RAIS JPM AMPIGA MASWALI RUBANI LIVE, AJIBU SIKUA PEKE YANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2019

Комментарии • 210

  • @samwelsimon7204
    @samwelsimon7204 4 года назад +18

    Kwa kweli katika history ya kuumbwa lea ulimwengu haitakaa atokee Rais kama Magufuli Asante Baba Mungu kwa kutupa Rais wa kipekeeeeee

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 4 года назад +35

    Jembe letu hilo
    Magu Mwenyezi mungu azidi kukulinda

  • @monkodyna682
    @monkodyna682 4 года назад +24

    Mimi Ni raiya wa Rwanda lakini nampenda sana huu rais wa Tz, ni mfanyakazi wa kweli, hongera wa Tz kwa kupewa rais kama JPM.

  • @mussasuleiman2287
    @mussasuleiman2287 4 года назад

    Hongera sana Rais Magufuli kwa kazi nzuri unayoifanya. Mungu akubariki Mungu ibariki Tanzania

  • @rajabumsonga6871
    @rajabumsonga6871 4 года назад +30

    unalidunda hili vizuri unaenda nalo mpaka mwishooo kabisaa'" ndiyo tukiwa na wenzangu tulikuwa tunapokezana,Tz safii

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 4 года назад +3

    Tumewasha moto wa uzalendo daaaa machozi yananilenga Tanzania kwanza. Bigup pilot, mh. Rais wangu nakuombea Mungu akubariki uzidi kuikomboa Tanzania yetu

  • @erigysimzosha6086
    @erigysimzosha6086 4 года назад +1

    Asante rais wetu uishi milele tunakupenda sana watanzania ukweli unachapa kazi ingekuwa vema uongoze mpaka mungu aseme inatosha maana umetutoa mavumbini unatupeleka kwenye asali na maziwa.hapa kazi tu.

  • @namugenyialima1720
    @namugenyialima1720 4 года назад +4

    As a Ugandan am speechless cheeei Tanzanians u r blessed to have a president who loves his country may Allah continue to keep him as we Olso pray to Allah to give us a president who will a change our country

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 4 года назад +58

    hadi mwili unanisisimka kwa maajabu mh rais hongera sana baba mdogo wa taifa

    • @jonaskilomba4094
      @jonaskilomba4094 4 года назад +1

      Hii ya Baba mdogo wa Taifa nimeipenda Sana

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 4 года назад

      @@jonaskilomba4094 hata mimi pia

    • @boniphacetv739
      @boniphacetv739 4 года назад

      Jonas Kilomba pamoja sana

    • @jemsichali5437
      @jemsichali5437 4 года назад

      BONIPHACE Tv haaaahaaaa bora we umesema baba mdogo wa Taifa...kunajamaa m moja mshezi alisema ni baba wa kambo wa taifa haaaaaaahaaa

    • @emmanueljohn8970
      @emmanueljohn8970 4 года назад

      Baba mkubwa ni Nyerere ☺️☺️😁🙏

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 года назад +47

    Huyu muheshimiwa rais ana ndoto nzuri na Tanzania 🇹🇿 lakini baadhi ya wa Tanzania hawaja muelewa.
    Hongera muheshimiwa Rais

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 4 года назад +2

      Mafala sana hawa watu

    • @dungarufiji2989
      @dungarufiji2989 4 года назад +4

      Wajinga wanataka kutulidusha tulipotoka utumwani wa wazungu ndio hao akina zito lisu mbowe wajinga tu

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад +3

      Kaka siyo hawajamuelewa ni vile alivyowakatia mirija yao ilikuwa inaimaliza Tz yetu hivyo hawampendi kabisaaa. Mungu wetu mwema ametutoa kwenye mikono yao ya udalimu. Asante Rais wetu kwa uzalendo na unawaacha wanaaibika

    • @dungarufiji2989
      @dungarufiji2989 4 года назад +3

      @@romanambelle6356 safi sana romana lazima tukubali ukweli wamekula sana wajinga wenye inchi tukawa tunataabika tu mpaka wengine tumepanda meli kuja ulaya kutafuta maisha saizi tunatamani sana kurudi home

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 4 года назад +3

      Wanamuelewa vizuri tu ila kibri c unajua kakaba hadi penati

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 4 года назад +20

    Magufuliiii safiii!!! Ahsante Sana, napita tu.

