KINACHOENDELEA PALESTINE NA ISRAEL SH PONDA ATOA TAMKO LA WAISLAM WA TANZANIA
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2023
- #QiblateinOnline #Palestine #Israel #IsraelPalestine
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
RUclips; / @qiblatainonline
Ya Allah 2linde weislam wote duniani
Swadakta shekh wetu ponda Allah akuhifadhi
Pole
Allah ijalie parestina
Swadakta shaikh
Shekhe wangu Mimi mkristo mtanzania lakini,naungana na wewe kuwalaani mayahud wanaoua watu hivyo bila kujali,maana wauwaji sii waizraeli Wala hiyo benders sii ya waizraeli niua mayahudi wahuni mashetani waliowekwa na marekani,uingereza na wajerman
Ya Allah ilinde masjid Al aqswa
Wafilisti hao,hawajaanza kufa leo ,Haya mfalme Daud alimuua Goliati
Mbona tunakuwa ivyo jameni ..mungu wasaidie waislamu waokoke waijue kweli ,iwaweke huru ,uwaondole roho za udini.amina
Chanzo ni tarehe 07/11/2023 ndiye wa kulaumiwa
Hebu soma kitabu cha Amosi 1:6_8 katika Biblia inasema nini kuhusu Gaza?
Sheik PONDA kumbe ya watu kujadili no mtelemko Sana, na kwetu ni mpando kwa Nini ninyi Kama waislam hamtoi tamko Wala kuandamana wakati CHAMA CHA MAPINDUZI wanapowafanyia WATANZANIA wa vyama vya UPINZANI unyama wa kurusha kwa vipindi vyote vya uchaguzi mkuu ,acheni unafiki madhambi mangapi yamefanyika ndani ya nchi yetu na mmekuwa kimya tu.
Acha woga vaa Combat nenda Palestine
Huna jipya
Kama vile wewe usivyokua na mwelekeo
Komentizote makafiliwatanzania wachumiatumbo kaziyenukupendamisaadahata kwawatuhatari amsemi momentum wanafiki
Kimewalamba magaidi unacheza na taifa laMungu
Mmh,ivi hii ni Nini jamani ni dini ni uchawi
Mwafrika akizeeka akili inafifia mzungu akizee akili zinakua mingi sasa huyu mzee sijui anaongea utumbo gani, kwani waparestina izrael ni kwao?
Acha kutuletea udini wewe,TZ hatuko hivyo,kwa nini usilaani uchokozi, Tanzania Amani Idumu
Wacha kusema ovyo wewe! Vita hivi ni vya waislam wote. Phalestin panawahusu waislam wote.hususan pana msikiti wa Aqsa. Achana na sisi risala hii haikuhusu
Chamsingi nikuenda kusaidia
😂
Tanzania Kamwe haita vunja uhusiano na Israel,na hata kama mtu akafanya hivyo haisaidii Israel ni Taifa la Mungu,Mungu amewekeza jina na Nguvu zake,karibuni muone
Wacha ujinga wewe. Taifa la M'mungu lina fadhili ushoga na kusherehekea na kuua watoto na watu wasio na hatia. Wale wameshalaaniwa kitambo.
Taifa la Mungu ??! Unawatetea na wale si wakristo si wenzako wale....wale ni mayahudi walolaaniwa na Allah
Sasa kama wamelaaniwa ndio mnawateka watu na kuwaua watu?
Israeli ni Taifa la mungu na ni taifa linapigana Kwa nguvu ya mungu. Amini usiamini Palestina watapewa kichapo maana ni wachokozi Acha wapigwe
@@mrsomeone7728 Kitu kinawasaidia hao mayahudi ni Marekani Tu wala hakuna Mungu apo...afu kama ni uchokozi Mayahudi ndo wakorofi...ijue history buddy usifuate mkumbo kwa sababu unahisi ni wakristo wenzako hao...hao ni mayahudi nao wana dini tofauti
Akili Yako imeathirika na ubinafsi, Pia na udini
Tatizo lako issa hata darasa la saba hukumaliza fala wewe. Kinachotokea sudani, congo huvioni nguruwe wewe.
Aliyesimama nyuma yako Ni nani, kazi yake Ni nini
Nendeni mkawasaidie sio kutoa tamko maana tamko haliwezi kupigana na Israeli bali nguvu zenu ndizo zinazohitajika....kutoa matamko kila siku mkiwa msikitini alafu kwenye uwanja wa mapambano hamuonekani ni dalili zakuonesha hamna umoja.
Tamko linasaidia nini 😂😂😂 hapo nikujilisha upepo
Tamko linalotokewa halisaidii Makafiri tu,kwa hiyo achana nalo
@@mwawekomiuda9779 halina maana eyote ile maana waarabu + nyinyi niwaoga waliopinduka ndio maana mnanyaganywa hata kile kidogo mlicho nacho poleni hio vita muiache tu Gaza inakwenda kuwa ya Israeli hakuna cha kupata Wapalestina
Hata ukiwaombea umewapigania
Hata Dua inanguvu kwa wenye imani
Usitamke nenda kapigane kama na wewe gaidi
Shehe ponda umeshazeeka, huna lolote
wewe shehe ponda chizi kweli, sasa ukiwaktaa Israeli itasaidia Nini, miaka yote hiyo ilisaidia Nini, nchi yenyewe masikini, unachekesha kweli