RISKY |《 02 》
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Hongera saa ila episodi ya kwanza kama siyo ya pili kuna maneno ya biblia umekosea Yesu alimwaga damu yake siyo yetu 18:32 😊
Boncena hii n more fire bana ety mungu wako anakwambia usikue na mwanamke unajua kuingiza hongera sanaaa 🎉🎉🎉
Hongera Boniface nnachojivunia kwa boni hua anatoa muv kwa wakat na ndefu sana sana sana yaani acha t nampenda sana huy kaka
Wowowoooo
Yupo vizur but kwenye hizo dk ametupiga dk 33 but imeishia dk 16😄
Atakae Shere kwa watu 10000 nampa laki 2 ili wajifunze kupitia hii #risk
Nakukubali man
laki za kenya ama Tanzania🤭😹
😂😂😂tz@@lizchepkorir2000
@@lizchepkorir2000 za kwetu kenya 🤣🤣🤣🤣
Ni ela ngapi ya kenya iyo
Nimefika Toka Kenya kz nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉
Chizi kapewa rungu 😂😂naona unamapepe sana chizi wetu km kuna kitu kinakusumbua kichwani😮
Haya mambo ni real life,na sio kwa pastor tu hadi watu hutafuta utajiri kwa njia kama izi...wengine hawaruhusiwi kuoa wengine hawaezi zalisha😢#kazi nzuri 🎉🎉🎉 ila bony utakufa na ugwadu 🙌 🙌 🙌
Kazi Kali sana,, sijaelewa mwisho wa ep1 na mwanzo wa ep2 mdada anapotea kwa effect tofauti
Uko vzr ukituliaa unatoagaa movie nzurii mnoo ongeraa zakooo
Sasa sijaelewa bon umekuwa padiri?
Kaka safi sana hii I dea ya kitofauti sana Sanaa komaa mzee nakukubali mwanangu wa home mbeya
Kazi nzuri boncena kiukweli tunataka kuona vitu kamahivi kwenye ubora wa filam tanzania
Vizuri saana kabisa, tunaomba ijayo from DRC
Nakuombea uwwndelee hivohivo mungu asidi kukuinua❤❤❤❤
Kijachaa ameweza sana Kaz mzr❤❤🎉🎉 Frome omani apa
Movie kalisana broo kila unachofanya moto nakupa mauwa yako🎉🎉🎉🎉
Nitamu sana kama asali,ni ruth from kenya,congratulations bro man vip man.
aloo movie kali jamani sasa ruta ume kuwa una fanya sasa
Boncena usikoseye mungu lako afadali muji iite messenger ama mufanya kazi ya mungu ama mutu ya mungu usiji iite nabii maana ni nabii wale mwenyezi mungu amechaguwa kama nabi adam nabi nuhu ma nabii nyingi mpaka nabii mohamed ile inne mungu kapewa vitabu zabur ni ya nabii daud towrad ni ya nabii musa injiil ni ya nabii issa furkaan ndiyo kitabu ya mungu mwishoni ni ya nabii muhamed S.A.W sasa uki ji iita nabii hu ogobi laana ya mwenyezi mungu tena malibo ya mungu hakuna lowyer fikiriya nduguyangu bouncena usikoseye munguyako
Walai nimeipenda hiyo bit inanikumbusha wakati wa Steven kanumba boncena got talent god job man
Jamani wagen kama mamimi karibuni 😂😂❤❤❤🎉🎉 tuangalie move hii tamuuuuu😅
Bonny umepigaje apo... Nice work bro.
Hiyi noma kutoka Tz kbs sisi wana BDI tuna wapa ongela sana
Am the first one much love from ndola zm
Hii movie ipo seriously!! Imetulia beat nzuri mazingira pia yamekaa vyema!!
💪
Kali hiyo nimeipend sana❤
Kaz nzuri boncenaa
Nakukubali sana mwmba unajuwa
Patate apa sasa. Filamu nzuri sana.
