UKIKUTANA NA ALAMA HIZI | JUA UMEFUNGWA PINI 3 HATARI ZA KICHAWI | DR. ALHABIB NAKSH BANDY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 174

  • @twaariqahmad7249
    @twaariqahmad7249 3 года назад +8

    Masheikh mufanye da'awa kwaajili ya Allah cyo maslahi ya kidunia tu
    Hekma muhimu

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan 3 месяца назад

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe nakushukuru kama umenijua namiaka zaidi ya ishirini utanisaidiaje naumia sana shehe niombe dua

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 года назад +2

    Shukran sheikh wangu hayo unayosema yapo sana Allah akuhifadhi

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад +6

    Tusomeni athikari kwa wingi na tulete istigfar kwa wingi kuamka kusalinusiku na kutoka husudu inshallah pini zitafunguka mm nisharogwa sana adi nashikwa kabisa na watu na siwaoni nadhani akuna uchawi sijarogwa adi wakulishwa nimepitia sana sana Allah ametumbia malaika ila tusipo jikurubisha kwa Allah wanajitenga na tujiepushe kula haram na kuzini wachawi na majininwanajua sisi ni wazinifu tunakula haram atusali sala tano wala sunna na wachawi wanajua ndio mana wanatuchezea emu turudi kwa Allah ili shetani na majini Na wachawi wasituchezee rukya ya kujisomea mwenyewe Allah anaipenda zaidi

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

    • @yassinsalim4597
      @yassinsalim4597 3 года назад

      Ahsnt

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 3 года назад +1

    DR.Al Habib Naksh Bandy shukran sheikh mwenyezi Mungu akupe kila la kheri

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 3 года назад +2

    Masha Allah Shkran..... Allah bless you more

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 3 года назад +3

    Masha Allah Sheikh brilliant BarakAllah feek Doctor

  • @nuriaahmed9986
    @nuriaahmed9986 3 года назад +1

    Shukran sheikh kwa mawaidha ya kweli kabisa yote yapo

  • @sarakuchanda9605
    @sarakuchanda9605 3 года назад

    MashaAllah shukran Shaikh
    Jazakallah khair Allah akuhifadhi

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 3 года назад +1

    Masjid mtoro online tv na jamaa tul kheri na NNC tv shukran sana jamani mwenyezi Mungu awape kila kheri hapa kwetu ni siasa tu

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +4

    Wito wangu kwa masheikh wanaofanya dawa wafanye kwajili ya Allah sio kujitajirisha wachukue hela kdg tu sio wasichukue maana hio ndio kazi Yao ila waridhike na kdg Allah atawafungulia tu kwania yao njema.kwasababu hayo maradhi wanayajua vzr km majini wanafanya mtu asipate kazi au mali ipotee usiwe na kitu wala afya sasa masheikh watataka hela mgonjwa hajawahi kuzishika sio uislaam huo.
    Wajue masheikh hio ilm ya kufanya dawa Allah ndio kawapa lkn wakipewa ilm wao hawawezi kuwarahisishia watu wanahisi ile ilimu ya dawa yao wao sio kutoka kwa Allah.
    Ilivyo ilimu ya Allah na musaidie viumbe vya Allah.
    Lakini MaashaaAllah tabaarakah arrahmaan kuna masheikh wanaomuogopa Allah kwelikweli wanafanya kwa ikhlas na nia moja wa hawachukui hela nyingi na ukiwa huna wanakutibu kwajili ya Allah

  • @zeynahally3372
    @zeynahally3372 3 года назад +1

    Mashallh mungu atupe mwisho mwem

  • @Hunayfahhealing
    @Hunayfahhealing 2 года назад

    Asalamualaikum sheikh naomba tibu inshallah

  • @nuriaahmed9986
    @nuriaahmed9986 3 года назад

    Allwahu Akbar mungu atuepushie yarab na fitna kama hizi

  • @lumosa2102
    @lumosa2102 3 года назад

    Kazi nzuri Mwenyezi Mungu awabariki

  • @zuenabadi4877
    @zuenabadi4877 3 года назад +1

    Ameen

  • @fredymaswimwita3091
    @fredymaswimwita3091 3 года назад

    Hii elemu nzuri,sasa tunaipataje,

  • @KO-gi3gp
    @KO-gi3gp 3 года назад +2

    آللهم افضل سلام عليه 🤍♥️

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад +9

    Na pia Allah asha sema msidhani kwa kua mume amini sitawaonja ntawaonja kwa hofu na njaa tumcheni Allah

    • @thabitimkufi3302
      @thabitimkufi3302 3 года назад +1

      Hakika ukhty

    • @thaubannaftal7265
      @thaubannaftal7265 3 года назад

      Swadakta umesema kweli ubarikiwe.

