TARZAN 《 02 》
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- ##DIRECTOR_VASCO_SHOTS
SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Dah yani Kijiji hichi chahitajia sana Mkombozi hakika,Dhulma zimezidi sana uonevu umezidi sn,hakika Na Iman TARZAN ndie Mkombozi wa Kijiji hiki, TARZAN movie moja nzuri sana 👌🌹💐,Pia Happy pole Mama kwa kuchapwa Kijiji chenu chaumwa sana,Luta man ebu njoo jaman watu wawe Na Uhuru wao,Gumbwa wew kua Kiongozi sahau na Tabia zako hizo mbaya unakera wew🙄.
Kazi safi Sana hongereni bwana ruta man next plz🎉🎉❤
Kumbe Hadi kimalila chutu kipo hum Asante sana jaman kwa kaz nzur mungu awabariki
Yaan gumbwa anakuwa kama dishi jaman, simpendi, Mungu anisamehe
I think Tarzan ndio itakuwa number 2 after mgeni WA Kijiji we love this one respect
Waaah kumbe wambeya ni wakujifanyà hivi pretenders
Nakubali sana master movie nzuri sana ❤❤😂🎉🎉🎉😢😢😮😅😊
Hahahaha!duu!an happy anaamua kjinyonga kabisa!duu,Bora atruta katokea
Mbeya mojaaa hiyooo
Isangati
Kazi poa sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kama unaangalia muda huu Tarzan gonga like hapa
Saf sana ruta man fanya kazi unakitu utafika mbali❤❤❤❤
Sasa hv mganga baisa umefanya vzr saana kuondoa sauti ya nwakatobe na kuongea sauti yako ya kwenye mgeni wa kijiji big up saana❤❤❤
Waoo TARZAN imepangwa ikapangika🎉
Dah! Actually
Ruta man Boncena ur good
Mko na juhud sana vzur jaman
Me inanifraisha to salamu ya mwagonaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Namupenda Happy sana kwa ukarimu wake. Ninapo muona Naona Yuko serieus sana
Aàaaah ukiteseka kwny mapenzi Kwa mda mrefu alafu ukapata chance AAA wee ni kuitumia tu ndo maana gumbwa saiv humu tu🏃🏃🏃
Wewe yaonekana mbakaji
@@saumbliz8983 maybe 🤔
Acha nitizam mwanz mwisho afu nitoe maoni yng,,
Ambae anakubal wazo langu anipe 🌹🌹💐💐 yang
Lutah man,,Keep up for what you're doing,,great job and congratulations 🎊 👏
Movie nzuri Ndio mtuoneshe kamasi sasa
😂😂😂
Vp
😂😂😂😂
Mwakinego amelia kwa uchungu sana, wapi like zake jamani ❤❤kwa mwanaume kulia kama hivo si rahisi,your are a good actor in this series❤❤am from kenya 🇰🇪
Ni move nzuri sana
Nginjanginja😂😂😂ila mganga.....asante Baisa umefanyia kazi ushauri 👏👏👏👏😍
Jameni Jidihadi Mutoe Kila siku please, Kanzuri Watu wangu, from 🇰🇪 bro One love
Acheni kuwaonea jamani happy na mwakinego hawana kosa hata kidogo Ila Mungu atawalipa nyiye mliowapiga
Sijawah PATA like Kwa watu wa Lutha naombeni bas 🙏
Naomb nambari yako ya simu
Hii move nimeipenda sana haki mnajua sana 🙏❤🎉🎉
Nipeni like za mtu wa mwisho jamani
@@farajapatison9129 vp
Aliejua wa kwanza kipaji cha kipepeo Mungu ambariki sana huyu Dada yuanibamba sana anavyoongea 😂😂😂😂 m
Much love from 🇰🇪 Kenya
Nakukubali sana man ❤️❤️
Wewe mwakinego huyo unaemwambia siri za mkeo tayari ameshatowa siri zote
This now is what we call creative Big ups bro from KENYA ONE 🇰🇪 kiss my comment tukisonga
Napenda sana move zako man unaweza man bigup man❤
Movie safi sana naipenda sana movie nzuri
🎉hakika Masha hayo yapo
Inaonekana n bonge la movie
Gumba ame yakanyaga😂
Waooow nimekuw wa pili
