Tumewasha moto wa uzalendo daaaa machozi yananilenga Tanzania kwanza. Bigup pilot, mh. Rais wangu nakuombea Mungu akubariki uzidi kuikomboa Tanzania yetu
Asante rais wetu uishi milele tunakupenda sana watanzania ukweli unachapa kazi ingekuwa vema uongoze mpaka mungu aseme inatosha maana umetutoa mavumbini unatupeleka kwenye asali na maziwa.hapa kazi tu.
As a Ugandan am speechless cheeei Tanzanians u r blessed to have a president who loves his country may Allah continue to keep him as we Olso pray to Allah to give us a president who will a change our country
Kaka siyo hawajamuelewa ni vile alivyowakatia mirija yao ilikuwa inaimaliza Tz yetu hivyo hawampendi kabisaaa. Mungu wetu mwema ametutoa kwenye mikono yao ya udalimu. Asante Rais wetu kwa uzalendo na unawaacha wanaaibika
@@romanambelle6356 safi sana romana lazima tukubali ukweli wamekula sana wajinga wenye inchi tukawa tunataabika tu mpaka wengine tumepanda meli kuja ulaya kutafuta maisha saizi tunatamani sana kurudi home
Much congratulations mr president, really i have appreciated what you have been doing for good prosperity of our economic. may God be with you in your regime, really i like work done by you.
Rais wa maajabu hakika ktk africa nimefanya utafti kdg kila taifa linatamani kua ña kiongozi wa kipekee kma magufuli rais mweny uthbutu anajitolea kwa moyo mmoja kuwatmikia watanzania ni neema kubwa sna kupata rais mweny moyo wa kizalendo kama unakuliana nami gonga like
Upo sahihi kabisa,magufuli sio mwanasiasa,ni kiongozi mtendaji,ukitaka kujua ni jinsi asivyo mwanasiasa angalia hata speech zako akiwa jukwaani,anaongea vitu kutoka moyoni na sio kwa lengo LA kumshusha Fulani aliyekosea,anaongea kwa ajili ya watanzania wanyonge,may the lord in heaven bless this man in Jesus name,amen
Ni ukweli nchi hii ni tajiri kiasi gani miaka 3 jamani hizi pesa huyu baba anazitoa wapi haya ni maajabu wakati mwimbo ulikua nchi yetu masikini washindwe na wateketee aibu yao
@@romanambelle6356 Sio wezi ila kila mmoja kafanyakazi nzuri kama timu sasa tupo hapa. Pia kila mmoja ali concentrate kwenye eneo lake na ndio shida ya Tanzania viongozi au nchi haina shared vision, kila anaekuja kama vile anaanza upya. Rais anafanyakazi nzuri sana namshauri auangalie vyema Muungano.
@@hajihassan5433 hakuna ni wez xnaaa2,pesa ya tz ilmilikiwa na watu wachache,likabaki tabaka maskin ambao ndo weng nchi hii,saiv tnaheshimiana makazin hakna cha kuulzana unajuwa mm ni nan,awamu ya nne na ya tatu ulkuw ukimwomba mtu soda anakupa elf50 saiv mwombe uone anakupa soda kama soda
Ni heshima kwa taifa letu.. Tulikuwa kituko tukichekwa hata na inchi ndogo kama Rwanda zenye ukubwa sawa na mkoa wetu mmoja .. Hakika JP Magu.. ni baraka kwetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 .
Baba! Baba! Baba! tunakupenda sana unatupa raha mpaka miili inasisimka kwa furaha ubarikiwe sana Baba Mwenyezimungu akulinde dhidi ya watu wanaokuonea wivu kwa maendeleo unayoyaleta ktk TANZANIA yetu. MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
Jambo la kupongezwa sana japo mifumo ya pesa kidogo sio rafiki. Hongera sana mh Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na watanzania wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine kodi zetu tutoazo zinaleta impact
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Amina. Kweli kama kuna kuona mambo uloacha nyuma basi Mwalimu atakuwa amepata amani. Anamwona JPM anavyotekeleza yote alokuwa akiyasema kwa uchungu. Mungu akubariki Rais wetu.
