Maisha malefu kwenu wasafi tv kuna tv & radio stesheni nyingi Tanzanian lakini haija wai kuelezea history ya kitaa changu I wish ningekuwa nyumbani Tanzania safisana zembwela wasafi tv for life
Kwenye maisha yangu sikuwahi hata siku moja kutaka kwenda mbeya, sababu kubwa ilikuwa ni baridi na story za ushirikina na skendo za hovyo za watu wa mkoa huu.Ila mwaka huu nilipata bahati ya kwenda mbeya kwa sababu zangu binafsi tu aiseee tangu wakati huo sijawahi jutia kufika mbeya mpaka leo,nimekuwa navutiwa sana na wakaazi wa mkoa huu ni vile watu walivyo wakarimu mnoooo.Watu wa mbeya wana ukarimu wa ajabu sana mara zote wamekuwa wakiwapokea wageni kwa heshima sana tofauti na majitu ya dsm yakigundua kuwa u mgeni basi yanatafta jinsi ya kukuibia,Mbeya ntakuja tena kukusalimu nimemisa sana kufanya shopping ya matunda pale uyole,nmemisi sana kupata misosi ya kukata na shoka pale mwanjelwa,pia nimemisi sana ile lafudhi yenu asee ni tamu mno,ila sitasahau kabisa kufikia pale MFIKEMO HOTEL MTAA WA JITEGEMEE PALE MWANJELWA 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽💖❤️❤️LOVE YOU MBEYA FROM AJ KUTOKA DAR EA SALAAM TZ
Balaa sana,pia fika wilaya ya Rungwe kuna Mto unaitwa Mto Kiwira na ukienda nenda sehemu inatwa Kijungu utamtafuta chifu wa kule atakupa simulizi za hatari zaidi ya hizi utashangazwa sana na matukio ya Miujiza ya maeneo hayo....🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ulichokuwa unakosea Ni kwamba mbeya inaonekana Ni ya wanyakyusa Ila sio kila eneo mbeya uwasemeshe kinyakyusa makabila mbeya yanamaeneo tofauti ,huko mbalizi Ni wasafwa na wanyia Sana
Mambo ni ya kweli haya yani aka kamto ni kadogo ila kana mambo sana watoto wanapotea na kuibuliwa sana apo ata Zima moto huwa wanashindwa ila kupitia uyo mama wana patikana.. it's true na uyo bibi mpoteza watt alikua anaitwa bibi namonje
Ungefika tukuyu upate maziwa ya kutosha parachichi ndilolo (maziwa ya mtini) ndizi mkungu 3000 mpaka buku kijani safi kule tukuyu yaani wewe kama ungebaki hukohuko hata wiki
Mbeya Makanisa mengi, mitume na manbii wa Zama hizi wengi wanatokea Mbeya lakini Ushirikina na Uchawi umejaa Mbeya. Unakumbuka historia ya visa vya watu kuchunwa ngozi na inasemekana Mbeya inaongoza kwa Misukule ! Sasa hayo Makanisa yanasaidia nini wakati Ushieikina. na uchawi kila kona!!!!
Umetua kihomeboy MBALIZI, AISEE vibe sana kuiona mbaliz na mtaa wa malafyale iwambi hapo💥❤
Ata mimi nimeikubali hii nyumbani
San yn
Ahsante. Lakini hukutupa taarifa kuwa walikutwa hai,au walikuwa wamepoteza maisha
@@agnessangawe3844 hujaangalia vizurii au mbona wamesema walikuwa wamekufaa
Maisha malefu kwenu wasafi tv kuna tv & radio stesheni nyingi Tanzanian lakini haija wai kuelezea history ya kitaa changu I wish ningekuwa nyumbani Tanzania safisana zembwela wasafi tv for life
Ba mietu mgonile mweee bhakafu abhanike
Zembwela chuma cha pua 👏👏👏nakubal Sana home sweet home
Kwenye maisha yangu sikuwahi hata siku moja kutaka kwenda mbeya, sababu kubwa ilikuwa ni baridi na story za ushirikina na skendo za hovyo za watu wa mkoa huu.Ila mwaka huu nilipata bahati ya kwenda mbeya kwa sababu zangu binafsi tu aiseee tangu wakati huo sijawahi jutia kufika mbeya mpaka leo,nimekuwa navutiwa sana na wakaazi wa mkoa huu ni vile watu walivyo wakarimu mnoooo.Watu wa mbeya wana ukarimu wa ajabu sana mara zote wamekuwa wakiwapokea wageni kwa heshima sana tofauti na majitu ya dsm yakigundua kuwa u mgeni basi yanatafta jinsi ya kukuibia,Mbeya ntakuja tena kukusalimu nimemisa sana kufanya shopping ya matunda pale uyole,nmemisi sana kupata misosi ya kukata na shoka pale mwanjelwa,pia nimemisi sana ile lafudhi yenu asee ni tamu mno,ila sitasahau kabisa kufikia pale MFIKEMO HOTEL MTAA WA JITEGEMEE PALE MWANJELWA 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽💖❤️❤️LOVE YOU MBEYA FROM AJ KUTOKA DAR EA SALAAM TZ
Karibu sana
@@timothmwakakusyu4563 hatch dahcffa
Karibu tena kaka.... Tutakupokea tena
Aiseee nakupenda sana sana kwetu❤❤❤ Mbeya❤❤🥰
Zebwela umenikumbusha sana mbalizi
Kweli babu zembwela mungu aendelee kujuweka duniani jamn duuh wee niatari sana
Watu wambeya tujuane apaa 💪💪💪💪🙌
Tupo
San
Tupooóoó
2ko pamoja😄
Tupo
Jamaa ni namba moja tanzania.
