DIAMOND Aguswa Na Injili Ya ROSE MUHANDO, Nilikuwa Muislamu, Ipo Siku Yesu Alienitokea Atakutokea..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.

Комментарии • 161

  • @PaulKala-md6ur
    @PaulKala-md6ur Год назад +50

    From Kenya gonga like kwa huyo mama

    • @IsmailLoi
      @IsmailLoi 6 месяцев назад

      Hapo huyo dogo wa kigoma hamna rangi hamtaona anawachora tu hiyo ya Nairobi ni sampo mnamdhihaki Mungu wetu na ni ustaa wa kumpa shetani nafssi

    • @TunaelMhema
      @TunaelMhema 5 месяцев назад

      Safi sana

    • @TunaelMhema
      @TunaelMhema 5 месяцев назад

      Hongera mama

  • @mamaal6949
    @mamaal6949 Год назад +18

    Rose is soo powerful full of holy spirit
    when she talks devils runs she shakes the kingdom of hell
    Glory to God

    • @isihakambalawa
      @isihakambalawa 4 месяца назад

      Huyu😂 ni msanii kama wasanii wengine Amna chadini Wala nini

  • @gilbertrono7921
    @gilbertrono7921 Год назад +13

    Rose kweli anaongea kweli hata kuliko mwanamke mwingine ...wueh she is powerful

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Год назад +4

    Nasikia Furaha sana kuwa na Muimba injili bora Tanzania kama Rose Muhando, Ubarikiwe Mama

  • @mauriceabuyeka2298
    @mauriceabuyeka2298 Год назад +6

    Nampenda mtumishi wa Mungu Rose Muhando,malkia.Kenya tunakupenda

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Год назад +14

    Roho mtakatifu yupo ndani ya Rose muhando Asante Kwa injili hii kubwa

  • @lizahadongo1801
    @lizahadongo1801 Год назад +8

    Rose muhando nakupenda sana 🇰🇪

  • @johnlazaruz4699
    @johnlazaruz4699 Год назад +10

    Wooow this lady is blessed aky,

  • @سيدا-ص1ز
    @سيدا-ص1ز Год назад +6

    Barikiwe sana dada rose kwa ijijli nzuri sana mungu wa mbinguni akulinde milele

  • @eddyneyfhh7034
    @eddyneyfhh7034 Год назад +2

    Haleluya urimuona uyomungu kbx na tusishangaye kuona diamond ameokoka juyamamboyote kunanguvu Zamungu njosimesababisha anakuja kwamukutano uyo

  • @gracewanjiru3136
    @gracewanjiru3136 10 месяцев назад +1

    Aki rose wagusa roho yangu sana God bless you sister

  • @sylviambinya3972
    @sylviambinya3972 Год назад +2

    Wewe ni wa maana sana Mama na Mungu akutendee unapomtumikia.....napokea izo baraka namimi

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 Год назад +3

    Rose anaimba mbaya, Mungu akubariki,Amina

  • @saidakwamboka4739
    @saidakwamboka4739 Год назад +2

    Yaani rose nimupli kweli anasimama kama mwanamke mwenye jasiri❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @motonkaantony2081
    @motonkaantony2081 10 месяцев назад +1

    Rose Muhando is beyond the radiation of thoughts, may God Bless her new year 2024.

  • @thomsonstephano606
    @thomsonstephano606 Год назад +1

    Usimjaribu bwa na mungu Aliyeziumba roho na mwili wako na utukuzwe baba wa mbiguni kwakijana huyu aliye wakumbuka watumishi wako amina

  • @rhodalissu6953
    @rhodalissu6953 11 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Rose Muhando nabarikiwa na huduma yako, pia naomba ushauri wako ktk huduma yangu ya uimbaji dada

  • @emmawayua8474
    @emmawayua8474 11 месяцев назад +1

    Glory be to almighty God 🙏🙏🙏🙏, wow my mentor MUM ROSE, mungu na azidi kukuinua🙏🙏🙏🙏🔥🔥

