WAJUE MARAIS wa AFRIKA WALIOKUFA WAKIWA BADO WAPO MADARAKANI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 53

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 3 года назад +9

    Gaddafi aliwapa wananchi wake raha na kuwagawia fedha kwenye akaunti zao lkn Wamarekami na wafaransa pamoja na vibaraka wao wakaleta machafuko nchini Libya ambayo yalipelekea kifo cha Gaddafi... Mungu atawalipa

    • @hawahabibu1379
      @hawahabibu1379 3 года назад +2

      Cku zote vzur havidum Rais akiwa mzalendo anahatalisha maisha yake

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 3 года назад

      @@hawahabibu1379 taja pia na mabaya Gaddafi

    • @amissesalimo814
      @amissesalimo814 3 года назад

      Daa hi Chanel ya kisenge sana samora machele

  • @kajishijakasabuku
    @kajishijakasabuku Год назад +1

    Africa hatujitambui

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Год назад +1

    Mnapinga kila kitu... wekeni ya kwenu basi tuone.. mdada amejitahidi

  • @mumbaimedia.5286
    @mumbaimedia.5286 3 года назад +1

    You represented Current president of Somali's phote ...he z alive take care

    • @yusuphusaimoni4182
      @yusuphusaimoni4182 Год назад

      Unaelezea vizuri Sanaa kumbe viongozi wengi Huwa wanauwa duuu walinzi wanakuwagap au wanakufaga na walinzi wao naomba jibu

  • @sylvestrenyandwi7131
    @sylvestrenyandwi7131 3 года назад

    Hongela Sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Год назад +1

    Huyu mtafti ana wazimu hao ndo ameona ndo marais waliouawa tu Africa

  • @hurumamtambo739
    @hurumamtambo739 3 года назад

    Mungu awabaliki

  • @rosemollel4637
    @rosemollel4637 Год назад

    Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa

  • @jamesisaac8804
    @jamesisaac8804 3 года назад +5

    Rais wa Rwanda na waburundi hujawataja

  • @jimmynsemwa
    @jimmynsemwa Год назад

    Daaa😭

  • @sikaongaabel9350
    @sikaongaabel9350 Год назад +2

    Pumbavu magufuli hakuumwa na ugonjwa wa moyo wali muua ili mpate madalaka

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 3 года назад +1

    Mhm ugonjwa wa moyo ndo umeondoa wengi hii ni kutokana na kubeba majukum mazito ya nchi kweli uongozi si lele mama ni kazi nzito yenye lawama za kutosha

  • @vicentmakoro9162
    @vicentmakoro9162 3 года назад

    Unaanzaje kumsahau Thomas SANKRA

  • @jumachire3041
    @jumachire3041 3 года назад

    Yuko sawa...kasema ni baadhi ya marais

  • @racinecarine818
    @racinecarine818 3 года назад

    Umesema vema Anmah, baadhi ya viongonzi kwa kuwa umewaacha nyuma Raisi wa Rwanda Havuarimama, Zaïre Mobutu, Malawi Kamuzu Banda, Zimbabwe Robert Mugabe, na wengine wengi

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 3 года назад +1

    Globo
    Umemsahau mwamba
    Mmoja hivi
    Sadam Abdul majiid husain
    Ndani ya iraq

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +2

    Ukiwapinga wazungu na ukiwa na mikakati ya kuzibit mali katika nchi yako kwa kuleta maendeleo lazima maaduwi wa ndani ya nchi yako na nchi jirani na za mbali watakuchukia to. Watakuuwa na ndio mana ukaona viongoz wengi wa Afrika huwa na hofu ya kufanya mabadiliko katika nchi zao wanakuwa na wao mafisadi na vivu wa kufanya kaz na rushwa mana wameambiwa na wazungu au umoja wa kimataifa kama bara la Afrika hatutaki liendelee kiuchumi. Na tutakwambieni sheria zetu muzifate. Kama hutaki .Tunakuuwa .

  • @jfmkenda6792
    @jfmkenda6792 6 месяцев назад

    Kuna Anuary Sadati wa misri

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 3 года назад +1

    Gadafi aliuliwa na marekani sio waasi

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 Год назад

    🇨🇩 Laurent Kabila

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Год назад

    Mbona hujataja kilicho muua simba wa Africa jpm??

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 года назад

    KABLA HUJAATOA TAARIFA SOMA HISTORIA KWANZA MBONA MARAISI WENGI WA AFRICA HUJAWATAJA ?

  • @homar1147
    @homar1147 3 года назад

    Je raisi wa Zanzibar Mzee Abeid Aman Karume yeye hayumo kwenye orodha ya viongozi wa Afrika? Maana nae alifariki kwa kuuwawa nchini kwetu Tanzania akiwa ni raisi wa Zanzibar.

  • @gabrielsawike7327
    @gabrielsawike7327 3 года назад +1

    Thomas sankra wa bukinabe ambayo kwa sasa bukinafaso,Fanya utafiti upya umeaacha wengi mno

  • @kenyansonyoutube1
    @kenyansonyoutube1 3 года назад +5

    Na kenyatta!

    • @davismate6999
      @davismate6999 3 года назад +2

      hawawezi kufahamu, wajinga sana hawa wabongo, unaweza je kusahau jirani wako ...bure kabisa...

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 3 года назад

    Mnazingua rais Ahmed Abdallah abderema alisoilih takidine au hawa sio marais

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 года назад

    KARUME ALIKUWA BARA GANI ? AFRICA AU TUAMBIENI JAMAN MAANA KARUME ZANZIBAR AMEUWAWA AKIWA MADARAKANI

  • @aziziomary6118
    @aziziomary6118 3 года назад

    Rwanda na Burundi 1994:

  • @bizimanaboubakar425
    @bizimanaboubakar425 3 года назад

    Ndadaye wa burundi umesahau

  • @muhammedomer9256
    @muhammedomer9256 3 года назад

    Hiyo picha uliotowa ya Rais wa Somalia huyu ni Rais Farmajo yuko hai nahuyu sio Egal

  • @Jirhley
    @Jirhley 3 года назад

    Muongo! Nkurunziza alikuwa na umri wa miaka 55

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 3 года назад

      Sio umri tu kukosea nkurunziza was stil young 55 pia alikufa na covid

  • @bahatimacha5501
    @bahatimacha5501 3 года назад

    Samora masheli umsahau

  • @jumamwadhini6263
    @jumamwadhini6263 3 года назад

    Nchi za kizungu mbona hawapo au wao hawafi

  • @francischegemwang8987
    @francischegemwang8987 3 года назад

    Wewe Ni mbure tu na Kenya iko wapi hakuna ire unajua wewe kumbfu wewr

  • @cusmaancaadle3498
    @cusmaancaadle3498 3 года назад

    We vipi hio picha wa rais wa somalia ume chukua nia rais wa saahi

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 3 года назад

    Nkurunzinza hajafia madarakani acheni uongo jamani

  • @zahrahassan4175
    @zahrahassan4175 3 года назад

    Kwanza hakuna nchi inayoitwa somaliland pili Unamtaja Mohamed igaal halafu unaleta picha ya farmaajo...makinika madam

  • @ayuzomsigwa618
    @ayuzomsigwa618 3 года назад

    Hgf

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 3 года назад

    Asande sikuwa nimejuwa

  • @sibonilenjela3524
    @sibonilenjela3524 3 года назад

    You lier one think thre is lot president ded in Africa and pure kuruziza ager you don't know was haver 55 ager

  • @rosemollel4637
    @rosemollel4637 Год назад

    Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa