Jibu nzuri sana najuwa wew unaelewa vizuri uchonganishi wawatu mbali mbali sababu kabla hujawa Harmonize wa Leo ulikutana na maneno mengi ukacgonganishwa wakakuzarau so huwezi kuyasikiza maneno hayo unaelewa na umewazoea big up sana
I think harmonize ame outgrow wcb. Anafaa aondoke awe kivyake na pia awachukue wasanii chipukizi aanzishe label yake. Amefika ile place ya 'when your idols become your rivals'. As long as ako wcb atakuwa hindered kwenda to the next level.
Majina haya ni ya watu wakubwa tunatengenezwa then tunakuwa na malengo ya kwenda kujitegemea na sikuendelea kulelewa NakubaliSana unachokiwazia brother @Harmonize
Mungu atawasimamia wala msikubali kuchonganishwa pia Mungu awape masikilizano Utulivu na mapenzi yake kama zamani hongera sana kwa Interview nzuri Sanaa sanaaa tena sanaaaaa 💪
Jamaa kavaa elen maskin ya mungu dah wanadai swaga.safi sana mdogo wangu rajab inasikitisha ila kwasababu maisha hayo ndio unayoyatala be blessed vaa mbaka gauni sisi tunalik tu
Huna pesa unyanyaswe, ukiwa nazo tena unyanyaswee mzee baba ringaaaa tena huringi kabisaaa daah!! Harmo ringaaaa ndiyo maana ya pesa, unazo usiringe afu masikini afanye nini
Tunaoitazama hii interview 2021 tujuane
Tunakaangalia ka yuda
Ha🤣🤣🤣👌👌
Najua unamaanisha kaka
Hahaha yuda boy
@@youngtaiz8359 😂😂😂😂😂😂
Good harmonize 🇿🇦👍
From Mozambique 🇲🇿. Harmonze atimaye leo upo Wasafi Tv wow
Mozambique
like hapa kama unatazama 2024
Ereni za nn mzeee laana iwe nanyi wote mnaojifanya mastaaa kufanya vitu kinyume na sheria kama unaona. Ni vibaya kwa jamaa kuvaa Helen b like apa
Kama huwezi ku afford piga kimya
@@ayoayoo1222 ww shoga fala
Allaah anawaone
hawajielw sasa wanaume wavae heren nasis tuvae nini
Anaish kama star kua star muonekano bna
Nachompendea harmonize ni mnyenyevu sana ana. Jua kujishusha
Ni sahihi kabisa
Kwani ulitaka. Ajipandixhe kwalipi Ana nini Chakujipandisha
Sasa wcb ndowanafundixhwag ivyo
Kwel
Baba atabaki kuwa baba konde boy usilewe sifa umejibu point nice it
I love you harmonize jeshiiii konde genge
Leo tena nimerudii kucoment 2020 \5\5; Usailit wa harmonize kweli ulionekana
Likes za 2021 ssaru to the world eastern Africa hip hop lady am targeting Cardy B
2020 watching😂😂
Interview tuliachia akina ibrah c jeshi
😂😂😂🤦🏻♂️
Konde boy ipo vzr
Harmoniz saivi anakujavizuri mungu amjalie
Big up kajibu kwa akili sana hapa konde boy
Nani anatizama hii Leo? Like kama yesi.
ruclips.net/video/BRABDSPQcd4/видео.html
Jeshi nisha kubali unaweza unamuzidi mbona huwamini jeeeshii
Harmonize ni tofauti na platnum😍
I love you KONDE Gang...yaani ulitishia hadi bosi ..haha
saf sana harmonize yan ameongea ukweli baba uwezi kumlinganisha na mtoto big up sana ameongea ukweli diamond n level nyingne jaman
Big up yeye pia anafurahia mwanao akingara
Kondeboy ndio kusema 😍😍😍
Harmonaz nakupenda sana sana
sikuzote msani anatakiwa kujiongeza, i'm so proud kwa kuona ujasili wa konde boy, na jinsigani anavyo jituma
" I don't wanna" io kizungu joo. C mumpatie likes
ruclips.net/video/BRABDSPQcd4/видео.html
Who told you that😁
Me naamin muda wa harmonze ni huu jamn 2021
Jibu nzuri sana najuwa wew unaelewa vizuri uchonganishi wawatu mbali mbali sababu kabla hujawa Harmonize wa Leo ulikutana na maneno mengi ukacgonganishwa wakakuzarau so huwezi kuyasikiza maneno hayo unaelewa na umewazoea big up sana
Much respect harmonize
am watching this 2o22
I don't wanna be number one akati sikuhizi majukwaani utaskia...when I say Harmonize say number one😄
Kwel jeshiii
Lazima ukiwa msanii ujione wewe ndo Bora
Tujuane walio Angelia 2024
good san brother unajua kujielez
Umejibu vzr kumber
Harmonizer nimeipenda hyooo KATIBU family WCB
We mchawii harmonize
Harmonize ni namba 1 kwangu.
He is talented than dian, with time you will...
We nifarasi
Namba moja awe Harmonize kwako bora ht ungesema Ryvvan
Toboa ap he is talented than Dian with time you will
Mnfiki sna hyu
Nakubali hizi studio.