Unajua zaman ukiw unasomea uruban unajiuliz ntaendesh ndeg gan mbna nchi haina ndeg hta moj kwel? Lakin sas hta sisi wazaz tuyasomesh uko kwel maan ndeg tunazo na zinaendelea kuj yan mpka zifike mia watanzania si tunasif na hasila za maendeleo hap kaz tu mengne tumewaachia wazung
@@corrolesscps yaani ndg yangu kama hakuna moyo wa uzalendo hata kama ikatungwa sheria kali mifisadi itavuruga tu. Rais asiye na uchungu na watu wake huwezi kumdhibiti tumwombe Mungu aendelee kutusimamia na kutupatia marais wazalendo kama huyu ndo tutafika.
Mjomba magu l love u. Asiyekuoenda sio mzalendo maana hata nchi jirani zote wanasema wanakupenda mungu akubariki sana na tunaomba uendelee kua kiongozi wetu bila kikomo
mjomba magu shikamoo...hongera sana mungu ibariki africa mungu ibariki tanzania mjomba magu bado tuletee boeing A380 hata moja tu inatosha jamani raaaahaaaa......👋
Mkuu... watu walikua wezi kupindukia.period’ Haya....mshamba huyoooo!!!! anatuvusha washamba wenzie. Aibu yao.shwain kabisa...yaan inchi kama ndio imepata uhuru 2015.? mambo yalikua yanawezakan bali wao ndio washamba na kubabaika na mambo eti kila siku inje safar.shit’
ahahqhah ilibd nfatilie ad mwsho nione hki ulichkisema ahaha nmefurah sana LKN hii ni athar ya uzalendo yan uzalendo ukizd mambo kama hya kawaida VIVA Magufuli
Ivi kunashida gani baba akiwa mkali ndani but huduma zinaenda vizuri. Endelea kupambana mheshimiwa tuendelee kushuudia matokeo ya juhudi unazozifanya kwaajili ya nchi.
Pesa alochukua mkapa pamoja na migodi pigeni hesabu za mara moja jee? unaweza kununua ndege ngapi? Pesa alochukua mwinyi kaishia kuhonga wanawake wa kiarabu mzee wa uchi ni za kununulia ndege ngapi? Kwa kikwete ndio hazihesabiki hasa na kaondoka kawacha ufukara na kugawa rasilimali za.watanzania kwa wachina pia kumkomboa mwanawe alippkamatwa china kwa kuuza unga
Kwa kweli katika history ya kuumbwa lea ulimwengu haitakaa atokee Rais kama Magufuli Asante Baba Mungu kwa kutupa Rais wa kipekeeeeee
Jembe letu hilo
Magu Mwenyezi mungu azidi kukulinda
Mimi Ni raiya wa Rwanda lakini nampenda sana huu rais wa Tz, ni mfanyakazi wa kweli, hongera wa Tz kwa kupewa rais kama JPM.
Tawala mpaka vitukuu vyangu baba
Asante ndg yetu wa Rwanda. Nasi tunamshukuru Mungu kutupatia mzalendo wa kweli.
NDAYISABA GEOFFREY As ante kwa Sala Namaombi Yako
Asante
Hongera sana Rais Magufuli kwa kazi nzuri unayoifanya. Mungu akubariki Mungu ibariki Tanzania
unalidunda hili vizuri unaenda nalo mpaka mwishooo kabisaa'" ndiyo tukiwa na wenzangu tulikuwa tunapokezana,Tz safii
Nimecheka kulidunda,mpira huo au
Tumewasha moto wa uzalendo daaaa machozi yananilenga Tanzania kwanza. Bigup pilot, mh. Rais wangu nakuombea Mungu akubariki uzidi kuikomboa Tanzania yetu
Asante rais wetu uishi milele tunakupenda sana watanzania ukweli unachapa kazi ingekuwa vema uongoze mpaka mungu aseme inatosha maana umetutoa mavumbini unatupeleka kwenye asali na maziwa.hapa kazi tu.
