Tusomeni athikari kwa wingi na tulete istigfar kwa wingi kuamka kusalinusiku na kutoka husudu inshallah pini zitafunguka mm nisharogwa sana adi nashikwa kabisa na watu na siwaoni nadhani akuna uchawi sijarogwa adi wakulishwa nimepitia sana sana Allah ametumbia malaika ila tusipo jikurubisha kwa Allah wanajitenga na tujiepushe kula haram na kuzini wachawi na majininwanajua sisi ni wazinifu tunakula haram atusali sala tano wala sunna na wachawi wanajua ndio mana wanatuchezea emu turudi kwa Allah ili shetani na majini Na wachawi wasituchezee rukya ya kujisomea mwenyewe Allah anaipenda zaidi
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Wito wangu kwa masheikh wanaofanya dawa wafanye kwajili ya Allah sio kujitajirisha wachukue hela kdg tu sio wasichukue maana hio ndio kazi Yao ila waridhike na kdg Allah atawafungulia tu kwania yao njema.kwasababu hayo maradhi wanayajua vzr km majini wanafanya mtu asipate kazi au mali ipotee usiwe na kitu wala afya sasa masheikh watataka hela mgonjwa hajawahi kuzishika sio uislaam huo. Wajue masheikh hio ilm ya kufanya dawa Allah ndio kawapa lkn wakipewa ilm wao hawawezi kuwarahisishia watu wanahisi ile ilimu ya dawa yao wao sio kutoka kwa Allah. Ilivyo ilimu ya Allah na musaidie viumbe vya Allah. Lakini MaashaaAllah tabaarakah arrahmaan kuna masheikh wanaomuogopa Allah kwelikweli wanafanya kwa ikhlas na nia moja wa hawachukui hela nyingi na ukiwa huna wanakutibu kwajili ya Allah
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
MaashaaAllah ushauri mzuri sheikh. Jamani alokua anajihisi hayuko sawa amtafute huyu sheikh. Ila tunamuomba Allah amjalie huyu sheikh asiwe km masheikh wale wanatolesha pesa nyingi mgonjwa hawezi kuzipata wala hawaoni tabu km mgonjwa akishindwa kujitibu kwa wingi wa mahela wanamuacha hivohivo na maradhi yake hawana huruma hata kdg jee Allah nawao asiwaonee huruma? Au hawatopata tatizo?
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Lazima kazi wanazofanya pia sio ndogo akikwambia ujifanyie mwenyewe unaweza shindwa mfano tu uambiwe jisomee suratul baqara mara 30 mkao mmoja utaweza? Tukubali tu matokeo ndugu yangu tujitahidi mungu atatufungulia tuweze kujismamia tiba
wanasema wanasaidia jaribu kumuendea nashida zako uone tiba zao zinaanzia milion na kuendea ingelikua mtume anasaidia watu kwa gharama ya namnahio watu wasingeliuamini uisilam lakini hawa sasa wapoteza watu tanaka kutoa kwenye uisilam wanategemea utajiri kwatumia ndimizao msikilize anvyo ongea ili utafutie milion upelekee
Mashallah ila maskini asiokwa napesa hapati tipa Dio wengi wanakibilia kwa was ngaga coz wana Seema wangaga wanawakopa kibaya zaidi kwa mashe wetu wengi hakuna anae jitoa lillah hakuna
Matapeli wako kazini wauza ahera kwa thamani ndogo, stakaewafuwata nae pia atapotea mashukio yao wote jahannam, shirk ni dhambi kubwa na ukifa nayo bila kutubu husamehewi.
@@faisalmohamed727 C kila tiba ni shirki ingawa kila shirki ni dhambi.Ingawa hawa walio wengi wanaangalia matumbo yao hapo mfuate uone pesa ndogo utaambiwa million,Mara vitambaa vyeusi kuvunja Nazi njia panda kufukia vitu makaburini.
@@thaubannaftal7265 Suali walijuwaje au waliletewa wahi? mambo ya sindano 3! na upuzi mwengineo walijuwaje? hio kuvunja nazi ni shirki tiba ambayo sishirki ni kutumia vitu kama dawa ukiitakidi ni sababu mponyaji ni ALLAH, vitu nilivomaanisha hapa sio itikadi za majini kutumia wanyama na mifupa, nilichomaanisha ni dawa kama za dukani au miti kama muarbaini au vitu kama habadsoda, asali na vingine kama hivo, sio mihirizi itikadi mbovu kuzua mambo, walijuwaje kuhusu hizo sindano?
