MPAKA HOME: Maisha Halisi ya PEMBE, Ana Watoto 10!
HTML-код
- Опубликовано: 6 янв 2019
- MPAKA HOME: Maisha Halisi ya PEMBE, Ana Watoto 10!
Katika kipindi cha Mpaka Home wiki hii tumeibuka maeneo ya Yombo Buza jijini Dar nyumbani kwa Msanii Mkongwe wa Vichekesho anayeitwa Pemba.
Pembe ambaye anaishi na mke wake na watoto 10, amefunguka mambo mengi kuhusiana na kazi yake ya uigizaji na kimya cha muda mrefu, Anachokifanya kwa sasa mbali na kuigiza pamoja na mambo mengine yote unayotamani kuyajua.
#MPAKAHOME
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App:
ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw. Развлечения
Mashaallah mzee mungu kamjalia kizazi alhamdulilai na kujipanga kimaisha jazzak Allah khery mungu azindi kkucmamia ameni
Uko vizur
Mzee Pembe M.mungu akusimamie kwenye maisha yako na familia kwa jumla
Mtangazaji una heshima sana safi sana .
Nasikitika kusikia maisha Pembe akiamka asbh saa 12 bila ya Ibada anatoka njee kuchungulia jua la Mungu:namuombe Allah ampe utambuzi wa Ibaba kabla ya kuchungulia jua:Inshaa Allah***
Ibada ni jambo ambalo hua mtu afanye si lazima aseme
Ibada sio matangazo, ukisali rafiki wakuone utafeli
@@fatherjaytz kabisa, anataka ataje mkapa kuswali
Duuuu hongera sana pembe kwa hatua nzuri ya maisha unayoyaishi hakika kazi hiii umepata manufaa mazuri ,umepata nyumba nzuri, familia nzuri.Mungu akubariki sana.
kabisaaa..mungu ambariki sana mzee huyu..anao mwamvuli wa uzeeni tayari kwakweli
Masha Allah katulia Baba na familia yake
Hongera sana pembe uko vzr kimaisha
Hongera sana mzee pembe
Kumbe pembe ukiwa kwako wee mtulivu hivo ukikutana na Senga ndio huwa wazingua sana hongera lakini
Maashallah mzee katuliaaaaa na family yake hao ndio wasaniii sio hawa washinda mitandaoni namakk na skendo mby.
Namkubali sanaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂msisahau senga pia nawapenda sana hawa jamaa
Big up mzee pembe allah akuinue zaidi akujaalie mazuri kwahakika sanaa umeitendea haki hukufanya masihara umejijinga .umemshinda bambo sijui anakwama wapi.hongeza sana mzee pembe
Long time sana pembe job ulianza unahaki ya kuwa na wajukuu
Daaah! kajitahidi sana mzee pembe mwenyewe nyumba zuri kabisa na familia imetulia hadi raha kwa msanii Wa Tanzania kajitahidi sana maana maslahi yao wananyonywa sana hongera sana mzee
Huyu baba kila siku yuko ivi ivi mashallah Allah Akuweke Babu yetu
Yuko vizuriii hongeraaa
daaah!!apo freshiii umefanya kaz nzur za sanaa alafu mjengo wako uko poa kwel
Hongera sana Mzee Pembe na Mungu akupe maisha marefu,maaana wewe na Senga nawpenda sana na DVD zinazohusisha wewe na senga ninazo
Mtangazaji na ww ukopoa bana unaadabu2 unaoji kwa kheshima
Pembe baba yangu umejipanga sana ongela
Yupo vizuri
Da umejitahidi pembe hongera sana
Kijana snash hongera sana nakuona umepiga hatua. Uko vzr sana kijana piga kazi.
Duuh! Mmempata wapi uyuu yani siamini duh! Asanteni sana...twendeni kwa senga naee tukaone Ama vip mazeee!
daaaah mitaa ya home nimepamiss sana home wallah... nakuona mama salma bize na kuuza kuku☺☺
Baba ukiamka usichungulie jua nakuwahi kifungua kinywa,jitahidi ukiamka ufanye ibada umshukuru Mungu kwakukuamsha,ndipo ufungue kinywa.
