MPAKA HOME: Maisha Halisi ya PEMBE, Ana Watoto 10!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 янв 2019
  • MPAKA HOME: Maisha Halisi ya PEMBE, Ana Watoto 10!
    Katika kipindi cha Mpaka Home wiki hii tumeibuka maeneo ya Yombo Buza jijini Dar nyumbani kwa Msanii Mkongwe wa Vichekesho anayeitwa Pemba.
    Pembe ambaye anaishi na mke wake na watoto 10, amefunguka mambo mengi kuhusiana na kazi yake ya uigizaji na kimya cha muda mrefu, Anachokifanya kwa sasa mbali na kuigiza pamoja na mambo mengine yote unayotamani kuyajua.
    #MPAKAHOME
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App:
    ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 448

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +57

    Mashaallah mzee mungu kamjalia kizazi alhamdulilai na kujipanga kimaisha jazzak Allah khery mungu azindi kkucmamia ameni

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 5 лет назад +20

    Mzee Pembe M.mungu akusimamie kwenye maisha yako na familia kwa jumla

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 лет назад +16

    Mtangazaji una heshima sana safi sana .

  • @nuruihondi1481
    @nuruihondi1481 5 лет назад +24

    Nasikitika kusikia maisha Pembe akiamka asbh saa 12 bila ya Ibada anatoka njee kuchungulia jua la Mungu:namuombe Allah ampe utambuzi wa Ibaba kabla ya kuchungulia jua:Inshaa Allah***

    • @a2gmgimwa3
      @a2gmgimwa3 5 лет назад +3

      Ibada ni jambo ambalo hua mtu afanye si lazima aseme

    • @fatherjaytz
      @fatherjaytz 5 лет назад +3

      Ibada sio matangazo, ukisali rafiki wakuone utafeli

    • @hamzamwilaphy2902
      @hamzamwilaphy2902 4 года назад

      @@fatherjaytz kabisa, anataka ataje mkapa kuswali

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад +5

    Duuuu hongera sana pembe kwa hatua nzuri ya maisha unayoyaishi hakika kazi hiii umepata manufaa mazuri ,umepata nyumba nzuri, familia nzuri.Mungu akubariki sana.

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 5 лет назад

      kabisaaa..mungu ambariki sana mzee huyu..anao mwamvuli wa uzeeni tayari kwakweli

  • @aminamrope9785
    @aminamrope9785 5 лет назад +14

    Masha Allah katulia Baba na familia yake

  • @tinawilliam4961
    @tinawilliam4961 5 лет назад +23

    Hongera sana pembe uko vzr kimaisha

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 5 лет назад +13

    Kumbe pembe ukiwa kwako wee mtulivu hivo ukikutana na Senga ndio huwa wazingua sana hongera lakini

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 лет назад +30

    Maashallah mzee katuliaaaaa na family yake hao ndio wasaniii sio hawa washinda mitandaoni namakk na skendo mby.

  • @esharamadhani3438
    @esharamadhani3438 5 лет назад +28

    😂😂😂😂😂😂😂msisahau senga pia nawapenda sana hawa jamaa

  • @fatumamramba2584
    @fatumamramba2584 4 года назад +1

    Big up mzee pembe allah akuinue zaidi akujaalie mazuri kwahakika sanaa umeitendea haki hukufanya masihara umejijinga .umemshinda bambo sijui anakwama wapi.hongeza sana mzee pembe

  • @elvismlay418
    @elvismlay418 5 лет назад +7

    Long time sana pembe job ulianza unahaki ya kuwa na wajukuu

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 5 лет назад +2

    Daaah! kajitahidi sana mzee pembe mwenyewe nyumba zuri kabisa na familia imetulia hadi raha kwa msanii Wa Tanzania kajitahidi sana maana maslahi yao wananyonywa sana hongera sana mzee

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 5 лет назад +8

    Huyu baba kila siku yuko ivi ivi mashallah Allah Akuweke Babu yetu

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 5 лет назад +6

    Yuko vizuriii hongeraaa

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 5 лет назад +8

    daaah!!apo freshiii umefanya kaz nzur za sanaa alafu mjengo wako uko poa kwel

  • @kelvinmathias7357
    @kelvinmathias7357 5 лет назад

    Hongera sana Mzee Pembe na Mungu akupe maisha marefu,maaana wewe na Senga nawpenda sana na DVD zinazohusisha wewe na senga ninazo

  • @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822
    @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822 5 лет назад +36

    Mtangazaji na ww ukopoa bana unaadabu2 unaoji kwa kheshima

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +34

    Pembe baba yangu umejipanga sana ongela

  • @lameckfrank2660
    @lameckfrank2660 5 лет назад +4

    Kijana snash hongera sana nakuona umepiga hatua. Uko vzr sana kijana piga kazi.