As a Ugandan am speechless cheeei Tanzanians u r blessed to have a president who loves his country may Allah continue to keep him as we Olso pray to Allah to give us a president who will a change our country
hadi mwili unanisisimka kwa maajabu mh rais hongera sana baba mdogo wa taifa
Hii ya Baba mdogo wa Taifa nimeipenda Sana
@@jonaskilomba4094 hata mimi pia
Jonas Kilomba pamoja sana
BONIPHACE Tv haaaahaaaa bora we umesema baba mdogo wa Taifa...kunajamaa m moja mshezi alisema ni baba wa kambo wa taifa haaaaaaahaaa
Baba mkubwa ni Nyerere ☺️☺️😁🙏
Huyu muheshimiwa rais ana ndoto nzuri na Tanzania 🇹🇿 lakini baadhi ya wa Tanzania hawaja muelewa.
Hongera muheshimiwa Rais
Mafala sana hawa watu
Wajinga wanataka kutulidusha tulipotoka utumwani wa wazungu ndio hao akina zito lisu mbowe wajinga tu
Kaka siyo hawajamuelewa ni vile alivyowakatia mirija yao ilikuwa inaimaliza Tz yetu hivyo hawampendi kabisaaa. Mungu wetu mwema ametutoa kwenye mikono yao ya udalimu. Asante Rais wetu kwa uzalendo na unawaacha wanaaibika
@@romanambelle6356 safi sana romana lazima tukubali ukweli wamekula sana wajinga wenye inchi tukawa tunataabika tu mpaka wengine tumepanda meli kuja ulaya kutafuta maisha saizi tunatamani sana kurudi home
Wanamuelewa vizuri tu ila kibri c unajua kakaba hadi penati
Magufuliiii safiii!!! Ahsante Sana, napita tu.
Much congratulations mr president, really i have appreciated what you have been doing for good prosperity of our economic. may God be with you in your regime, really i like work done by you.
Rais wa maajabu hakika ktk africa nimefanya utafti kdg kila taifa linatamani kua ña kiongozi wa kipekee kma magufuli rais mweny uthbutu anajitolea kwa moyo mmoja kuwatmikia watanzania ni neema kubwa sna kupata rais mweny moyo wa kizalendo kama unakuliana nami gonga like
Ipo siku watanzania wenzangu watakuelewa mh,Rais
ubarikiwe sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana ndugu yangu
Tazama Ramani utaona nchi nzuriiii....Tanzania,,Tanzania,,nakupenda kwa moyo woteeee...Mungu ibariki Tanzania..
Barikiwa!!!Joseph Pombe Magufuli.
hongera sana mheshimiwa rais @hapa kazi tu
JPM forever BIG BROTHER
MAASHAALLAH🙏
Huyu Moyo ni uzalendo hongera mzee uta kumbukwa kwa mengi .
huyu mzee kweli ni kiongozi sio mtawala!!!
Magu uko vizur
Upo sahihi kabisa,magufuli sio mwanasiasa,ni kiongozi mtendaji,ukitaka kujua ni jinsi asivyo mwanasiasa angalia hata speech zako akiwa jukwaani,anaongea vitu kutoka moyoni na sio kwa lengo LA kumshusha Fulani aliyekosea,anaongea kwa ajili ya watanzania wanyonge,may the lord in heaven bless this man in Jesus name,amen
Hogera rais wetu kwa uzalebdo wako mkubwa
Hongera mzee Mungu akupe maisha marefu na Afya tele hakika nchi yetu sas inasikika kimataifa
Kinachopendwa na wote ni Pesa tu anko magu piga kazi mzee baba
Nafulahi sana kuona nchi yangu inazidi kung,aa .mungu bariki nchi yetu
Nmekubali kuw viongoz wote wliopita walikuw wez xnaaa,haiwezekan mtu aongoz miaka 3 afanye kaz kubwa kias hki
Ni ukweli nchi hii ni tajiri kiasi gani miaka 3 jamani hizi pesa huyu baba anazitoa wapi haya ni maajabu wakati mwimbo ulikua nchi yetu masikini washindwe na wateketee aibu yao
Yaani hadi unashindwa kupata majibu kama miaka 4 mambo yote haya kafanya je miaka 10. Wametuibia sana jamani Mungu anawaona
@@romanambelle6356 Sio wezi ila kila mmoja kafanyakazi nzuri kama timu sasa tupo hapa. Pia kila mmoja ali concentrate kwenye eneo lake na ndio shida ya Tanzania viongozi au nchi haina shared vision, kila anaekuja kama vile anaanza upya. Rais anafanyakazi nzuri sana namshauri auangalie vyema Muungano.
