Ukiona mahala yupo Sheikh Kundecha na Ponda jua hapo kuna usalama - Muft Mkuu Aboubakar Zubeir
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Akizungumza jioni ya leo Kisarawe mkoa wa Pwani Muft Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakar Zubeir amekiri kutaka tokwa na machozi kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Foundation ya MPF
viongozi wetu wakiislamu nawapenda sana mungu awaongoze
MAASHALLAH Hongera Sana Mh Mufti
Hicho kituo kipo wapi mpf
Kipo kimana,Kisarawe... mbele ya Pugu
Kituo hicho kipo Kisarawe. Ila darsa zake zipo Gongolamboto mwisho wa lami (mnarani) kila siku za weekend.