  • @noelmaruwa6662
    @noelmaruwa6662 4 года назад +11

    Much congratulations mr president, really i have appreciated what you have been doing for good prosperity of our economic. may God be with you in your regime, really i like work done by you.

  • @mursalseleman5730
    @mursalseleman5730 4 года назад

    Rais wa maajabu hakika ktk africa nimefanya utafti kdg kila taifa linatamani kua ña kiongozi wa kipekee kma magufuli rais mweny uthbutu anajitolea kwa moyo mmoja kuwatmikia watanzania ni neema kubwa sna kupata rais mweny moyo wa kizalendo kama unakuliana nami gonga like

  • @sebastienjuma4995
    @sebastienjuma4995 4 года назад +14

    Ipo siku watanzania wenzangu watakuelewa mh,Rais

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka6218 4 года назад +4

    ubarikiwe sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana ndugu yangu

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +1

    Tazama Ramani utaona nchi nzuriiii....Tanzania,,Tanzania,,nakupenda kwa moyo woteeee...Mungu ibariki Tanzania..

  • @efremmazingo7312
    @efremmazingo7312 4 года назад +4

    hongera sana mheshimiwa rais @hapa kazi tu

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 4 года назад +6

    JPM forever BIG BROTHER
    MAASHAALLAH🙏

  • @lungusii
    @lungusii 4 года назад +11

    Huyu Moyo ni uzalendo hongera mzee uta kumbukwa kwa mengi .

  • @chamwinoduka7446
    @chamwinoduka7446 4 года назад +29

    huyu mzee kweli ni kiongozi sio mtawala!!!

    • @michaelmrindoko2849
      @michaelmrindoko2849 4 года назад +1

      Magu uko vizur

    • @richardtungaraza7509
      @richardtungaraza7509 4 года назад +1

      Upo sahihi kabisa,magufuli sio mwanasiasa,ni kiongozi mtendaji,ukitaka kujua ni jinsi asivyo mwanasiasa angalia hata speech zako akiwa jukwaani,anaongea vitu kutoka moyoni na sio kwa lengo LA kumshusha Fulani aliyekosea,anaongea kwa ajili ya watanzania wanyonge,may the lord in heaven bless this man in Jesus name,amen

    • @goodluckdismas1239
      @goodluckdismas1239 4 года назад +1

      Hogera rais wetu kwa uzalebdo wako mkubwa

  • @farajimbiru6267
    @farajimbiru6267 4 года назад

    Hongera mzee Mungu akupe maisha marefu na Afya tele hakika nchi yetu sas inasikika kimataifa

  • @conection24hrs12
    @conection24hrs12 4 года назад +11

    Kinachopendwa na wote ni Pesa tu anko magu piga kazi mzee baba

  • @ndebilemathias7115
    @ndebilemathias7115 4 года назад +4

    Nafulahi sana kuona nchi yangu inazidi kung,aa .mungu bariki nchi yetu

  • @eliahedward7490
    @eliahedward7490 4 года назад +26

    Nmekubali kuw viongoz wote wliopita walikuw wez xnaaa,haiwezekan mtu aongoz miaka 3 afanye kaz kubwa kias hki

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 года назад

      Ni ukweli nchi hii ni tajiri kiasi gani miaka 3 jamani hizi pesa huyu baba anazitoa wapi haya ni maajabu wakati mwimbo ulikua nchi yetu masikini washindwe na wateketee aibu yao

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад

      Yaani hadi unashindwa kupata majibu kama miaka 4 mambo yote haya kafanya je miaka 10. Wametuibia sana jamani Mungu anawaona

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      @@romanambelle6356 Sio wezi ila kila mmoja kafanyakazi nzuri kama timu sasa tupo hapa. Pia kila mmoja ali concentrate kwenye eneo lake na ndio shida ya Tanzania viongozi au nchi haina shared vision, kila anaekuja kama vile anaanza upya. Rais anafanyakazi nzuri sana namshauri auangalie vyema Muungano.