@@hajihassan5433 ok
@@hajihassan5433 hakuna ni wez xnaaa2,pesa ya tz ilmilikiwa na watu wachache,likabaki tabaka maskin ambao ndo weng nchi hii,saiv tnaheshimiana makazin hakna cha kuulzana unajuwa mm ni nan,awamu ya nne na ya tatu ulkuw ukimwomba mtu soda anakupa elf50 saiv mwombe uone anakupa soda kama soda
Tanzania got a great leader as president
Mwenyezi Mungu mbariki rais JPM na serikali yake !! Huyu Baba Magufuli ni mzalendo jamani tujivunie hawa watu hawapo wengi duniani....
Ni heshima kwa taifa letu..
Tulikuwa kituko tukichekwa hata na inchi ndogo kama Rwanda zenye ukubwa sawa na mkoa wetu mmoja ..
Hakika JP Magu.. ni baraka kwetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 .
Africa tunaweza.
Baba! Baba! Baba! tunakupenda sana unatupa raha mpaka miili inasisimka kwa furaha ubarikiwe sana Baba Mwenyezimungu akulinde dhidi ya watu wanaokuonea wivu kwa maendeleo unayoyaleta ktk TANZANIA yetu. MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
daaaah am speechless 😭😭😭😭
Wew ndiyo rais wetu bwana
MUNGUBABA ubarikiwe milele,hongera magufuli raisi mzuri kabisa
Jambo la kupongezwa sana japo mifumo ya pesa kidogo sio rafiki. Hongera sana mh Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na watanzania wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine kodi zetu tutoazo zinaleta impact
Kitu juu ya kitu inaitwa hivyo kinashuka hiki kinashuka kingine itakuwa kama emirates vile big up magu
Adi raha jamani pongezi kwako Rais wetu kipenzi
Hongera kwa hatua uliyopiga, kidogo kidogo tutafika tu.
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Hongera baba
Magufuli ndie mkombozi wa tanzania zidi ya mafisadi
Asante baba magufuli mungu akujalie ulale pema
Ninachoshindwaga kuelewa hapa wake watu wa disi like kwahabari Kama hii anakuwa anamana gani
Naomba atuongoze kwa miaka 20 tu tutafika mbali
Hongera afande wangu,sina zaidi
Kaka Said nyingi salaam zikufikie popote ulipo
4:29 huyu mzee ananifurahisha sana kama na wewe umefurahishwa hapo gonga like😂😂
Unalidunda hili vizuriiiiiii tuu unaendanaloooo
@@Basagamp4 😂😂😂
😁😁😁
Mungu akuriinde baba
Honger magufur
Hongera rais wangu baba mkwe wangu nimeoa usukumani, niwatogile Sana wasukuma:)🇹🇿
Waliopita walishindwa nin? Viva jpm
Nitafute nikufahamishe na nafikiri unajua lakini ubaitaji muongozo tu umesahau matamko??