Pili mwanadamu tupo katika hasara kwanza kuanzia sabuni vyakula adi dawa za miswaki zinapitia mitamboni zina tiwa sumu lishe zetu mbovu tunakula bila kuangalia tunakula nn
Mnawazungumzia wachawi kwa uzito xanaa mpaka mnawafanya waumini waone kama mchawi ni zaidi ya Allah! Uchawi upoo lakini ukiwa upande wa Allah hakuna loloteee la kichawi wala nn, sema labda mnakazia kwaajili ya kupata wateja
Kwenye madisco dancing floor....!..hatari sheikh mtihani kwelikweli ‘ leo waislam wanahalalisha watoto wao kujiingiza kwenye madisco ‘urembo’ filamu Kwa kisingizio Cha ridhki’ ASTAGHFILULLAH...mtihani kwelikweli huu
Asalam aleikum, sheikh swali langu ni kwanini unatumia Alama za illuminati kwenye video zako? Hio alama ya nyota ilioko juu chini ni alama ya Baphomet - shetwani anayeabudia na Freemasons.
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI ________________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Sasa Ustadhi tujaalie kama mwanamke ameenda kwa mganga kukuroga usisikie usione kwa yy Anakavyokwambia utafta yy , Jee apo mwanamme atakuwa anachuma zambi au cyo yye zambi anachukua mwanamke ?
@@zakialustan722 Sister kama wakumbuka Iblis aliweka ahadi ya kutupoteza, kuna wanao jiita Walimu na matabibu wenye kufanya kazi na kizazi cha Iblis, uchawi uko na hasad ipo lakini akuna njia akujua kama umerongwa au umehusudiwa, hawa wanaojua kua huyu amerongwa au amehusudiwa walijuwaje kama hawashirikiani na majini? kumbuka Iblis ni jini na hakuna jini aloshika dini atamwingia mtu au atashirikiana na mtu, wengi hupotezwa na majini ambao hufanya kazi ya babayao Iblis kutimiza ahadi, tusiwe wepesi wakufuwata mkumbo kuingia kwenye shirki, shirki ni mfano wa chungu mweusi juu ya jiwe jeusi ndani ya usiku wenye giza, suali langu alijuwaje mambo hayo ya uchawi?
@@sweetmeena5970 Bado hujanijibu, mwenye tatizo akienda huwa hujui chanzo wala suluhisho kisha wao wanaojiita matabibu/walimu/waganga wakagundua na kutatua, swali huwa wagunduwaje/wajuwaje hayo matatizo? hawa jamaa wako mara 2, kuna matapeli wanaodanganya tuu ili wajipatie hela na wako wanaoshirikiana na majini, sasa basi atuambie yeye ni wa upande gani, wasituchafulie dini.