  • @suzanapatricks4512
    @suzanapatricks4512 5 лет назад +2

    Duuh! Mmempata wapi uyuu yani siamini duh! Asanteni sana...twendeni kwa senga naee tukaone Ama vip mazeee!

  • @fayzersuleyman6674
    @fayzersuleyman6674 5 лет назад +1

    daaaah mitaa ya home nimepamiss sana home wallah... nakuona mama salma bize na kuuza kuku☺☺

  • @jaliakamote5485
    @jaliakamote5485 5 лет назад +2

    Baba ukiamka usichungulie jua nakuwahi kifungua kinywa,jitahidi ukiamka ufanye ibada umshukuru Mungu kwakukuamsha,ndipo ufungue kinywa.

  • @memisaphusseni7190
    @memisaphusseni7190 5 лет назад +1

    Mashaallah mzee wetu uko sawa alhamdulillah

  • @brownjumbe9
    @brownjumbe9 5 лет назад +1

    Maashaallah

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 5 лет назад +1

    mashaallh

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785 5 лет назад +1

    Mtangazaji uko vizuri sana umerelax..keep on doing bro utafika mbali

  • @happyanania6208
    @happyanania6208 5 лет назад

    Mungu akujaalie maisha marefu pembe pamoja na familia yako

  • @aishaail4455
    @aishaail4455 5 лет назад +12

    Mzee pembe mkarimu ,rungu la shilingi miatatu linaendesha maisha yake ongera sana.

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 5 лет назад +9

    Nice family

  • @brunompolle1404
    @brunompolle1404 5 лет назад

    Nimeipenda Sanaa ya dizain hii pembe Asante mungu akupe ulinzi wamaisha

  • @pendoernest9444
    @pendoernest9444 5 лет назад +7

    Mtangazaji nimekupenda uko na adabu sana Hongera kwa hilo
    Mimi pembe na senga hawaniachagi salama kwakweli😂😂😂

    • @emmanuelndaki5214
      @emmanuelndaki5214 4 года назад

      Yaani mzee nilivyokuwa namuona ndani ya Sanaa ni tofauti kabisaaaa na Maisha yake anayoishi! Mungu ampe Maisha marefu!

  • @nasraiddy8164
    @nasraiddy8164 5 лет назад

    Nampendaa huyu mzee jamanii ....ya rabi awape umri mrefu wazee wetu senga ,pembe na wengineo maana ndio furaha yetu ....Allah amhifadhi mahala pema peponi mzee wetu king majuto...na merehemu wote waliokwisha tangulia mbele ya haki

  • @kingmavenga8913
    @kingmavenga8913 4 года назад +1

    mtangazaji unakwa katika kuchukua historia ya mtu "amesema alikuwa anapg ngoma je umeshindwa nini kumuliza aligunduaje kipaji chake cha uigizaji hadi kuingia huko"

  • @taabohosain3849
    @taabohosain3849 5 лет назад

    Masha'Allah

  • @mhinajohn1548
    @mhinajohn1548 5 лет назад +2

    Dah!!! Mzee kajipanga uzee wake anaula vizuri

  • @aminaomary3118
    @aminaomary3118 5 лет назад +6

    Mashallaah mzee umejitahidi

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 5 лет назад +2

    love him

  • @orediflavour
    @orediflavour 5 лет назад +4

    Mwende kwa mzee senga kwanzaee please 🤣🤣 mtangazaji uko poa 😍😍

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 лет назад +10

    Kumbe watoto siku hizi wanaitwa frem duh hatariiii saruti kwako mzee senga

  • @faridasaid8724
    @faridasaid8724 5 лет назад +1

    ukweli kabisa

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 лет назад

    Maa shaa Allah

  • @jeremiaherasto5893
    @jeremiaherasto5893 5 лет назад +3

    Acha kuchanganya lugha, km unafanya mahojiano kiswahili basi simama katika lugha iyo sio unaanza "mna communicate, creativity"

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 лет назад +14

    Nampenda sana pembe,anajua sana kuchekesha Kwa Kweli looh,familia Hiyo ni wastaarabu sana sana,mimewapenda sana

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 5 лет назад +71

    Mwende na kwa Konk master...yeye interview zote ni bar...