Mungu wangu mimi sina hata chakusema wewe magufuli ulikuwa wapi
Kila mtume alikuja na kitabu chake ndyo rais wetu alivyokuja kutuongoza watanzania
Ayo tv safi👍👍
Tanzania oyee👍👍
Nimekaaa weee nimewaza weee nimejiuliza sana haya mambo mazuri namna hii hawa wengine waliopita ukimuacha mzee mwinyi,walishindwa kivipi?
Weee acha tu kesho kwa Mungu kuna mengi watatuchelewesha saana hawa watu siku ya mwisho
Kinacho nifarahisha ni vile Rais anavyo thubutu kutekeleza mambo makubwa ambayo yatia hata woga, lakini yeye anayatekeleza.
MUNGU akubaliki saaan
Nyerere huko ulipo pumzika kwa aman tumempata rais anai ishi kwavitendo ndani ya tanzania ulokua unaililia
Amina. Kweli kama kuna kuona mambo uloacha nyuma basi Mwalimu atakuwa amepata amani. Anamwona JPM anavyotekeleza yote alokuwa akiyasema kwa uchungu. Mungu akubariki Rais wetu.
@@romanambelle6356 nikweli sana dada yangu tulilia sana kupata rais mzando kama huyu jpm
@@alijuma6502 ubarikiwe kakangu Mungu pamoja nasi
Unajua zaman ukiw unasomea uruban unajiuliz ntaendesh ndeg gan mbna nchi haina ndeg hta moj kwel? Lakin sas hta sisi wazaz tuyasomesh uko kwel maan ndeg tunazo na zinaendelea kuj yan mpka zifike mia watanzania si tunasif na hasila za maendeleo hap kaz tu mengne tumewaachia wazung
Aki u hv made my day😂😂😂
Viva magu viva
Waoooooh! Nawaza ukiachia madarak nan atatufanyia hay mambo? Anaweza fata kivuruge akavurug yote uliyofanya!
Betina Mapunda . Itungwe sheria kali ambayo itakayowabana wale wote vivuruge, wasiendelee kuivuruga nchi, inakuwa haina maendeleo
@@corrolesscps yaani ndg yangu kama hakuna moyo wa uzalendo hata kama ikatungwa sheria kali mifisadi itavuruga tu. Rais asiye na uchungu na watu wake huwezi kumdhibiti tumwombe Mungu aendelee kutusimamia na kutupatia marais wazalendo kama huyu ndo tutafika.
Baba raisi love uuuuuuu san am proud of my country aiseeeee
Kumbe tulikuabna marubani wetu wengi tu wanazurula mtaani...Hongera Magu
Rais wa mwanzo Tanzania ambaye amewasha moto wa maendeleo sijui Kenya watapata Rais ambaye atamaliza ukabila na ufisadi ( Napita tu sijataja mtu)
254 tuna matatizo yetu lakini mambo ya kununua mindege fahari ya kubeba nyama tumepita
@@kabete1099 hahaaa hamna Kenya airways pili ufisadi ndo sifa yani kuiba Ni jambo la kujidai uliza tz Nani anaiba
Gg
Wasukuma tumejulikana kwa sifa za ushamba mmeona ushamba rais kafanya mambo makubwa tena ya kizungu mungu akulinde baba kila uendapo 🙏
Mjomba magu l love u. Asiyekuoenda sio mzalendo maana hata nchi jirani zote wanasema wanakupenda mungu akubariki sana na tunaomba uendelee kua kiongozi wetu bila kikomo
R.I.P BABA YETU MEMA YOTE ULIYOTUTENDEA UKAYAKUTE KWA BABA WA MBINGUNI UKETI MKONO WA KUUME KWA BABA. AMINA
Umewasha moto wa uzalendo mioyoni mwetu, unawaka, kwakweli hata mimi nimeusikia...
Kumbe uwezo huu tulikuwa nao lkn tukawa hatujampata mzalendo,hongera rais wangu.
hongera JPM baba wa PILI wa Taifa letuuu...Tunakuombea afya njemaa MUNGU AKUBARIKI SANAAAAAAH💪💪💪💪💪
Tanzania mnatuzidi kenya.hongera
Hapa kaz tu
Oyeeee!!!!! The president🤗💚💚💚
Acha tu dada nizaidi ya oyeee kwakweli
Statement nzuri sana Captain... Tunawasha moto wa kizalendo...