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад

      @@hajihassan5433 ok

    • @eliahedward7490
      @eliahedward7490 4 года назад

      @@hajihassan5433 hakuna ni wez xnaaa2,pesa ya tz ilmilikiwa na watu wachache,likabaki tabaka maskin ambao ndo weng nchi hii,saiv tnaheshimiana makazin hakna cha kuulzana unajuwa mm ni nan,awamu ya nne na ya tatu ulkuw ukimwomba mtu soda anakupa elf50 saiv mwombe uone anakupa soda kama soda

  • @cheggykirui332
    @cheggykirui332 4 года назад +5

    Tanzania got a great leader as president

  • @55goodmen
    @55goodmen 3 года назад

    Mwenyezi Mungu mbariki rais JPM na serikali yake !! Huyu Baba Magufuli ni mzalendo jamani tujivunie hawa watu hawapo wengi duniani....

  • @jobamampuya5933
    @jobamampuya5933 4 года назад +20

    Ni heshima kwa taifa letu..
    Tulikuwa kituko tukichekwa hata na inchi ndogo kama Rwanda zenye ukubwa sawa na mkoa wetu mmoja ..
    Hakika JP Magu.. ni baraka kwetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 .

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +8

    Africa tunaweza.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 4 года назад

    Baba! Baba! Baba! tunakupenda sana unatupa raha mpaka miili inasisimka kwa furaha ubarikiwe sana Baba Mwenyezimungu akulinde dhidi ya watu wanaokuonea wivu kwa maendeleo unayoyaleta ktk TANZANIA yetu. MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!

  • @gerrymainmunisi6677
    @gerrymainmunisi6677 4 года назад +10

    daaaah am speechless 😭😭😭😭

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +1

    Wew ndiyo rais wetu bwana

  • @deboracharles2433
    @deboracharles2433 4 года назад

    MUNGUBABA ubarikiwe milele,hongera magufuli raisi mzuri kabisa

  • @harifumunir6004
    @harifumunir6004 4 года назад +1

    Jambo la kupongezwa sana japo mifumo ya pesa kidogo sio rafiki. Hongera sana mh Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na watanzania wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine kodi zetu tutoazo zinaleta impact

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 4 года назад +2

    Kitu juu ya kitu inaitwa hivyo kinashuka hiki kinashuka kingine itakuwa kama emirates vile big up magu

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 4 года назад +4

    Adi raha jamani pongezi kwako Rais wetu kipenzi

  • @abdulhakimmohamed3066
    @abdulhakimmohamed3066 4 года назад +1

    Hongera kwa hatua uliyopiga, kidogo kidogo tutafika tu.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 года назад +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @afrobongobeats1686
    @afrobongobeats1686 4 года назад +15

    Hongera baba

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 4 года назад +9

    Magufuli ndie mkombozi wa tanzania zidi ya mafisadi

  • @rashidmohamed6584
    @rashidmohamed6584 2 года назад

    Asante baba magufuli mungu akujalie ulale pema

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias4253 4 года назад +3

    Ninachoshindwaga kuelewa hapa wake watu wa disi like kwahabari Kama hii anakuwa anamana gani

  • @tullomengele902
    @tullomengele902 4 года назад +4

    Naomba atuongoze kwa miaka 20 tu tutafika mbali

  • @charlesmayilla2926
    @charlesmayilla2926 4 года назад +1

    Hongera afande wangu,sina zaidi

  • @aliy3303
    @aliy3303 4 года назад +3

    Kaka Said nyingi salaam zikufikie popote ulipo

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 4 года назад +15

    4:29 huyu mzee ananifurahisha sana kama na wewe umefurahishwa hapo gonga like😂😂

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 4 года назад

      Unalidunda hili vizuriiiiiii tuu unaendanaloooo

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 4 года назад +1

      @@Basagamp4 😂😂😂

    • @kidojunior
      @kidojunior 4 года назад +1

      😁😁😁

  • @babarihana5896
    @babarihana5896 4 года назад +3

    Mungu akuriinde baba

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    Honger magufur

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim1370 4 года назад

    Hongera rais wangu baba mkwe wangu nimeoa usukumani, niwatogile Sana wasukuma:)🇹🇿

  • @doctor.doctor9352
    @doctor.doctor9352 4 года назад +12

    Waliopita walishindwa nin? Viva jpm

    • @dungarufiji2989
      @dungarufiji2989 4 года назад

      Nitafute nikufahamishe na nafikiri unajua lakini ubaitaji muongozo tu umesahau matamko??