Mashaallah mzee wetu uko sawa alhamdulillah
Maashaallah
mashaallh
Mtangazaji uko vizuri sana umerelax..keep on doing bro utafika mbali
Mungu akujaalie maisha marefu pembe pamoja na familia yako
Mzee pembe mkarimu ,rungu la shilingi miatatu linaendesha maisha yake ongera sana.
Duu mzee unawatoto wengi
😂 yaani ukiambiwa unaweza usiamini
Nice family
Nimeipenda Sanaa ya dizain hii pembe Asante mungu akupe ulinzi wamaisha
Mtangazaji nimekupenda uko na adabu sana Hongera kwa hilo
Mimi pembe na senga hawaniachagi salama kwakweli😂😂😂
Yaani mzee nilivyokuwa namuona ndani ya Sanaa ni tofauti kabisaaaa na Maisha yake anayoishi! Mungu ampe Maisha marefu!
Nampendaa huyu mzee jamanii ....ya rabi awape umri mrefu wazee wetu senga ,pembe na wengineo maana ndio furaha yetu ....Allah amhifadhi mahala pema peponi mzee wetu king majuto...na merehemu wote waliokwisha tangulia mbele ya haki
mtangazaji unakwa katika kuchukua historia ya mtu "amesema alikuwa anapg ngoma je umeshindwa nini kumuliza aligunduaje kipaji chake cha uigizaji hadi kuingia huko"
Masha'Allah
Dah!!! Mzee kajipanga uzee wake anaula vizuri
Mashallaah mzee umejitahidi
hongera mzee hukutaka kujenga eshima baa
love him
Mwende kwa mzee senga kwanzaee please 🤣🤣 mtangazaji uko poa 😍😍
Kumbe watoto siku hizi wanaitwa frem duh hatariiii saruti kwako mzee senga
ukweli kabisa
Maa shaa Allah
Acha kuchanganya lugha, km unafanya mahojiano kiswahili basi simama katika lugha iyo sio unaanza "mna communicate, creativity"
Nampenda sana pembe,anajua sana kuchekesha Kwa Kweli looh,familia Hiyo ni wastaarabu sana sana,mimewapenda sana
Mwende na kwa Konk master...yeye interview zote ni bar...
neema charles Ndio konk bar tu tunataka mpaka home
@@abyudmsigwa2209 yap yap
Fanya muende kwa senga
neema charles daaa umeniweza
neema charles hahahahaaaaaa
Uko vizuri kijana nimeipenda
Haya ndo Maisha ya kisanii..... Mpeni Like Mpembee
maa shaa Allah
Kama umeiskia iyokote kwambali ngonga like twende sawa
Umejipanga vinzuri sana mzee wetu ongela kwa kaziyako
pembe nakukubali saaana
Hongera mzee pembe umajipanga kimaisha upo vizur sana
mwenyezi mungu akulinde mzee pembe
Guys I love this may ❤❤❤❤ nakupendqa
Mashallah uliweka dunia nyuma maendeleo mbele saafi 👍
Mzee kweli kajipanga..yupo vizuri
Ingekuwa mzee wa kichaga, angekupeleka shule tu, mambo ya kukupa fremu hayapo!
Hongera zake
Nakukubali mzee pembe
Yuko vizuri kweli alijua kutumia kidogo alichokipata enzi hizo kujipanga
Hongera sn Mzee wangu Mungu akutunze na familia yko
Jamani mzee pembe alivyo mkaribu utazani shekhe toka utotoni mungu ampe pumzi ndefu ktk maisha marefu nabaraka tele za watoto na wajukuu kaajaliwa haswaaaa jamani usisahau jumtembelea na hasimu wake senga jamani
1/1/1976 pembe aana Sanaa. Daah hongera baba
Mashallah
Eu gosto muinto storia de Ese masvelho Aquele hestoria que saiu nu 2001
Ongera sana mzee pembe nimfano wa kuigwa
Yaan mzee hujaibiwa iseee!
