MURO: FANTASTIC! IBENGE KOCHA MPYA SIMBA? JE ATAIVUSHA NUSU FAINALI CAF? ANAKUJA NA..!!
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Спорт
Simba haitaji kocha Simba inahitaji WACHEZAJI MGUNDA anatosha
Ibenge wanini hatufai Simba uyoo
Mchambuzi kachambua vizuri sana,IBENGE ni kocha mzuri sana, endapo akija SIMBA SC 🦁 bc mambo yataenda vzr sana 💪💪💪
Hela ya kusajili ipo? Benchika asingeondoka aachwe Mgunda anatosha
Hii iko kiroho sana
Wanyama hutumika kwa sifa zao kuwajulisha mtu
Kama hujui basi kocha mpya simba
Professor NABI
Me naumia sana na simba yangu nashangaa hawa viongozi wetu uyo idenge wa nn tena me naisi hao viongozi wapgaji huyo kocha mwingine wanna kama hao viongozi wanashida me mawazo yangu hao viongozi wakileta kocha mwingine zaidi ya mgunda watupishe watakua awatufai
Mm siamini kuwa shida ya Simba ni kocha hapana, shida ni mifumo ya klabu kutofanyakazi kwa weledi
Second hapa
Mgunda si koch wa viwango vya simba
Hilo lapili ndo sahihi Muro kutimiza mahitaji ya mwalimu simba haito meet mahitaji ya Ebenge wabaki na Mgunda kwanza kibongo bongo simba kuna shida kifedha
Nipo namgunda
Kama Simba watamchukua Ibenge kweli watafufua timu. Naamini sana Ibenge anamtsndao mzuri kwenye kusaka vipaji. Mleteni ili mtupooze machungu. Simba tumeumia sana tunamaumivu.
Viongoziwetu wanauwamuzi kamawalevi shidawachezali siokochaa niubaabaishajitu
Kwa hiyo Mgunda ni spea tairi?mnamkose tani moja .simbilis acheni dharau.
Mgunda anatosha timu haiwezi kununua wachezaji class
ni kweli Bro , mm namkubali TUJIFUNZE KUAMINI NA KUVITHAMINI VYA KWETU HALI YA KUWA MGUNDA KESHA PROVE KAMA NI KOCHA WA AINA GANI......VIONGOZI PLEASE PLEASE PLEASE HEBU MPENI MGUNDA TEAM PLEASE WALAU KWA MWAKA MMOJA ATATUPELEKA WAPII ......
Wapigaji tu