Fid Q - Siri ya Mchezo Feat Juma Nature (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- #FidQ #SiriYaMchezo #JumaNature #SlideDigital
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on
Twitter: / fidq
Facebook: / fidhop
Instagram: / therealfidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Wangapi wamekuja hapa baada ya kusikiliza ngoma ya dizasta vinna @chupa moja ya ziada😊😊
Hata mm
😁
Mm hapa...from kenya🎉
We jamaa😂
Haha nimeongezeka na mimi😂
kuusaka ukwl ni sawa na kumenya kitungu..,kila ganda litakutoa machozi utabaki macho juu....✍️✍️🙏
Eti Wakenya wanamuona kaligraph ni mkali, nachekaga sana. Fid q hana wa kumfananisha, hachani chani, ana- spit knowledge na wisdom
Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono. Jamaa ni kichwa sana in poetry. Mimi binafsi kwenye nyimbo zake napata sana ujasiri na kupata nguvu ya kusonga mbele hasa ninapopitia magumu
Jamaa namkubali sana fid q
amani kwa chachage na makuwadi wa soko huria, baba asante kwa tafiti na zawadi ya almasi bandia
Naomba like 10 tu
Umetisha sana
Uzipeleke wapi?
Ninachokiona ni kama Tanzania kuna mashabiki maandazi sana! Wengi wanajua huu Ni wimbo mpya! Poleni sana!
baada ya kumsiliza Dizasta Vina na Chupa moja ya ziada nilipofika home tu , nimefungulia hii kwa sauti moja mbaya sana !!!
Wasanii 3 bora wa HIPHOP bongo ni-
1- FID-Q
2-NGOSHA
3-FARID KUBANDA
Upo imara sana kwenye game ya HIP HOP,nakufwatlia toka ktambo,,,,, #respect from 254...
FITTY BLACK Hahahaha
Umetisha
Joseph Kamiza shukran
Hahahahaha
Ni jesh la mtu mmja
Kumwelewa fid q inahitaji iq kubwa mjue!
Anaweza akawa anakusema ukadhani anaongelea mtu mwingiiine😅#beautfulart hapa ni zaidi ya roma anaovoisema serikali ila watu hawajastukia
Kidumu chama cha masela.
Respect Farid Kubanda.
Fid q nakupa salute....sichoki kusikiza kazi zako. Real hiphop, mbonge ya elimu ndani yake.
Ngoma ya kitambo ila utafikil ndo imetoka leo aisee noma sana mafund wawili wamekutana mfalme wa tmk na king of hip hop tz kama ujui siri ya mtungi ajuae kata na # SIRI YA MCHEZO# anaijua yeye ngosha ze swagger don
Jiwe kalisana miaka yote
Aminia Makamanda.... Rashake ray from Nairobi Kenya.... Mzuka Sana
Nimekuja Leo 2025
Who ellse listening to this jjoint over here!!!
Wamejivisha unoa,wakajivisha umussa fimbo zao hazijakuwa kuwa nyoka😢
fid-Q the future 🔥
Hakuna utumwa mbaya kama wakujiona uko Free 😳🤔🙌
hahaha ngoshaaaaaa kusaka ukweli nisawa na kumenya kitunguu kila ganda unalotoa lazima machoz yatakutoka mwisho utabak macho juu ..
Mtanzania one hapa....tuko pamoja sana...nakusiliza sana kila ile mbaya...q baba q farther.....yule jamaa mtamadu ni
Nakuelewa Sana'a toka zaman.ulianza ww wakaja wabana pua wale mwewee
Ukishindwa kujiandaa Jiandae kushindwa
Ngosha hufai Hata kwa maziwa
Fid Q ft Nature chumaa makini sana watu Makini sana
Fid Q Kamanda ni Kamanda , unatisha Bro Ujumbe kama wote nakubali 100%
Fidc Q beats them all hip hop wannabes,khaligraph jones +254 is his perfect match,,,,collabo would be a murder...fid Q +254 we wanna be waiting...thanks for the real hip hop beats,,,salutes legend Juma Nature.+254 love
Mbona FIDDY ukamwosha DUDUBAYA adharani…. This reflects DUDU 😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👽👽👽👽👽
Anamwoshaje Dudubaya kivipi hapo fafanua Kiongozi
Seats pretty in my top ten of all time.
Nyumani nasikiliza dunia ya sasa marujiwani
Fid Unajua wee jamaaa
Nature una ua sana kweli talent haizeeki
Ngoshaaaa ze swagger 👊🏻👊🏻
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
WTF* is that intro, habari san! from Kenya tnakubali sauti senu .. salimia Fiddy, from deep in America Seattle..
Respect bro
Like your job
Darius From Australia
Hii ngoma nimeirudia mara 20
Wazi....ngosha....kizazi sana
Heavy sana
Mfalme wa hip hop bongo fid q farid qubanda nakukumali sana mzeee
Hii style ndio inakufaa fid q chunguza hii style huwa unauwa Sana💥
Jamaa kapotea hatupati mambo yake
Nakukubali sanaa afu mbona hii nymbo kama nilishawah kuisikia au ni remix
Badilisha flow na style Fid. Hi track utadhani ni ngoma ya 2006. Audience tunaukubali uwezo wako wakuandika ila tunataka something new & refreshing manzee
Haujui unachokisema! Pole sana Kaka Kama unahisi Ni wimbo mpya! Hi ngoma aliitoa kitambo sana ! Ina miaka mingi sana zaidi ya miaka 5 ama 6 nyuma!
Tony El Shabbaz 😂😂😂Sihitaji pole yako,,nimekwambia naumwa malaria? Main Point yangu bado inasimama wima, style ya fid haijabadilika mpaka leo. Ngoma yake na rosa ree, fresh, etc,,,they all sound the same. Gtfoh!
@@mausant2000#KLMY
noma
Hip Hop for ever
#Ngosha_kubanda yote majina Yako
two legandary in one track
Nakubali ngoma
Bado we twitching books… deep in America….
Sikuyangu leo nduguzangu like zangu
wakongwe kwenye game
kamanda umesuka.umeaua
Mtazania ni d'em, wa mzungu,,, gari bovu aisukumwi ukiwa ndani yake. Hahaaa
Kizazi fid umetu ispaya
Real Hip hop mkubwa Fid Aijavunjwa vunjwa 🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤
nomaaa
jikombe ugongwe ili mtaa ukuone hauna ishu..
#TheCode
#BongoHipHop
📌📌📌Tuna ishia kufia mabatani kama inzi ndani ya Glas ya beer📌📌📌
👌🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
PRIDE OF BONGO HIPPOP
🔥💪👏👍
2023✍️
🇹🇿🔥🔥
Fq Umeturetea N+
Tulimumss
Safi mkali wala Usishangae Views tatizo halo tete bando hamna
👍👍
🙏
2022
Farid kubanda
Nipeni likes zenu tafadhali
Imetupya kwenye account yenyewe sasa