  • @RepherBuyeshe-ee4by
    @RepherBuyeshe-ee4by Год назад +4

    Amen ushuhuda huo uko powerful sana❤❤❤

  • @DeiMwakingwe-js3cu
    @DeiMwakingwe-js3cu Год назад +2

    Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu alie hai

  • @catherinepeniel202
    @catherinepeniel202 Год назад +7

    Amina. I receive this powerful of holy spirit ndani ya Malikia ikuje na kwangu 🙏🙏

  • @bainomwanamboka
    @bainomwanamboka Год назад +2

    Nampenda huyumama zaidi kwawimbo SITANYAMAZA

  • @virginianganga2556
    @virginianganga2556 Год назад +6

    Amen dada Rose Mungu akubariki

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +2

    Mie huyu dada nampenda Yuko unic Sana yaan Yuko halisi haigi uzungu mwingi

  • @LovenessDaudi
    @LovenessDaudi 9 месяцев назад

    Mungu akubari sana nabariliwa na huduma yako mungu azidishe neema juu yako

  • @moraramaggy9506
    @moraramaggy9506 Год назад +5

    God above all mama yetu we love you as Kenyans injili isonhe mbele amen

  • @EvaluneKhalnziri
    @EvaluneKhalnziri 7 месяцев назад

    Mama rose good bless you much love from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 keep shining ma'am

  • @brianmutindaofficial8564
    @brianmutindaofficial8564 Год назад +4

    Yaaani nkiskia rose akiongea naskia kupenda mungu zaidi

  • @Nimubonaegide-hd7iw
    @Nimubonaegide-hd7iw Год назад +4

    Dada yetu mama yetu misse you roza marikiya mama mungu akuongezeye maisha marefu Mami nakutakiya maisha marefu urindwe unatubarikisana mama

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад +2

    Huyu ni motivation speaker

  • @rosemarykisuke7223
    @rosemarykisuke7223 Год назад +1

    Ubarikiwe wajina Mungu ameweka kitu cha tofauti

  • @annshelvy-ok5xs
    @annshelvy-ok5xs Год назад +1

    Mungu azidi kukuinua from 254

  • @DeniseNishimwe-zc7no
    @DeniseNishimwe-zc7no 5 месяцев назад

    Watu wamung muw macho sana.bwana Yesu Kristo yukaribu kurudi

  • @PhaustineSimiyu-zo8dc
    @PhaustineSimiyu-zo8dc Год назад +2

    Nampenda Rose sana, nyimbo zake huwa za kumgusa mtu moyo, ata uwapo majaribuni unaposikiza nyimbo zake unafarijika

  • @naghemsuya5218
    @naghemsuya5218 Год назад +2

    Jmn naomben mnisaidie kumwambia huyu dada nampenda nataman nimuone live

  • @ElipendoGunda
    @ElipendoGunda 9 месяцев назад

    Ubarikiwe San mama angu

  • @BahatiAssey-lu4sj
    @BahatiAssey-lu4sj Год назад +2

    Eeh yesu kristo mungu tusaidie tupemacho tuyaone mengi utuokoe usitutie katika vishawishi

  • @charlottesindayigaya2030
    @charlottesindayigaya2030 Год назад +4

    Mungu akubariki saaaaaana mtumishi wa Mungu dada Rose Mhqndo kwa ushuhuda na Neno la Mungu. Nimebarkiwa saaaaaana kukusikilisa wewe ni Jeshi kubwa la Bwana Yesu. Be blessed ❤❤🙏🙏🙏🇳🇴🇳🇴❤🤗

