next month nikienda home
Hakika simuachi mungu na pia siachi kusikiza na kuwatch muziki wenu wanazabron...keep up good work and God bless you
Nawashukuru sana zabron singers kwa nyimbo Zn zote,,,zinapendeza saidi
Receive love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you Lord, your heavenly music still does exist. Your remnants are here. There is hope.
I love this song.My daily recipe.❤❤❤Wapi likes za August 2024🙏🙏🙏
Haki hii wimbo naipenda❤️❤️❤️ sana juu inanipa mawaidha na matumaini 🙏🙏🙏
Am here listening to this beautiful song after what the Lord has done for me. How I wish to serve God for the rest of my life
Indeed
Wow after watching sweetie, sweetie, again this very fantastic music recieve my love from kampala uganda😍😍😍😍
Kabisa..ni kwa nguvu za Mungu...asubuhi tumeenda church......jioni mchungaji ameaga......😓 Thanks Zabron for the reminder
indeed inspiring song keep it up zabrones🙏🙏🙏
Hakika nyimbo ni ujumbe ,sio step na kurukaruka ,napendezwa sana na huduma yenu MUNGU awabariki ,gonga liki kama unakubariana na mimi
Kuruka ni sehemu ya furaha,ujumbe hutolewa kwa namna mbalimbali.Kumbuka wengine hawaimbi kabisa wanasimama nbele ya hadhira na kuwasilisha ujumbe.
Nikweli
I really love your songs
Jmn zabron nawapend bure huwa nafarijika san nikisikia nyimbo zenu mung azid kiwabarik
Hey guys you're so amazing may God really help and protect you in this ministry
zablon singers, Mungu awabariki sana, nyimbo zenu zinanibariki sana, Hongera kinara Victoria mpendwa wangu.
Mungu ndye anatulinda kila hatua
Asanteeee zabron singers
Paz do senhor irmãos . Amei os louvores, que Deus continue vós usado tremendamente para sua glória. Benção
Kila hatua Mungu ndio mlinzi wetu,,,be blessed zabron singers
Mungu awabariki , wimbo mzur sana umenibariki sanaa mungu awape baraka zenu kwa kadili mnavyomtukuzaa
You have amazing content in all your songs.... Keep trusting in God for more and the best for tomorrow. Am grateful to watch you on Citizen TV today. Bless you all!
Nafarijika sana na nyimbo zenu, Mungu azidi kuwainua nawaombea huduma yenu izidi kusonga mbele.
Am in love with the song ...good work guys na mkuje Kenya tena
Mubarikiwa
kabisa
Very blessed
msanali kanisa gani
Tunaishi kwa nguvu zake Mwenyezi Mungu yeye ndie katuweka hapa. Proud of my producer, Msanii Records.🙌🙌🙌🙌
You guys are amazing... You fill me with so much love from heaven... May God bless you abundantly in your lives!!
Amen ,Amen..mbarikiwe wapendwa sauti zilizo na upaka...mzidi kuinuliwa zaidi na zaidi
Wow! The voices!! So amazing!
Love love love from central Kenya!
the got talent.. I love them too
Kwani Zabloni huyudada nindugu yako?
Wasabo nyie mpo tofauti kbsaa nyimbo zenu zinabalikiiijj❤❤❤❤
Always I be blessed with the songs of Zablon singers
Zablon nawapenda sana na tena nawapenda kwa mavazi yenu hapo muko sawa
You are humbled , Glory to be the Lord .
ooooh... my..this corona has proved us ..wrong...that we all nothing without God...not even the soo called superpowers countries.... thank you for the song
Powerful, what a song.... The LORD, bless this team as we have enter this New Year.... Much blessings from GOD ALMIGHTY.... Indeed He's my GOD, His the one direct my life.
Amen
Nice song lam so blessed
Be blessed Zablon singers mnatupa moyo waliorudi nyuma kiroho.