He is real, he is pure and the best of the best.
Safi sana zebwela inabidi uongezewe mshahala unafanya kazi mzuli
Balaa sana,pia fika wilaya ya Rungwe kuna Mto unaitwa Mto Kiwira na ukienda nenda sehemu inatwa Kijungu utamtafuta chifu wa kule atakupa simulizi za hatari zaidi ya hizi utashangazwa sana na matukio ya Miujiza ya maeneo hayo....🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Zembwela nakukibali sana tembelea na huko tukuyu daraja la mungu utapata storg
...duuu ...Mungu atusimamie
Noma San mswahil
from zanzibar ila mbeya nakujua na nakupenda xna watu wke wazur xna hongera kwenu
Safi sana Zembwela, uko vizuri!
Kipindi ni noma sana🔥🔥🔥
Oi pande za Lusaka Zambia hapa naiona green City kwa mbali miss Sana mby
Pesa inatafutwa wadau uyu mswahili nimtaftaji gonga like yako apa mwana mbeya
I have ffd. Zc v x is the
Nimeoga sana apo na marafiki zangu enzi hizo nasoma mapelele primary school
Safi kabisa,nakupenda kinoma
Umefika nsalala Apo fika Hadi shule ya secondary malama nako Kuna maajabu yake nenda Hadi utengule kule kwa mzungu pia Kuna Mambo mazuri utapata
Asant Kaka nimeipenda hii sana
Mbalizi nyumbni umetisha Sana kaka zembwela
daaaah huyu jamaa anae okowa watoto katika inchi zenye maendeleo lazima serkali impe hajita maana ana hatarisha maisha yake kwaajili ya watu wengine
Zembela mzee wa hujakwama upo juu zaidi hujakwama ukikwama utafanya jitume baba.
Wasafwa juu
Mbeya stand up ✌️✌️Wasafwa gonga like hapa😉
Mwagona
nise
Big up mswahili
Mwagonaaa ndio Salam ya wenyeji wa Mbeya wasafwa ugonile Ni wanyakyusa wa huko Rungwe na Kyela
Zembwera watt walikuw wazima lakini ongera sana mbeya sijafika ila nimefika kw like hii
Mwagonaaa mweee
Hata wasafi waamue ufanye wimbo utaweza kweli
Mbeya hapo town ni Mwagona bhana, Igamba li Ibheya; Mlima wa Chumvi!
Nilipoteza rafiki yangu hapo kwa huo mto 2003 aisee nafahamu huu mto vyema
Style yak kaka nakfananishaga sna na Tinwhite.!!!
Mbele ya mungu Tanzania nitakulinda mpk kufa😂😂😂😂😂
Scotland of Africa ♥️♥️♥️♥️
HOME SWEET HOME... MBALIZI IS OUR HOMEE
My man zembwela
ZEMBWELA SALUTI BRO PINDI LAKO TAM SANA 🇶🇦
Mbeya Mjini na Mbalizi Mbeya hakuna Chifu wa Kinyakyusa wote ni Wasafwa
Maajabu hayo🤔
Ulichokuwa unakosea Ni kwamba mbeya inaonekana Ni ya wanyakyusa Ila sio kila eneo mbeya uwasemeshe kinyakyusa makabila mbeya yanamaeneo tofauti ,huko mbalizi Ni wasafwa na wanyia Sana
Wasafwa na Wamalila
Sasa mnataka aseme lugha zote ataweza Iyo yenyewe ame kalilishwa tulieni nyie watu amuishiwi vyakusema
Kabila kubwa ni hilo wanyakyusa sio tatizo pia kwasababu Tanzania si nchi kuchunguzachunguza mambo ya makabila km huko Kenya na Nigeria
Yeah but wanyakyusaaaaaaa c unajua walivyootawanyikaaaa
Tumeoga sanaaa hapo, ndulilo ya kwanza palipokuwa hatari sana ni ndulilo ya pili
Nimeona bajaji yangu imepita hapo 😂😂🏃🏻🏃🏻🏃🏻
We ujajiona
Ndo hyo mbovuu
25:25 Ona hivyo vitoto vinavyokimbilia mtoni,watoto they are very innocent
Huyo alimtolea kiti mpaka cameraman
Hamia mikoani zembwela , kuna stori tamu ,,, dar kunaboa
Mambo ni ya kweli haya yani aka kamto ni kadogo ila kana mambo sana watoto wanapotea na kuibuliwa sana apo ata Zima moto huwa wanashindwa ila kupitia uyo mama wana patikana.. it's true na uyo bibi mpoteza watt alikua anaitwa bibi namonje
Beutful land mbalizi. Welcome zembwela.
