TARZAN 《 02 》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • ##DIRECTOR_VASCO_SHOTS
    SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 376

  • @UkhtyFatmah-he8vg
    @UkhtyFatmah-he8vg 2 месяца назад +28

    Dah yani Kijiji hichi chahitajia sana Mkombozi hakika,Dhulma zimezidi sana uonevu umezidi sn,hakika Na Iman TARZAN ndie Mkombozi wa Kijiji hiki, TARZAN movie moja nzuri sana 👌🌹💐,Pia Happy pole Mama kwa kuchapwa Kijiji chenu chaumwa sana,Luta man ebu njoo jaman watu wawe Na Uhuru wao,Gumbwa wew kua Kiongozi sahau na Tabia zako hizo mbaya unakera wew🙄.

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад +22

    Kazi safi Sana hongereni bwana ruta man next plz🎉🎉❤

  • @NestymwampambaMwampamba
    @NestymwampambaMwampamba 2 месяца назад +16

    Kumbe Hadi kimalila chutu kipo hum Asante sana jaman kwa kaz nzur mungu awabariki

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +15

    Yaan gumbwa anakuwa kama dishi jaman, simpendi, Mungu anisamehe

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 2 месяца назад +3

    I think Tarzan ndio itakuwa number 2 after mgeni WA Kijiji we love this one respect

  • @Igra254
    @Igra254 2 месяца назад +13

    Waaah kumbe wambeya ni wakujifanyà hivi pretenders

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 месяца назад +12

    Nakubali sana master movie nzuri sana ❤❤😂🎉🎉🎉😢😢😮😅😊

  • @franksoah6405
    @franksoah6405 2 месяца назад +5

    Hahahaha!duu!an happy anaamua kjinyonga kabisa!duu,Bora atruta katokea

  • @togolaniyouze7260
    @togolaniyouze7260 2 месяца назад +16

    Mbeya mojaaa hiyooo

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 месяца назад +10

    Kazi poa sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @fahmiabdy
    @fahmiabdy 2 месяца назад +20

    Kama unaangalia muda huu Tarzan gonga like hapa

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf 2 месяца назад +9

    Saf sana ruta man fanya kazi unakitu utafika mbali❤❤❤❤

  • @MauaKondo
    @MauaKondo 2 месяца назад +4

    Sasa hv mganga baisa umefanya vzr saana kuondoa sauti ya nwakatobe na kuongea sauti yako ya kwenye mgeni wa kijiji big up saana❤❤❤

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 2 месяца назад +3

    Waoo TARZAN imepangwa ikapangika🎉

  • @eddaludovick5481
    @eddaludovick5481 2 месяца назад +2

    Dah! Actually
    Ruta man Boncena ur good
    Mko na juhud sana vzur jaman

  • @ambrose-exclusive-hunterst353
    @ambrose-exclusive-hunterst353 2 месяца назад +2

    Me inanifraisha to salamu ya mwagonaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @GoodluckIrasubiza
    @GoodluckIrasubiza 2 месяца назад +2

    Namupenda Happy sana kwa ukarimu wake. Ninapo muona Naona Yuko serieus sana

  • @Khavanny
    @Khavanny 2 месяца назад +7

    Aàaaah ukiteseka kwny mapenzi Kwa mda mrefu alafu ukapata chance AAA wee ni kuitumia tu ndo maana gumbwa saiv humu tu🏃🏃🏃

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 2 месяца назад +1

      Wewe yaonekana mbakaji

    • @Khavanny
      @Khavanny 2 месяца назад

      @@saumbliz8983 maybe 🤔

  • @sadatteloway
    @sadatteloway 2 месяца назад +31

    Acha nitizam mwanz mwisho afu nitoe maoni yng,,
    Ambae anakubal wazo langu anipe 🌹🌹💐💐 yang

