Shekhe mm nakupongeza kuwaambia awombubumbu mwezako wasome Sana na we pia usomesana usiangalie Mpira tu ehee nimesikia alhamdulillah TUSOMENI iyo mzur sikatika hatua mbaya na hii ndoserayetu ss ahlusunat waljamaa TUSOMENI tena bila taasub Allah atuongoze as na wao ktk kuisibu haki amin
Kwani watuuliza kumjua barazanje kwasabbu gani au kuandika nakumzulia mtume muhammad SAW katika hicho kitabu chake naona huna mada nyengine wikii isipokua kutetea barazanje itetee upendavyo ihalalishe utakavyo lkn itakua nibidaa nainauzushi mwingitu naona umechelewasana maana bachu ndio mwanzo awafumbua watu macho nawengi wameona hata mukimtukana bachu lkn haki anaisema naumma wakiislamu unafahamu sasa ALLLAH AKUHIFADHI BACHU endelea kuelimisha hata wengine wakikasirika
Eti maulidi yakiondoka na dini imeondoka mmh subhaa allahu kwahiyo maswahaba wameioigania dini kwa maulidi hadi dini imetufikia sisi walidi utakufa na utasimama mbele ya ALLAH jipange uongozi usikulevye kwa kutaka kwenda wanavyopenda watu
Asalam aleikum kazi rahis simutafsiri kitabu cha barzanji tena hoja ya kwanza viumbe viliongea kwa kuingia mimba ..... mwazunguka rawaibidhwa hivi sote sini waislamu kuelezea io imekua tabu kama mkristo kutetea utatu 😢😢😢
Hivi ww unadhani kujibu zile hoja za Bachu n rahisi c tungelikwishazijibu😂 lkn zile hazijibiki na bado Bachu aendelea kushusha nondo mpya, jana katoa nondo moja amesoma ktk vitabu vingine vy maulidi kwmb eti Mtume alkua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma😢 na nyengine yasema eti mtume aliletewa tunda kutoka peponi n Jibrili akala kisha akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba ya Fatma😢 ss nondo 19 za mwanzo hazijajibiwa lkn ashusha nyengine ukwl n kwmb hizo hoja hazijibiki tucdanganyane bureee ndugu😂
@@mohdhilaly7900 akhiy, hakuna anaestaajabu wanyama kuongea vo, tunajua kua hayo mmb yanawezekana sn tu kw idhini ya Allah, shida n jeeeee haya maneno yametbibiti wapi ili iwe n ya ukweli yamethibiti wapi? Hoja 19 bado hazijajibiwa na jana Bachu kashashusha NONDO zingine tatu katika vitabu vingine vya Maulidi eti mtume alikua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma😓 Astaghfirullah Allah tusameh waja wako, eti wanyama walimuomba Allah wamlee Mtume yani mtume akalelewe na paka 😓 Astaghfirullah, eti Jibrili alimletea tunda mtume kisha akala lile tunda akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba ya Fatma Yan nyny mnamcngizia uongo Mtume hata hao makafiri hawasemi mnn hayo🙉 hoja 19 bado hazijajibiwa lkn Bachu ameamua kushusha NONDO zingine manaake hakuna hata dalili ya kujibiwa kw hoja zile, akhiy nakuhusia njo kwenye haki acha ushabiki tafuta haki ili ukawe salama mbele ya Allah🤝
SHIDA SIYO SAID JAFARY BARZANJI WALA SIO MOHAMMED NASSORO BACHU. SHIDA NI MANENO YALIYOPO NDANI YA KITABU CHA BARZANJI JE NIYAKWELI YOTE AU MENGINE NI UONGO. HIV INAWACHUKUA MUDA MREFU KIAS GANI KUTHIBITISHA KUA WANYAMA WALIONGEA⁉️⁉️
Boya ww kwani kitabu hicho katunga nani kama si barzanji mwenyewe??? Mnayaponda maneno kuwa ni uongo na huku mnamkimbia aliyetunga kuwa ni muongo! Ndo nini? Hamjielewi nyinyi. Mwenzenu kajikojolea kule Mombasa. Kaswali kadogo kashindwa kusema ukweli kakwepakwepa weee.
alijenga hoja 19 tanga ila had leo hakuna hata hoja 1 na mombasa kajenga hoja 1 hakuna aliejibu na said akalazimisha eneo 1 muhimu ilitakiwa waweke ukwel kua maneno yale ni ya kwel kwa ushahid sahih
Assalam alaykum vp hali sioni faida ya kuwadharau wanao eka vikao kwa ajili ya Mtume Muhammad SAW wala mtu asighurike kwa kujiona yeye ni mwanachuoni wa kuwadharau wenzake Mtukufu wetu mbele ya Allah ni Mchaji Mungu zaidi.
Mbona maswali yakitoto unauliza wanyama kusema mpaka leo hujuwi wanyama wanasema?basi we unaufaham mbovu kweli na c wanyama tu mpaka miti mawe milima maji na kadhalika vinasema hadi leo shda elimu ya hivyo huna wee acha kuhoji juu ya Mtume s.w.w wanyama kusema na watu kusikia unapo kuwa kuna tatizo wanyama husema na ndege hutoa taarifa ukijuwa luga za wanyama na ndege huna shda tujitahid tusomeni
Akhiy, hiyo mifumo ya kuwekwa km sheikh wa Mkoa, shekhe wa wilaya, kadhi, mufti nakadhalika hii n mifumo ambayo haijawekwa na waislamu yani waislamu hawajakaa wakawapigia kura hawa, bali hawa huwekwa na viongozi wa kisiasa kw lengo la kulinda maslahi na kupenyeza amri na maslahi yao kw waisilam pale wanapohitaji, kwaiyo awa hawa vigezo vyovyote vile...
