Ukiona mahala yupo Sheikh Kundecha na Ponda jua hapo kuna usalama - Muft Mkuu Aboubakar Zubeir

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Akizungumza jioni ya leo Kisarawe mkoa wa Pwani Muft Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakar Zubeir amekiri kutaka tokwa na machozi kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Foundation ya MPF

Комментарии • 5

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 Год назад

    viongozi wetu wakiislamu nawapenda sana mungu awaongoze

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Год назад

    MAASHALLAH Hongera Sana Mh Mufti

  • @ibrahimsaidi5068
    @ibrahimsaidi5068 Год назад

    Hicho kituo kipo wapi mpf

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Год назад

      Kipo kimana,Kisarawe... mbele ya Pugu

    • @sadickmmbwego1928
      @sadickmmbwego1928 Год назад

      Kituo hicho kipo Kisarawe. Ila darsa zake zipo Gongolamboto mwisho wa lami (mnarani) kila siku za weekend.