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

    • @zaerajuma9159
      @zaerajuma9159 3 года назад +1

      Ruwey vp hl

    • @ruu6592
      @ruu6592 3 года назад

      @@zaerajuma9159 alhamdulila

  • @abuuayman5031
    @abuuayman5031 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад

    MaashaaAllah ushauri mzuri sheikh.
    Jamani alokua anajihisi hayuko sawa amtafute huyu sheikh.
    Ila tunamuomba Allah amjalie huyu sheikh asiwe km masheikh wale wanatolesha pesa nyingi mgonjwa hawezi kuzipata wala hawaoni tabu km mgonjwa akishindwa kujitibu kwa wingi wa mahela wanamuacha hivohivo na maradhi yake hawana huruma hata kdg jee Allah nawao asiwaonee huruma? Au hawatopata tatizo?

  • @marcntwari4012
    @marcntwari4012 3 года назад +1

    Yesu akuokowe utoke kwa miugiza

  • @OmanOman-zc5dt
    @OmanOman-zc5dt 3 года назад

    Masha Allha shukran

  • @zaitunshaban9220
    @zaitunshaban9220 3 года назад +1

    MashaAllah

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @jamalraja417
    @jamalraja417 3 года назад

    Sheikh shukran sana

  • @chelangwamsangi2064
    @chelangwamsangi2064 3 года назад

    Hasante sana Shekh wangu Bigup

  • @minahadi2190
    @minahadi2190 3 года назад

    MashaAllah jazzakAllah kheir Allah akuifadh ustadh

  • @Theegamer19
    @Theegamer19 3 года назад +7

    Mi mkristo lakin mafundisho iko sawa sheikh

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 года назад

    LKN SHEIKH UNAONEKANA VERY EXPENSIVE

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 3 года назад +2

      Lazima kazi wanazofanya pia sio ndogo akikwambia ujifanyie mwenyewe unaweza shindwa mfano tu uambiwe jisomee suratul baqara mara 30 mkao mmoja utaweza? Tukubali tu matokeo ndugu yangu tujitahidi mungu atatufungulia tuweze kujismamia tiba

    • @farhiyyaawadh9490
      @farhiyyaawadh9490 3 года назад

      @@sweetmeena5970 mmmh Hana lolote huyo

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Mashaallah sheikh wetu jazaka Allahu kher

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад

    Shukran sana

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 3 года назад

    MashaAllah shukran sheikh

  • @mohamedalhabsi7367
    @mohamedalhabsi7367 3 года назад +9

    wanasema wanasaidia jaribu kumuendea nashida zako uone tiba zao zinaanzia milion na kuendea ingelikua mtume anasaidia watu kwa gharama ya namnahio watu wasingeliuamini uisilam lakini hawa sasa wapoteza watu tanaka kutoa kwenye uisilam wanategemea utajiri kwatumia ndimizao msikilize anvyo ongea ili utafutie milion upelekee

    • @zainabhassan1433
      @zainabhassan1433 3 года назад +1

      Mashallah ila maskini asiokwa napesa hapati tipa Dio wengi wanakibilia kwa was ngaga coz wana Seema wangaga wanawakopa kibaya zaidi kwa mashe wetu wengi hakuna anae jitoa lillah hakuna

    • @fatmazena8886
      @fatmazena8886 3 года назад

      Kweli kabisa

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 3 года назад +3

      Matapeli wako kazini wauza ahera kwa thamani ndogo, stakaewafuwata nae pia atapotea mashukio yao wote jahannam, shirk ni dhambi kubwa na ukifa nayo bila kutubu husamehewi.

    • @thaubannaftal7265
      @thaubannaftal7265 3 года назад

      @@faisalmohamed727 C kila tiba ni shirki ingawa kila shirki ni dhambi.Ingawa hawa walio wengi wanaangalia matumbo yao hapo mfuate uone pesa ndogo utaambiwa million,Mara vitambaa vyeusi kuvunja Nazi njia panda kufukia vitu makaburini.

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 3 года назад

      @@thaubannaftal7265 Suali walijuwaje au waliletewa wahi? mambo ya sindano 3! na upuzi mwengineo walijuwaje? hio kuvunja nazi ni shirki tiba ambayo sishirki ni kutumia vitu kama dawa ukiitakidi ni sababu mponyaji ni ALLAH, vitu nilivomaanisha hapa sio itikadi za majini kutumia wanyama na mifupa, nilichomaanisha ni dawa kama za dukani au miti kama muarbaini au vitu kama habadsoda, asali na vingine kama hivo, sio mihirizi itikadi mbovu kuzua mambo, walijuwaje kuhusu hizo sindano?