Taabu yenu hamutaki kusoma mwataka kuwa mashibiki wa mitandaoni. Haya mambo ya Ukadhi, Mufti na mengineo yako kutoka wakati Maswahaba Sayyidina Umar ibnu Khatwab. Nyinyi mawahabi Mashindano ya Quran mulitowa wapi? Hafalati za Madrasa nani kaanzisha lkni hatuyapingi tunaiyelewa elmu
Hawa watu hawajielewi wewe umeambiwa na sheikh bachu kwenye kitabu chenu cha maulidi Kuna sehemu kinasema uongo wewe toa ushahidi sasa kama sio uongo nikweli kwa ushahidi huu~~~KIUFUPI WATU WA MAULIDI HAWANA HOJA
Taabu yenu hamukuelewa masikizano ya Niqash. Masikizano ya Niqash ni kuwa kati ya Bachu au na Ustadh Said mtu akitowa hoja aithibitishe iwe ni Aya ya Quran, Hadith au Akwal za Wanazuoni. Bachu yeye mwenyewe katowa Hadithi kisha yeye kazidisha neno Hadithi Munkar sasa yeye ilikuwa atowe ushahidi hata kwa Akwal za wanazuoni kama hiyo ni Munkar ya uongo hapo kashindwa kwa sababu hana elimu ya kujua Mustwalahil Hadith ndio akakojoa 😂😂😂
Sheikh yani waongea kwa ustarabu sanaaa. Sasa kam wewe mkweli jibu hoja zilizo tolewa ili tuone ka wewe siyo Ruwaibidwa mkubwa kwa mujibu wa hadithi ulie towa. Tubuni kwa ALLAH acani kupoteza Umma
Hivi shekhe bacho ndio kasoma sanaaa kuliko watu wote na ww unae sema shekh walid hakusoma dh unaongea jmb lakipuzi mno unamjuwa uyo au unasema t sbbb kaongea haki
Ukisema walisema mfano mdogo tunapo kutana sisi binadamu makabila mbalimbali au nchi mbalimbali tunapo kutana Kwa dunia ya sasa utaongea Kwa luga yako vifaa vina toa taarifa Kwa mujibu wa luga uliyo iseti je Kwa Allah ashindwe kuseti sauti za wanyama kuonekana wanaongea kiarabu hapo walipo kuwa na duniani kote siku hiyo waliongea shida ni ujinga mlionao wakupambanua mambo
Huyu Sheikh anasifa ya lugha nzuri na hekima lakini kuita Walimu Wa Dini wenzake Ruwaibitha ni makosa. Ruwaibidhwa ni watu waovu wanazugumza mambo ya umma na ni waongo na wampumbavu kwa Hadithi za Mtume Swallah. Allahu aleihi. Wasalam.
Ma sheikh bahasha wamejazana wala hawana elimu kudhibitisha kitabu ya barzanji kama yasema ukweli kutoroka kujibu 😂 maulid sahi imekuwa kuongelea bachu ukweli imewauma
Kusoma ni muhim usitete shekhe fulan xbbu kasema jmbo fulani muhim kusoma hvo usipinge xbbu anaepinga jmbo huwa anajuw Jmbo hvo bacho ni shekhe lkn na kasoma ila APUNGUZE KIBURI KUNA wayu mamesoma mpk iyo elim inashuka t saiv wenyewe hvo kusoma muhim
Asaid Jafar Abazranji ni Sheikh ni mwanachuoni lakini si asiyekosea, namombea Mmungu amsamehe, إذا اجتَهَد فأصاب فله أجرانِ، وإن اجتَهَد فأخطَأَ فله أجرٌ الراوي : [عمرو بن العاص] | المحدث : الشوكاني | المصدر : الفتح الرباني | الصفحة أو الرقم : 6/3090 | خلاصة حكم المحدث : صحيح | التخريج : أخرجه أبو داود (3574)، وابن ماجه (2314)، وأحمد (17809) باختلاف يسير.
Wiislamu ulikuja mgeni na utarud mgeni,mambo ya yanayotakiwa Wiislamu tushikamane nayo hasa hatutafanyi tunashikilia misimamo isiyo na msingi maulidi sio nguzo katika dini wa sio suna hakuna maelekezo yaliyotoka katika dini kuwa ikifika mwanamo wa mwezi aliozaliwa mtume wetu mtukufu watu wakae wamswalie bachu tupo sasahi kwa msimamo
Kujitokeza kwa pote ovu la kiwahabi ni mtihani kwa jamii ya kiislam kwa sasa, wewe Wahabi unafika kumdogosha mtume, unamfanya mtume ni kama wewe, hujui fadhila aluzopewa mtume Muhammad, hujui neema alizopewa nabii Muhammad hivi kuzungumza wanyama ni jambo la ajabu, yanazungumza mawe na miti itakuwa wanyama, kuna visa vingapi vinatuambia kwamba Mtume aliongea na paa, aliongea na Ngamia, kuna kisa cha mti kutua shahada mbele ya mtume, mwezi ulipasuka pande mbili kwa ajili ya kumuaminisha mtume, Nyie Mawahabi munaona mtume ni kama vile nyinyi, mtume ni binaadam lakini si binaadam wa kawaida kama nyinyi, acheni chuki husda uadui dharau kibri, Nyie Mawahabi
Ivi iyo mikusanyiko ndo kumpenda mtume? Mtume anataka atiiwe na yaachwe alokataza....sio hiyo mikusanyiko ya kupiga kelele kukesha na kukutanisha mabarobaro na wapenzi wao...tokea lini jambo hasa la dini ya kweli likusanye wasema uongo na washirikina kama vile wanasiasa
Assalam alaikum wallai msiba mkubwa kuona ma sheikh ndio wako mstari WA mbele kupotosha umma subhanallah 😢 . Mtume hajui ghaibu wala hakua na ilmu hio ispokua alikua akifunuliwa na Allah yote hayo ndio akisema hakua na uwezo WA kusema Bila idhni ya Allah. Na hayo yalifanyika kwa manabii wengine akiwemo msomi ambae Musa alifatana nae na alioyafanya Musa aliona makosa baadae ndio akaambiwa ilmu iliojoficha ambayo Allah ndio alimfungulia msomi huyo. Mtume NI Bora ya viumbe lakini hakua na ilmu ya ghaibu hio ni ilmu ya Allah Tu hakuna zaidi yake na anaesema mtume anajua ghaibu HAKIKA huyo amevuka mipaka na amekufuru
Wee hujielewi na hujui chochote umbile lako tu ni jina la mtume kuanzia juu mpaka chini mtume kaenda israa na miiraji umeshaawahi kuyatafakari hayo? Alafu eti mtume hajui waibu kuna ulimwengu mbili 'AALAMUSH SHAHAADA NA 'AALAMUL GHAIBU na na hii Ghaaibu kuna AALAMUL MALAKUUT , AALAMUL JABARUUT ,AALAMUL LAAHUUT na mtume Allah kamuambia yeye ni rahmatan lil 'aaalamiin " 'Al aalamiina ni jam'u " soma wee sijui jogo siju rogoo
@@saalim5401Masha Allah hongera kwa kusoma ila HAKI ITABAKIA KUA. HAKI ilmu ghaifu yeyote Ile anaeijua ni Allah Tu na hakuna mwanadam akiwemo mmbora WA viumbe mtume . Angejua ilmu ya ghaib basi angesema KIAMA kitakua lini . Ama unayohabari ya KIAMA ndugu
Rafiki yangu usipotezwe sana Kasome tena Kasome sana. Mtume S.A.W kuna maneno mengine ilikuwa Wahyi na maneno ni yake yeye binafsi. Mtume S.A.W hakusema Kiyama ni lkni alisema kiko karibu huo ni Wahyi kisha akatowa Dalili za ya Kiyama zitatokea hayo ni maneno yake binafsi na hiyo ndio Ghaib na kwa Mwenye Ezi Mungu ndio alikuwa ni kipenzi chake mtukufu wa Daraja akampa Mtume S.A.W ilmu Ghaib. Kapige goti usome usiwe shabiki wa mitandaoni
Dah namkumbuka marehemu sheik ilunga alituambia kua pale bakwata kamwe hatotokea mtu mwenye akili timamu kweli tumethibitisha yani yani awa akili zao zipo kwenye njaaa tuuu yani
Huyu shekh njaa Walid nilifiri ni mwenye elimu, kumbe ni pumba. Sasa sishangai kwanini amekuwa shekh wa bakwata. Wewe kama kweli una elimu jibu hoja 19 zilizotolewa na shekh Muhammad Bachu. Badala ya kutetea uongo uliomo ndani ya barzanj unaleta porojo
Ndugu masheikhe sisi waislam hatuitaji matusi na pia anayejua ghaibu ni Mwenyezi Mungu (s w).tunachohitaji ufafanuzi wa je!wanyama waliongea kweli?ilipoingia mimba ya mtume(s.a.w)?