  • @obbytz3995
    @obbytz3995 5 лет назад

    Uko vizuri kijana nimeipenda

  • @manofgodbabazero9237
    @manofgodbabazero9237 4 года назад

    Haya ndo Maisha ya kisanii..... Mpeni Like Mpembee

  • @khadijamohammedsheheasemak1334
    @khadijamohammedsheheasemak1334 5 лет назад

    maa shaa Allah

  • @franknicholaus8393
    @franknicholaus8393 5 лет назад +3

    Kama umeiskia iyokote kwambali ngonga like twende sawa

  • @user-uw8qr6vn9x
    @user-uw8qr6vn9x 5 лет назад +4

    Umejipanga vinzuri sana mzee wetu ongela kwa kaziyako

  • @pagodakidume6446
    @pagodakidume6446 5 лет назад

    Hongera mzee pembe umajipanga kimaisha upo vizur sana

  • @andrevdheuvel4340
    @andrevdheuvel4340 5 лет назад +1

    mwenyezi mungu akulinde mzee pembe

  • @kokubanza8538
    @kokubanza8538 5 лет назад +2

    Guys I love this may ❤❤❤❤ nakupendqa

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 года назад

    Mashallah uliweka dunia nyuma maendeleo mbele saafi 👍

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 5 лет назад +19

    Mzee kweli kajipanga..yupo vizuri

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 5 лет назад

      Ingekuwa mzee wa kichaga, angekupeleka shule tu, mambo ya kukupa fremu hayapo!

    • @shabaniliwiga2599
      @shabaniliwiga2599 5 лет назад +1

      Hongera zake

    • @johnsimbeye3934
      @johnsimbeye3934 5 лет назад +1

      Nakukubali mzee pembe

    • @lykamlaki1218
      @lykamlaki1218 5 лет назад

      Yuko vizuri kweli alijua kutumia kidogo alichokipata enzi hizo kujipanga

  • @jacklinefelix7156
    @jacklinefelix7156 2 года назад

    Hongera sn Mzee wangu Mungu akutunze na familia yko

  • @merianhalibunyoha2629
    @merianhalibunyoha2629 5 лет назад +1

    Jamani mzee pembe alivyo mkaribu utazani shekhe toka utotoni mungu ampe pumzi ndefu ktk maisha marefu nabaraka tele za watoto na wajukuu kaajaliwa haswaaaa jamani usisahau jumtembelea na hasimu wake senga jamani

  • @danieljefwa2071
    @danieljefwa2071 4 года назад +2

    1/1/1976 pembe aana Sanaa. Daah hongera baba

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад

    Mashallah

  • @madengesalimu6881
    @madengesalimu6881 5 лет назад +2

    Eu gosto muinto storia de Ese masvelho Aquele hestoria que saiu nu 2001

  • @vkdjdnznzzn9507
    @vkdjdnznzzn9507 5 лет назад +1

    Ongera sana mzee pembe nimfano wa kuigwa

  • @neemakaluwa5856
    @neemakaluwa5856 5 лет назад +6

    Yaan mzee hujaibiwa iseee!
    Kwel c wakisport sport

  • @eliphaziamon8794
    @eliphaziamon8794 5 лет назад

    Duuu nimependa sana hongera mzeeee wetu

  • @anawa4326
    @anawa4326 4 года назад +1

    MashaAllah

  • @jacksonmsuya1812
    @jacksonmsuya1812 5 лет назад

    Hongera

  • @domihmwesh9021
    @domihmwesh9021 5 лет назад

    Ongera sana kwa mzee

  • @reghinahaule8360
    @reghinahaule8360 5 лет назад +1

    😂😂😂 jomoni nakukubali sana Babu ,,, Bless

  • @kalamuyantajajr2605
    @kalamuyantajajr2605 5 лет назад +9

    Duh! Pembe hizi sasa dharau. Yaani we unaanza Sana'a mie ndiyo nazaliwa? Kama na wewe ni mhenga mwenzangu umezaliwa wakati Pembe anaanza sana 1976 like tuandamane mpaka kwa Pembe

  • @armandoleonardo3643
    @armandoleonardo3643 5 лет назад +1

    Gosto mwito dessa equipa,Pembe com Seu amigo Senga força ai mas velhos

  • @mwajabumussa4860
    @mwajabumussa4860 4 года назад

    Safi sana mzee malezi bora watpto na wajukuu

  • @godfreyorago7501
    @godfreyorago7501 5 лет назад +2

    Nimependa

  • @hejopansimon5217
    @hejopansimon5217 5 лет назад +9

    Nilitamnig kuwaon wakihojiw waoo nimefurh bdo senga

  • @saidaabdallah4320
    @saidaabdallah4320 5 лет назад

    Safiii sanaa

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 лет назад

    Safi Sanaa Mzee pembe

  • @godlistenmaridadi754
    @godlistenmaridadi754 4 года назад +1

    Kwa
    Senga lini

  • @MohamedMohamed-ws1ip
    @MohamedMohamed-ws1ip 5 лет назад +1

    Media za tz wambea sana kufuata mtu mpaka kwake, kama hao ni kupiga kuvunja kila kitu kesi badae

