ANGALIA SAFARI YA KUTOKA MBEYA KWENDA MAKETE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 фев 2020
  • ‪@dsstanzania‬ #chokozafikra #safariyaoktoba2020 #sangamahenge @dss_tanzania

Комментарии • 22

  • @tourkenyajackson3836
    @tourkenyajackson3836 Год назад

    You guys should visit Kenya especially in Mt Kenya region

  • @isaacluvanda5022
    @isaacluvanda5022 4 года назад +3

    Kama Cambodia ivi

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 3 года назад +1

    Changamoto kwelikweli

  • @yahayahussein511
    @yahayahussein511 3 года назад +1

    Hilobango la hiyo fuso linanifurahisha sana kwamba anapambana nahali yake

  • @obadiakyungu8146
    @obadiakyungu8146 3 года назад +2

    Serikari itukumbuke nasisi watu wa Magoma Ipelele

  • @fidasjohn4700
    @fidasjohn4700 3 года назад +2

    Kwani makete nao ni walipa kodi

  • @adamsonkyando682
    @adamsonkyando682 3 года назад +1

    Selikali yetu sikivu itazame hili sisi wakinga tunamchango mkubwa Sana Tanzania niwafanyabiashara tunae lipa mapato Sana Sana naomba Rais wetu atukumbuke wabunge wetu huwa wanalala Sana wakisha chaguliwa nikusinzia to bungen

  • @yahayahussein511
    @yahayahussein511 3 года назад +1

    Atakua anajinsia ya

  • @fidasjohn4700
    @fidasjohn4700 3 года назад +1

    Ccm hoyee

  • @alexnyasanga2
    @alexnyasanga2 Год назад +1

    Bajeti tunaambiwa kila wakati imetolewa huwa inaenda wapi wahusika waulizwee

  • @reganndoss2679
    @reganndoss2679 2 года назад +1

    Iyo chuma Apo ya geita

  • @atupyekyando3306
    @atupyekyando3306 4 года назад

    Hapo bado nyalwela kumearibika zaidi wengine wanasiku inner hawajatoka bado nihatari kweli

  • @yahayahussein511
    @yahayahussein511 3 года назад +1

    Huko nishida niliwahi kwenda na gari ilitaga siku tatu maeneo ya ikonda

  • @hidayaalbon7098
    @hidayaalbon7098 3 года назад +1

    Mbombo nzito

  • @husseinmahenge3176
    @husseinmahenge3176 3 года назад +1

    Wanamakete tumetelekezwa

    • @tuzonyava8306
      @tuzonyava8306 3 года назад

      Kifuku matope kiangaz bard Kali duu jaman

  • @giftgerlad4025
    @giftgerlad4025 3 года назад

    Nikubwa kuliko

  • @atupyekyando3306
    @atupyekyando3306 4 года назад

    Kwenda makete hatarisana tunatembea nusu kwamiguu nusukwa gari madereva wanajitahidi sana kunusuru maisha yanambeya namakete inasikitisha sanatuu

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 года назад +2

    Dakika 13 no edit no voice over . its unprofessional

    • @obadiakyungu8146
      @obadiakyungu8146 3 года назад

      Hawa wanao fisadi hela za serikari kweli wachukuliwe hatu hawana huruma ona wananchi tunavyo teseka na barabara hizo fedha zinge tengeneza barabara

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +1

    Heee kwani huko hakuna wabunge na mawakilishi?