  • @youngbonie2176
    @youngbonie2176 2 месяца назад +3

    Lutah man,,Keep up for what you're doing,,great job and congratulations 🎊 👏

  • @farajapatison9129
    @farajapatison9129 2 месяца назад +9

    Movie nzuri Ndio mtuoneshe kamasi sasa

  • @charydnasey9678
    @charydnasey9678 2 месяца назад +1

    Mwakinego amelia kwa uchungu sana, wapi like zake jamani ❤❤kwa mwanaume kulia kama hivo si rahisi,your are a good actor in this series❤❤am from kenya 🇰🇪

  • @EsterDeus-li3nf
    @EsterDeus-li3nf 2 месяца назад +4

    Ni move nzuri sana

  • @Awoshy
    @Awoshy 2 месяца назад +2

    Nginjanginja😂😂😂ila mganga.....asante Baisa umefanyia kazi ushauri 👏👏👏👏😍

  • @amosbarasa3516
    @amosbarasa3516 2 месяца назад +6

    Jameni Jidihadi Mutoe Kila siku please, Kanzuri Watu wangu, from 🇰🇪 bro One love

  • @JULIETHGORWA
    @JULIETHGORWA 2 месяца назад +3

    Acheni kuwaonea jamani happy na mwakinego hawana kosa hata kidogo Ila Mungu atawalipa nyiye mliowapiga

  • @Tumwaminifute123
    @Tumwaminifute123 2 месяца назад +52

    Sijawah PATA like Kwa watu wa Lutha naombeni bas 🙏

  • @IssaMkali-k6y
    @IssaMkali-k6y 2 месяца назад +1

    Hii move nimeipenda sana haki mnajua sana 🙏❤🎉🎉

  • @farajapatison9129
    @farajapatison9129 2 месяца назад +11

    Nipeni like za mtu wa mwisho jamani

  • @AplA-x9b
    @AplA-x9b 2 месяца назад +1

    Aliejua wa kwanza kipaji cha kipepeo Mungu ambariki sana huyu Dada yuanibamba sana anavyoongea 😂😂😂😂 m
    Much love from 🇰🇪 Kenya

  • @djhollystar
    @djhollystar 2 месяца назад +4

    Nakukubali sana man ❤️❤️

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 2 месяца назад +5

    Wewe mwakinego huyo unaemwambia siri za mkeo tayari ameshatowa siri zote

  • @benskyonelion817
    @benskyonelion817 2 месяца назад +2

    This now is what we call creative Big ups bro from KENYA ONE 🇰🇪 kiss my comment tukisonga

  • @Waminala-id6kr
    @Waminala-id6kr 2 месяца назад +2

    Napenda sana move zako man unaweza man bigup man❤

  • @BarasaFilex
    @BarasaFilex 2 месяца назад +2

    Movie safi sana naipenda sana movie nzuri

  • @DavidMsokwa-ex5dw
    @DavidMsokwa-ex5dw 2 месяца назад +4

    🎉hakika Masha hayo yapo

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +4

    Inaonekana n bonge la movie

  • @MwemedyAstro
    @MwemedyAstro 2 месяца назад +5

    Gumba ame yakanyaga😂

  • @sadatteloway
    @sadatteloway 2 месяца назад +4

    Waooow nimekuw wa pili

  • @Asake-wa-tandale.
    @Asake-wa-tandale. 2 месяца назад +5

    Bonge la aidia

  • @KidalosMafumbula
    @KidalosMafumbula 2 месяца назад +2

    Luta man anajuwa sana

  • @Kabuyeone
    @Kabuyeone 2 месяца назад +1

    Mwamba unaweza nakubal man Mungu azidi kukuinua tupo bega kwa bega na wewe

  • @alfredomakala
    @alfredomakala 2 месяца назад +2

    Ungemalizia unyago kwanza alafu ukahaza na hiii kwasababu hii iko ule mfumo wa unyago from mozambique