    • @stelllakapaya9517
      @stelllakapaya9517 4 года назад +1

      Mungu wangu mimi sina hata chakusema wewe magufuli ulikuwa wapi

    • @kharidzuberi7692
      @kharidzuberi7692 4 года назад

      Kila mtume alikuja na kitabu chake ndyo rais wetu alivyokuja kutuongoza watanzania

  • @triples5828
    @triples5828 4 года назад +4

    Ayo tv safi👍👍

  • @lilomo9323
    @lilomo9323 4 года назад +8

    Nimekaaa weee nimewaza weee nimejiuliza sana haya mambo mazuri namna hii hawa wengine waliopita ukimuacha mzee mwinyi,walishindwa kivipi?

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 4 года назад +1

      Weee acha tu kesho kwa Mungu kuna mengi watatuchelewesha saana hawa watu siku ya mwisho

    • @josephtewele3884
      @josephtewele3884 4 года назад

      Kinacho nifarahisha ni vile Rais anavyo thubutu kutekeleza mambo makubwa ambayo yatia hata woga, lakini yeye anayatekeleza.

  • @annampuya8253
    @annampuya8253 4 года назад +4

    MUNGU akubaliki saaan

  • @alijuma6502
    @alijuma6502 4 года назад +2

    Nyerere huko ulipo pumzika kwa aman tumempata rais anai ishi kwavitendo ndani ya tanzania ulokua unaililia

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад +1

      Amina. Kweli kama kuna kuona mambo uloacha nyuma basi Mwalimu atakuwa amepata amani. Anamwona JPM anavyotekeleza yote alokuwa akiyasema kwa uchungu. Mungu akubariki Rais wetu.

    • @alijuma6502
      @alijuma6502 4 года назад

      @@romanambelle6356 nikweli sana dada yangu tulilia sana kupata rais mzando kama huyu jpm

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад +1

      @@alijuma6502 ubarikiwe kakangu Mungu pamoja nasi

  • @favourmusic4692
    @favourmusic4692 4 года назад +5

    Unajua zaman ukiw unasomea uruban unajiuliz ntaendesh ndeg gan mbna nchi haina ndeg hta moj kwel? Lakin sas hta sisi wazaz tuyasomesh uko kwel maan ndeg tunazo na zinaendelea kuj yan mpka zifike mia watanzania si tunasif na hasila za maendeleo hap kaz tu mengne tumewaachia wazung

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka2265 4 года назад +8

    Viva magu viva

  • @Tiner_cakes
    @Tiner_cakes 4 года назад +11

    Waoooooh! Nawaza ukiachia madarak nan atatufanyia hay mambo? Anaweza fata kivuruge akavurug yote uliyofanya!

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 4 года назад +2

      Betina Mapunda . Itungwe sheria kali ambayo itakayowabana wale wote vivuruge, wasiendelee kuivuruga nchi, inakuwa haina maendeleo

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад

      @@corrolesscps yaani ndg yangu kama hakuna moyo wa uzalendo hata kama ikatungwa sheria kali mifisadi itavuruga tu. Rais asiye na uchungu na watu wake huwezi kumdhibiti tumwombe Mungu aendelee kutusimamia na kutupatia marais wazalendo kama huyu ndo tutafika.

