Fid Q - Siri ya Mchezo Feat Juma Nature (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • #FidQ #SiriYaMchezo #JumaNature #SlideDigital
    FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    Written & Performed by Fid Q
    Follow Fid Q on
    Twitter: / fidq
    Facebook: / fidhop
    Instagram: / therealfidq
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 93

  • @hedarufines7763
    @hedarufines7763 6 месяцев назад +14

    Wangapi wamekuja hapa baada ya kusikiliza ngoma ya dizasta vinna @chupa moja ya ziada😊😊

  • @mussamrope1934
    @mussamrope1934 Год назад +4

    kuusaka ukwl ni sawa na kumenya kitungu..,kila ganda litakutoa machozi utabaki macho juu....✍️✍️🙏

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 Год назад +5

    Eti Wakenya wanamuona kaligraph ni mkali, nachekaga sana. Fid q hana wa kumfananisha, hachani chani, ana- spit knowledge na wisdom

    • @amriseleman9395
      @amriseleman9395 8 месяцев назад

      Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono. Jamaa ni kichwa sana in poetry. Mimi binafsi kwenye nyimbo zake napata sana ujasiri na kupata nguvu ya kusonga mbele hasa ninapopitia magumu

  • @JumaHassani-qv8yo
    @JumaHassani-qv8yo 11 месяцев назад +1

    Jamaa namkubali sana fid q

  • @calvintemba2236
    @calvintemba2236 Год назад +1

    amani kwa chachage na makuwadi wa soko huria, baba asante kwa tafiti na zawadi ya almasi bandia

  • @muzzoonlinetv7446
    @muzzoonlinetv7446 5 лет назад +26

    Naomba like 10 tu

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 5 лет назад +9

    Ninachokiona ni kama Tanzania kuna mashabiki maandazi sana! Wengi wanajua huu Ni wimbo mpya! Poleni sana!

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 27 дней назад

    baada ya kumsiliza Dizasta Vina na Chupa moja ya ziada nilipofika home tu , nimefungulia hii kwa sauti moja mbaya sana !!!

  • @fittyblack2549
    @fittyblack2549 5 лет назад +34

    Wasanii 3 bora wa HIPHOP bongo ni-
    1- FID-Q
    2-NGOSHA
    3-FARID KUBANDA
    Upo imara sana kwenye game ya HIP HOP,nakufwatlia toka ktambo,,,,, #respect from 254...

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 Год назад +1

    Kumwelewa fid q inahitaji iq kubwa mjue!
    Anaweza akawa anakusema ukadhani anaongelea mtu mwingiiine😅#beautfulart hapa ni zaidi ya roma anaovoisema serikali ila watu hawajastukia

  • @kristophermassawe5820
    @kristophermassawe5820 5 лет назад +10

    Kidumu chama cha masela.
    Respect Farid Kubanda.

  • @siapan2098
    @siapan2098 5 лет назад +5

    Fid q nakupa salute....sichoki kusikiza kazi zako. Real hiphop, mbonge ya elimu ndani yake.

  • @allysuleiman6254
    @allysuleiman6254 5 лет назад +7

    Ngoma ya kitambo ila utafikil ndo imetoka leo aisee noma sana mafund wawili wamekutana mfalme wa tmk na king of hip hop tz kama ujui siri ya mtungi ajuae kata na # SIRI YA MCHEZO# anaijua yeye ngosha ze swagger don

  • @victorshake8987
    @victorshake8987 5 лет назад +5

    Aminia Makamanda.... Rashake ray from Nairobi Kenya.... Mzuka Sana

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 День назад

    Nimekuja Leo 2025

  • @Kim_9022
    @Kim_9022 2 года назад +1

    Who ellse listening to this jjoint over here!!!