Bonge la aidia
Luta man anajuwa sana
Mwamba unaweza nakubal man Mungu azidi kukuinua tupo bega kwa bega na wewe
Ungemalizia unyago kwanza alafu ukahaza na hiii kwasababu hii iko ule mfumo wa unyago from mozambique
Mkemia apa from Tanga Tanzania kazi nzur kaka luta tuko pamoja mwanzo mwisho
Hongereni mnaweza
Wanaitaji mkombozi aisee mtoto wa chief ni mzee wa midabangulo
Nakubali sana
Tarzan 🔥🔥🔥 tupo pamoja mwanzo mwisho🙌🙌
Move nzur sanaa
Salute sana man nakubali sana man let vitu luta man
kazi nzuri rta Mani ❤
Kuna Mwamba Kasimamisha Kabsa Daha 😂😂😂😂
Quality ya camera mmmmwaaaaah😂😂😂
Camera hamna kitu
Sasa ulitaka kujiua unakimbia nini wewe dada😊😅😂😂😂
Vzr nimeielewa hii tazan
Jamani Haka ka wimbo kanzuri kinoma ni hatari😅😅😅
Chentu chentuche chentuche chentuche ivi izo like mnazoomba zinawangizia pesa au
Courage ❤❤❤❤❤❤
Kipepeo namkubali San
Ana umbea sana
Ukatirii huuuu😢😢😢😢😢😢😢😢
❤❤nawapenda
Wace❤
Mwakinego ame yatimba
Happy anakitovu kizuri
Kama una mpenda Ruta man Weka Like 900 Please
900 mbn nyingi sana
😂😂😂@@JamaliNdwata
Ukifikishntakupa na elaa ya sodaaa
@MasokaSakina like 900
Mpongoze kwa kazi nzuri likes hazikupi kitu
Boncena umeupiga mwingi mwanangu dua n3n3 ❤❤❤❤
Mwakinego jamani makamasi😂😂😂,,mima hajaacha ile tabia nampenda lakini half safna,,hehee kamkuta ruta wuee ndo show kuanza sasa
Series well received...a serious one interesting and international ❤❤brother keep pushing you are among the best
Khaaaa nimecheka jamn wee kaka ukaona uirudishie na mkono😂😂😂
Jmn punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii
@@FrankLuhaha-dt5sh kijijini ndo maisha alisi ya waafrika
Mnaweka sana mziki mda mrefu
Kaz nzur sana tuleteen basno3
Kam unamuamin mwamba Ruta man anajua weka like hapa
Ungecheza na wale ximba,chui,tembo n.k binafx ningefurah xana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂fala kweli nimecheka alooo
Ruta hongera san 🎉🎉🎉❤
Mbona Tarzan sehemu ya 8 inachelewa😢😢😢
Gonga like wanao mkubal mwana wa mfalme gumbwa
Mganga anasema hii inayofuata tutapoteana.... daaah😂😂😂
😂😂😂 mganga anapiga amapiano jamon like Kwa ❤❤ Kuta man na time yake
Mtu anataka kujiua anatokea mtu anamstua anaacha kujiua anakimbia😂😂😂😂
Good series is best 👍
Lakini this girl by the name happy she is very beautiful i wish i wanna meet her in person 💕 from Kenya
Tunaomba utengeneze season za kutosha movie kali sana hii
Movi nzuri
Sema hapa wamefeli
Wakawanza
Daah tanzan kashapata dem mapema hivi 😂😂, bongo sihami👐🙌
Kazi nzuri❤
Unajua sana kaka
❤❤ good Tarzan
Gumbwa kubaka tu kutongoza aaaaha😅😂
👏👏💥💥💥Naombeni basi Like na mm
🐸
Nani anaezaelea wakenya maana ya Tarzan 😂😂😂😂
Tarzani uyu kanyoa pank hii inamaanisha anaendaga saloon. Mwamba stori nzuri basi jitahidi kuendana na uhalisia wa mtu kuishi porini.
Mbona hiii muvi nikama unyago
Kumbe wenye nguvu wanatamani kila msichana rutaman umenifunza mengi
nakukubali mwana
Munatuboa bana kutucheleweshea move yetu
Nice❤
Mwakineg mm Niko tayar kuwa mkee wa tatu😂😂😂😂😅
Gumbwa i hate you kwa hii movie ulaaniwe kwa hii movie,wewe ni mnyama yaani ufanye dhambi alafu udanganye watu😢😢😢