Kwel c wakisport sport
Duuu nimependa sana hongera mzeeee wetu
MashaAllah
Hongera
Ongera sana kwa mzee
😂😂😂 jomoni nakukubali sana Babu ,,, Bless
Duh! Pembe hizi sasa dharau. Yaani we unaanza Sana'a mie ndiyo nazaliwa? Kama na wewe ni mhenga mwenzangu umezaliwa wakati Pembe anaanza sana 1976 like tuandamane mpaka kwa Pembe
Gosto mwito dessa equipa,Pembe com Seu amigo Senga força ai mas velhos
Safi sana mzee malezi bora watpto na wajukuu
Nimependa
Nilitamnig kuwaon wakihojiw waoo nimefurh bdo senga
Safiii sanaa
Safi Sanaa Mzee pembe
Kwa
Senga lini
Media za tz wambea sana kufuata mtu mpaka kwake, kama hao ni kupiga kuvunja kila kitu kesi badae
dogo uko vizuli Sana kwny kutangaza sio yule mze wa kigugumizi sijui mmepeleka wp
shizo be classic kweli kabisa yule jamaa alipaswa kuwa muandaa kipindi sio mtangazaji yule alikuwa anaharibu kipindi @globaltvonline
UMEGONGA NDIPO
Haswaaa kumbe wamkumbuka yule
Acheni hizo global ni tv kubwa wasingemweka mtu ambae hafai
Dah good
big up
bhana mtangazaji ni magari ya buza unashuka dovya chama then unaulizia mcharingeni ukifika tyuu mcharingen bas ni kuuliza tu nyumba ya pembe au baba adam then mambo yanakuwa mareshiiiiiii majirani tunampenda sana mzee wetyuu
Mungu akusimamie mzee wetu
Maza anachart tu aise
Mtangazaji handsome
Mtafuteni na senga jamani
good mzee
wow, kajipanga sawasawa mtafte senga tena
Mbona amefanana sana na mwijuma muumini ndugu nini au mwanae
Big up mtangazaji
duh kazi siyo mbaya utafikili mnataka kunampa fidia ya maisha yake sikwamkagua uku
waaoooh nimekukic khadija
😍😍😍my classment jmn umependeza sana kipenzi
Husnah Kidula Asante mwaya nani mwenzangu
munguakulide
Mtangazaji snash nakufatilia San upo vzr aisee utafika mbali mkuu (mwamayo)
Hii ndio ndoa kwakweli mwaka 76 mpk Leo ALLAH awape mwisho mwema
Amin
Good
kweli pembe nikiboko?
Pembe wanguuu!! Jamani ukiangalia hii video nitafute my kaka, long time sana, miss youuuuuu!
Mic u na wewe dada nyaso wangu jmn enzi za daimond jebeleee mpz 😘😘😘😘
@@beautywithnay5974 ahahahahaha Nasra wewe jamani
@@beautywithnay5974 miss u sana mdogowangu
Nakupenda sana dada nyaso yesu akutunze kwa ajiri yangu
@@beautywithnay5974 oh my God, asante Nasra wangu.
Ubarikiwe kwa upendo na mi nakupenda sana yaan nimekumiss sana dear
Hahahaaaa eti mm sio wa mchezo
pigana na uchumi unapigana watu bradi sketi bwana senga matusi hayo nimekuvumilia hahahahaaa pembe uko vzri sanaa imbombo ngafu mwee mufumile kutali bha ghwitu Nyakyusa boy niliwaona kwetu ileje kalibuni tena
Haahhaah 😘😅😄🤣😂😂😂
The Boss Lady IPUPA wananifurahishaga saan nilijua hasa ndgu Yangu wa mwakaleli yule mwee
yule jamaa mwenye kigugumizi ndio kinampendeza sana kipihiki
Hahah yule mwana kinamfaa sana
Sana tena
MSTAARABU ILA KWAKAZI NI KAZI
Vzrrrrr mzeeeeeee babùuuuu