Tutafsirieni Barzanj mnavojuwa nyinyi mwanzo Hadi mwisho. Tutajuwa kama Bachu kamzulia. Maana maulamaa wakubwa wamekwenda Mbali zaidi kuliko huyu kijana. Mfano Shekh Maarufu Abdalla Swaleh Alfarsiy Aliyekuwa Kadhi wa Kenya miongoni mwa waliacha history kubwa Sana Tanzania na Afrika Kwa Ujumla. Shekh Uthaymeen, Mufti Ibn Bazz, Ibn Taymia, Suyuti, Shankitwi, Wingiiiiiii. NI hayo yaliyotungwa na Mashia Tu. Wengine Maulidi waliyotunga yako salama. Tunataka Hiki ambacho Mashia wanakipenda Sisi tukifuate Tu ndio shida yetu. Tutafsirieni kabla watu hawajatuhama maana na wadiojuwa nao sasa wamefunguka macho. Jeeeee sasa
@@mohdhilaly7900 kwani yeye si ametuwekea kila kitu ktk Qu raan!au huisomi wewe?amesema haramu ameibainisha na halai pia!na anayetaka ashukuru au akufuru!na kila kitu kakiweka wazi sasa suala la Barzanji ktk hapo Mimi sijaliona na kama wewe umeliona kuwa ni sehemu ya dini nioneshe na Mimi ili nipate mutakachopata nyie
حدثنا إسماعيل بن أبي أويس قال حدثني مالك عن هشام بن عروة عن أبيه عن عبد الله بن عمرو بن العاص قال سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول إن الله لا يقبض العلم انتزاعا ينتزعه من العباد ولكن يقبض العلم بقبض العلماء حتى إذا لم يبق عالما اتخذ الناس رءوسا جهالا فسئلوا فأفتوا بغير علم فضلوا وأضلوا قال الفربري حدثنا عباس قال حدثنا قتيبة حدثنا جرير عن هشام نحوه
Ndugu yangu zile hoja hazijibiki na jana Bachu kashashusha NONDO zingine mbili katoa ktk vitabu vya Maulidi moja eti mtume alikua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma, nyengine eti mtume aliletewa tunda na Jibrili akala akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba yan mnn ya kipumbavu sn
Mtoto wa Bacho niawe mtulivu na mpole na ajifanyishe mtulivu na mpole Ili Allah ampe utulivu na upole Ktk Mambo ya kheri anapeperuka na kubabaisha mno Nahaswa Ktk Ruwaibidhwa ni huyu Mtoto wa Bacho Mimi naviita vijiyai kama yeye alivyo sema Hadithi Ghariibu yeye kasema Ngeni namimi nawaita Mawahabi akiwemo Mtoto wa Bacho Ruwaibidhwa= Vijiyai
Wallahi sheikhe nashangazwa na wa islam hawa je kunae nini alio mpinga au kubainisha yaliomo kwenye barzanchi aliwaachia Allah akanyamaza sasa bado sana!! kwamuislam yoyote anae mupenda mutumu najuwa leo juma tatu amefunga!???sasa sheikhe huyu nilikuwa namuheshimu najuwa nawa TZ wengi mutu mukweli aalim haganganie kwa raayi moja wazo moja lets be flexible sheikhe mie muganda nana ona kundi zawanae tetea maulidi hudai kumupenda mutume zaidi!!ndugu kumupenda mutumu nikufwata suna zake nazote suna hatuwezi zimaliza alakini tunajaribisha Jana sheikhe akasema mutume hajafariki!!sheikhe mutume alikfariki inaka mayiti ,alakini tunapo musalia mungu anamurudishia roho anajuwa mutu fulani amenisalia but yeye nimufu sawa nawislam walio tangulia mbele yahaqi subhaanahu tunapo waombea mungu anawajulisha muislam fulani amekuombea awe babayako au watu wetu!kusema sana tunaweza kosea!!sheikhe barzanchi sio mutume nibinaadamu na anweza kosea!!na mawazo yake hayatawaacha wa islam wazuwe uwongo!!tuswaumu ijuma tatu na alkhamisi ,fateni sunna zamutume tusipotoshwe na ilimu sheikhe muku twaheshimu kila sheikhe alakini tujaribu kupiganisha bidia
Hata wewe pia humjuwi Barzanji!na kama unamjuwa usingali tetea kitabu chake alichokiandika kwa mkono wake na ungetueleza kwamba yeye aliwaambia mufanye hayo munayoyafanya?na kama mumefurahi leo hapa duniani je muna uhakika kwa hilo mutakwenda kufurahi Akhera?
@@AusiSaidi kwani upuuzi haujibiwi!na tueleze je wewe unachokishabikia pia ni upuuzi!jibu hoja sio kukasirika hii dini si ya Baba yako au huyo unayemshabikia
@@AliSalim-yu4mo...km wewe unajua hii dini si ya mtu kwa maana ya kusema ya baba yako Sasa wewe unawapinga vp watu wanaomkubali barzanj na kitabu chake Kisha unawaona km wako makosani.!? Kwani wewe dini ni ya babaakoo.!? Km unavyo mwambia mwenzakooo.!?
