Duh!! Itakaa kizazi sana kama ndo hivo ,ni wakati wako Sasa Ally Kamwe kutamba usiiçhezee furaha hii ,iliyo na wakat TU!! Ya yeyuka yaenda upande mwingine ،👏👍 ،،،wanayanga nipen pongez zangu....
" kombe linatengenezewa heshima yake ili msimu ujao ,wachezaji wakipewa video wajue ni deni kubwa"" I love my team napenda mipango yetu aisee " Risk at starting then enjoy more in future "
Haya maisha haya bas tu mm nafkish miaka 43 cjawahi panda ndege lkn kombe Lina siti yake dah kweli hii dunia Haina usawa hapa nimelela kumekucha lkn usk ckupata usingizi rejesho laki Saba lkn hata laki 2 Sina nataman hata kufa Ila ngoja tumwachie yeye Alie tumba lkn kwa hakili zangu km nimezidiwa na maisha Sina furaha mpka mtu unatamani niwe mkenya nikandamane na niwe wa mbele waniue
@@sylvestercameo6263 koma me sio kolo,, labda we ndo dunduka,, we unafurahia maden au unaleta Usenge? Ukute unajitumisha msg humu ata kadi huna mbwa ww
Kwenye kitengo cha mawasiliano na matangazo Yanga tumefanikiwa sana. Kongole na Hongera vijana wa kazi. Daima mbele nyuma mwiko.👏👏👏👍
Ally kamwe anajua kuwakera watu, yaani na maisha yao, raha 💚💚🇹🇿🇹🇿
Kombe limekaa kwenye siti yake linakula raha ya dunia,hongera cn semaji letu kijana mdogo mwenye akili nyingi👏👏👏💛💛💚💚💚
Kama nawaona vile makolo wanakereka hongera sana semaji langu ally kamwe 💚💛💚💛
Kombe zuri sana kama la CAF tujipongeze wana Yanga 🎉🎉
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu
Hakika hili kombe ni vile haliwezi kusema tu lakini lina injoy sana kubebwa na yanga halijawah kupanda fuso tangu limekuja yanga
😁😀😂🤣🤣🤣
Daima mbele nyuma mwiko is 🎉🎉🎉
Injinia hersi hongera kwa ubunifu
Kombe nalo limekula belt kwenye city yake.hatar sana😂😂😂wana thimbaaa Mletee mdhunguuuu😢😢😢😢😢
Wape wape ally Dawa iwaingie
Yanga raha sana.
🎉🎉🎉🎉injinia hersi rais hongera 😮😮😮
Ali Kamwe ni mmoja tuuh
Daima mbele nyuma mwiko
Hengerni vijana kwa kukodi ndege kwa niaba ya Yanga.
Yanga raha jamani
Mtauwa watuu jaman
Nilidhani kombe ujalifunga mkanda kumbe umelifunga mkanda yanga damu
Hayo maumivu hatayasahau unakera kijana wetu wanyooshe
Rais wa yanga 🎉🎉🎉🎉
Duh!! Itakaa kizazi sana kama ndo hivo ,ni wakati wako Sasa Ally Kamwe kutamba usiiçhezee furaha hii ,iliyo na wakat TU!! Ya yeyuka yaenda upande mwingine ،👏👍 ،،،wanayanga nipen pongez zangu....
Inayeyuka unaiyeyusha ww
Sasa ndugu yangu c umchukue hata yule mtoto wa MUDI uzunguke nae kidogo, aone msemaji mwenzie UNAVYOSEMEA klabu Yako....ajifunze Nini maana ya MAKOMBE
Humu tuuu 🤣🤣🤣💐💐💐 makolo apo wanatamani Ata wakuloge🤣🤣
" kombe linatengenezewa heshima yake ili msimu ujao ,wachezaji wakipewa video wajue ni deni kubwa"" I love my team napenda mipango yetu aisee " Risk at starting then enjoy more in future "
Makolo mbona mnakereka sana na gharama za Yanga ,zinawahusu. Yanga hasara b.1 makolo mnadaiwa b.21 na Mo.
