Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kwa nn usiache pombe na mambo mabaya ya kuumuudhi mungu yaani unasema upo karibu na mungu huko unavaa uchi na kunywa pombe
Nguo zake mi hoi always maparachut kwann wolper ila kweny bongo movie anavaa vizur tuu
🔥🔥❤️ wolper
Anayemjua Mungu hanywi pombe hivi ni kweli
Crabu na kusali kweli wopa
Uko sawa kabisa
I love you so much jackie❤
Nguo zako kwani zikoje... kama vile umevaa balloon 🙄🙄🙄🙄
🔥🔥🔥
Maguo yake stylish kweli lkn hapendezi kabisa
Interview za wolper hakosi kusema actually 🤣😂😂😂
Sijui aengeze sauti au apewe panadol ale akalale
iki bidi akakojoe kbsaa alale🤣🤣
Hizo fashion na joto la dar si munajitesa Sana mama kichanga🤔alafu na hizo fashion zenu zinaenda kufanana na za fally pupa😆
shingoni kàvaa nn jmn 🤣🤣🤣
Sasa hilo linguo jaman khee
Parachute mh hata Kama ni fashion
Actually ndo ngeri unayo ijua sn na you know zmekukalia kohon wolper 😂😂😂😂
Nimependa nguo yako
Zakipekeake peake😀😀
Kitambaa chote kimeshona mikono
Nguo n kubwa izooo looh madai yake n fashion
Hhhhhhh umeona ee
Actually
Hizo nguo jamani anaficha hipsi za tumbo Kama zangu Nini🤣🤣
To be honest mnamuonea
Kuna umri mwingine ukifika mtu lazima abadilishe kuongea huyu sasa anaongeaje na anakaribia miaka 40
Alkua/Anaumwa tonses na flue ndio maana anaongea ivo
Interview za wolper zinachosha
Kweli mapozi mengi akiongea
Huyu nguo zake hua zikoje
Maputo
Mbona ni nzuri tu hiyo nguo fashion mamaa
Hajuw kuvaa wallah kila siku maparachut
Ana sababu yakuva hivyo
@@uwinezajohara8362 hahaha anafcha flat screen
Kwa nn usiache pombe na mambo mabaya ya kuumuudhi mungu yaani unasema upo karibu na mungu huko unavaa uchi na kunywa pombe
Nguo zake mi hoi always maparachut kwann wolper ila kweny bongo movie anavaa vizur tuu
🔥🔥❤️ wolper
Anayemjua Mungu hanywi pombe hivi ni kweli
Crabu na kusali kweli wopa
Uko sawa kabisa
I love you so much jackie❤
Nguo zako kwani zikoje... kama vile umevaa balloon 🙄🙄🙄🙄
🔥🔥🔥
Maguo yake stylish kweli lkn hapendezi kabisa
Interview za wolper hakosi kusema actually 🤣😂😂😂
Sijui aengeze sauti au apewe panadol ale akalale
iki bidi akakojoe kbsaa alale🤣🤣
Hizo fashion na joto la dar si munajitesa Sana mama kichanga🤔alafu na hizo fashion zenu zinaenda kufanana na za fally pupa😆
shingoni kàvaa nn jmn 🤣🤣🤣
Sasa hilo linguo jaman khee
Parachute mh hata Kama ni fashion
Actually ndo ngeri unayo ijua sn na you know zmekukalia kohon wolper 😂😂😂😂
Nimependa nguo yako
Zakipekeake peake😀😀
Kitambaa chote kimeshona mikono
Nguo n kubwa izooo looh madai yake n fashion
Hhhhhhh umeona ee
Actually
Hizo nguo jamani anaficha hipsi za tumbo Kama zangu Nini🤣🤣
To be honest mnamuonea
Kuna umri mwingine ukifika mtu lazima abadilishe kuongea huyu sasa anaongeaje na anakaribia miaka 40
Alkua/Anaumwa tonses na flue ndio maana anaongea ivo
Interview za wolper zinachosha
Kweli mapozi mengi akiongea
Huyu nguo zake hua zikoje
Maputo
Mbona ni nzuri tu hiyo nguo fashion mamaa
Hajuw kuvaa wallah kila siku maparachut
Ana sababu yakuva hivyo
@@uwinezajohara8362 hahaha anafcha flat screen