@@swalehemrombo9301 suala ni kwamba dini ni ya Allah hatutaweza kukaa kimya kuwaona munahusisha dini tuliyoambiwa tuitangaze na kuifuata na mambo ya bidaa yasiyoletwa au kufanywa na Mtume(saw)na kutaka kuharibu na ndio sasa miongoni mwenu mumeanzinsha eti kombe la Mtume!Subhana llah!na hii yote ni nyie munainganga Nia uzushi huu ilipoletwa na mtu ambaye hata huyo Mtume hakumuona
Shekh walid mashaa allah mwenyezimngu ankupa kipawa kikubwa yaa ilmu namngu atakuzidishia yarabi
ماشاءالله تبارك الله
Mashallah
Mashaallah mashaallah mungu akujazi kheri mpe ukweli wtu Hawa juwi ukweli takbr awafunguwa mashikiyo wao
Allah akupe kher naakupe umri mrefuuu
Allahumma swalli wa sallim alaa Nabiyyunaa Muhammad wa alaa aalihii wa swahbihii wa sallam
Inalilahi wainailahim rajhun
Shekhe mm nakupongeza kuwaambia awombubumbu mwezako wasome Sana na we pia usomesana usiangalie Mpira tu ehee nimesikia alhamdulillah TUSOMENI iyo mzur sikatika hatua mbaya na hii ndoserayetu ss ahlusunat waljamaa TUSOMENI tena bila taasub Allah atuongoze as na wao ktk kuisibu haki amin
Aslm alkm ww.... Allah akulinde 🙏 Sheikh Walid.
MASHALAH
Mashaallah.swadakta.
Kwani watuuliza kumjua barazanje kwasabbu gani au kuandika nakumzulia mtume muhammad SAW katika hicho kitabu chake naona huna mada nyengine wikii isipokua kutetea barazanje itetee upendavyo ihalalishe utakavyo lkn itakua nibidaa nainauzushi mwingitu naona umechelewasana maana bachu ndio mwanzo awafumbua watu macho nawengi wameona hata mukimtukana bachu lkn haki anaisema naumma wakiislamu unafahamu sasa ALLLAH AKUHIFADHI BACHU endelea kuelimisha hata wengine wakikasirika
Hatumjui lkn kwenye kitabu chake kaandika uongo mtupu pmj na maneno ya kishirikina matupu.
Mwenzio bachu kashındwa kuthıbıtısha ujekua wewe mwehu
Eti maulidi yakiondoka na dini imeondoka mmh subhaa allahu kwahiyo maswahaba wameioigania dini kwa maulidi hadi dini imetufikia sisi walidi utakufa na utasimama mbele ya ALLAH jipange uongozi usikulevye kwa kutaka kwenda wanavyopenda watu
Bachu Allah amhifadhi amefanya KaZi kubwa sana mashaAllah
Kaz kubwa ipi iyoo
Kazi kubwa ipi ya kuongea na paka au 😂
Mtoto wa Bachu Ruwaibidhwa (Kajitu kanakosema uongo).
Allah atuongoze
Mashaallah.
ALLAH akuhifadhi sheikh wetu
Akhiruu zamanu
Asalam aleikum kazi rahis simutafsiri kitabu cha barzanji tena hoja ya kwanza viumbe viliongea kwa kuingia mimba ..... mwazunguka rawaibidhwa hivi sote sini waislamu kuelezea io imekua tabu kama mkristo kutetea utatu 😢😢😢
Utafsiriwe mara ngapi tafuta othman malim ustadh ametafsiri
Hivi ww unadhani kujibu zile hoja za Bachu n rahisi c tungelikwishazijibu😂 lkn zile hazijibiki na bado Bachu aendelea kushusha nondo mpya, jana katoa nondo moja amesoma ktk vitabu vingine vy maulidi kwmb eti Mtume alkua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma😢 na nyengine yasema eti mtume aliletewa tunda kutoka peponi n Jibrili akala kisha akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba ya Fatma😢 ss nondo 19 za mwanzo hazijajibiwa lkn ashusha nyengine ukwl n kwmb hizo hoja hazijibiki tucdanganyane bureee ndugu😂
@gademomari..utafsiriwemara ngapi sasa.!! tulia Ruwaibidhwaa wewee.!!
Mungu mwenyewe katoa kisa cha sisimizi akiongea kuwaongelesha sisimizi wenziwe sasa wewe kinachokustajabisha ninin hapo au huijui hio aya
@@mohdhilaly7900 akhiy, hakuna anaestaajabu wanyama kuongea vo, tunajua kua hayo mmb yanawezekana sn tu kw idhini ya Allah, shida n jeeeee haya maneno yametbibiti wapi ili iwe n ya ukweli yamethibiti wapi? Hoja 19 bado hazijajibiwa na jana Bachu kashashusha NONDO zingine tatu katika vitabu vingine vya Maulidi eti mtume alikua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma😓 Astaghfirullah Allah tusameh waja wako, eti wanyama walimuomba Allah wamlee Mtume yani mtume akalelewe na paka 😓 Astaghfirullah, eti Jibrili alimletea tunda mtume kisha akala lile tunda akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba ya Fatma Yan nyny mnamcngizia uongo Mtume hata hao makafiri hawasemi mnn hayo🙉 hoja 19 bado hazijajibiwa lkn Bachu ameamua kushusha NONDO zingine manaake hakuna hata dalili ya kujibiwa kw hoja zile, akhiy nakuhusia njo kwenye haki acha ushabiki tafuta haki ili ukawe salama mbele ya Allah🤝
SHIDA SIYO SAID JAFARY BARZANJI WALA SIO MOHAMMED NASSORO BACHU. SHIDA NI MANENO YALIYOPO NDANI YA KITABU CHA BARZANJI JE NIYAKWELI YOTE AU MENGINE NI UONGO. HIV INAWACHUKUA MUDA MREFU KIAS GANI KUTHIBITISHA KUA WANYAMA WALIONGEA⁉️⁉️
Boya ww kwani kitabu hicho katunga nani kama si barzanji mwenyewe??? Mnayaponda maneno kuwa ni uongo na huku mnamkimbia aliyetunga kuwa ni muongo! Ndo nini? Hamjielewi nyinyi. Mwenzenu kajikojolea kule Mombasa. Kaswali kadogo kashindwa kusema ukweli kakwepakwepa weee.
tulia Ruaibidhwaa wewee.!!
alijenga hoja 19 tanga ila had leo hakuna hata hoja 1 na mombasa kajenga hoja 1 hakuna aliejibu na said akalazimisha eneo 1
muhimu ilitakiwa waweke ukwel kua maneno yale ni ya kwel kwa ushahid sahih
Hoja na dalili yake kua ni uongo mbn kashindwa bachu kma ni uongo
Sasa unashangaa kwa m2me kwani upo sawa nae angekua m2 mwengine sawa nur ya m2me ni kubwa ata mkipinga
Lahaulaaa yarab staraaa nyie mnaomsema huyu Shekh nyie mmesoma wapiiiiiiii Maulidi tutasomaaaaaaa daimaaaa
Assalam alaykum vp hali sioni faida ya kuwadharau wanao eka vikao kwa ajili ya Mtume Muhammad SAW wala mtu asighurike kwa kujiona yeye ni mwanachuoni wa kuwadharau wenzake Mtukufu wetu mbele ya Allah ni Mchaji Mungu zaidi.
