DIAMOND Aguswa Na Injili Ya ROSE MUHANDO, Nilikuwa Muislamu, Ipo Siku Yesu Alienitokea Atakutokea..
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
From Kenya gonga like kwa huyo mama
Hapo huyo dogo wa kigoma hamna rangi hamtaona anawachora tu hiyo ya Nairobi ni sampo mnamdhihaki Mungu wetu na ni ustaa wa kumpa shetani nafssi
Safi sana
Hongera mama
Rose is soo powerful full of holy spirit
when she talks devils runs she shakes the kingdom of hell
Glory to God
Huyu😂 ni msanii kama wasanii wengine Amna chadini Wala nini
Rose kweli anaongea kweli hata kuliko mwanamke mwingine ...wueh she is powerful
Mungu akubaliki Mama
Nasikia Furaha sana kuwa na Muimba injili bora Tanzania kama Rose Muhando, Ubarikiwe Mama
Nampenda mtumishi wa Mungu Rose Muhando,malkia.Kenya tunakupenda
Roho mtakatifu yupo ndani ya Rose muhando Asante Kwa injili hii kubwa
Yeah! huyu ni mwinjilist.. ni swala la muda🙏🏻
Avae mavazi ya utukufu
Rose muhando nakupenda sana 🇰🇪
Wooow this lady is blessed aky,
Barikiwe sana dada rose kwa ijijli nzuri sana mungu wa mbinguni akulinde milele
Haleluya urimuona uyomungu kbx na tusishangaye kuona diamond ameokoka juyamamboyote kunanguvu Zamungu njosimesababisha anakuja kwamukutano uyo
Aki rose wagusa roho yangu sana God bless you sister
Wewe ni wa maana sana Mama na Mungu akutendee unapomtumikia.....napokea izo baraka namimi
Rose anaimba mbaya, Mungu akubariki,Amina
Yaani rose nimupli kweli anasimama kama mwanamke mwenye jasiri❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rose Muhando is beyond the radiation of thoughts, may God Bless her new year 2024.
Usimjaribu bwa na mungu Aliyeziumba roho na mwili wako na utukuzwe baba wa mbiguni kwakijana huyu aliye wakumbuka watumishi wako amina
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Rose Muhando nabarikiwa na huduma yako, pia naomba ushauri wako ktk huduma yangu ya uimbaji dada
Glory be to almighty God 🙏🙏🙏🙏, wow my mentor MUM ROSE, mungu na azidi kukuinua🙏🙏🙏🙏🔥🔥
Amen ushuhuda huo uko powerful sana❤❤❤
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu alie hai
Amina. I receive this powerful of holy spirit ndani ya Malikia ikuje na kwangu 🙏🙏
Nampenda huyumama zaidi kwawimbo SITANYAMAZA
Amen dada Rose Mungu akubariki
Mie huyu dada nampenda Yuko unic Sana yaan Yuko halisi haigi uzungu mwingi
Mungu akubari sana nabariliwa na huduma yako mungu azidishe neema juu yako
God above all mama yetu we love you as Kenyans injili isonhe mbele amen
Mama rose good bless you much love from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 keep shining ma'am
Yaaani nkiskia rose akiongea naskia kupenda mungu zaidi
Dada yetu mama yetu misse you roza marikiya mama mungu akuongezeye maisha marefu Mami nakutakiya maisha marefu urindwe unatubarikisana mama
Huyu ni motivation speaker
Ubarikiwe wajina Mungu ameweka kitu cha tofauti
Mungu azidi kukuinua from 254
Watu wamung muw macho sana.bwana Yesu Kristo yukaribu kurudi
Nampenda Rose sana, nyimbo zake huwa za kumgusa mtu moyo, ata uwapo majaribuni unaposikiza nyimbo zake unafarijika
Jmn naomben mnisaidie kumwambia huyu dada nampenda nataman nimuone live
Ubarikiwe San mama angu
Eeh yesu kristo mungu tusaidie tupemacho tuyaone mengi utuokoe usitutie katika vishawishi
Mungu akubariki saaaaaana mtumishi wa Mungu dada Rose Mhqndo kwa ushuhuda na Neno la Mungu. Nimebarkiwa saaaaaana kukusikilisa wewe ni Jeshi kubwa la Bwana Yesu. Be blessed ❤❤🙏🙏🙏🇳🇴🇳🇴❤🤗
Amina sanaa
Ubarikiwe sana dada yangu rose mhando
Mtasikia Diamond ameokoka!!!hamtaamini
Ubarikiwe sana mama umesema kueri kabisa mungu amubariki sanaaaaasamia ❤❤❤
ROSE MHANDO,NAKUPIA BIG UP.UMEFANYA JAMBO ZURI
Dada Rose nimeipenda hiyo
God bless you my mama Rose
Barikiwa mtumishi rose
Superstar🎉 tunakupenda sana hapa Kenya+254
Nakupenda sana rozi miando mungu azidikukupa kibali ameni🙏
Asante rose Kwa kuamin kwamba mungu n mueza
Mungu akusaidie ❤
Rase ubalikiwe na mungu aendele kukusimamia
Go higher and higher mammie 🙏
Weeeh vile nasikia Sina maoni lakini rose anaweza Fanya mtu kuregreat dhambi zenye umefanya😢😢😢Mimi hapa pressure is getting worse🙆
Blood of Jesus cleans all
Amina dadaang unanipaga moyo wakutokukata tamaa napata nguvu mno
Mungu akubariki mama rosa ❤❤❤❤❤❤
Njia ipi
Haleluya wapedwa wa yesu mubarikiwe
Mungu azidi kukuinua!