  • @ImmaKerenge-iz2yb
    @ImmaKerenge-iz2yb 2 месяца назад +2

    Mkemia apa from Tanga Tanzania kazi nzur kaka luta tuko pamoja mwanzo mwisho

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt 2 месяца назад +2

    Hongereni mnaweza

  • @mungwetv945
    @mungwetv945 2 месяца назад +1

    Wanaitaji mkombozi aisee mtoto wa chief ni mzee wa midabangulo

  • @Kasimuhakimukasim
    @Kasimuhakimukasim 2 месяца назад +4

    Nakubali sana

  • @JumanneMchona
    @JumanneMchona 6 дней назад

    Tarzan 🔥🔥🔥 tupo pamoja mwanzo mwisho🙌🙌

  • @ElishaSaidi-nu5xt
    @ElishaSaidi-nu5xt 2 месяца назад +1

    Move nzur sanaa

  • @TegemtataChambanenje
    @TegemtataChambanenje Месяц назад

    Salute sana man nakubali sana man let vitu luta man

  • @SekidjaMjukuu
    @SekidjaMjukuu 2 месяца назад +1

    kazi nzuri rta Mani ❤

  • @MatiasiBonfas
    @MatiasiBonfas 2 месяца назад +1

    Kuna Mwamba Kasimamisha Kabsa Daha 😂😂😂😂

  • @saidially5892
    @saidially5892 2 месяца назад +3

    Quality ya camera mmmmwaaaaah😂😂😂

  • @IssaMkali-k6y
    @IssaMkali-k6y 2 месяца назад +1

    Sasa ulitaka kujiua unakimbia nini wewe dada😊😅😂😂😂

  • @RaphaelKandege-l4h
    @RaphaelKandege-l4h 2 месяца назад +1

    Vzr nimeielewa hii tazan

  • @NabiiYakobo
    @NabiiYakobo 2 месяца назад +1

    Jamani Haka ka wimbo kanzuri kinoma ni hatari😅😅😅

  • @StevenFrancisi
    @StevenFrancisi 2 месяца назад +1

    Chentu chentuche chentuche chentuche ivi izo like mnazoomba zinawangizia pesa au

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 2 месяца назад +2

    Courage ❤❤❤❤❤❤

  • @MrFerdinandManirambona
    @MrFerdinandManirambona 2 месяца назад +1

    Kipepeo namkubali San
    Ana umbea sana

  • @ayoubucharles4149
    @ayoubucharles4149 2 месяца назад +1

    Ukatirii huuuu😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @سلمى-ج8ن
    @سلمى-ج8ن 2 месяца назад +1

    ❤❤nawapenda
    Wace❤

  • @MwemedyAstro
    @MwemedyAstro 2 месяца назад +4

    Mwakinego ame yatimba

  • @BARICKANDREA
    @BARICKANDREA 2 месяца назад +1

    Happy anakitovu kizuri

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 2 месяца назад +105

    Kama una mpenda Ruta man Weka Like 900 Please

  • @ImaniIbrahim-rt2js
    @ImaniIbrahim-rt2js 2 месяца назад +1

    Boncena umeupiga mwingi mwanangu dua n3n3 ❤❤❤❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 2 месяца назад

    Mwakinego jamani makamasi😂😂😂,,mima hajaacha ile tabia nampenda lakini half safna,,hehee kamkuta ruta wuee ndo show kuanza sasa

  • @marwagabrielmwita4947
    @marwagabrielmwita4947 2 месяца назад

    Series well received...a serious one interesting and international ❤❤brother keep pushing you are among the best

  • @Shakila-pq2gv
    @Shakila-pq2gv 2 месяца назад

    Khaaaa nimecheka jamn wee kaka ukaona uirudishie na mkono😂😂😂

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 2 месяца назад +8

    Jmn punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii

    • @rasharashacomedy3733
      @rasharashacomedy3733 2 месяца назад +1

      @@FrankLuhaha-dt5sh kijijini ndo maisha alisi ya waafrika

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 15 дней назад

    Mnaweka sana mziki mda mrefu

  • @FettyMeshaki
    @FettyMeshaki 2 месяца назад

    Kaz nzur sana tuleteen basno3

  • @IsmailHeneriko
    @IsmailHeneriko 2 месяца назад +6

    Kam unamuamin mwamba Ruta man anajua weka like hapa

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 2 месяца назад +1

    Ungecheza na wale ximba,chui,tembo n.k binafx ningefurah xana😂😂😂😂

    • @Shakila-pq2gv
      @Shakila-pq2gv 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂fala kweli nimecheka alooo