MAWAHABI MWAONA AJABU KWA WANYAMA KUZUNGUMZA KWA MTUME S.A.W NYINYI MAWAHABI HAMJUWI DARAJA YA MTUME S.A.W MUKIAMBIWA JIWE LIMEZUNGUMZA MUTAKUWAJE--MAWAHABI MUNATUMIWA NA MAHAYUDI KUMUANGUSHA DARAJA MTUME S.A.W LAKINI HAMUFAULU MUTANGUKA MAWAHABI
Sifa za mtume zitajwe kila pahala wanaokasirika wakasirike
Mbona maswali yakitoto unauliza wanyama kusema mpaka leo hujuwi wanyama wanasema?basi we unaufaham mbovu kweli na c wanyama tu mpaka miti mawe milima maji na kadhalika vinasema hadi leo shda elimu ya hivyo huna wee acha kuhoji juu ya Mtume s.w.w wanyama kusema na watu kusikia unapo kuwa kuna tatizo wanyama husema na ndege hutoa taarifa ukijuwa luga za wanyama na ndege huna shda tujitahid tusomeni
Mwambieni huyo shekhe wenu akasome eti twambieni maana ya barzanj hata mkiambuwa nyinyi hamuwezi kukiamini kilichokinyume nanyi
Hayo maulidi salama we wasoma
Nyie uyu ni sheikh mkuu ana elmu kubwa sana kuliko uyo mkata kanzu wenu
Akhiy, hiyo mifumo ya kuwekwa km sheikh wa Mkoa, shekhe wa wilaya, kadhi, mufti nakadhalika hii n mifumo ambayo haijawekwa na waislamu yani waislamu hawajakaa wakawapigia kura hawa, bali hawa huwekwa na viongozi wa kisiasa kw lengo la kulinda maslahi na kupenyeza amri na maslahi yao kw waisilam pale wanapohitaji, kwaiyo awa hawa vigezo vyovyote vile...
Taabu yenu hamutaki kusoma mwataka kuwa mashibiki wa mitandaoni. Haya mambo ya Ukadhi, Mufti na mengineo yako kutoka wakati Maswahaba Sayyidina Umar ibnu Khatwab. Nyinyi mawahabi Mashindano ya Quran mulitowa wapi? Hafalati za Madrasa nani kaanzisha lkni hatuyapingi tunaiyelewa elmu
Mmh ALLAH atuongoz3
Hawa watu hawajielewi wewe umeambiwa na sheikh bachu kwenye kitabu chenu cha maulidi Kuna sehemu kinasema uongo wewe toa ushahidi sasa kama sio uongo nikweli kwa ushahidi huu~~~KIUFUPI WATU WA MAULIDI HAWANA HOJA
ni kweli kabisa
Taabu yenu hamukuelewa masikizano ya Niqash. Masikizano ya Niqash ni kuwa kati ya Bachu au na Ustadh Said mtu akitowa hoja aithibitishe iwe ni Aya ya Quran, Hadith au Akwal za Wanazuoni. Bachu yeye mwenyewe katowa Hadithi kisha yeye kazidisha neno Hadithi Munkar sasa yeye ilikuwa atowe ushahidi hata kwa Akwal za wanazuoni kama hiyo ni Munkar ya uongo hapo kashindwa kwa sababu hana elimu ya kujua Mustwalahil Hadith ndio akakojoa 😂😂😂
Sheikh yani waongea kwa ustarabu sanaaa. Sasa kam wewe mkweli jibu hoja zilizo tolewa ili tuone ka wewe siyo Ruwaibidwa mkubwa kwa mujibu wa hadithi ulie towa. Tubuni kwa ALLAH acani kupoteza Umma
Sahihi ni Abu Nuaym
We babdeo miladu tutafsirieni basi barzanj kwa kiswahili tuone mnavyoumbuka
Ss jamani mbn hoja za Bachu hazijibiwi mmebakia kumpiga majungu tu
@abdulmohd..zijibiwe mara ngapi si alipewa Kiti mombasa Kule kwenye munaqasha aelezeanachokijua si alikimbia.!! Ruaibidhwaa mkubwaaa.!!
@@swalehemrombo9301 kwahiyo wote humu mnatufanya hamnazo
Swadakta
Hivi shekhe bacho ndio kasoma sanaaa kuliko watu wote na ww unae sema shekh walid hakusoma dh unaongea jmb lakipuzi mno unamjuwa uyo au unasema t sbbb kaongea haki
Kwani nyinyi mawahabi hata mkielezewa mtajielewa nanyinyi wenyewe mtu amerukwa na akili ywaongea napaka na Bado mwamuona msomi wamaana
@@saidimkwinzu9106na wewe kama hawakuzungumza pia toa dalili kenge wewe
Ukisema walisema mfano mdogo tunapo kutana sisi binadamu makabila mbalimbali au nchi mbalimbali tunapo kutana Kwa dunia ya sasa utaongea Kwa luga yako vifaa vina toa taarifa Kwa mujibu wa luga uliyo iseti je Kwa Allah ashindwe kuseti sauti za wanyama kuonekana wanaongea kiarabu hapo walipo kuwa na duniani kote siku hiyo waliongea shida ni ujinga mlionao wakupambanua mambo
Mipasho tu nlikuwa namuheshimu walid ila kwakweli ni mbabaishaji
@nabiljumaothman..tulia sindano iingiee usiwe km Ruwaidhwaaa.!!
Kwenda wewe usipo muheshimu utapunguza nn kwake ww ruwaibidhwa mpende bachu
Hapana sheikh hapo ni maslah ya dunia tu.
Chekeni tuu illah mtakuja kujua
Huyu Sheikh anasifa ya lugha nzuri na hekima lakini kuita Walimu Wa Dini wenzake Ruwaibitha ni makosa.
Ruwaibidhwa ni watu waovu wanazugumza mambo ya umma na ni waongo na wampumbavu kwa Hadithi za Mtume Swallah. Allahu aleihi. Wasalam.