  • @ahmedathumani2605
    @ahmedathumani2605 4 месяца назад

    Wamejivisha unoa,wakajivisha umussa fimbo zao hazijakuwa kuwa nyoka😢

  • @alexjshots660
    @alexjshots660 5 лет назад +9

    fid-Q the future 🔥

  • @blacknesaya744
    @blacknesaya744 4 года назад +3

    Hakuna utumwa mbaya kama wakujiona uko Free 😳🤔🙌

  • @kitimbumedia8993
    @kitimbumedia8993 5 лет назад +1

    hahaha ngoshaaaaaa kusaka ukweli nisawa na kumenya kitunguu kila ganda unalotoa lazima machoz yatakutoka mwisho utabak macho juu ..

  • @HamiduMikongo
    @HamiduMikongo Год назад

    Mtanzania one hapa....tuko pamoja sana...nakusiliza sana kila ile mbaya...q baba q farther.....yule jamaa mtamadu ni

  • @rashidyhassan4679
    @rashidyhassan4679 5 лет назад +1

    Nakuelewa Sana'a toka zaman.ulianza ww wakaja wabana pua wale mwewee

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 5 лет назад +1

    Ukishindwa kujiandaa Jiandae kushindwa
    Ngosha hufai Hata kwa maziwa

  • @mapandejr8932
    @mapandejr8932 5 лет назад +2

    Fid Q ft Nature chumaa makini sana watu Makini sana

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya1286 5 лет назад +1

    Fid Q Kamanda ni Kamanda , unatisha Bro Ujumbe kama wote nakubali 100%

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 5 лет назад +4

    Fidc Q beats them all hip hop wannabes,khaligraph jones +254 is his perfect match,,,,collabo would be a murder...fid Q +254 we wanna be waiting...thanks for the real hip hop beats,,,salutes legend Juma Nature.+254 love

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 2 года назад

    Mbona FIDDY ukamwosha DUDUBAYA adharani…. This reflects DUDU 😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👽👽👽👽👽

    • @amriseleman9395
      @amriseleman9395 8 месяцев назад

      Anamwoshaje Dudubaya kivipi hapo fafanua Kiongozi

  • @odongocronk9693
    @odongocronk9693 5 лет назад +5

    Seats pretty in my top ten of all time.

  • @abubakarihtarimo7660
    @abubakarihtarimo7660 5 лет назад +1

    Nyumani nasikiliza dunia ya sasa marujiwani

  • @mohammedmakongoro2080
    @mohammedmakongoro2080 5 лет назад +1

    Fid Unajua wee jamaaa

  • @AlmahadHamza
    @AlmahadHamza 5 лет назад +1

    Nature una ua sana kweli talent haizeeki

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 4 года назад +1

    Ngoshaaaa ze swagger 👊🏻👊🏻

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 2 года назад

    WTF* is that intro, habari san! from Kenya tnakubali sauti senu .. salimia Fiddy, from deep in America Seattle..

  • @freshstudio707
    @freshstudio707 5 лет назад +5

    Respect bro
    Like your job
    Darius From Australia

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya1286 5 лет назад +2

    Hii ngoma nimeirudia mara 20

  • @evanschapailale8410
    @evanschapailale8410 2 года назад

    Wazi....ngosha....kizazi sana

  • @barakalema7274
    @barakalema7274 2 года назад

    Heavy sana

  • @abdunnasser9580
    @abdunnasser9580 5 лет назад

    Mfalme wa hip hop bongo fid q farid qubanda nakukumali sana mzeee

  • @brightonsalim3111
    @brightonsalim3111 5 лет назад

    Hii style ndio inakufaa fid q chunguza hii style huwa unauwa Sana💥

  • @JumaHassani-qv8yo
    @JumaHassani-qv8yo 11 месяцев назад

    Jamaa kapotea hatupati mambo yake

  • @mrwemaraphael6624
    @mrwemaraphael6624 5 лет назад

    Nakukubali sanaa afu mbona hii nymbo kama nilishawah kuisikia au ni remix

  • @mausant2000
    @mausant2000 5 лет назад +1

    Badilisha flow na style Fid. Hi track utadhani ni ngoma ya 2006. Audience tunaukubali uwezo wako wakuandika ila tunataka something new & refreshing manzee

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz 5 лет назад

      Haujui unachokisema! Pole sana Kaka Kama unahisi Ni wimbo mpya! Hi ngoma aliitoa kitambo sana ! Ina miaka mingi sana zaidi ya miaka 5 ama 6 nyuma!

