Lissu afunguka ishu ya kutaka kupimwa mkojo na mengine
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa TLS Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa Habari ikiwa ni saa chache tu baada ya kuachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo 27, 2017 na kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwepo ishu ya kutaka kupimwa mkojo.
Dahh Mwita alikua hayupo hapo kimawazo alikua anajiwazia CCM tuuu
Ahahahahahaaaaaa ww ni Jasiri aki may God protect you
mungu akupe maisha marefu mh!Tindu lissu na uzid kutupa elim ipasavyo ya kutambua haki zetu
asante mpiganaji mwanasheria Lissu
Big up lisu ww ndo kidume mwenye akili hataree
Yaaan ww lisu bgp unatisha
Watu wanaosema wanaharakati wa kweli walikuwepo zaman tuu napinga.Hata zama izi tunao kina lissu.
TUNDU LISSUUUUUUU NAKUKUBAAALI MNO MNO,,,, WEWE NI JASIRI HAKI WA TAIFA,,,
Wew ni mwandishi wa habari mnafiki na nimuoga kuliko waandishi wote na ujielewi, mbna mafuriko yake huoneshi ila unaonesha kikao cha nyumbabi tu, wew pumbavu sana
asante mirrad kwa habari yako mtu wa nguvu
Hivi mtanishawishije nimpinge lisu mtasubiri sana
Yuda Eskarioti naye yuko pembeni anacheka daah!
Bravo lissu
HUYU NDIE BEST PATRIOT EVER
Yuda naye alikuwepo hapo au nafananisha?
Vizuri sana kaka Lissu
Hivi kwanini tusimpe Lisu urais jamani watanzania!!!!!
big up tundu....your the best of all!!!
Duuh!! lisu hataree eti tumefka njia ya kwenda Ikulu, nkafkria kuna mtu aliwahi kusema, kule ikulu kuna nyumba ya kutesea watu mungu wangu naenda kumalizwa huku napopelekwa haya bhn ila pole kiongozi kwa matatzo yaliokukuta.........
Mungu akupoganie
Well done lissu
Tungepata watu wenye uwezo mkubwa wa kufili kama ninyi saba..
Jibu zuri sana
Lissu when I grow up wanna have that spirit
safi sana lisau wetu front you behind we
Mungu akulinde Lissu, wewe ni shujaa, nampongeza na mke wako, mimi ningepata mume kama wewe, ningekuwa hospital, hongera Alice.
Namimi pia jasiri sn Olivia njoo kwng kumenoga sn
Lissu bhana nakuelewaga sana kamanda wanguuu mungu azid kukuongoza
Tususiwr kimataifa wakati wewe unavuta pesa huko kimya kimya
Nc
Ila hao police ni mafala 😆😆😆😆😆😆. Wanapelekesha kama ma punda na huyo anayewatuma. Lisu oyeeeeeeeeeee.
Mwita unafanya Nini hapooooo
VIVA LISU VIVA
Ipo siku tu ambayo haina jina wala saa time will tell
Mmm jamani nch tunaipeleka wapi?
sawa lisu tuko pamoja huyu raisi mambo yake sio kabisa
tu es un politicien intelligent
lissu uko vizuri
Kiukwel kbx hakuna wakusimama na lisu huondoukwel atamaakama haiwez
Kweli waitara anafanania kua msariti
Huyo jamaa mwita waitara kweli hakuwa upinzani kama walivyo kua wakifikiri A . Pandikizi la ccm B . Hakuwa na uwezo wa kushawishi C . Alifata chochote na walimnunua kwa gharama ndogo sana
Huyo jamaa uliyekuwa naye pembeni alikuwa anasikiliza kwa makini iyo shule lakini inaonekana alikuwa haelewi kitu au kujitoa ukipofu
Waitara alikua makini sana kwl kwl
kamandaaaa oyeeee nakkbl sn
bravos lissu
Hapana chezea watu wanaojua taaluma zao. Namuona Mwita Mwikabe pembeni hapo.
big up mh lissu
Mungu pamoja nasi
hapo kwakuwa no Rais wa wanasheria sembuse sisi,
kukamatwa na uchochezi eti ukapimwe mkojo inahusiana nini jamani
Angekua mwingine angetoa lisuu oyee
Polisi wa tanzania njaa Kali
Ovyoooooooooooo!huna lolote
big up lissu nkukubl xn
peoplezzzzz powerrrrr!!!!!
MUNGU atakulinda MH. Lissu tunakuombea Watanzania wote wenye Upendo na huruma. Hakika watesi wako Watakufa na kuzikwa na kuoza kabla wewe hujafa Kiongozi wetu
Namuona kwa pembeni yako yuda iskariote
tundu lisu we ni shujaa tunakuombea uendelee na moyo huohuo mpaka2020
Wewe miadi sijui ayo eti miai ayo unanjaa wwe sio bure
Namuona yuda askali yote anatamani akubusu hapo ila muda ulikua haujafika
huyu waitara anaonekana kabisa kama ni mnafiq tokea long time..
Lissu tangu uondoke kulipoa kwel huku jmn fanya urudi
Sooooo funy wallh
Ww pia huna muda mrefu fara ww
The only voice remain in Tanzania
Yuda unae hapo
😊
police wote niwasengerema
Emmanuel Nyansiro manaeno hayo
Huyu kama madini ni gesi ya mlipuko ukigusa tu umekwisha
Maisha marefu mkuu
Liwaitara linakodoa tu
tufungue kamanda
uyu mbunge wa ukonga ana sura ngumu hatari...... siwez kumpa kula mtu mwenye sura nzito kiasi iki mimi
yuda upo
Mmhhh
Mh
hah!!
We ni jembe!
HANALOLOTE
Hana lolote we unamavi?
The only voice remain in Tanzania
Angekua mwingine angetoa lisuu oyee