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 Год назад +3

    Ubarikiwe sana dada yangu rose mhando

  • @isayajuma5870
    @isayajuma5870 Год назад +2

    Mtasikia Diamond ameokoka!!!hamtaamini

  • @deborahfuraha9477
    @deborahfuraha9477 Год назад +1

    Ubarikiwe sana mama umesema kueri kabisa mungu amubariki sanaaaaasamia ❤❤❤

  • @desderiapaulo4465
    @desderiapaulo4465 5 месяцев назад

    ROSE MHANDO,NAKUPIA BIG UP.UMEFANYA JAMBO ZURI

  • @BeatriceMmbuji-ox4hg
    @BeatriceMmbuji-ox4hg 2 месяца назад

    Dada Rose nimeipenda hiyo

  • @YvonneAchieng-d2k
    @YvonneAchieng-d2k 11 месяцев назад

    God bless you my mama Rose

  • @braitonmwandata404
    @braitonmwandata404 Год назад +2

    Barikiwa mtumishi rose

  • @hannahkinjo4322
    @hannahkinjo4322 Год назад +1

    Superstar🎉 tunakupenda sana hapa Kenya+254

  • @EvethaKinyaiya-qv1dz
    @EvethaKinyaiya-qv1dz Год назад +1

    Nakupenda sana rozi miando mungu azidikukupa kibali ameni🙏

  • @GnessLeah
    @GnessLeah Год назад +2

    Asante rose Kwa kuamin kwamba mungu n mueza

  • @FrankMwakambonja-ej6wm
    @FrankMwakambonja-ej6wm Год назад +2

    Rase ubalikiwe na mungu aendele kukusimamia

  • @gladwellgichuki8329
    @gladwellgichuki8329 Год назад +2

    Go higher and higher mammie 🙏

  • @rennyrheina2222
    @rennyrheina2222 Год назад +3

    Weeeh vile nasikia Sina maoni lakini rose anaweza Fanya mtu kuregreat dhambi zenye umefanya😢😢😢Mimi hapa pressure is getting worse🙆

    • @AsAs-kb5xc
      @AsAs-kb5xc Год назад +1

      Blood of Jesus cleans all

  • @happinesssamwely4796
    @happinesssamwely4796 Год назад +1

    Amina dadaang unanipaga moyo wakutokukata tamaa napata nguvu mno

  • @reemaalwad3ani616
    @reemaalwad3ani616 Год назад +2

    Mungu akubariki mama rosa ❤❤❤❤❤❤

  • @deborahfuraha9477
    @deborahfuraha9477 Год назад +2

    Haleluya wapedwa wa yesu mubarikiwe

  • @salimamwasankinga
    @salimamwasankinga Год назад +2

    Mungu azidi kukuinua!

  • @marthakavemba7495
    @marthakavemba7495 Год назад +1

    🎉🎉🎉🎉hongera sàña mamà Kenya túkó pamoja nawe

  • @EliceMasanja
    @EliceMasanja 3 месяца назад

    Nakupenda da rose

  • @gladnesssanga1601
    @gladnesssanga1601 6 месяцев назад

    Rose is my favorite ♥️♥️

  • @reganringo9058
    @reganringo9058 Год назад +3

    MUNGU AKUTUNZE DADA ROOZ

  • @daviskyslate1826
    @daviskyslate1826 6 месяцев назад

    Hii injili ya rose ni sawa, yule mungu aliyemtokea saa tisa ya usiku amtokee diamond pia

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 Год назад +3

    Love you mama ndio vita yako umetutetea. Sanaaa

  • @beckyafandi6545
    @beckyafandi6545 Год назад

    Rose ubarikiwe zaidi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @annalaizer7142
    @annalaizer7142 Год назад +1

    Amina Amina

  • @vumiliamtenda39
    @vumiliamtenda39 Год назад +4

    Rozi unaweza kuhubiri

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 Год назад +4

    Subhaallah Allah msiba Huu

  • @leonardmathias9948
    @leonardmathias9948 Год назад +3

    Barikiwa kwa imani kwa
    Mungu wako

  • @BilhaSidi
    @BilhaSidi Год назад +1

    ❤❤

  • @RachelLeonard
    @RachelLeonard Год назад +46

    Yani Rose anaongea mpaka unatamani imani aliyo nayo ihamie kwako..