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan7059 3 года назад

    MashaaAllah jazakAllah kheri doctor

  • @nagmaally5443
    @nagmaally5443 3 года назад

    Maashaallah

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад

    Shukraan sheikh wangu Allah akuhifadhi

  • @salimurindano7049
    @salimurindano7049 3 года назад

    Shukran jazzila wajazakalahukheir

  • @engshiwamushi952
    @engshiwamushi952 3 года назад

    Mashallah

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад +7

    Pili mwanadamu tupo katika hasara kwanza kuanzia sabuni vyakula adi dawa za miswaki zinapitia mitamboni zina tiwa sumu lishe zetu mbovu tunakula bila kuangalia tunakula nn

    • @alimzee
      @alimzee 3 года назад +1

      Jazak Allah her🙏

  • @bukuratanchande4588
    @bukuratanchande4588 3 года назад +1

    Amiin

  • @salamamukhtari7860
    @salamamukhtari7860 3 года назад

    Mwenyezi zimungu atuhifadhi nabalaa kama hii

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga1740 3 года назад +1

    Mungu atu simamie mungu

  • @maxamedm3040
    @maxamedm3040 3 года назад

    Jazzakumullahu kheir

  • @swaleheamri2303
    @swaleheamri2303 3 года назад

    Ok

  • @hassaniochu3722
    @hassaniochu3722 3 года назад

    Mm nikisoma Quran kichwa kinauma. ASA Surat baqara

  • @mudimudi8462
    @mudimudi8462 2 года назад

    Mm naitaji unisaidie naona dalili hizo ninazo

  • @edsonndomba1049
    @edsonndomba1049 3 года назад +3

    Dawa ni kumpokea YESU tu. Hakana pini ukiwa nae

    • @thaubannaftal7265
      @thaubannaftal7265 3 года назад +1

      Peleka kule umbumbumbu wako,unamwabudu binadamu mwenzio.

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@thaubannaftal7265 kabisaa

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 3 года назад

      Unauhakika, au unaimani usioijua hata nguvu yake?

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 3 года назад

      Nenda kwa nabii tuachie na shehe wetu

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@azizawadh5973 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @thabitimkufi3302
    @thabitimkufi3302 3 года назад +2

    Mnawazungumzia wachawi kwa uzito xanaa mpaka mnawafanya waumini waone kama mchawi ni zaidi ya Allah! Uchawi upoo lakini ukiwa upande wa Allah hakuna loloteee la kichawi wala nn, sema labda mnakazia kwaajili ya kupata wateja

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 3 года назад

    Mashaa Allah aliek

  • @MagomeniTv
    @MagomeniTv 3 года назад

    Kwa yyt anataka aangalie vituko njoo RUclips yangu

  • @salimajuma5530
    @salimajuma5530 3 года назад

    MashaAllh

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 3 года назад +3

    Washirikina tuu hawa wachafuzi wa dini wenye laana.

    • @dizobaba4681
      @dizobaba4681 3 года назад

      Ww ulitumwa kuckiliza we vp pita hv ndio mashetwan nyie humtak watu wa fundi shwe. Endelea baba tuokoe

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 3 года назад

      @@dizobaba4681 Awaokoe au awaangameze? kama mwadhani hawa ndio waokozi wenu poleni mumeumia na kibano chawasubiri huko mbele.

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад +1

    Shekhe namba ya kuwasiliana naomba

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 3 года назад

    Sheikh; Tafadhal ACHA kutumia KIINGEREZA kwa sababu unatamka sio SAHIHI . Waachie kiingereza hicho mastaa wa BONGO FLAVOR na BONGO MOVIE .

    • @salmaali1661
      @salmaali1661 3 года назад

      Yani mada nzima umeona kiingereza kichache tu? Inalillah

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 года назад

    Kwenye madisco dancing floor....!..hatari sheikh mtihani kwelikweli ‘ leo waislam wanahalalisha watoto wao kujiingiza kwenye madisco ‘urembo’ filamu Kwa kisingizio Cha ridhki’ ASTAGHFILULLAH...mtihani kwelikweli huu

  • @hassanmohammed7811
    @hassanmohammed7811 3 года назад

    Assalamu alaikum kwa unguja mupo sehemu gani

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 3 года назад +2

    Sasa sheikh tufanyeni ?

  • @83babz
    @83babz 3 года назад +1

    Asalam aleikum, sheikh swali langu ni kwanini unatumia Alama za illuminati kwenye video zako? Hio alama ya nyota ilioko juu chini ni alama ya Baphomet - shetwani anayeabudia na Freemasons.