Nilichogundua kwa sh waliid ni kama imamu shafiii baada tu ya kumjua kuwa ni jahil yule sasa ana haki ya kumpopoaaaa😂😂😂😂😂
Ama kweli tusome tu siwe .......Ruwaibidhwa hatari hii
Tena Sanaa tusome ili tuondokane na bidaa hizo mufanyazo kwa tamaa za kidunia
Maulidini kuna cha kutamni cha kidunia zaid ya kumfurahikia mtume??? Hujui ata kung, amua mambo unatoboka tu
Tama gani ya dunia maulid kumsifu mtume na kumswalia yote kutengeza akhera
@@abubakarymaulidy5681 Mtume munamfurahia Kwa ubwabwa
Na hii haswa tueleze mumelitoa wapi?
@@abubakarymaulidy5681 Sasa tuwasikilize nyie au tumsikilize Mtume mwenyewe juu ya Mazazi yake!
We kasome Dunia inakuhadaa kumbuka haya ni mapito
Acha uongo maulidi hayajaa beba Uislamu mpk ifikie yakionda hayo na Uislamu unaondaka eti na watu wanachekelea
Yeyote anepinga mawlid asome kwanza ajue kusoma ibara vizuri ajue kueka fiilu, faailu na mafuuulu mahala pake ahifadhi japo Hadithi kumi kwa moyo sio kujisomea kwa unavyotaka.
Sawa
Mwanafunz wa nahwi
😂😂😂😂😂😂😂zAsanteeè habib waliiid tushamchokaa
Ma sheikh bahasha wamejazana wala hawana elimu kudhibitisha kitabu ya barzanji kama yasema ukweli kutoroka kujibu 😂 maulid sahi imekuwa kuongelea bachu ukweli imewauma
Huyu kumbe naye mpuuzi kiasi chote hiki , khaaa....
Kusoma ni muhim usitete shekhe fulan xbbu kasema jmbo fulani muhim kusoma hvo usipinge xbbu anaepinga jmbo huwa anajuw Jmbo hvo bacho ni shekhe lkn na kasoma ila APUNGUZE KIBURI KUNA wayu mamesoma mpk iyo elim inashuka t saiv wenyewe hvo kusoma muhim
Pesa inaeza kumtoa mtu kwenye dini
Asaid Jafar Abazranji ni Sheikh ni mwanachuoni lakini si asiyekosea, namombea Mmungu amsamehe,
إذا اجتَهَد فأصاب فله أجرانِ، وإن اجتَهَد فأخطَأَ فله أجرٌ
الراوي : [عمرو بن العاص] | المحدث : الشوكاني | المصدر : الفتح الرباني | الصفحة أو الرقم : 6/3090 | خلاصة حكم المحدث : صحيح | التخريج : أخرجه أبو داود (3574)، وابن ماجه (2314)، وأحمد (17809) باختلاف يسير.
Wiislamu ulikuja mgeni na utarud mgeni,mambo ya yanayotakiwa Wiislamu tushikamane nayo hasa hatutafanyi tunashikilia misimamo isiyo na msingi maulidi sio nguzo katika dini wa sio suna hakuna maelekezo yaliyotoka katika dini kuwa ikifika mwanamo wa mwezi aliozaliwa mtume wetu mtukufu watu wakae wamswalie bachu tupo sasahi kwa msimamo
Kujitokeza kwa pote ovu la kiwahabi ni mtihani kwa jamii ya kiislam kwa sasa, wewe Wahabi unafika kumdogosha mtume, unamfanya mtume ni kama wewe, hujui fadhila aluzopewa mtume Muhammad, hujui neema alizopewa nabii Muhammad hivi kuzungumza wanyama ni jambo la ajabu, yanazungumza mawe na miti itakuwa wanyama, kuna visa vingapi vinatuambia kwamba Mtume aliongea na paa, aliongea na Ngamia, kuna kisa cha mti kutua shahada mbele ya mtume, mwezi ulipasuka pande mbili kwa ajili ya kumuaminisha mtume, Nyie Mawahabi munaona mtume ni kama vile nyinyi, mtume ni binaadam lakini si binaadam wa kawaida kama nyinyi, acheni chuki husda uadui dharau kibri, Nyie Mawahabi
Tupe hadithi sahihi za wanyama walizungumza usimsingizie mtume uongo
@@rajabmembe6695tupe hadithi swahihi za aqsamu tauheed
@@rajabmembe6695hhhhh paka aliongea n bachu muhuni icje kua kw Bwana mtume ww juha nn
@@saidmadai2828😂😂😂😂🏂
Ivi iyo mikusanyiko ndo kumpenda mtume? Mtume anataka atiiwe na yaachwe alokataza....sio hiyo mikusanyiko ya kupiga kelele kukesha na kukutanisha mabarobaro na wapenzi wao...tokea lini jambo hasa la dini ya kweli likusanye wasema uongo na washirikina kama vile wanasiasa
Kila anaepinga maulid akaende akasome ilmu mawahabi hawana ilimu waskitisha sana
Sheikh mzima mwenye elimu
Mbona husemi kama hiyo hadithi dhaifu
Mnayoegemea ?
Inaelekea wewe ndiyo kubwa la Ruwaibidhwa
Assalam alaikum wallai msiba mkubwa kuona ma sheikh ndio wako mstari WA mbele kupotosha umma subhanallah 😢 . Mtume hajui ghaibu wala hakua na ilmu hio ispokua alikua akifunuliwa na Allah yote hayo ndio akisema hakua na uwezo WA kusema Bila idhni ya Allah. Na hayo yalifanyika kwa manabii wengine akiwemo msomi ambae Musa alifatana nae na alioyafanya Musa aliona makosa baadae ndio akaambiwa ilmu iliojoficha ambayo Allah ndio alimfungulia msomi huyo. Mtume NI Bora ya viumbe lakini hakua na ilmu ya ghaibu hio ni ilmu ya Allah Tu hakuna zaidi yake na anaesema mtume anajua ghaibu HAKIKA huyo amevuka mipaka na amekufuru
Wee hujielewi na hujui chochote umbile lako tu ni jina la mtume kuanzia juu mpaka chini mtume kaenda israa na miiraji umeshaawahi kuyatafakari hayo? Alafu eti mtume hajui waibu kuna ulimwengu mbili 'AALAMUSH SHAHAADA NA 'AALAMUL GHAIBU na na hii Ghaaibu kuna AALAMUL MALAKUUT , AALAMUL JABARUUT ,AALAMUL LAAHUUT na mtume Allah kamuambia yeye ni rahmatan lil 'aaalamiin " 'Al aalamiina ni jam'u " soma wee sijui jogo siju rogoo
@@saalim5401Masha Allah hongera kwa kusoma ila HAKI ITABAKIA KUA. HAKI ilmu ghaifu yeyote Ile anaeijua ni Allah Tu na hakuna mwanadam akiwemo mmbora WA viumbe mtume . Angejua ilmu ya ghaib basi angesema KIAMA kitakua lini . Ama unayohabari ya KIAMA ndugu
Wewe unaleta ikafiri hapaaa
Rafiki yangu usipotezwe sana Kasome tena Kasome sana. Mtume S.A.W kuna maneno mengine ilikuwa Wahyi na maneno ni yake yeye binafsi. Mtume S.A.W hakusema Kiyama ni lkni alisema kiko karibu huo ni Wahyi kisha akatowa Dalili za ya Kiyama zitatokea hayo ni maneno yake binafsi na hiyo ndio Ghaib na kwa Mwenye Ezi Mungu ndio alikuwa ni kipenzi chake mtukufu wa Daraja akampa Mtume S.A.W ilmu Ghaib. Kapige goti usome usiwe shabiki wa mitandaoni
Je, nikweli wanyama walizungumza?