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 5 лет назад +45

    dogo uko vizuli Sana kwny kutangaza sio yule mze wa kigugumizi sijui mmepeleka wp

  • @gambwemfaume5580
    @gambwemfaume5580 5 лет назад +1

    big up

  • @glorytechnicalsolutions9591
    @glorytechnicalsolutions9591 5 лет назад +1

    bhana mtangazaji ni magari ya buza unashuka dovya chama then unaulizia mcharingeni ukifika tyuu mcharingen bas ni kuuliza tu nyumba ya pembe au baba adam then mambo yanakuwa mareshiiiiiii majirani tunampenda sana mzee wetyuu

  • @happinessjoseph3571
    @happinessjoseph3571 4 года назад

    Mungu akusimamie mzee wetu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 5 лет назад +10

    Maza anachart tu aise

  • @viacaleb9542
    @viacaleb9542 5 лет назад +2

    Mtangazaji handsome

  • @isackmakasy9603
    @isackmakasy9603 5 лет назад +8

    Mtafuteni na senga jamani

  • @ramadhankasora5349
    @ramadhankasora5349 5 лет назад

    good mzee

  • @everlynmanigamaniga818
    @everlynmanigamaniga818 5 лет назад +2

    wow, kajipanga sawasawa mtafte senga tena

  • @sylvanusinjomango2169
    @sylvanusinjomango2169 5 лет назад +3

    Mbona amefanana sana na mwijuma muumini ndugu nini au mwanae

  • @fathiafathia8701
    @fathiafathia8701 5 лет назад

    Big up mtangazaji

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 лет назад

    duh kazi siyo mbaya utafikili mnataka kunampa fidia ya maisha yake sikwamkagua uku

  • @husnahkidula6891
    @husnahkidula6891 5 лет назад

    waaoooh nimekukic khadija
    😍😍😍my classment jmn umependeza sana kipenzi

  • @nyotayajaa3890
    @nyotayajaa3890 5 лет назад

    munguakulide

  • @adamlizomba1872
    @adamlizomba1872 5 лет назад +9

    Mtangazaji snash nakufatilia San upo vzr aisee utafika mbali mkuu (mwamayo)

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад +1

    Hii ndio ndoa kwakweli mwaka 76 mpk Leo ALLAH awape mwisho mwema

  • @allyswear1094
    @allyswear1094 5 лет назад +1

    Good

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 5 лет назад +9

    kweli pembe nikiboko?

  • @Myright888
    @Myright888 5 лет назад +16

    Pembe wanguuu!! Jamani ukiangalia hii video nitafute my kaka, long time sana, miss youuuuuu!

    • @beautywithnay5974
      @beautywithnay5974 5 лет назад +4

      Mic u na wewe dada nyaso wangu jmn enzi za daimond jebeleee mpz 😘😘😘😘

    • @Myright888
      @Myright888 5 лет назад +1

      @@beautywithnay5974 ahahahahaha Nasra wewe jamani

    • @Myright888
      @Myright888 5 лет назад +1

      @@beautywithnay5974 miss u sana mdogowangu

    • @beautywithnay5974
      @beautywithnay5974 5 лет назад +1

      Nakupenda sana dada nyaso yesu akutunze kwa ajiri yangu

    • @Myright888
      @Myright888 5 лет назад

      @@beautywithnay5974 oh my God, asante Nasra wangu.
      Ubarikiwe kwa upendo na mi nakupenda sana yaan nimekumiss sana dear

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 5 лет назад +9

    Hahahaaaa eti mm sio wa mchezo

  • @henryjoseph5703
    @henryjoseph5703 5 лет назад +13

    pigana na uchumi unapigana watu bradi sketi bwana senga matusi hayo nimekuvumilia hahahahaaa pembe uko vzri sanaa imbombo ngafu mwee mufumile kutali bha ghwitu Nyakyusa boy niliwaona kwetu ileje kalibuni tena

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 5 лет назад +1

      Haahhaah 😘😅😄🤣😂😂😂

    • @henryjoseph5703
      @henryjoseph5703 5 лет назад

      The Boss Lady IPUPA wananifurahishaga saan nilijua hasa ndgu Yangu wa mwakaleli yule mwee

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад +17

    yule jamaa mwenye kigugumizi ndio kinampendeza sana kipihiki

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад +7

    MSTAARABU ILA KWAKAZI NI KAZI

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 5 лет назад

    Vzrrrrr mzeeeeeee babùuuuu