Una madini kichwani, ebu wape machinbo wamezidi domodomo. Hela ya Yanga inawahusu nini?
Kweli Yanga ya msimu huu kiboko 🎉🎉🎉🎉🎉
Ni hatar yanga hii
Kombe linakula bata kuliko kibu😅
Tutalogwa san
Kwani Jirani yako wanasemaje Kibegi Kilipanda Mtei Bus
😀😂😂😂🤣🤣
Jaman hata hamkumpa semaji la makolo lifti
Yaan ili kombe wamelitangaza kuliko ata kombe ka ligi
😅😅😅😅ila Kamwe au basi...😅😅😅you are unbelievable
Ila Ally we huogopi 😂😂😂😂😂
😂😂😂kanifurahisha Sana bwana ruban
Kombe lilotaka kuwatoa uhai zaka
Haya maisha haya bas tu mm nafkish miaka 43 cjawahi panda ndege lkn kombe Lina siti yake dah kweli hii dunia Haina usawa hapa nimelela kumekucha lkn usk ckupata usingizi rejesho laki Saba lkn hata laki 2 Sina nataman hata kufa Ila ngoja tumwachie yeye Alie tumba lkn kwa hakili zangu km nimezidiwa na maisha Sina furaha mpka mtu unatamani niwe mkenya nikandamane na niwe wa mbele waniue
Uwa Anakula Chakula Gan? Mkuu
Ndugu yangu mungu usi msahau sana kumuabudu. Hapa nisehem ya kupita tuu.
Tukusaidieje! Raha ni duniani! Kaburini hakuna ndege! Tulia
Muvibe anaogopa😂😂
FURAHA KUBWA KWA YANGA TUNAFURAHI SANA KWA HILI
Kombe nalo limefungwa mkanda
Yani hela zetu wanachama ndo mnazitumia vby hivi😢😢
Umetoa ngapi? CRDB wenye kutoa fedha wala siyo ijichenji wasemeje? Acha roho ya kifukara!!
Halafu mwisho wa msimu deni Billion 2😢😢😢
Kwaio unataka wew??umeombwa ulipie
Mbna nyie makolo hamfanyi chochote na hamna furaha lakini mnadaiwa had pesa za mchicha???😂😂😂😂😂😂
Mo Alishainunua Simba na makolokolo yote ukiwemo wewe! Tangu lini dunduka likajitambua? Achana na matanuzi ya Yanga pam ana na utumwa wenu!
Matumizi yake yanaonekana@mwajayhaxxan5507 kuwa makini usije ukashangaa tanapa katia udhamini wake kwa Yanga
@@sylvestercameo6263 koma me sio kolo,, labda we ndo dunduka,, we unafurahia maden au unaleta Usenge?
Ukute unajitumisha msg humu ata kadi huna mbwa ww
Grut
ally kamwe ushba mwingiii
Lakininhakuna msemaji anatumiampesa za timu km huyu jamani hizi sifa zinatumianpesa sana tu
Ingia darasani kwanza...
Ndio utajua pesa wapi zinarejeshwa kwa hilo zoezi
Alafu baadae hizo gharama zisizo na sababu ya msingi mziingize kwq Yanga , na kusema imepata hasara.
Umechangia???
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Huyo mu sijui nani muoga kinoma😂😂😂
Huuu ni uzwazwa mwisho mwa mwaka mseme mmekula hasara hiyo ni akiri au matope
Napata hisia hizi ni moja ya sababu za matumizi kuzidi bajeti
Tuachane na habari za Chama Kwa Sasa hawezi kucheza yanga licha ya playing style yake lakini umri hana kasi
We kazi kutembea na makombe tu kuna mtu mtandaoni unamriza anakupe urimuadi utaenda nae morogoro ujaenda nae anakuriria
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu
Daima mbele nyuma mwiko
haha mumekwenda serengeti na kurudi, ikirudi inakuwa tupu