VIFUNGO 5 VYAKICHAWI | JINSI YA KUJITEGUA WEWE MWENYEWE KWA KUTUMIA UKINDU NA NGAKA | DR.OMAR BIHIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 33

  • @SalminiMbaraka
    @SalminiMbaraka 5 месяцев назад +2

    Assalam aleykm mii nipo Dodoma naipataje hiyo dawa? maana ninashinda sana na ni bei gani tuweke wazi dokta

  • @Ashreystar8465
    @Ashreystar8465 Год назад +1

    shkran sana mwalim

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Год назад +1

    mashaALLAH shukran sheikh

  • @SarahAdam5969
    @SarahAdam5969 Год назад +1

    Shukran

  • @anisir1719
    @anisir1719 Год назад +3

    Mtangazaji ana boo ana kiherehere sana

  • @mashmanase7530
    @mashmanase7530 10 месяцев назад

    Mtangazaji huyu ana tantarira sana ,unapata kaongea sana kuliko dr...

  • @MohamedMohamed-om7ib
    @MohamedMohamed-om7ib Год назад +1

    Mtangazaji maelezo yako ni mingi kuliko daktari mwenye unafaa uulize swali ili tufahamu vizuri sio kurudia maelezo

  • @gabrielwangach9885
    @gabrielwangach9885 Год назад

    Asanti sana Mwalimu nawezaje kuipata ngaka niko Nairobi Kenya

  • @marry-aimee-2506
    @marry-aimee-2506 8 месяцев назад

    Niko kigali nasinjyuwi cyalabu nitasema aye

  • @PedadMiyombo-pc8gc
    @PedadMiyombo-pc8gc 6 месяцев назад

    Daaah! Mtangazaji anajua kuongea

  • @ukhtyafsaty
    @ukhtyafsaty 11 месяцев назад

    Sheikh hayo maji baada yakumaliza zowezi je utayamwaga popote? Haina shida?

  • @RABIAMANENO
    @RABIAMANENO 4 месяца назад

    Ngaka ninapatikana wapi.Niko Kenya.

  • @kibarazakhamiskibaraza7198
    @kibarazakhamiskibaraza7198 7 месяцев назад

    A/alaikum doctor Mimi nipo Zanzibar nitaipataje ngaka nainauzwa bei gani chupa moja

  • @lexygeisar8303
    @lexygeisar8303 10 месяцев назад

    Jamani mume onesha vifungo visita cha saba sijui ni wapi?

  • @yahayasaid8746
    @yahayasaid8746 9 месяцев назад

    Dawa inauzwa wapi dar
    Na mikoani na unspataje
    Pia bei yake ni sh ngapi

  • @allymloti7738
    @allymloti7738 Год назад

    Naitaji ngaka sh ngapi

  • @agnesimchicha4499
    @agnesimchicha4499 Год назад

    Inauzwa sh ngapi he utajiaje kama ni oligino umetoka daw nziro ilamatapeli wakina hivyo wanaiga wanaleta feki

  • @habibaissa8799
    @habibaissa8799 Год назад

    Hiyo ngakani bei gani na tunaipata wapi.

  • @azizaalnaamani753
    @azizaalnaamani753 Год назад +1

    Shekh huyo mtangazaji anaongea sana ss tunataka kusiki maelezo yako mwambie apunguze kuongea km ni swali aulize kwa kifupi ili wasikilizaji tufaidike

  • @liliantayarin5502
    @liliantayarin5502 Год назад

    Naweshaje Pata ngaka niko kisill

  • @nizigamaadija-nr3ou
    @nizigamaadija-nr3ou Год назад

    🙏🥰🥰🥰🥰🥰♥️

  • @husnakhalfan796
    @husnakhalfan796 Год назад

    Dr: mikoani tunapataje

    • @mtoroonlinetv
      @mtoroonlinetv  Год назад

      Piga namba za simu za dr. bihizi zinzzoonekana kwenye screen

  • @leilataji
    @leilataji 4 месяца назад

    Ngaka ndonn

  • @rajabumasinde5935
    @rajabumasinde5935 Год назад

    Je nauliza huo sio ushilikina

  • @NuratyBahati
    @NuratyBahati 5 месяцев назад

    Mtangazaji anakata stim anaongea yy t jmn

  • @gabrielwangach9885
    @gabrielwangach9885 Год назад

    Mkristo pia anaweza kufanya ufunguo hiyo?

  • @marismeneja6341
    @marismeneja6341 Год назад

    Ngaka ni nn