@@faisalmohamed727 kutosoma kwako ndio kunakupotosha kasome kaka elimu ni bahari,inaoneka we wajua dini kuliko mtume alierogwa pamoja na kua kwake mtume ,au nabii musa aliepambana na wachawi live uwanjani
Masheikh mufanye da'awa kwaajili ya Allah cyo maslahi ya kidunia tu
Hekma muhimu
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe nakushukuru kama umenijua namiaka zaidi ya ishirini utanisaidiaje naumia sana shehe niombe dua
Shukran sheikh wangu hayo unayosema yapo sana Allah akuhifadhi
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Tusomeni athikari kwa wingi na tulete istigfar kwa wingi kuamka kusalinusiku na kutoka husudu inshallah pini zitafunguka mm nisharogwa sana adi nashikwa kabisa na watu na siwaoni nadhani akuna uchawi sijarogwa adi wakulishwa nimepitia sana sana Allah ametumbia malaika ila tusipo jikurubisha kwa Allah wanajitenga na tujiepushe kula haram na kuzini wachawi na majininwanajua sisi ni wazinifu tunakula haram atusali sala tano wala sunna na wachawi wanajua ndio mana wanatuchezea emu turudi kwa Allah ili shetani na majini Na wachawi wasituchezee rukya ya kujisomea mwenyewe Allah anaipenda zaidi
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Ahsnt
DR.Al Habib Naksh Bandy shukran sheikh mwenyezi Mungu akupe kila la kheri
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Masha Allah Shkran..... Allah bless you more
Njoo miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Masha Allah Sheikh brilliant BarakAllah feek Doctor
Shukran sheikh kwa mawaidha ya kweli kabisa yote yapo
MashaAllah shukran Shaikh
Jazakallah khair Allah akuhifadhi
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Masjid mtoro online tv na jamaa tul kheri na NNC tv shukran sana jamani mwenyezi Mungu awape kila kheri hapa kwetu ni siasa tu
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Wito wangu kwa masheikh wanaofanya dawa wafanye kwajili ya Allah sio kujitajirisha wachukue hela kdg tu sio wasichukue maana hio ndio kazi Yao ila waridhike na kdg Allah atawafungulia tu kwania yao njema.kwasababu hayo maradhi wanayajua vzr km majini wanafanya mtu asipate kazi au mali ipotee usiwe na kitu wala afya sasa masheikh watataka hela mgonjwa hajawahi kuzishika sio uislaam huo.
Wajue masheikh hio ilm ya kufanya dawa Allah ndio kawapa lkn wakipewa ilm wao hawawezi kuwarahisishia watu wanahisi ile ilimu ya dawa yao wao sio kutoka kwa Allah.
Ilivyo ilimu ya Allah na musaidie viumbe vya Allah.
Lakini MaashaaAllah tabaarakah arrahmaan kuna masheikh wanaomuogopa Allah kwelikweli wanafanya kwa ikhlas na nia moja wa hawachukui hela nyingi na ukiwa huna wanakutibu kwajili ya Allah
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Mashallh mungu atupe mwisho mwem
Asalamualaikum sheikh naomba tibu inshallah
Allwahu Akbar mungu atuepushie yarab na fitna kama hizi
Kazi nzuri Mwenyezi Mungu awabariki
Ameen
Hii elemu nzuri,sasa tunaipataje,
آللهم افضل سلام عليه 🤍♥️
Na pia Allah asha sema msidhani kwa kua mume amini sitawaonja ntawaonja kwa hofu na njaa tumcheni Allah
Hakika ukhty
Swadakta umesema kweli ubarikiwe.
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Ruwey vp hl
@@zaerajuma9159 alhamdulila
Mashaallah
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
MaashaaAllah ushauri mzuri sheikh.
Jamani alokua anajihisi hayuko sawa amtafute huyu sheikh.
Ila tunamuomba Allah amjalie huyu sheikh asiwe km masheikh wale wanatolesha pesa nyingi mgonjwa hawezi kuzipata wala hawaoni tabu km mgonjwa akishindwa kujitibu kwa wingi wa mahela wanamuacha hivohivo na maradhi yake hawana huruma hata kdg jee Allah nawao asiwaonee huruma? Au hawatopata tatizo?
Yesu akuokowe utoke kwa miugiza
Wewe ndio pepo lenyewe
Masha Allha shukran
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
MashaAllah
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Sheikh shukran sana
Hasante sana Shekh wangu Bigup
MashaAllah jazzakAllah kheir Allah akuifadh ustadh
Mi mkristo lakin mafundisho iko sawa sheikh
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
LKN SHEIKH UNAONEKANA VERY EXPENSIVE
Lazima kazi wanazofanya pia sio ndogo akikwambia ujifanyie mwenyewe unaweza shindwa mfano tu uambiwe jisomee suratul baqara mara 30 mkao mmoja utaweza? Tukubali tu matokeo ndugu yangu tujitahidi mungu atatufungulia tuweze kujismamia tiba
@@sweetmeena5970 mmmh Hana lolote huyo
Mashaallah sheikh wetu jazaka Allahu kher
Shukran sana
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
MashaAllah shukran sheikh
wanasema wanasaidia jaribu kumuendea nashida zako uone tiba zao zinaanzia milion na kuendea ingelikua mtume anasaidia watu kwa gharama ya namnahio watu wasingeliuamini uisilam lakini hawa sasa wapoteza watu tanaka kutoa kwenye uisilam wanategemea utajiri kwatumia ndimizao msikilize anvyo ongea ili utafutie milion upelekee
Mashallah ila maskini asiokwa napesa hapati tipa Dio wengi wanakibilia kwa was ngaga coz wana Seema wangaga wanawakopa kibaya zaidi kwa mashe wetu wengi hakuna anae jitoa lillah hakuna
Kweli kabisa
Matapeli wako kazini wauza ahera kwa thamani ndogo, stakaewafuwata nae pia atapotea mashukio yao wote jahannam, shirk ni dhambi kubwa na ukifa nayo bila kutubu husamehewi.
