uliza ujibiwe

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 28

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 9 месяцев назад +3

    Mashallah TabarakaALLAH, ALLAH akuhifadhi na akuongezee hekma Sheikh wetu Amin

  • @a.856
    @a.856 9 месяцев назад +3

    Jazakallah khayran

  • @Fumokale
    @Fumokale 9 месяцев назад +1

    Mm namjua huyu shaikh ana nidhamu sana haswa ktk kula lkn leo ana kula hadharani labda ameletewa na darling wa siri na amemlazimisha ale akimuona😂..afuan shaikh wangu nakupenda sana for da sake of Allah❤

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 9 месяцев назад +1

    Jazakallah khaira shehk

  • @maryamalbusaidi3049
    @maryamalbusaidi3049 9 месяцев назад +2

    Mashallah tabarakya Allah

  • @shuweikhahamad6392
    @shuweikhahamad6392 9 месяцев назад +2

    Mashallah

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 9 месяцев назад

    Asalaam alyekum, sheikh shwali langu liko hivi, nimechelewa kupata swala ya magharib,je inafaha muda unaofata

  • @user-zl6hc7su9l
    @user-zl6hc7su9l 9 месяцев назад

    Aslm alaykum warahmatullah wabarakatuh shekhe mi naomba yako Kuna swali nyeti nataka nikuulize

  • @user-tp5yx6de3v
    @user-tp5yx6de3v 8 месяцев назад

    Assalaam aleykum, Mimi naitwa Fatma kutoka mafia pwani, nilikuwa nauliza mume wngu ni mlevi sana, yaan kila cku anakunywa,, Sasa Mimi nimemvumilia nimechoka,, nadai talaka yngu, anasema anipi,, Sasa Mimi nimechoka na visa vyaje

  • @tahiyaabubakar5304
    @tahiyaabubakar5304 9 месяцев назад +1

    Wanaume wengi hawana uadilifu

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 9 месяцев назад

    Je kusoma dua kwa pamoja na Imam na Maimuna ni sawa? Kuna baadhi ya masheikh wanasema sio sawa dua ya pamoja. Ipi iko sawa

  • @asyahassan2656
    @asyahassan2656 9 месяцев назад

    Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh
    Sheikh naomba kuuliza. Wakfu imekubalika kwenye dini yetu? Na unaweza kubadilika?

  • @anduldullaomy3817
    @anduldullaomy3817 9 месяцев назад

    Jazakallahu kher

  • @abdullahswalehhamad6128
    @abdullahswalehhamad6128 8 месяцев назад

    اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎

    • @abdullahswalehhamad6128
      @abdullahswalehhamad6128 8 месяцев назад

      shekhe mm nauliz mzazi anayo haki ya kumchagulia mtoto wake mchumba ? samahan lakin shekhe

  • @user-zl6hc7su9l
    @user-zl6hc7su9l 9 месяцев назад

    Naomba namba yako pls

  • @ramadhanrashid4015
    @ramadhanrashid4015 9 месяцев назад

    Assalamalykum.shekhe tunaomba namba yako

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 9 месяцев назад

    أدعوا ربكم تضرعا وخفية دون الجهر

  • @abuuadil4070
    @abuuadil4070 9 месяцев назад

    As sheikh izudin haipendezi wakati unapoelimisha ndungu zetu na HUKU unakula hii ni tabiya mbaya kwanini kama unanjaa ungekula mwazo hii nitamaa ya mlo wezako wanakusikiza wote hakuna hanayekula isipokuwa tabiya yako ni tamaa ya kula hakuna faida ya kielmu jirekebisha sheikh

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 9 месяцев назад

      Mtu amepumzika anasikiliza Swali ili ajibu..
      Kula iwe ni tabia ambayo haifai..
      Usiwe kama nzi kuangalia penye kidonda ung'ong'e

    • @RukaiyaAbdalla-hf1ds
      @RukaiyaAbdalla-hf1ds 9 месяцев назад +1

      Ww ndo unatabia mbaya au umetumwa na upinzani😂 mbona umekuja na hasira hivyo punguza ukali wa maneno SI ww pia ufungue you tube Yako tukusikize?kasikie vbaya nahuko

    • @abuhumeira9298
      @abuhumeira9298 9 месяцев назад

      Wewe ni wivu na husdaa ulonao hauna lengine
      Kuna shida gani kwa kutafuna kichache ( snacks) ikiwa waskiza suala

    • @princefeisla3692
      @princefeisla3692 9 месяцев назад

      Sasa ww una chukiii ama umeona kosa unarekibiaha maana sikwanamna hio kumuita tamaa ya mlo

  • @mwatangamasolwa5258
    @mwatangamasolwa5258 9 месяцев назад

    Asalam aleykum sheikh sisi tumezaliwa 2 wazazi waachana sisi bado watogo mama etu akaolewa na mume mwingine huko akazaa watoto wengine ktk yao na baba etu mwingine mama nae alikua nafanya biashara zake ndogo ndogo baadae mume wake akafariki na mama nae akafariki je sisi tuneweza kupata mirathi ya mama etu?

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  9 месяцев назад +3

      Maaadam nimama yenu munahaki yakupewa haki ya mama yenu

    • @abdularuffin9308
      @abdularuffin9308 9 месяцев назад

      Ndiyo,, shekhe izudini afafanue zaidi

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 9 месяцев назад

      Kile alichorithi mama enu au kilichokua chake ambacho kakitenga hakukichanganya na mumewe. Tena kitapigwa mafungu kwa nyie 2 na hao wengine alozaa nao huko kwa mume alokufa. Na inaezekana mafungu yakaongezeka na la bibi/babu yako mzaa mama km wahai na ndugu wa mama km hamna m’me kwa nyie mnaorithi. Tafteni watu wa mirathi mfahamishwe vzr zaidi.