Watu wamauridi wamesema wapi kila kukicha wanasema watu wasio Soma Mauridi hawajasoma
Dah namkumbuka marehemu sheik ilunga alituambia kua pale bakwata kamwe hatotokea mtu mwenye akili timamu kweli tumethibitisha yani yani awa akili zao zipo kwenye njaaa tuuu yani
Nani amekuambia kama mkusanyiko wa mawlid ni ibada ?
Imgekuwa Ibada masahaba na tabiina hawajui ?
Nyie ndio mnajua zaidi?
Mawahabi hawataelewa. Daima😂😂😂
Kwani vitabu vingine vimeandikwa kwa miguu yani mauridi kamayote mpaka mpasuke yata swamwa sana
Jibu hoja za Bachu uache polojo
Zili jibiwa kwa Ile nukta moja ama tatizo lenyu ni kuto soma elimu ya dini
Masufi ni waongo wanaomzushia mtume
Sisi tunamzusiya Mtume S.A.W kwa Kumsifu. Nyinyi mawahabi munamzushiya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid iko wapi ktk Quran au Hadithi kigawanyo cha Tauhid
huyu mtoto wa bachu ndiye yeye ruwaibidhwa aliyebashiriwa.
Wewe hujijui hata jina la Mtume umelibadili badala ya Muhammad unajiita mohamed
Jina la Mtume unalichafua unaweza kujua haki kweli?
Acha mkusanyiko wa mauridi tu hatendo la ndoa ni ibada kula ni ibada kula la ni ibada kufanya kazi ni ibada
Huyu shekh njaa Walid nilifiri ni mwenye elimu, kumbe ni pumba.
Sasa sishangai kwanini amekuwa shekh wa bakwata.
Wewe kama kweli una elimu jibu hoja 19 zilizotolewa na shekh Muhammad Bachu.
Badala ya kutetea uongo uliomo ndani ya barzanj unaleta porojo
Sheikh tunakuheshimu alaf ww ni kiongoz sasa ukianza kujiingiza kwenye mada Za madhehebu utakosewa heshima kwasabab uislam hauna madhehebu
weeeeee vipi acha shekhe azungumze
Wewe shehe gn kazi kusengenya tuu
Ndugu masheikhe sisi waislam hatuitaji matusi na pia anayejua ghaibu ni Mwenyezi Mungu (s w).tunachohitaji ufafanuzi wa je!wanyama waliongea kweli?ilipoingia mimba ya mtume(s.a.w)?
hakuna anaeweza kujibu hoja hiyo kwa ushahid sahih sababu wao wanaujua ukwel
@abdallahkiwak...kasome uelimike upekune na hatari ya Ruaibidhwaaa.!
kwaiyo ndugu Swalehe mnapowaambia watu "hawjasoma hawajasoma"hapo ndio mmejibu hoja?mwisilam atakuwa amelewa kama wanyama waliongea au la?
Tutafsirieni Barzanj mnavojuwa nyinyi mwanzo Hadi mwisho. Tutajuwa kama Bachu kamzulia. Maana maulamaa wakubwa wamekwenda Mbali zaidi kuliko huyu kijana. Mfano Shekh Maarufu Abdalla Swaleh Alfarsiy Aliyekuwa Kadhi wa Kenya miongoni mwa waliacha history kubwa Sana Tanzania na Afrika Kwa Ujumla. Shekh Uthaymeen, Mufti Ibn Bazz, Ibn Taymia, Suyuti, Shankitwi, Wingiiiiiii. NI hayo yaliyotungwa na Mashia Tu. Wengine Maulidi waliyotunga yako salama. Tunataka Hiki ambacho Mashia wanakipenda Sisi tukifuate Tu ndio shida yetu. Tutafsirieni kabla watu hawajatuhama maana na wadiojuwa nao sasa wamefunguka macho. Jeeeee sasa
acha upuuzi wako wewe yahudi mkubwa na andika kwa ufupi.unaonekana umekimbia umande.
@@abuyunusmohamed6961
Muache Ujinga HUO. MASAHABA werevu hawakuufanya upuuzi HUO. Au wewe mpigaji madufu na sahaba Nani Bora. Mwamba tuliiiiiya. Hapa Mtume na Maswahaba kwanza. Usijekufuru NI hatariiiiii
Kitu usichokifanya kinakuuma nini
Futa unacho amini usitukufurishe
Asalamalaykum tumwachia Allah jallajallalu yy atahukum nani mkweli nani muongo
@@RahimaIbrahim-hk9xh
Yaa MASAHABA waliofuata haki wako sawa. Sisi waharibifu
Huyushehe sanyinyingine anjizima data shekhe maulidi haipo
Hapo hakuna SHEIKH HAPO.
NI AHLU-HAWAAA
wacha ujinga wewe
Hicho ndo mnachokalia tu kuongea ongea...vijisenti
Na usiseme upigaji ws dufu srma tu ngoma!maana dufu inaonesha hulijuwi na unadanganya watu lkn iko siku hiyoo ya sikuu!
Hio siku ww ndio utahukumu au
@@mohdhilaly7900 hakimu wa mahakimu!