@@faisalmohamed727 C kila tiba ni shirki ingawa kila shirki ni dhambi.Ingawa hawa walio wengi wanaangalia matumbo yao hapo mfuate uone pesa ndogo utaambiwa million,Mara vitambaa vyeusi kuvunja Nazi njia panda kufukia vitu makaburini.
@@thaubannaftal7265 Suali walijuwaje au waliletewa wahi? mambo ya sindano 3! na upuzi mwengineo walijuwaje? hio kuvunja nazi ni shirki tiba ambayo sishirki ni kutumia vitu kama dawa ukiitakidi ni sababu mponyaji ni ALLAH, vitu nilivomaanisha hapa sio itikadi za majini kutumia wanyama na mifupa, nilichomaanisha ni dawa kama za dukani au miti kama muarbaini au vitu kama habadsoda, asali na vingine kama hivo, sio mihirizi itikadi mbovu kuzua mambo, walijuwaje kuhusu hizo sindano?
MashaaAllah jazakAllah kheri doctor
Maashaallah
Shukraan sheikh wangu Allah akuhifadhi
Shukran jazzila wajazakalahukheir
Mashallah
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Pili mwanadamu tupo katika hasara kwanza kuanzia sabuni vyakula adi dawa za miswaki zinapitia mitamboni zina tiwa sumu lishe zetu mbovu tunakula bila kuangalia tunakula nn
Jazak Allah her🙏
Amiin
Mwenyezi zimungu atuhifadhi nabalaa kama hii
Mungu atu simamie mungu
Naomba namba ya simu kupata msaada
Jazzakumullahu kheir
Ok
Mm nikisoma Quran kichwa kinauma. ASA Surat baqara
Mm naitaji unisaidie naona dalili hizo ninazo
Dawa ni kumpokea YESU tu. Hakana pini ukiwa nae
Peleka kule umbumbumbu wako,unamwabudu binadamu mwenzio.
@@thaubannaftal7265 kabisaa
Unauhakika, au unaimani usioijua hata nguvu yake?
Nenda kwa nabii tuachie na shehe wetu
@@azizawadh5973 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnawazungumzia wachawi kwa uzito xanaa mpaka mnawafanya waumini waone kama mchawi ni zaidi ya Allah! Uchawi upoo lakini ukiwa upande wa Allah hakuna loloteee la kichawi wala nn, sema labda mnakazia kwaajili ya kupata wateja
Mashaa Allah aliek
Kwa yyt anataka aangalie vituko njoo RUclips yangu
MashaAllh
Washirikina tuu hawa wachafuzi wa dini wenye laana.
Ww ulitumwa kuckiliza we vp pita hv ndio mashetwan nyie humtak watu wa fundi shwe. Endelea baba tuokoe
@@dizobaba4681 Awaokoe au awaangameze? kama mwadhani hawa ndio waokozi wenu poleni mumeumia na kibano chawasubiri huko mbele.
Shekhe namba ya kuwasiliana naomba
Sheikh; Tafadhal ACHA kutumia KIINGEREZA kwa sababu unatamka sio SAHIHI . Waachie kiingereza hicho mastaa wa BONGO FLAVOR na BONGO MOVIE .
Yani mada nzima umeona kiingereza kichache tu? Inalillah
Kwenye madisco dancing floor....!..hatari sheikh mtihani kwelikweli ‘ leo waislam wanahalalisha watoto wao kujiingiza kwenye madisco ‘urembo’ filamu Kwa kisingizio Cha ridhki’ ASTAGHFILULLAH...mtihani kwelikweli huu
Assalamu alaikum kwa unguja mupo sehemu gani
Sasa sheikh tufanyeni ?