KAZI njema
Joyce 😂😂😂😂😂
Hluhusiwi kuingia ndan
Kama vile yesu alivyomwaga damu yetu msalabani..!
Saluti Boncana unajuwa
Nishatangulia, likes zangu jee?
Mbona nabii ruta kama vile analazimishw unabii
Much lov from 🇧🇮
Love Mocambique
Chizi ana bible mpya😂😂
😂😂😂Ni enjoy😂😂😂 ila naitaji kumuona kobelo
Hongera sana bonsina
Hongeren sana 🔥💯
Unatry kumean Mungu wao tofauti na wako
Bonface hataki mahusiano na ako serious wah mwenzangu unachekesha😂😂 hongera lakini
Baba kemea pepo👆👆👆
Rutaman anajua jamn tumpeni pongezi
Boncena umetisha sana❤❤❤🎉🎉🎉
Boncena endelea hivi hivi unaturudisha enzi za marehemu kanumba
Utaugumiwa boniface
Ongera Sana.
Nyie mbwa Tumalizieni unyago bas
Baba kemea pepo😅😂
Lkn huyu binti anazingua ingekuwa yeye kuweza kwenye hela zote zile
Keep it up
Wangapi wanamuona mpenzi wa boncina analilia unyama tena kwa kulikia wa boncina
nmeielewa muvi lakini sehemu ya malaika badilisha asiwe anakuja kama mwnafunz boresha atokee na vazi jeupe.
Lazima kuna kitu ndomana anatokea kama mwanafunzi sidhani kama mwamba kakurupuka
Iyo man kali man
Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤
Mgeni wa kijiji tumemiss
Mmmh si alitoa 😂Jana or nk juzi
Mi ndio nimefunga😂 much love from kenyq
Kazinzuri kaka🙏🙏🙏🙏
😢😢😢😢😢😢😢mbona imeishia mbali ivo😮😮😮
Mbona haija Isha part 2
❤❤❤❤❤❤❤
ebanaeee hii movie ruta man
Hongera kwa kazi nzuli
Karibu Tz nchi ambayo kichaa ananyoa nywele kihuni 🤣🤣
😂😂😂 ati ananyoa kihuni
Ee 😂😂
😂😂😂
Mmmmh ruta man Tanzania Rubby Michael ❤
Nakukubali sana boncena😊😊
Kazi zuri 🔥🔥🔥
Mambo ni moto 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Nakubali Saana Boncen🎉
Kazi nzuri
Congratulations
nyapako am here
Pakonya am there
Fupi san boncena 😢😢
Kanisa yupo na uniform zake 😂😂😂😂😂
Leo ni nusummmmm
Goubwa ni shizi ana pendezeana naaliyake kabisa jameni 😅😅😅😅😅
RUTA MAN VIP MAN UNAACHA NYAMA MAN
Unatobowa Kaka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥
Et wa 10
Kaz nzul san nimeipendaaa mnooo
akika muvi ni nzuri inafundisha na inaelimsha kwa kweri
Yaan kipande umeandika kina dk 33 afu kinaishia dk ya 16 aaaah sio pouwa mzee
Hatareeeeeee boneguy❤
Nice ❤❤
😂❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤❤❤😂😂😂😂raha
Sijamuona kobelo na Rosi
Uko vzr mgeniwa kijiji vp?
Ongea bwana mjomba naon iyi cinema ina kitu ndan yakee....tuna zid kukufatiliy....ila tun subiria mgen wa kijiji bwana .....tumuon mgang baisa
Félicitations ❤❤❤❤🎉🎉
Sasa brother mbona movie ni dakika 16 na unaweka dakika 32 surely, shida wapi
Boncena unaatali sana
Kasehemu kafupi sana
Naeza jiunga nanyi Kwa kuigiza?
I love you form congo RDC
Imekuja vizuri kiasi
Kazi nzuri sana
😂😂😂nn ilihappen ilikatikia njiani anywei thanks