Mm namjua huyu shaikh ana nidhamu sana haswa ktk kula lkn leo ana kula hadharani labda ameletewa na darling wa siri na amemlazimisha ale akimuona😂..afuan shaikh wangu nakupenda sana for da sake of Allah❤
Assalaam aleykum, Mimi naitwa Fatma kutoka mafia pwani, nilikuwa nauliza mume wngu ni mlevi sana, yaan kila cku anakunywa,, Sasa Mimi nimemvumilia nimechoka,, nadai talaka yngu, anasema anipi,, Sasa Mimi nimechoka na visa vyaje
As sheikh izudin haipendezi wakati unapoelimisha ndungu zetu na HUKU unakula hii ni tabiya mbaya kwanini kama unanjaa ungekula mwazo hii nitamaa ya mlo wezako wanakusikiza wote hakuna hanayekula isipokuwa tabiya yako ni tamaa ya kula hakuna faida ya kielmu jirekebisha sheikh
Ww ndo unatabia mbaya au umetumwa na upinzani😂 mbona umekuja na hasira hivyo punguza ukali wa maneno SI ww pia ufungue you tube Yako tukusikize?kasikie vbaya nahuko
Asalam aleykum sheikh sisi tumezaliwa 2 wazazi waachana sisi bado watogo mama etu akaolewa na mume mwingine huko akazaa watoto wengine ktk yao na baba etu mwingine mama nae alikua nafanya biashara zake ndogo ndogo baadae mume wake akafariki na mama nae akafariki je sisi tuneweza kupata mirathi ya mama etu?
Kile alichorithi mama enu au kilichokua chake ambacho kakitenga hakukichanganya na mumewe. Tena kitapigwa mafungu kwa nyie 2 na hao wengine alozaa nao huko kwa mume alokufa. Na inaezekana mafungu yakaongezeka na la bibi/babu yako mzaa mama km wahai na ndugu wa mama km hamna m’me kwa nyie mnaorithi. Tafteni watu wa mirathi mfahamishwe vzr zaidi.
Mashallah TabarakaALLAH, ALLAH akuhifadhi na akuongezee hekma Sheikh wetu Amin
Jazakallah khayran
Mm namjua huyu shaikh ana nidhamu sana haswa ktk kula lkn leo ana kula hadharani labda ameletewa na darling wa siri na amemlazimisha ale akimuona😂..afuan shaikh wangu nakupenda sana for da sake of Allah❤
Jazakallah khaira shehk
Mashallah tabarakya Allah
Mashallah
Asalaam alyekum, sheikh shwali langu liko hivi, nimechelewa kupata swala ya magharib,je inafaha muda unaofata
Aslm alaykum warahmatullah wabarakatuh shekhe mi naomba yako Kuna swali nyeti nataka nikuulize
Assalaam aleykum, Mimi naitwa Fatma kutoka mafia pwani, nilikuwa nauliza mume wngu ni mlevi sana, yaan kila cku anakunywa,, Sasa Mimi nimemvumilia nimechoka,, nadai talaka yngu, anasema anipi,, Sasa Mimi nimechoka na visa vyaje
Wanaume wengi hawana uadilifu
Je kusoma dua kwa pamoja na Imam na Maimuna ni sawa? Kuna baadhi ya masheikh wanasema sio sawa dua ya pamoja. Ipi iko sawa
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh
Sheikh naomba kuuliza. Wakfu imekubalika kwenye dini yetu? Na unaweza kubadilika?
Jazakallahu kher
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
shekhe mm nauliz mzazi anayo haki ya kumchagulia mtoto wake mchumba ? samahan lakin shekhe
Naomba namba yako pls
Assalamalykum.shekhe tunaomba namba yako
أدعوا ربكم تضرعا وخفية دون الجهر
As sheikh izudin haipendezi wakati unapoelimisha ndungu zetu na HUKU unakula hii ni tabiya mbaya kwanini kama unanjaa ungekula mwazo hii nitamaa ya mlo wezako wanakusikiza wote hakuna hanayekula isipokuwa tabiya yako ni tamaa ya kula hakuna faida ya kielmu jirekebisha sheikh
Mtu amepumzika anasikiliza Swali ili ajibu..
Kula iwe ni tabia ambayo haifai..
Usiwe kama nzi kuangalia penye kidonda ung'ong'e
Ww ndo unatabia mbaya au umetumwa na upinzani😂 mbona umekuja na hasira hivyo punguza ukali wa maneno SI ww pia ufungue you tube Yako tukusikize?kasikie vbaya nahuko
Wewe ni wivu na husdaa ulonao hauna lengine
Kuna shida gani kwa kutafuna kichache ( snacks) ikiwa waskiza suala
Sasa ww una chukiii ama umeona kosa unarekibiaha maana sikwanamna hio kumuita tamaa ya mlo
Asalam aleykum sheikh sisi tumezaliwa 2 wazazi waachana sisi bado watogo mama etu akaolewa na mume mwingine huko akazaa watoto wengine ktk yao na baba etu mwingine mama nae alikua nafanya biashara zake ndogo ndogo baadae mume wake akafariki na mama nae akafariki je sisi tuneweza kupata mirathi ya mama etu?
Maaadam nimama yenu munahaki yakupewa haki ya mama yenu
Ndiyo,, shekhe izudini afafanue zaidi
Kile alichorithi mama enu au kilichokua chake ambacho kakitenga hakukichanganya na mumewe. Tena kitapigwa mafungu kwa nyie 2 na hao wengine alozaa nao huko kwa mume alokufa. Na inaezekana mafungu yakaongezeka na la bibi/babu yako mzaa mama km wahai na ndugu wa mama km hamna m’me kwa nyie mnaorithi. Tafteni watu wa mirathi mfahamishwe vzr zaidi.