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 года назад

    Baba raisi love uuuuuuu san am proud of my country aiseeeee

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 4 года назад

    Kumbe tulikuabna marubani wetu wengi tu wanazurula mtaani...Hongera Magu

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj8177 4 года назад +5

    Rais wa mwanzo Tanzania ambaye amewasha moto wa maendeleo sijui Kenya watapata Rais ambaye atamaliza ukabila na ufisadi ( Napita tu sijataja mtu)

    • @kabete1099
      @kabete1099 4 года назад

      254 tuna matatizo yetu lakini mambo ya kununua mindege fahari ya kubeba nyama tumepita

    • @fahadfaraj1263
      @fahadfaraj1263 4 года назад +1

      @@kabete1099 hahaaa hamna Kenya airways pili ufisadi ndo sifa yani kuiba Ni jambo la kujidai uliza tz Nani anaiba

    • @amouramour3421
      @amouramour3421 4 года назад

      Gg

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    Wasukuma tumejulikana kwa sifa za ushamba mmeona ushamba rais kafanya mambo makubwa tena ya kizungu mungu akulinde baba kila uendapo 🙏

  • @komanyaamin6732
    @komanyaamin6732 4 года назад

    Mjomba magu l love u. Asiyekuoenda sio mzalendo maana hata nchi jirani zote wanasema wanakupenda mungu akubariki sana na tunaomba uendelee kua kiongozi wetu bila kikomo

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 года назад +1

    R.I.P BABA YETU MEMA YOTE ULIYOTUTENDEA UKAYAKUTE KWA BABA WA MBINGUNI UKETI MKONO WA KUUME KWA BABA. AMINA

  • @gabrieljesus1018
    @gabrieljesus1018 4 года назад +2

    Umewasha moto wa uzalendo mioyoni mwetu, unawaka, kwakweli hata mimi nimeusikia...

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 года назад

    Kumbe uwezo huu tulikuwa nao lkn tukawa hatujampata mzalendo,hongera rais wangu.

  • @angeloludovick8465
    @angeloludovick8465 4 года назад

    hongera JPM baba wa PILI wa Taifa letuuu...Tunakuombea afya njemaa MUNGU AKUBARIKI SANAAAAAAH💪💪💪💪💪

  • @josephNdichu879
    @josephNdichu879 4 года назад +1

    Tanzania mnatuzidi kenya.hongera

  • @minaside6717
    @minaside6717 4 года назад +6

    Hapa kaz tu

  • @axa29
    @axa29 4 года назад +3

    Oyeeee!!!!! The president🤗💚💚💚

    • @fahadfaraj1263
      @fahadfaraj1263 4 года назад

      Acha tu dada nizaidi ya oyeee kwakweli

  • @raylaurent4389
    @raylaurent4389 4 года назад

    Statement nzuri sana Captain... Tunawasha moto wa kizalendo...
    Well done...

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 года назад

    Uishi maisha marefu mtukufu rais wetu

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 4 года назад

    mjomba magu shikamoo...hongera sana mungu ibariki africa mungu ibariki tanzania mjomba magu bado tuletee boeing A380 hata moja tu inatosha jamani raaaahaaaa......👋

  • @thobiasmosha60
    @thobiasmosha60 4 года назад +1

    Tuongoze milele tu wapinzani awanajipya. wamekwisha 2020 kabisa

  • @jacquelinosmond221
    @jacquelinosmond221 4 года назад

    Wapinzani wataamka kesho kutwa,we love u Magu...kazi kazi

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +1

    I wish MTT wangu mmoja aje awe km Rais Magufuri jamani.

  • @robertchuma6408
    @robertchuma6408 4 года назад

    waache wenye hiana wapige kelele ila Mungu ametufurahisha kupitia JPM

  • @nurumunguakutangurirabdull4472
    @nurumunguakutangurirabdull4472 4 года назад +4