@@mohdhilaly7900 kwani yeye si ametuwekea kila kitu ktk Qu raan!au huisomi wewe?amesema haramu ameibainisha na halai pia!na anayetaka ashukuru au akufuru!na kila kitu kakiweka wazi sasa suala la Barzanji ktk hapo Mimi sijaliona na kama wewe umeliona kuwa ni sehemu ya dini nioneshe na Mimi ili nipate mutakachopata nyie
حدثنا إسماعيل بن أبي أويس قال حدثني مالك عن هشام بن عروة عن أبيه عن عبد الله بن عمرو بن العاص قال سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول إن الله لا يقبض العلم انتزاعا ينتزعه من العباد ولكن يقبض العلم بقبض العلماء حتى إذا لم يبق عالما اتخذ الناس رءوسا جهالا فسئلوا فأفتوا بغير علم فضلوا وأضلوا قال الفربري حدثنا عباس قال حدثنا قتيبة حدثنا جرير عن هشام نحوه
😂Swali lishakua swali sugu sasa😂😂je,nikweli wanyama waliongea mimba ya mtume ilipoingia⁉️😂😂😂swali sugu limekosa majibu
Ndugu yangu zile hoja hazijibiki na jana Bachu kashashusha NONDO zingine mbili katoa ktk vitabu vya Maulidi moja eti mtume alikua akinyonya ulimi wa mwanawe Fatma, nyengine eti mtume aliletewa tunda na Jibrili akala akamuingilia mkewe ndipo ikatungwa mimba yan mnn ya kipumbavu sn
Ruaybidhwa someni
Mtoto wa Bacho niawe mtulivu na mpole na ajifanyishe mtulivu na mpole Ili Allah ampe utulivu na upole Ktk Mambo ya kheri anapeperuka na kubabaisha mno
Nahaswa Ktk Ruwaibidhwa ni huyu Mtoto wa Bacho Mimi naviita vijiyai kama yeye alivyo sema Hadithi Ghariibu yeye kasema Ngeni namimi nawaita Mawahabi akiwemo Mtoto wa Bacho Ruwaibidhwa= Vijiyai
Mpaka Leo bado mnaongelea Tu kitu kisicho na maana bidaa mkubwa wewe
Wacha uhasidi weyye
Shekh huyu akiwa bida we s utakuwa shenanigans kabisa
Na ww bidaa mkubwa sn😅😅😅😅
Huna ulijualo zaid ya kutukana masheikh Zetu, nahis hata alifu huijui then watukana masheikh, ktk bidaa na ww bidaa mkubwa sn 😮😮😮
Wallahi sheikhe nashangazwa na wa islam hawa je kunae nini alio mpinga au kubainisha yaliomo kwenye barzanchi aliwaachia Allah akanyamaza sasa bado sana!! kwamuislam yoyote anae mupenda mutumu najuwa leo juma tatu amefunga!???sasa sheikhe huyu nilikuwa namuheshimu najuwa nawa TZ wengi mutu mukweli aalim haganganie kwa raayi moja wazo moja lets be flexible sheikhe mie muganda nana ona kundi zawanae tetea maulidi hudai kumupenda mutume zaidi!!ndugu kumupenda mutumu nikufwata suna zake nazote suna hatuwezi zimaliza alakini tunajaribisha Jana sheikhe akasema mutume hajafariki!!sheikhe mutume alikfariki inaka mayiti ,alakini tunapo musalia mungu anamurudishia roho anajuwa mutu fulani amenisalia but yeye nimufu sawa nawislam walio tangulia mbele yahaqi subhaanahu tunapo waombea mungu anawajulisha muislam fulani amekuombea awe babayako au watu wetu!kusema sana tunaweza kosea!!sheikhe barzanchi sio mutume nibinaadamu na anweza kosea!!na mawazo yake hayatawaacha wa islam wazuwe uwongo!!tuswaumu ijuma tatu na alkhamisi ,fateni sunna zamutume tusipotoshwe na ilimu sheikhe muku twaheshimu kila sheikhe alakini tujaribu kupiganisha bidia
Huyo barzanji alikua mganga wa kienyeji
Kuwa na adabu na wanazuoni
@@MohammedAli-dp4dm sio mwanazuoni alikua ni mshirikina wa kihindi
Mtapotea mnapozungumza bila ushahidi, Lete ushahidi Kama Kweli Alikua mganga Wa kienyeji.
@@abdullahmasakata170 unahitaji ushahidi gani zaidi ya hilo gzeti lake la barzanji lililojaa ukafiri na ushirikina ?? Au wewe hujuw lugha ya kiarabu?
@@zuheorsalim7759 Lete ushahidi tuone, Lete na hayo magazeti tuone huo Uganga wake tujifunze kwako
Wahabi nendi mkakae msome zaid mumuelewe zaid Sayyid jaffar al barzanji
Hata wewe pia humjuwi Barzanji!na kama unamjuwa usingali tetea kitabu chake alichokiandika kwa mkono wake na ungetueleza kwamba yeye aliwaambia mufanye hayo munayoyafanya?na kama mumefurahi leo hapa duniani je muna uhakika kwa hilo mutakwenda kufurahi Akhera?
Cometi Yako ni upuuzi hujui unacho shabikia.
@@AusiSaidi kwani upuuzi haujibiwi!na tueleze je wewe unachokishabikia pia ni upuuzi!jibu hoja sio kukasirika hii dini si ya Baba yako au huyo unayemshabikia
@@AliSalim-yu4mo...km wewe unajua hii dini si ya mtu kwa maana ya kusema ya baba yako Sasa wewe unawapinga vp watu wanaomkubali barzanj na kitabu chake Kisha unawaona km wako makosani.!? Kwani wewe dini ni ya babaakoo.!? Km unavyo mwambia mwenzakooo.!?
@@swalehemrombo9301 suala ni kwamba dini ni ya Allah hatutaweza kukaa kimya kuwaona munahusisha dini tuliyoambiwa tuitangaze na kuifuata na mambo ya bidaa yasiyoletwa au kufanywa na Mtume(saw)na kutaka kuharibu na ndio sasa miongoni mwenu mumeanzinsha eti kombe la Mtume!Subhana llah!na hii yote ni nyie munainganga Nia uzushi huu ilipoletwa na mtu ambaye hata huyo Mtume hakumuona
Sheikh Walid nimkhurafi nanyiye mnaomfuata nimazanaadiqa .
😂😂😂😂 nikweli Bachu ni Ruwaibidwa😂😂😂😂😂
Umechoka uzushiii wa mashia na masufi
Umekosa la kusema wewe sheikh ubwabwa
Ruwaibidhwa.
Fay ww unakula nn? Maishani kwako
Umekosa la kuchangia wewe Ruwaibidhah
Ruwaibidhwa ni wewe
Inalilahi wainailahim rajhun
Mashaallah.
Inalilahi wainailahim rajhun
Inalilahi wainailahim rajhun
Inalilahi wainailahim rajhun
Inalilahi wainailahim rajhun