Gaddafi aliwapa wananchi wake raha na kuwagawia fedha kwenye akaunti zao lkn Wamarekami na wafaransa pamoja na vibaraka wao wakaleta machafuko nchini Libya ambayo yalipelekea kifo cha Gaddafi... Mungu atawalipa
Mhm ugonjwa wa moyo ndo umeondoa wengi hii ni kutokana na kubeba majukum mazito ya nchi kweli uongozi si lele mama ni kazi nzito yenye lawama za kutosha
Umesema vema Anmah, baadhi ya viongonzi kwa kuwa umewaacha nyuma Raisi wa Rwanda Havuarimama, Zaïre Mobutu, Malawi Kamuzu Banda, Zimbabwe Robert Mugabe, na wengine wengi
Ukiwapinga wazungu na ukiwa na mikakati ya kuzibit mali katika nchi yako kwa kuleta maendeleo lazima maaduwi wa ndani ya nchi yako na nchi jirani na za mbali watakuchukia to. Watakuuwa na ndio mana ukaona viongoz wengi wa Afrika huwa na hofu ya kufanya mabadiliko katika nchi zao wanakuwa na wao mafisadi na vivu wa kufanya kaz na rushwa mana wameambiwa na wazungu au umoja wa kimataifa kama bara la Afrika hatutaki liendelee kiuchumi. Na tutakwambieni sheria zetu muzifate. Kama hutaki .Tunakuuwa .
Je raisi wa Zanzibar Mzee Abeid Aman Karume yeye hayumo kwenye orodha ya viongozi wa Afrika? Maana nae alifariki kwa kuuwawa nchini kwetu Tanzania akiwa ni raisi wa Zanzibar.
Gaddafi aliwapa wananchi wake raha na kuwagawia fedha kwenye akaunti zao lkn Wamarekami na wafaransa pamoja na vibaraka wao wakaleta machafuko nchini Libya ambayo yalipelekea kifo cha Gaddafi... Mungu atawalipa
Cku zote vzur havidum Rais akiwa mzalendo anahatalisha maisha yake
@@hawahabibu1379 taja pia na mabaya Gaddafi
Daa hi Chanel ya kisenge sana samora machele
Africa hatujitambui
Mnapinga kila kitu... wekeni ya kwenu basi tuone.. mdada amejitahidi
You represented Current president of Somali's phote ...he z alive take care
Unaelezea vizuri Sanaa kumbe viongozi wengi Huwa wanauwa duuu walinzi wanakuwagap au wanakufaga na walinzi wao naomba jibu
Hongela Sana
Mungu amlaze mahali pema peponi
Huyu mtafti ana wazimu hao ndo ameona ndo marais waliouawa tu Africa
Mungu awabaliki
Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa
Rais wa Rwanda na waburundi hujawataja
Daaa😭
Pumbavu magufuli hakuumwa na ugonjwa wa moyo wali muua ili mpate madalaka
Mhm ugonjwa wa moyo ndo umeondoa wengi hii ni kutokana na kubeba majukum mazito ya nchi kweli uongozi si lele mama ni kazi nzito yenye lawama za kutosha
Unaanzaje kumsahau Thomas SANKRA
Yuko sawa...kasema ni baadhi ya marais
Umesema vema Anmah, baadhi ya viongonzi kwa kuwa umewaacha nyuma Raisi wa Rwanda Havuarimama, Zaïre Mobutu, Malawi Kamuzu Banda, Zimbabwe Robert Mugabe, na wengine wengi
Globo
Umemsahau mwamba
Mmoja hivi
Sadam Abdul majiid husain
Ndani ya iraq
Ukiwapinga wazungu na ukiwa na mikakati ya kuzibit mali katika nchi yako kwa kuleta maendeleo lazima maaduwi wa ndani ya nchi yako na nchi jirani na za mbali watakuchukia to. Watakuuwa na ndio mana ukaona viongoz wengi wa Afrika huwa na hofu ya kufanya mabadiliko katika nchi zao wanakuwa na wao mafisadi na vivu wa kufanya kaz na rushwa mana wameambiwa na wazungu au umoja wa kimataifa kama bara la Afrika hatutaki liendelee kiuchumi. Na tutakwambieni sheria zetu muzifate. Kama hutaki .Tunakuuwa .
Kuna Anuary Sadati wa misri
Gadafi aliuliwa na marekani sio waasi
🇨🇩 Laurent Kabila
Mbona hujataja kilicho muua simba wa Africa jpm??
KABLA HUJAATOA TAARIFA SOMA HISTORIA KWANZA MBONA MARAISI WENGI WA AFRICA HUJAWATAJA ?
Je raisi wa Zanzibar Mzee Abeid Aman Karume yeye hayumo kwenye orodha ya viongozi wa Afrika? Maana nae alifariki kwa kuuwawa nchini kwetu Tanzania akiwa ni raisi wa Zanzibar.
Thomas sankra wa bukinabe ambayo kwa sasa bukinafaso,Fanya utafiti upya umeaacha wengi mno
Na kenyatta!
hawawezi kufahamu, wajinga sana hawa wabongo, unaweza je kusahau jirani wako ...bure kabisa...
Mnazingua rais Ahmed Abdallah abderema alisoilih takidine au hawa sio marais
KARUME ALIKUWA BARA GANI ? AFRICA AU TUAMBIENI JAMAN MAANA KARUME ZANZIBAR AMEUWAWA AKIWA MADARAKANI
Rwanda na Burundi 1994:
Ndadaye wa burundi umesahau
Hiyo picha uliotowa ya Rais wa Somalia huyu ni Rais Farmajo yuko hai nahuyu sio Egal
Muongo! Nkurunziza alikuwa na umri wa miaka 55
Sio umri tu kukosea nkurunziza was stil young 55 pia alikufa na covid
Samora masheli umsahau
Nchi za kizungu mbona hawapo au wao hawafi
Wewe Ni mbure tu na Kenya iko wapi hakuna ire unajua wewe kumbfu wewr
We vipi hio picha wa rais wa somalia ume chukua nia rais wa saahi
Nkurunzinza hajafia madarakani acheni uongo jamani
We ndo mwongo alikuwa hajaachia madaraka na
Kwanza hakuna nchi inayoitwa somaliland pili Unamtaja Mohamed igaal halafu unaleta picha ya farmaajo...makinika madam
Hgf
Asande sikuwa nimejuwa
You lier one think thre is lot president ded in Africa and pure kuruziza ager you don't know was haver 55 ager
Nakukubali sana dadaaa, tunashukuru kwa kutujuza haya
Samola mashel hayup was msumbiji
Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa
Wa zanzibar