Woow...at a glance i have seen part o Mt Kenya Chogoria. Inspiring.
Sana
Hakika huwa mnanikosha na kunibariki sana, Mungu azidi awabariki na kuwatumia sana Zabron singers.
What a blessed family. Keep it up the zabrons, you're a blessing to the society
YOU GUYS YOU REALLY REALLY BLESS ME WITH YOUR SONGS MAY GOD LIFT YOU HIGH.
After mkono wa Bwana I became a fan. You people are a blessing
Ayiiiiiiii nyimbo nzuri sanaaaa yani imenigusa kikweri sichoki kuisikiriza maana maneno ya huu wimbo yote ni matamu 🙌mbarikiwe.
mungu awatangulie mnaimba vizur ujumbe mzuri saaana nawapenda mpka basi
Thank you God for the free gift of life, indeed I have nothing I can give in return 🙏
kwa kweli nabarikiwa na nyimbo zenu kutokea nchini Kenya
Mungu awabakir familia hii
Yaan,nawapenda nyie watu hatari,mungu azidi kuwabariki mpaka shetani ashangae
Wow wonderful voice 🙏 me and my family we love it ❤️❤️❤️❤️❤️
We ni mungu wangu sikuachi Tena kwani bla ww me nsingekuwa iv
love your songs zabron singers you really bless my heart,God bless you with his abundant grace
Oooh Hallelujah,mmmmm Hosanna hosanna, Amen 🙏 Oooh Hosanna 🙏. very nice song 👏👏
amina.mbarikiwe kwa ujumbe mzuri.Mungu atusaidie kila siku tutembee katika mapenzi yake maana tunaishi na kufanya yote tu kwa neema yake nyingi.
Ni kwa neema tuko hai,hatuna haki kujisifu tena ,kwa kweli tutambue ni mwenyezi Mungu ametuwezesha kuwa pale tulipo.Baraka Tele Zabron Singers,Mola awaongoze kwa kila jambo.
Brethren you sing! May God just do you great and expand your ministry
- Rev. Hillary
Amen
Huu wimbo wanitia nguvu Sana...Thank you Lord for being there for me
Your wearing is blessing may Almighty God bless you, I appreciate your singing at all.
so much blessed..nyimbo zenu kwa hakika zinabariki kweli.
Best group in Africa. Much love from +254
Kwa kweli wimbo wenu ni mzuri sana unabariki sana.Mungu awatie nguvu zaidi
God bless this group,ur really a blessing to me...I pray soon I will sing Sweet Sweet on my day.Amen
Kwa kweli wee mungu dio unajua Siri ya Kila Mmoja ,naomba unipee nehema nisiwai kukuacha .,wimbo mzuri sana barikiweni sana
i love Zabron singer , MUNGU awajalie uzma
Mungu ni mwema
Kweli kweli wimbo huu,ni safi sana,mutuleteye zingine kabisa tumewawunga mkono❤❤
U reflect God's glory, u r blessed. Your song full of God's message
Aiseeeeeee brikiweni sana nyie mnajua hambahatishi yaani Mungu anawatumia vyema
And my year starts with a blessing....loves from kenya....
sikuachi iko vizuri MUNGU akubaiki zabroni pamoja na wote walio shiriki katika wimbo huu
Whenever I watch your songs I must make vigorous movements then pap mi dancing to the end of the song 😂😂😂I don't know how keep still @your songs like you 🙆... loving it more
Ameni barikiwa watumishi
Nawaoenda sana yaani nyimbo zenu zinanibariki mnoooooo
Tunaishi kwa nguvu za Mungu maana yeye ndie ametueka hapo na hii ni kweli
Such melodious voices, can't help pressing repeat
May God bless 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️this group watching from Kenya 🥰🥰🥰🥰be blessed always happy Sabbath
Nawapenda sana kwanu mnafariji sana nyimbo zetu, bwana asifiwe.
Good music.Jina lake litukuzwe. Thank you Zabron. Amina.