Who is here after seven months
😆😆😆😆after kusign chid na wenzake😂
Nakubali boss we nimwanaume
Anaweza hamo
If someone likes this I will come back and watch again
shukran kubwa sana kwa simba alie mpokea wcb .pia homo nakupa hongela sana kwa mziki wako mzl i love u
Kweli siyo sahii
Harmonize yupo vzur
Kijana wng😍😍❤
mungu mbele sisi nyuma....diamond lazma akubali...tizama fally kwa koffi olomide alafu utaona kama kila kitu kinawezekana
The mix killer haba
Nice good
Kwo unaona saaafiiii kushndan na boss wak alokufnya mpka leo unashndana.
Daaah kaka mnafiki huyooo
Mutotooo non n mutotooo kwababayyyy bahhhh
Mkishakua mastar Basi vingereza vyaajabu
Hamoniz kajibu poa sana
Konde nimekukubar kama umekumbuka aliye kutoa kwenye mbali nimejisikia vizur mko poa♥️♥️🤝
I think harmonize ame outgrow wcb. Anafaa aondoke awe kivyake na pia awachukue wasanii chipukizi aanzishe label yake. Amefika ile place ya 'when your idols become your rivals'. As long as ako wcb atakuwa hindered kwenda to the next level.
🦁🐘msigombanee nyie mme toka mbali
Respect to harmonize
hollaaaaa kwa Konde Booooy...love yo Melody bro
Cmmnts z 2020 lky twend saw
Umejb point San bro
Uyu mshikaji jonijo anaboa sana
Majina haya ni ya watu wakubwa tunatengenezwa then tunakuwa na malengo ya kwenda kujitegemea na sikuendelea kulelewa
NakubaliSana unachokiwazia brother @Harmonize
Saf sana
Unafanya vizuri konde boy ila level ya simba ni nyengine🔥bado sana bro hao wachonganishi wasikujaze upepo ukajiona umefika!!!
Wengi wanaoshindana na mondi kwa kutaka kujiona wao bora wanaishia kuwa under ground kabisa na kupotea mm rich mavoko kashuka kabisa
@@sospetersiame906 kweli kabisa
Aaliyah icho kingerez vepe😶😶 mbn unafoc
Conde yuko vzr
Kond 😍umejibu vizuri lakini usivae hayo mahereni tuna kukubali unaweza
Mungu atawasimamia wala msikubali kuchonganishwa pia Mungu awape masikilizano Utulivu na mapenzi yake kama zamani hongera sana kwa Interview nzuri Sanaa sanaaa tena sanaaaaa 💪
be blessed maneno ni kitu cha kawaida sana bro
Harmonize
Matured Harmonize
Yan harmonize hunakilikweryani watutulkupendea kwasabu yakunzulumiwa manyanyAso watutuka kusapoty umetubowasana mashabikiwako
Harmonize unajua kujibu maswali. Nakutambua konde boy.
Harmonize anasumbuliwa na tamaa
Kwan mara ya kwanza kaka nimekuskia ukiongea maneno ambayo Yana uzito mkubwa na funzo kwa jamii nzima keep it up broo
Baba wawili
hamonaizi is the second after diamond is the good challenge
1,11,2020 natazama 🔥🔥
Hiii nimeielewa mkuuuu...
Jamaa kavaa elen maskin ya mungu dah wanadai swaga.safi sana mdogo wangu rajab inasikitisha ila kwasababu maisha hayo ndio unayoyatala be blessed vaa mbaka gauni sisi tunalik tu
Acha ushamba wewe
@@abdulkhaleed9420 amjanja ww mtoto wakiislam jibinue tu lif goes on
Umejibu vizur
Safi Kaka kaza we unajua wasafi nzima ,,,,,wanasubili ...unajua sanaa
tunajikumbusha huu unafki wa konde saiz
Mbna you know!! You know!! Ming sema kiswahili lugha ya taifa mamaee
George Kagwebe hahahaaa
Wivu nawewe kwan amesoma unataka asiongee BA's secondary wasingweka tusome English
🤣😂😂😂😂anaka kutuonesha km ameaza Englishcouse
Wacha dharaau kutaja wasani wengine 🤨kiba anawajambisha
🤣🤣🤣🤣
If you knew how you guys inspired us to start impressing Kiswahili in Kenya, you couldn't have forced that Kizungu. Lol
konde boy sio mwalimu wa kiswahili kashidwa nyerere nyie wafuasibwa wazungu mtabaki kuws slave2, siye wabingonwe take english as joke lunguage
Harmonize wcb
Jamani tembo tunaikumbuka hii
Harmonize accent achia Khaligraph bana penda kiswahili ndo kimekuweka ulipo sasa😎😎
uwe na shukuran kumbuka uriko toka wewe mmakonde !!!ro
Harmonize 💥💥
Hiiii bhn mbona hatli sana
Ok
Yani mtihani hamo kavaa mielen mwezi wote huu 😱
Ndo ivyo
April 2021 wangapi tuko hapa
He's watching now 2020
Hapa Leo napita, nikienda kupambana na hali yangu
Hamo ako juuu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wasafi
Harmonize Ali fanya vibaya kutoko wcb
Maisha yanaenda kas sana
Hamornize
Good
Harmonize unazngua kimombo king I mjomba
Huna pesa unyanyaswe, ukiwa nazo tena unyanyaswee mzee baba ringaaaa tena huringi kabisaaa daah!! Harmo ringaaaa ndiyo maana ya pesa, unazo usiringe afu masikini afanye nini
Shbk wa kingkiba
mmmhhh hereni mtt w kiislamu mwz mtukufu wote huu
MUDI FATAKI dah unapotea kakangu Helen tena pesa mwana haram broo muogope mwenyenzi mungu