KINACHOENDELEA PALESTINE NA ISRAEL SH PONDA ATOA TAMKO LA WAISLAM WA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2023
  • #QiblateinOnline #Palestine #Israel #IsraelPalestine
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; profile.php?...
    RUclips; / @qiblatainonline

Комментарии • 48

  • @MohamedabAb
    @MohamedabAb 8 месяцев назад

    Ya Allah 2linde weislam wote duniani

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg 8 месяцев назад

    Swadakta shekh wetu ponda Allah akuhifadhi

  • @David-fq1rd
    @David-fq1rd 6 месяцев назад

    Pole

  • @MohamedabAb
    @MohamedabAb 8 месяцев назад

    Allah ijalie parestina

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 9 месяцев назад

    Swadakta shaikh

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 8 месяцев назад +1

    Shekhe wangu Mimi mkristo mtanzania lakini,naungana na wewe kuwalaani mayahud wanaoua watu hivyo bila kujali,maana wauwaji sii waizraeli Wala hiyo benders sii ya waizraeli niua mayahudi wahuni mashetani waliowekwa na marekani,uingereza na wajerman

  • @MohamedabAb
    @MohamedabAb 8 месяцев назад

    Ya Allah ilinde masjid Al aqswa

  • @user13375
    @user13375 9 месяцев назад +1

    Wafilisti hao,hawajaanza kufa leo ,Haya mfalme Daud alimuua Goliati

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 8 месяцев назад

    Mbona tunakuwa ivyo jameni ..mungu wasaidie waislamu waokoke waijue kweli ,iwaweke huru ,uwaondole roho za udini.amina

  • @anthonympemba8262
    @anthonympemba8262 8 месяцев назад

    Chanzo ni tarehe 07/11/2023 ndiye wa kulaumiwa

  • @DeusManda
    @DeusManda 7 месяцев назад

    Hebu soma kitabu cha Amosi 1:6_8 katika Biblia inasema nini kuhusu Gaza?

  • @user-is5cm3us1p
    @user-is5cm3us1p 9 месяцев назад

    Sheik PONDA kumbe ya watu kujadili no mtelemko Sana, na kwetu ni mpando kwa Nini ninyi Kama waislam hamtoi tamko Wala kuandamana wakati CHAMA CHA MAPINDUZI wanapowafanyia WATANZANIA wa vyama vya UPINZANI unyama wa kurusha kwa vipindi vyote vya uchaguzi mkuu ,acheni unafiki madhambi mangapi yamefanyika ndani ya nchi yetu na mmekuwa kimya tu.

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад +1

    Acha woga vaa Combat nenda Palestine

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад +1

    Huna jipya

  • @user-uh8vz1tl9s
    @user-uh8vz1tl9s 8 месяцев назад

    Komentizote makafiliwatanzania wachumiatumbo kaziyenukupendamisaadahata kwawatuhatari amsemi momentum wanafiki

    • @user13375
      @user13375 8 месяцев назад

      Kimewalamba magaidi unacheza na taifa laMungu

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 8 месяцев назад

    Mmh,ivi hii ni Nini jamani ni dini ni uchawi

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 8 месяцев назад

    Mwafrika akizeeka akili inafifia mzungu akizee akili zinakua mingi sasa huyu mzee sijui anaongea utumbo gani, kwani waparestina izrael ni kwao?

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад +2

    Acha kutuletea udini wewe,TZ hatuko hivyo,kwa nini usilaani uchokozi, Tanzania Amani Idumu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 9 месяцев назад +1

      Wacha kusema ovyo wewe! Vita hivi ni vya waislam wote. Phalestin panawahusu waislam wote.hususan pana msikiti wa Aqsa. Achana na sisi risala hii haikuhusu

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 8 месяцев назад

    Chamsingi nikuenda kusaidia

  • @danielosango1263
    @danielosango1263 9 месяцев назад

    😂

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад

    Tanzania Kamwe haita vunja uhusiano na Israel,na hata kama mtu akafanya hivyo haisaidii Israel ni Taifa la Mungu,Mungu amewekeza jina na Nguvu zake,karibuni muone

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 9 месяцев назад

      Wacha ujinga wewe. Taifa la M'mungu lina fadhili ushoga na kusherehekea na kuua watoto na watu wasio na hatia. Wale wameshalaaniwa kitambo.

    • @masoudshaban6609
      @masoudshaban6609 9 месяцев назад +1

      Taifa la Mungu ??! Unawatetea na wale si wakristo si wenzako wale....wale ni mayahudi walolaaniwa na Allah

    • @mrsomeone7728
      @mrsomeone7728 9 месяцев назад

      Sasa kama wamelaaniwa ndio mnawateka watu na kuwaua watu?

    • @mrsomeone7728
      @mrsomeone7728 9 месяцев назад

      Israeli ni Taifa la mungu na ni taifa linapigana Kwa nguvu ya mungu. Amini usiamini Palestina watapewa kichapo maana ni wachokozi Acha wapigwe

    • @masoudshaban6609
      @masoudshaban6609 9 месяцев назад

      @@mrsomeone7728 Kitu kinawasaidia hao mayahudi ni Marekani Tu wala hakuna Mungu apo...afu kama ni uchokozi Mayahudi ndo wakorofi...ijue history buddy usifuate mkumbo kwa sababu unahisi ni wakristo wenzako hao...hao ni mayahudi nao wana dini tofauti

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад

    Akili Yako imeathirika na ubinafsi, Pia na udini

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 7 месяцев назад

    Tatizo lako issa hata darasa la saba hukumaliza fala wewe. Kinachotokea sudani, congo huvioni nguruwe wewe.

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 9 месяцев назад

    Aliyesimama nyuma yako Ni nani, kazi yake Ni nini

  • @BinHakim
    @BinHakim 9 месяцев назад +1

    Nendeni mkawasaidie sio kutoa tamko maana tamko haliwezi kupigana na Israeli bali nguvu zenu ndizo zinazohitajika....kutoa matamko kila siku mkiwa msikitini alafu kwenye uwanja wa mapambano hamuonekani ni dalili zakuonesha hamna umoja.

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 9 месяцев назад

    Tamko linasaidia nini 😂😂😂 hapo nikujilisha upepo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 9 месяцев назад

      Tamko linalotokewa halisaidii Makafiri tu,kwa hiyo achana nalo

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 9 месяцев назад

      @@mwawekomiuda9779 halina maana eyote ile maana waarabu + nyinyi niwaoga waliopinduka ndio maana mnanyaganywa hata kile kidogo mlicho nacho poleni hio vita muiache tu Gaza inakwenda kuwa ya Israeli hakuna cha kupata Wapalestina

    • @mfirimassawe9023
      @mfirimassawe9023 8 месяцев назад

      Hata ukiwaombea umewapigania

    • @mfirimassawe9023
      @mfirimassawe9023 8 месяцев назад

      Hata Dua inanguvu kwa wenye imani

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад

    Usitamke nenda kapigane kama na wewe gaidi

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 9 месяцев назад

    Shehe ponda umeshazeeka, huna lolote

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 9 месяцев назад

    wewe shehe ponda chizi kweli, sasa ukiwaktaa Israeli itasaidia Nini, miaka yote hiyo ilisaidia Nini, nchi yenyewe masikini, unachekesha kweli