Home sweet home mbeya
ZEMBWELA upewe ulinzi baba na uongezewe mshara maana sio kwa rah hizi unazo tupaga 😋😋😋
Kaongo hako kaokoaji,, kanajua source ya tatizo hako,,
Akili Mmbagasa,,
Home hapo mbaliz
Karbu Sana Mbeya Zembwela ufike na kyela ule kawali ka hukuuu
Jamaa ni kiboko
Saut Kam ya masanjaa Kwan mna unduguu
Msaidizi wa chifu naona kama angeongea mengi sana lakini kiswahili kimeonekana ni shida kueleza mengi
Home town Mbalizi
Aaaajamani Mbalizi Wakina Mwadada Nimewamisi
Watano Leo nipen like zangu
TANZANIA NI NGALI MTOTOO MDOOOGO NIMEPEWA JUKUMU LA KUKULINDA WEWEEEEE!!! AIYOOO YOOO MELINA!! AIYOOO MELINAA!! AAAH MAZULUU? AMAZULU AMAAAZUUULUUUU.
Hatar mzeee
Tunaopajua kwa jina NDULILO tujuane hapa😎😎😎
Hapana hapa sio ndululo Kaka ndulilo ninmitaa ya kwetu
@@arnodymwakyeja7940 ila wewe jamaa ni fala etii kwani maeneo majina hayawezi fanana we boya kweli eti kwahiyo sisi ndo tunakaa hapo afu unabisha
Tupo ndulilo hiyo shule ya ndola kwa chin ndo ilikuwa bahar yetu hiyo piga mbiz ya kutosha aiseee pale
napakumbuka vyema sehem hiyo ya reli
Zembwela we ni noma
Zembera hongera sana eti me ninan ningie kwa msalala🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kwan akuna njia nyengne mpaka wapite kwenye njia treni 😀😀😀
Zémbwélã ñdïó mtãngasaji nambæ mojâ Wasāfī
Sema Tanzania
Mbaliz moja kwa kina nyato ndola wanangu wa ndola apo panaitwa ndulilo
Ndulilo ndo kwetu
Nakupata mswahili wa Swahili nation nakupata kutoka rufiji pwani kibiti moja zembwera
Mbeyaaaaaaaaaaa Oyeeeeee
Hii ndotamu sio Kila siku dar
Tembeeni mjionee
Wasafwa hawana chifu mwanamke bwana acha uongo
Wa mbalizi tujuane jaman japo nimechelewa
💯💯💯
Ungefika tukuyu upate maziwa ya kutosha parachichi ndilolo (maziwa ya mtini) ndizi mkungu 3000 mpaka buku kijani safi kule tukuyu yaani wewe kama ungebaki hukohuko hata wiki
Mna wivu TM kyusa
Kipi changu miye mswahili
💥💥
Ni sana
Uchawi mwingi sana mbeya🤣🤣🤣
🤔🤔kumbeee
ZEMBWELA tuna kuomba ukawaoji waoji hawo watoto walo kuwa wamezamishwa ndani apo plz
Wewe ninani mpaka ukajage maji pasalala
Utageuzwa mpunga ww zembwela😂😂
Chifu anaitwa mwashinga
Ndulilo huko tushaogelea sana miaka ya 2006,7,8
Ata mimi mzee miaka ya 2014,2013
Mimi nimesoma hapo ndola
Sio ndululo Kaka
Ndulilo iko izumbwe
@@arnodymwakyeja7940 ata hapo panaitwa ndulilo acha ubishi mimi nimesoma hapo kenge wewe
Kalibu hom zembwera
Umeogopa kuingia ndani🤣
Pana itwa ndulilo hapo sipataki hata kupasikia
Mbeya Makanisa mengi, mitume na manbii wa Zama hizi wengi wanatokea Mbeya lakini Ushirikina na Uchawi umejaa Mbeya.
Unakumbuka historia ya visa vya watu kuchunwa ngozi na inasemekana Mbeya inaongoza kwa Misukule !
Sasa hayo Makanisa yanasaidia nini wakati Ushieikina. na uchawi kila kona!!!!
Nitajie mkoa usio na ushirikina
Ingekuwa sumbawanga yaani hadi sisimiziii
Beya msafwa og
Mbeya home sweet home
Nalipenda kabila langu La kisafwa
Mbeya ni kwetu tena Kyela ila hii ya mto duh
Kyela sehem gan
@@mwakaipotv7116 Kyela Bondeni nipo mie
Jamaa kama Masanja sauti yake
Wiki haijaisha... MWEZ😅
Hivi eeeh
Kama kweli unaapa kuilinda tanzania umefuatilia na ukajua nini kuhusu kifo cha jpm?? Na ukachukua hatua gan kama mwandishi wa habr??
Jamaa umepita mbalizi nyumbani kwetu kabisa
Duniani kuna mambo makubwa na mazito kama nanga
Daaa jaman mbaliz nyumban uko maeneo ya ndola sitasahau tukio la watoto kuzamishwa eneo la ndulilo kwa kichawi