🎉🎉🎉🎉hongera sàña mamà Kenya túkó pamoja nawe
Nakupenda da rose
Rose is my favorite ♥️♥️
MUNGU AKUTUNZE DADA ROOZ
Hii injili ya rose ni sawa, yule mungu aliyemtokea saa tisa ya usiku amtokee diamond pia
Love you mama ndio vita yako umetutetea. Sanaaa
Rose ubarikiwe zaidi🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Amina
Rozi unaweza kuhubiri
Subhaallah Allah msiba Huu
Msiba kidogo
@@fatumamnyenze9696 umeona eee 👌
H an ahaha
@@ezekieljackline3903 habari Ndo hiyooooooooo 📢📢
Barikiwa kwa imani kwa
Mungu wako
❤❤
Yani Rose anaongea mpaka unatamani imani aliyo nayo ihamie kwako..
Haki my dear ❤❤yuko na Neema kubwa 😢
Kweli kabisa. Too powerful 🙏♥️
Kweli kabisaa
Kweli kabisa mpwendwa
Kabisa kabisa
Aisee dada roz napnda vile un aongea yan nkikuskilz ak nahis uwepo wa mung naon roh mtakatf yup mahal nnapokusikilza yan cjui ukipat nafs yakuhubir aiseee shetan atakaa mbal san mung akubark san sanaaa
Glory to be to GOD amen
Rose muhando umefufuka MUNGU akubariki
waouh🎉
ALLAH awaonyoshe njia ya kweli
Ipi hiyo?
Haha gani sasa
Rose mungu akumbariki humeambia shosho hukweli
Amen
Ushuhuda mkubwa sana! Ujasiri wa huyu mama hunibamba sana! Lakini sasa najua Shusho anasikia wivu na waru Kwa Koo!
Hallelujah
Hubiri mama Rose najua umeshawishiwa tu kuwepo hapo na wajanja wa mjini kuficha aibu ya watu
Rose muhando it's God used you diamond atamrudia mungu by the blood of jesus
Santé diamond juwa haubaguwe dini
Hallelujah 🙌 🔥 🔥 🔥
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Maishaa hayoo. NCAA. Hiyo. Vyovyote. Utakavyoongea. Sawa. Kwa kuwa shenanigans ana nguvuu sanaa
Uishi maisha marefu dada Rose shuhuda zako zinagusa moyo wangu
MUNGU azidi kukupigania Na akuinue mpaka viwango vya juu. MUNGU akutete Na akutimizie haja ya moyo wako.
Àmiñà 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
sir pleasure
1 day ago
mathayo12:34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya?
Rudi msalabani
Don't judge
Swali langu je kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
❤❤❤❤❤❤😍💕❤️🔥
Uongooo 🤸
Ndotoni au???
Mungu akiwa upande wetu nani aliye juu yetu?
Diamond twakusubiri kwa injili
Diamond aokoke aone mwangaza
Nuru na giza wapi Diamond alivyo makaya
Wapi nawapi nuru naziza viwe pamoja? siku ya mwisho kila kitu kitakuwa wazi eeee Mungu tusaidiye
Maneno yako yanamtukuza MUNGU lkn vazi lako halimheshimishi mgongo wazi he? Site aliyesema wanawake wavae mavazi ya kusitiri?
Mnatakaga watu wavae magunia ama? All of what she said wewe umetoka TU manguo mgongo? Basi mungu haangalii nguo
Angalau umehubiri injili
HAIKA MKEKUOKO HAIKA SANA MSHIKI RUWA NAKURINGE
Kichaga kigumu😂
Mimi naona diamond ataokoka tu