Well done...
Uishi maisha marefu mtukufu rais wetu
mjomba magu shikamoo...hongera sana mungu ibariki africa mungu ibariki tanzania mjomba magu bado tuletee boeing A380 hata moja tu inatosha jamani raaaahaaaa......👋
Tuongoze milele tu wapinzani awanajipya. wamekwisha 2020 kabisa
Wapinzani wataamka kesho kutwa,we love u Magu...kazi kazi
I wish MTT wangu mmoja aje awe km Rais Magufuri jamani.
waache wenye hiana wapige kelele ila Mungu ametufurahisha kupitia JPM
viva vivab
safi cn
Tunakuombea baba
MashaAllah mzee magufuli huyu ndio kiboko yao
Karibu nyumban Boeing Dreamliner
"tumewasha moto wa uzalendo ndani ya mioyo yetu ..hatukati tamaa mzeee" rubani
Kauli inatia hamasa sana hadi najiona kama bado sijawa mzarendo
Unalifunda tyu hili unaenda nalo JPM 💥
2025 tunaandaman aongeze mda maan mzee ni mzalendo mnooo kwakwel
kamua baba kamua jembe kamua inchi iende
Sasa waliopita walikuwa wanakwama wapi
Mkuu... watu walikua wezi kupindukia.period’
Haya....mshamba huyoooo!!!! anatuvusha washamba wenzie.
Aibu yao.shwain kabisa...yaan inchi kama ndio imepata uhuru 2015.?
mambo yalikua yanawezakan bali wao ndio washamba na kubabaika na mambo eti kila siku inje safar.shit’
@@minyugeminyuge6753hahaaaa yaani umechukia kabisa wezi wengi nchi wakaiacha bila huruma
Hii salamu ya mwisho nimeipenda sana. Tanzania oyee, oyeee! Tanzania safi, safiiii.
Kumbe hata watu wawili wanaweza salimiana!!!!!! Nzuri hiiiiii....
ahahqhah ilibd nfatilie ad mwsho nione hki ulichkisema ahaha nmefurah sana LKN hii ni athar ya uzalendo yan uzalendo ukizd mambo kama hya kawaida VIVA Magufuli
Well said captain "umewasha moto wa uzalendo ndani ya mioyo yetu hatuwezi kukata tamaa"
Jamaa mnaa kwelii ameuwasha Moto wa uzalendo.
Gari tunazo, pikipiki, bajaji, pawtila na biskel iwaje ndege ahsante me, rais
Pipa kubwa hatar
Hureeh my Presidaah...
aneamini magufuli atabaki kuwa shujaa zaid ya marais wote waliopita Tanzania aje na like.
Haya ni maajabu aisee,ngoja na mimi nijitume aisee kumbe kila kitu kinawezekena haa duniani ukiwa na MUNGU WALAI
Ivi kunashida gani baba akiwa mkali ndani but huduma zinaenda vizuri. Endelea kupambana mheshimiwa tuendelee kushuudia matokeo ya juhudi unazozifanya kwaajili ya nchi.
Asante baba
Wow
Pesa alochukua mkapa pamoja na migodi pigeni hesabu za mara moja jee? unaweza kununua ndege ngapi? Pesa alochukua mwinyi kaishia kuhonga wanawake wa kiarabu mzee wa uchi ni za kununulia ndege ngapi? Kwa kikwete ndio hazihesabiki hasa na kaondoka kawacha ufukara na kugawa rasilimali za.watanzania kwa wachina pia kumkomboa mwanawe alippkamatwa china kwa kuuza unga
Huyu ndiye mkombozi wetu...
Ngoshaaaaaa
Kama nipo vile niliona ikiwa inapaa nanimeiona ikiwa inatua haleruya
🙏🙏🙏🙏