    viva vivab

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 4 года назад +3

    safi cn

  • @oscarmwambene4411
    @oscarmwambene4411 4 года назад +3

    Tunakuombea baba

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 года назад +1

    MashaAllah mzee magufuli huyu ndio kiboko yao

  • @mahirwilliam5109
    @mahirwilliam5109 4 года назад +1

    Karibu nyumban Boeing Dreamliner

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 4 года назад +1

    "tumewasha moto wa uzalendo ndani ya mioyo yetu ..hatukati tamaa mzeee" rubani

    • @daudimlamka1239
      @daudimlamka1239 4 года назад

      Kauli inatia hamasa sana hadi najiona kama bado sijawa mzarendo

  • @nicomedimartin7540
    @nicomedimartin7540 4 года назад

    Unalifunda tyu hili unaenda nalo JPM 💥

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 4 года назад +2

    2025 tunaandaman aongeze mda maan mzee ni mzalendo mnooo kwakwel

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +5

    kamua baba kamua jembe kamua inchi iende

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo7645 4 года назад +6

    Sasa waliopita walikuwa wanakwama wapi

    • @minyugeminyuge6753
      @minyugeminyuge6753 4 года назад +1

      Mkuu... watu walikua wezi kupindukia.period’
      Haya....mshamba huyoooo!!!! anatuvusha washamba wenzie.
      Aibu yao.shwain kabisa...yaan inchi kama ndio imepata uhuru 2015.?
      mambo yalikua yanawezakan bali wao ndio washamba na kubabaika na mambo eti kila siku inje safar.shit’

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 4 года назад

      @@minyugeminyuge6753hahaaaa yaani umechukia kabisa wezi wengi nchi wakaiacha bila huruma

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 4 года назад

    Hii salamu ya mwisho nimeipenda sana. Tanzania oyee, oyeee! Tanzania safi, safiiii.
    Kumbe hata watu wawili wanaweza salimiana!!!!!! Nzuri hiiiiii....

    • @jamesndunguru276
      @jamesndunguru276 4 года назад

      ahahqhah ilibd nfatilie ad mwsho nione hki ulichkisema ahaha nmefurah sana LKN hii ni athar ya uzalendo yan uzalendo ukizd mambo kama hya kawaida VIVA Magufuli

  • @fahadfaraj1263
    @fahadfaraj1263 4 года назад +1

    Well said captain "umewasha moto wa uzalendo ndani ya mioyo yetu hatuwezi kukata tamaa"

    • @erickmarcus2321
      @erickmarcus2321 4 года назад

      Jamaa mnaa kwelii ameuwasha Moto wa uzalendo.

  • @osianamwaiteleke4913
    @osianamwaiteleke4913 4 года назад

    Gari tunazo, pikipiki, bajaji, pawtila na biskel iwaje ndege ahsante me, rais

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 4 года назад +3

    Pipa kubwa hatar

  • @MwangaG
    @MwangaG 4 года назад

    Hureeh my Presidaah...

  • @farajirashidi8186
    @farajirashidi8186 4 года назад

    aneamini magufuli atabaki kuwa shujaa zaid ya marais wote waliopita Tanzania aje na like.

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 4 года назад

    Haya ni maajabu aisee,ngoja na mimi nijitume aisee kumbe kila kitu kinawezekena haa duniani ukiwa na MUNGU WALAI

  • @finiacefick8166
    @finiacefick8166 4 года назад

    Ivi kunashida gani baba akiwa mkali ndani but huduma zinaenda vizuri. Endelea kupambana mheshimiwa tuendelee kushuudia matokeo ya juhudi unazozifanya kwaajili ya nchi.

  • @mariamusingano3514
    @mariamusingano3514 4 года назад

    Asante baba

  • @zuwenahumud305
    @zuwenahumud305 4 года назад

    Wow

  • @theroots2743
    @theroots2743 4 года назад +1

    Pesa alochukua mkapa pamoja na migodi pigeni hesabu za mara moja jee? unaweza kununua ndege ngapi? Pesa alochukua mwinyi kaishia kuhonga wanawake wa kiarabu mzee wa uchi ni za kununulia ndege ngapi? Kwa kikwete ndio hazihesabiki hasa na kaondoka kawacha ufukara na kugawa rasilimali za.watanzania kwa wachina pia kumkomboa mwanawe alippkamatwa china kwa kuuza unga

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 года назад +3

    Huyu ndiye mkombozi wetu...

  • @maddymreta2369
    @maddymreta2369 4 года назад +1

    Ngoshaaaaaa

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka8997 4 года назад +1

    Kama nipo vile niliona ikiwa inapaa nanimeiona ikiwa inatua haleruya

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад

    🙏🙏🙏🙏