    • @mausant2000
      @mausant2000 5 лет назад

      Tony El Shabbaz 😂😂😂Sihitaji pole yako,,nimekwambia naumwa malaria? Main Point yangu bado inasimama wima, style ya fid haijabadilika mpaka leo. Ngoma yake na rosa ree, fresh, etc,,,they all sound the same. Gtfoh!

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz 5 лет назад

      @@mausant2000#KLMY

  • @razakihaji-q3o
    @razakihaji-q3o 2 месяца назад

    noma

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 5 лет назад +4

    Hip Hop for ever

  • @mosesnjuguna1380
    @mosesnjuguna1380 3 года назад

    #Ngosha_kubanda yote majina Yako

  • @harounernest1516
    @harounernest1516 5 лет назад +2

    two legandary in one track

  • @AlmahadHamza
    @AlmahadHamza 5 лет назад

    Nakubali ngoma

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 2 года назад

    Bado we twitching books… deep in America….

  • @beninternationaltv3136
    @beninternationaltv3136 5 лет назад +6

    Sikuyangu leo nduguzangu like zangu

  • @mkambotv5418
    @mkambotv5418 5 лет назад

    wakongwe kwenye game

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 4 года назад

    kamanda umesuka.umeaua

  • @benjaminagaack3535
    @benjaminagaack3535 5 лет назад

    Mtazania ni d'em, wa mzungu,,, gari bovu aisukumwi ukiwa ndani yake. Hahaaa

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 5 лет назад

    Kizazi fid umetu ispaya

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 5 лет назад +1

    Real Hip hop mkubwa Fid Aijavunjwa vunjwa 🔥

  • @MrusiMweusi
    @MrusiMweusi Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ramanjoroge4482
    @ramanjoroge4482 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @sportsbezi6690
    @sportsbezi6690 5 лет назад

    nomaaa

  • @izvibez6823
    @izvibez6823 5 лет назад +2

    jikombe ugongwe ili mtaa ukuone hauna ishu..

  • @djwilliams_
    @djwilliams_ 11 месяцев назад

    #TheCode
    #BongoHipHop
    📌📌📌Tuna ishia kufia mabatani kama inzi ndani ya Glas ya beer📌📌📌
    👌🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lucasricky7307
    @lucasricky7307 5 лет назад

    PRIDE OF BONGO HIPPOP

  • @konyakirs5289
    @konyakirs5289 5 лет назад +3

    🔥💪👏👍

  • @hamisijuma3100
    @hamisijuma3100 Год назад

    2023✍️

  • @michaelipius2660
    @michaelipius2660 5 лет назад +2

    🇹🇿🔥🔥

  • @mrmkandaras7491
    @mrmkandaras7491 5 лет назад +4

    Fq Umeturetea N+
    Tulimumss
    Safi mkali wala Usishangae Views tatizo halo tete bando hamna

  • @sevardrain1388
    @sevardrain1388 2 года назад

    👍👍

  • @jrxavihernandez8921
    @jrxavihernandez8921 3 года назад

    🙏

  • @jamalymiraji2154
    @jamalymiraji2154 2 года назад

    2022

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv6672 5 лет назад

    Farid kubanda

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 5 лет назад +1

    Nipeni likes zenu tafadhali

  • @kelbeckmusicworld1736
    @kelbeckmusicworld1736 5 лет назад

    Imetupya kwenye account yenyewe sasa