  • @hamisjuma9632
    @hamisjuma9632 8 месяцев назад +1

    Aisee dada roz napnda vile un aongea yan nkikuskilz ak nahis uwepo wa mung naon roh mtakatf yup mahal nnapokusikilza yan cjui ukipat nafs yakuhubir aiseee shetan atakaa mbal san mung akubark san sanaaa

  • @nsanzeemmanuelobi8131
    @nsanzeemmanuelobi8131 Год назад +1

    Glory to be to GOD amen

  • @bainomwanamboka
    @bainomwanamboka Год назад +2

    Rose muhando umefufuka MUNGU akubariki

  • @MusoleErna
    @MusoleErna 5 месяцев назад

    waouh🎉

  • @hassanjattani8466
    @hassanjattani8466 Год назад +2

    ALLAH awaonyoshe njia ya kweli

  • @stellamutegi9036
    @stellamutegi9036 8 месяцев назад

    Rose mungu akumbariki humeambia shosho hukweli

  • @LilianAchieng-bo9xo
    @LilianAchieng-bo9xo Год назад +1

    Amen

  • @Fondo0
    @Fondo0 Год назад +5

    Ushuhuda mkubwa sana! Ujasiri wa huyu mama hunibamba sana! Lakini sasa najua Shusho anasikia wivu na waru Kwa Koo!

  • @gakkeeengakkeeen7791
    @gakkeeengakkeeen7791 Год назад +1

    Hallelujah

  • @gladnesskombe1664
    @gladnesskombe1664 Год назад +3

    Hubiri mama Rose najua umeshawishiwa tu kuwepo hapo na wajanja wa mjini kuficha aibu ya watu

  • @AbelSM254
    @AbelSM254 Год назад +2

    Rose muhando it's God used you diamond atamrudia mungu by the blood of jesus

  • @bainomwanamboka
    @bainomwanamboka Год назад +1

    Santé diamond juwa haubaguwe dini

  • @kerubojane7606
    @kerubojane7606 Год назад +4

    Hallelujah 🙌 🔥 🔥 🔥

  • @gres1182
    @gres1182 Год назад +4

    Amen amen 🙏🙏🙏🙏

  • @RashidiWhite
    @RashidiWhite 5 месяцев назад

    Maishaa hayoo. NCAA. Hiyo. Vyovyote. Utakavyoongea. Sawa. Kwa kuwa shenanigans ana nguvuu sanaa

  • @rhodalissu6953
    @rhodalissu6953 11 месяцев назад +1

    Uishi maisha marefu dada Rose shuhuda zako zinagusa moyo wangu

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад +6

    MUNGU azidi kukupigania Na akuinue mpaka viwango vya juu. MUNGU akutete Na akutimizie haja ya moyo wako.

  • @marthakavemba7495
    @marthakavemba7495 Год назад +1

    Àmiñà 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Год назад +2

    sir pleasure
    1 day ago
    mathayo12:34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya?

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Год назад +3

    Swali langu je kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?

  • @NazaelJuma
    @NazaelJuma 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤😍💕❤️‍🔥

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад +1

    Uongooo 🤸

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Год назад +6

    Ndotoni au???

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад +3

    Mungu akiwa upande wetu nani aliye juu yetu?

  • @RepherBuyeshe-ee4by
    @RepherBuyeshe-ee4by Год назад +2

    Diamond twakusubiri kwa injili

  • @bensonmunene3997
    @bensonmunene3997 Год назад +4

    Diamond aokoke aone mwangaza

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 Год назад +2

    Nuru na giza wapi Diamond alivyo makaya

  • @kizachance7745
    @kizachance7745 Год назад +2

    Wapi nawapi nuru naziza viwe pamoja? siku ya mwisho kila kitu kitakuwa wazi eeee Mungu tusaidiye

  • @nisetameena9276
    @nisetameena9276 Год назад +1

    Maneno yako yanamtukuza MUNGU lkn vazi lako halimheshimishi mgongo wazi he? Site aliyesema wanawake wavae mavazi ya kusitiri?

    • @mercyasabe123
      @mercyasabe123 Год назад

      Mnatakaga watu wavae magunia ama? All of what she said wewe umetoka TU manguo mgongo? Basi mungu haangalii nguo

  • @WilfredRweyemamu-rp5re
    @WilfredRweyemamu-rp5re 5 месяцев назад

    Angalau umehubiri injili

  • @reganringo9058
    @reganringo9058 Год назад +4

    HAIKA MKEKUOKO HAIKA SANA MSHIKI RUWA NAKURINGE

  • @JulietMbuche
    @JulietMbuche 4 месяца назад

    Mimi naona diamond ataokoka tu