Asalam aleikum, sheikh swali langu ni kwanini unatumia Alama za illuminati kwenye video zako? Hio alama ya nyota ilioko juu chini ni alama ya Baphomet - shetwani anayeabudia na Freemasons.
Jaman
Manshallah akika hizi pini ziko kila paaala kwa kweli mtihani
Shekhe mm nipo Oman lkn nikirud nitalkutafuta naomba namba
Mimi Niko kuwait ukishaipata swabrina namie unitumie
@@abedkarume9088 sawa
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Kwann usisome kiswahili tu mfuga majini ww
Kawafuga apo kwako au?acha kusema kitu usichokuwa na uhakika nacho muogope Mungu
Kumekucha
Watapeli tu nyinyi maneno mengi tu
Yani mie nakuelewaga ostadhi
Wewe kama cyo mlozi umeyajulia wapi yote hayo? Acha promo.
Mtu akirongwa na kufanya mapenzi sasa nani anabeba zambi , yule alorongwa au mrongajii ndio anae chukua zambi
Mwili wangu sasa unakuta gazi
Kwa jina la YESU minyororo inaachia na pini zamrudia mwenyewe
Kweli Yesu Diye Suruhisho La Kila Jambo Jina Lake Lipewe Sifa Amina !
Huu ni msiba
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21
Mimi mkristu ila nanufahika na hayamafunzo
Ingiya mu Islam karibu
Mashaa shaallah. Mm nna shida. Na matibabu nambabyangu hiyo. 97171203
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
________________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Chic
Shukran Dr
Sasa Ustadhi tujaalie kama mwanamke ameenda kwa mganga kukuroga usisikie usione kwa yy Anakavyokwambia utafta yy , Jee apo mwanamme atakuwa anachuma zambi au cyo yye zambi anachukua mwanamke ?
Muqaddima tu tayar nshavutika kumsikiliza
Sheikh wewe utakuaje mtu kafanyiwa uchawi ?
Lazma unatumia majini
Kwa nn unasema hvyoo?
Swali langu kwako ustadh ulijuwaje? musilete vitu ilivo na mushakil, mutapoteza watu muwaelekeze kwenye shirk.
Kajuaje nini sasa? Kaongea mengi?
@@zakialustan722 Sister kama wakumbuka Iblis aliweka ahadi ya kutupoteza, kuna wanao jiita Walimu na matabibu wenye kufanya kazi na kizazi cha Iblis, uchawi uko na hasad ipo lakini akuna njia akujua kama umerongwa au umehusudiwa, hawa wanaojua kua huyu amerongwa au amehusudiwa walijuwaje kama hawashirikiani na majini? kumbuka Iblis ni jini na hakuna jini aloshika dini atamwingia mtu au atashirikiana na mtu, wengi hupotezwa na majini ambao hufanya kazi ya babayao Iblis kutimiza ahadi, tusiwe wepesi wakufuwata mkumbo kuingia kwenye shirki, shirki ni mfano wa chungu mweusi juu ya jiwe jeusi ndani ya usiku wenye giza, suali langu alijuwaje mambo hayo ya uchawi?
Ni kwa sababu wanadeal na watu tofauti kila mtu anakuja kitiba anakuja na matatizo yao
@@sweetmeena5970 Bado hujanijibu, mwenye tatizo akienda huwa hujui chanzo wala suluhisho kisha wao wanaojiita matabibu/walimu/waganga wakagundua na kutatua, swali huwa wagunduwaje/wajuwaje hayo matatizo? hawa jamaa wako mara 2, kuna matapeli wanaodanganya tuu ili wajipatie hela na wako wanaoshirikiana na majini, sasa basi atuambie yeye ni wa upande gani, wasituchafulie dini.
@@faisalmohamed727 kutosoma kwako ndio kunakupotosha kasome kaka elimu ni bahari,inaoneka we wajua dini kuliko mtume alierogwa pamoja na kua kwake mtume ,au nabii musa aliepambana na wachawi live uwanjani
Aameen
Mashaallah
Maashaallah
Ameen
Njoo uone miujiza ya Qur'an kutoka karne ya 7 mpk 21