MAJIBU YA ULIZA UJIBIWE(10)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 мар 2023

Комментарии • 23

  • @azizaabdalla1264
    @azizaabdalla1264 7 месяцев назад

    Aa nataka mawaidha ya mambo ya kujifusahi

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Год назад

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад

    Barak Allah kheri

  • @a.856
    @a.856 Год назад

    Jazakallah khayran

  • @tawaqalmuniss2902
    @tawaqalmuniss2902 Год назад

    assalam alaikum sheikh nlkuw naulza mtu ameenda kusali msktn kakuta rakaa ya mwsho ya swala ya maghrb akaiwahi rakaa hyo ya mwsho wakaketi mpk tahyatu wakatoa salamu je ataendeleaje?😢😢

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Год назад

    Je waeza mfanyia mzazi wko umrah na yeye bado yuko hai

  • @fatihaal-amoody6308
    @fatihaal-amoody6308 Год назад

    Asalam Aleikum sheikh jee ana dhambi mwenye kuambiwa utaachwa akakubali hilo baada ya talaka akarudi nyuma kuomba msamaha ili mume warudiane yule mume akakataa kabisa kosa nila nani hapo

  • @jamaalmallo136
    @jamaalmallo136 Год назад +1

    Sheikh Allah akuhifadhi akupe umri mrefu katika twaa yake....ameen. kila nkija mombasa lazma nje darsa yako

  • @MaryamJuma-dx9ei
    @MaryamJuma-dx9ei Год назад

    Yawezekana kuleta istikfari wakati imamu anaswalisha wakati wakufunga swala

  • @mulhatomar6953
    @mulhatomar6953 Год назад

    Vp kuhu janaba pia unatakiwa ufumue nywele maana hili ni jambo la kila siku au kila wkt

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Год назад

      madamu umetokwa na manii aw umefanya tendo landoa lazma uoge amakufumua nyele yategemea nyele zako kama ni nyingi na maji hayafiki kwa kichwa lazma uzifumue

  • @mulhatomar6953
    @mulhatomar6953 Год назад

    Sheh mm sijawahi kupta hedhi hata siju 1 na sasa nna miaka 26 nn nifanye na sijazaa au mm ndo tasa moja kwa moja

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Год назад

      unaeza muona tabibu wa kienyeji atakusaidia kupata ada yako kwa uwezo wa Allah

  • @mariamnur1036
    @mariamnur1036 Год назад +1

    Mm Nina shida kila time na tokwa n manni je ntaoga kila mara😢😢😢

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Год назад +1

      je umehakikisha kua yanao kutoka ni manii mwanzo hakikisha kish@ ndio uombe jibuu

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 Год назад +1

      ​@@IzudinAlwyDin nimehakikisha sheikh

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Год назад

      Nikuombe kama haitakua tatizo kanuone shekh alioko kareb na ww ataweza kukusaidia maana mm mpaka sasa kila nikigkiria haiwezekani jambo hilo.

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 Год назад +1

      Mariam vp

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 Год назад

      @@mariamnur1036 mariam nambie