  • @xhdh3610
    @xhdh3610 Месяц назад

    Ruta hongera san 🎉🎉🎉❤

  • @NeliusPeter
    @NeliusPeter Месяц назад

    Mbona Tarzan sehemu ya 8 inachelewa😢😢😢

  • @AidanRobin20
    @AidanRobin20 2 месяца назад +2

    Gonga like wanao mkubal mwana wa mfalme gumbwa

  • @adamumdiga5550
    @adamumdiga5550 2 месяца назад

    Mganga anasema hii inayofuata tutapoteana.... daaah😂😂😂

  • @NeemaLameck-c6q
    @NeemaLameck-c6q 2 месяца назад

    😂😂😂 mganga anapiga amapiano jamon like Kwa ❤❤ Kuta man na time yake

  • @ZuberyAlly-cb5yj
    @ZuberyAlly-cb5yj 2 месяца назад

    Mtu anataka kujiua anatokea mtu anamstua anaacha kujiua anakimbia😂😂😂😂

  • @BrytonTimothy
    @BrytonTimothy 2 месяца назад

    Good series is best 👍

  • @simonmutie9125
    @simonmutie9125 2 месяца назад

    Lakini this girl by the name happy she is very beautiful i wish i wanna meet her in person 💕 from Kenya

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 2 месяца назад

    Tunaomba utengeneze season za kutosha movie kali sana hii

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 месяца назад +2

    Movi nzuri

  • @AhmedOkala
    @AhmedOkala 2 месяца назад +1

    Sema hapa wamefeli

  • @ChidNondo
    @ChidNondo 2 месяца назад +2

    Wakawanza

  • @AYUBURASHIDI-vr8pk
    @AYUBURASHIDI-vr8pk 2 месяца назад

    Daah tanzan kashapata dem mapema hivi 😂😂, bongo sihami👐🙌

  • @RukaiyaMudita
    @RukaiyaMudita Месяц назад

    Kazi nzuri❤

  • @DaniBoeeTz
    @DaniBoeeTz 2 месяца назад

    Unajua sana kaka

  • @IbraahMsodoki-j8i
    @IbraahMsodoki-j8i 2 месяца назад

    ❤❤ good Tarzan

  • @DariusKasitu
    @DariusKasitu 2 месяца назад

    Gumbwa kubaka tu kutongoza aaaaha😅😂

  • @langpoison
    @langpoison 2 месяца назад +1

    👏👏💥💥💥Naombeni basi Like na mm
    🐸

  • @marwagabrielmwita4947
    @marwagabrielmwita4947 2 месяца назад

    Nani anaezaelea wakenya maana ya Tarzan 😂😂😂😂

  • @AllyMkola-u7e
    @AllyMkola-u7e 2 месяца назад

    Tarzani uyu kanyoa pank hii inamaanisha anaendaga saloon. Mwamba stori nzuri basi jitahidi kuendana na uhalisia wa mtu kuishi porini.

  • @VolonteKamala
    @VolonteKamala 2 месяца назад +1

    Mbona hiii muvi nikama unyago

  • @Igra254
    @Igra254 2 месяца назад +2

    Kumbe wenye nguvu wanatamani kila msichana rutaman umenifunza mengi

  • @EliudiMacko
    @EliudiMacko 2 месяца назад

    nakukubali mwana

  • @dommyeliasy
    @dommyeliasy 2 месяца назад

    Munatuboa bana kutucheleweshea move yetu

  • @MtotoMzuri-di6kv
    @MtotoMzuri-di6kv 2 месяца назад +1

    Nice❤

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 2 месяца назад

    Mwakineg mm Niko tayar kuwa mkee wa tatu😂😂😂😂😅

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 2 месяца назад +1

    Gumbwa i hate you kwa hii movie ulaaniwe kwa hii movie,wewe ni mnyama yaani ufanye dhambi alafu udanganye watu😢😢😢