  • @barikaali1861
    @barikaali1861 3 года назад

    Jaman

  • @ywconline2817
    @ywconline2817 3 года назад

    Manshallah akika hizi pini ziko kila paaala kwa kweli mtihani

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 3 года назад

    Shekhe mm nipo Oman lkn nikirud nitalkutafuta naomba namba

    • @abedkarume9088
      @abedkarume9088 3 года назад

      Mimi Niko kuwait ukishaipata swabrina namie unitumie

    • @sabrinasab2910
      @sabrinasab2910 3 года назад

      @@abedkarume9088 sawa

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @addblessmsola5625
    @addblessmsola5625 3 года назад +1

    Kwann usisome kiswahili tu mfuga majini ww

    • @hawahabibu661
      @hawahabibu661 3 года назад

      Kawafuga apo kwako au?acha kusema kitu usichokuwa na uhakika nacho muogope Mungu

  • @lida457
    @lida457 3 года назад

    Kumekucha

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 3 года назад

    Watapeli tu nyinyi maneno mengi tu

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 года назад +1

    Yani mie nakuelewaga ostadhi

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 3 года назад

    Wewe kama cyo mlozi umeyajulia wapi yote hayo? Acha promo.

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 3 года назад

    Mtu akirongwa na kufanya mapenzi sasa nani anabeba zambi , yule alorongwa au mrongajii ndio anae chukua zambi

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan 3 месяца назад

    Mwili wangu sasa unakuta gazi

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 3 года назад +1

    Kwa jina la YESU minyororo inaachia na pini zamrudia mwenyewe

    • @khadijahali679
      @khadijahali679 3 года назад

      Kweli Yesu Diye Suruhisho La Kila Jambo Jina Lake Lipewe Sifa Amina !

  • @yassinsalim4597
    @yassinsalim4597 3 года назад

    Huu ni msiba

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 года назад +3

    Mimi mkristu ila nanufahika na hayamafunzo

  • @maryammaryam1971
    @maryammaryam1971 3 года назад

    Mashaa shaallah. Mm nna shida. Na matibabu nambabyangu hiyo. 97171203

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      ________________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @mtatamifugo6651
    @mtatamifugo6651 3 года назад

    Chic

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 3 года назад

    Sasa Ustadhi tujaalie kama mwanamke ameenda kwa mganga kukuroga usisikie usione kwa yy Anakavyokwambia utafta yy , Jee apo mwanamme atakuwa anachuma zambi au cyo yye zambi anachukua mwanamke ?

  • @mazraanabal6693
    @mazraanabal6693 3 года назад

    Muqaddima tu tayar nshavutika kumsikiliza

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 3 года назад

    Sheikh wewe utakuaje mtu kafanyiwa uchawi ?
    Lazma unatumia majini

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 3 года назад +3

    Swali langu kwako ustadh ulijuwaje? musilete vitu ilivo na mushakil, mutapoteza watu muwaelekeze kwenye shirk.

    • @zakialustan722
      @zakialustan722 3 года назад

      Kajuaje nini sasa? Kaongea mengi?

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 3 года назад

      @@zakialustan722 Sister kama wakumbuka Iblis aliweka ahadi ya kutupoteza, kuna wanao jiita Walimu na matabibu wenye kufanya kazi na kizazi cha Iblis, uchawi uko na hasad ipo lakini akuna njia akujua kama umerongwa au umehusudiwa, hawa wanaojua kua huyu amerongwa au amehusudiwa walijuwaje kama hawashirikiani na majini? kumbuka Iblis ni jini na hakuna jini aloshika dini atamwingia mtu au atashirikiana na mtu, wengi hupotezwa na majini ambao hufanya kazi ya babayao Iblis kutimiza ahadi, tusiwe wepesi wakufuwata mkumbo kuingia kwenye shirki, shirki ni mfano wa chungu mweusi juu ya jiwe jeusi ndani ya usiku wenye giza, suali langu alijuwaje mambo hayo ya uchawi?

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 3 года назад

      Ni kwa sababu wanadeal na watu tofauti kila mtu anakuja kitiba anakuja na matatizo yao

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 3 года назад

      @@sweetmeena5970 Bado hujanijibu, mwenye tatizo akienda huwa hujui chanzo wala suluhisho kisha wao wanaojiita matabibu/walimu/waganga wakagundua na kutatua, swali huwa wagunduwaje/wajuwaje hayo matatizo? hawa jamaa wako mara 2, kuna matapeli wanaodanganya tuu ili wajipatie hela na wako wanaoshirikiana na majini, sasa basi atuambie yeye ni wa upande gani, wasituchafulie dini.

    • @hafidhiss5738
      @hafidhiss5738 3 года назад

      @@faisalmohamed727 kutosoma kwako ndio kunakupotosha kasome kaka elimu ni bahari,inaoneka we wajua dini kuliko mtume alierogwa pamoja na kua kwake mtume ,au nabii musa aliepambana na wachawi live uwanjani

  • @meddykiju8289
    @meddykiju8289 3 года назад

    Aameen

  • @fadiashami6381
    @fadiashami6381 3 года назад

    Mashaallah

  • @yussufmohamed157
    @yussufmohamed157 3 года назад

    Maashaallah

  • @rahmaamajaoni919
    @rahmaamajaoni919 3 года назад

    Ameen