MURO: FANTASTIC! IBENGE KOCHA MPYA SIMBA? JE ATAIVUSHA NUSU FAINALI CAF? ANAKUJA NA..!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • СпортСпорт

Комментарии • 18

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Месяц назад +1

    Simba haitaji kocha Simba inahitaji WACHEZAJI MGUNDA anatosha

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx Месяц назад +1

    Ibenge wanini hatufai Simba uyoo

  • @salimjohn7191
    @salimjohn7191 Месяц назад

    Mchambuzi kachambua vizuri sana,IBENGE ni kocha mzuri sana, endapo akija SIMBA SC 🦁 bc mambo yataenda vzr sana 💪💪💪

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Месяц назад +2

    Hela ya kusajili ipo? Benchika asingeondoka aachwe Mgunda anatosha

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 Месяц назад

    Hii iko kiroho sana
    Wanyama hutumika kwa sifa zao kuwajulisha mtu

  • @azizaj776
    @azizaj776 Месяц назад

    Kama hujui basi kocha mpya simba
    Professor NABI

  • @RazaroChawa
    @RazaroChawa Месяц назад

    Me naumia sana na simba yangu nashangaa hawa viongozi wetu uyo idenge wa nn tena me naisi hao viongozi wapgaji huyo kocha mwingine wanna kama hao viongozi wanashida me mawazo yangu hao viongozi wakileta kocha mwingine zaidi ya mgunda watupishe watakua awatufai

  • @hashimsemka8385
    @hashimsemka8385 Месяц назад

    Mm siamini kuwa shida ya Simba ni kocha hapana, shida ni mifumo ya klabu kutofanyakazi kwa weledi

  • @ashrafumbawala
    @ashrafumbawala Месяц назад

    Second hapa

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад

    Mgunda si koch wa viwango vya simba

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 Месяц назад

    Hilo lapili ndo sahihi Muro kutimiza mahitaji ya mwalimu simba haito meet mahitaji ya Ebenge wabaki na Mgunda kwanza kibongo bongo simba kuna shida kifedha

  • @pemberashid7681
    @pemberashid7681 Месяц назад +1

    Nipo namgunda

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Месяц назад

    Kama Simba watamchukua Ibenge kweli watafufua timu. Naamini sana Ibenge anamtsndao mzuri kwenye kusaka vipaji. Mleteni ili mtupooze machungu. Simba tumeumia sana tunamaumivu.

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 27 дней назад

    Viongoziwetu wanauwamuzi kamawalevi shidawachezali siokochaa niubaabaishajitu

  • @zephaniasirikwa7495
    @zephaniasirikwa7495 Месяц назад +1

    Kwa hiyo Mgunda ni spea tairi?mnamkose tani moja .simbilis acheni dharau.

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 Месяц назад +1

      Mgunda anatosha timu haiwezi kununua wachezaji class

    • @mohamedsalum3112
      @mohamedsalum3112 Месяц назад

      ni kweli Bro , mm namkubali TUJIFUNZE KUAMINI NA KUVITHAMINI VYA KWETU HALI YA KUWA MGUNDA KESHA PROVE KAMA NI KOCHA WA AINA GANI......VIONGOZI PLEASE PLEASE PLEASE HEBU MPENI MGUNDA TEAM PLEASE WALAU KWA MWAKA MMOJA ATATUPELEKA WAPII ......

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Месяц назад

    Wapigaji tu